WAFAHAMU WAJITA/ HISTORIA YA KABILA LA WAJITA/HILI NDIO KABILA MASHUGHULI LENYE MKUSANYIKO MKUBWA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • #RkSimulizi #Simulizi #HistoriaYaWajita

Комментарии • 41

  • @MlingaStesen
    @MlingaStesen 8 месяцев назад +3

    Asante kwa historia hii nzuri proud to be jita

  • @PeterMarmo-ie8wx
    @PeterMarmo-ie8wx 11 месяцев назад

    Mkama mashauli napenda Sana kabira angu la kijita❤❤❤❤❤

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo17 3 года назад +6

    Ukinambia wajita ni sawa na wakwaya,wakerewe na waluli apo sawa lkn c ayo makabila mengne uloyataja

    • @stanleybupambambogo3334
      @stanleybupambambogo3334 2 года назад +1

      Nadhani wewe una ufahamu wa leo na jana; yeye amechimbua ya leo, jana, juzi, juzi ile, mtondo, mtondo-go na kadharika, na kadharika... Naamini hii ni fursa kwako ya kujifunza na kuongeza ufahamu juu ya historia ya kabila lako kuanzia ulipo kurudi kule ulikokuwa huna ufahamu nako... Hiyo ndo njia nzuri ya kujifunza historia ya jambo lolote husika.

    • @georgemark1470
      @georgemark1470 Год назад +1

      Nadhani hujui kinyarwanda, kiganda na hayo alotaja. Wajita wanasikilizana na hayo makabila. Mie mjita mnyarwanda akiongea au maganda namwelewa uzuri sana.

  • @julianajosia7144
    @julianajosia7144 Год назад

    Asante sana kutujuza historia yetu

  • @VeronicaEmmanuel-e7n
    @VeronicaEmmanuel-e7n 7 месяцев назад +1

    I thank God to be jita

  • @EdwinMagoti-q6g
    @EdwinMagoti-q6g 10 месяцев назад

    Napenda kusimlia waluli

  • @mohameda.i.baranyikwa6551
    @mohameda.i.baranyikwa6551 8 месяцев назад

    Tafadhali tuletee historia hlisi ya Wajiji wa Ujiji, Kigoma Tofauti na uongo usemao kwamba wao ni Warundi au Waha

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 2 года назад +1

    Bwire mganda, Makori mkenya .Tatizo jina likionekana linafanana au linaelekea kufanana na maneno ya kijita bas anakuwa mjita. Kazi nzuri lakini epuka dhana ya "kujaza" .

  • @vedastushamis390
    @vedastushamis390 Год назад

    Ubarikiwe sana

  • @ashakusaga3250
    @ashakusaga3250 6 месяцев назад

    Nnacho jua me ni mjita tena Timba kbsaa from Tz habar ya nmetokea wap achana nazo utachanganya watu.😅 ila waambie me n Mtanzania OG

  • @gloriamackanja2562
    @gloriamackanja2562 2 года назад

    Ahsante sana

  • @sylvesterngazila5764
    @sylvesterngazila5764 2 года назад +2

    Apo upo sahii tusiojua historia za makabila yetu tutafahamu

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 2 года назад

    Alaa kumbe! Nlikua cjijui

  • @FrankMachumu-z2b
    @FrankMachumu-z2b 9 месяцев назад

    Asate sana kaka

  • @BenyJob-ql5zx
    @BenyJob-ql5zx Год назад

    chinuno magoti ni baba ang nimesikia ad nikamkumbuka nimeumia sana leo hiii ayupo na amewah kua mbunge dah Yesu yupo nae

  • @eliasaphmulebya8304
    @eliasaphmulebya8304 2 года назад

    👏👏👏

  • @KusagaMasatu-zc3el
    @KusagaMasatu-zc3el Год назад

    Hapo vema

  • @mjinjamanani5885
    @mjinjamanani5885 2 года назад +1

    Niko nyumbani leo

  • @laurentsamwel8174
    @laurentsamwel8174 2 года назад +1

    Historia ya kabira la wa nyamwezi

  • @SalustiaMisana
    @SalustiaMisana 4 месяца назад

    Wajitaaaaa oeeeeeeh,😂😂😂😂

  • @mukakachisumo8597
    @mukakachisumo8597 3 года назад

    Saw

  • @dianamseka1233
    @dianamseka1233 3 года назад

    Andika na Historia ya Wasukuma

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 2 года назад

    Abharamba

  • @mrsjoelkinyota8500
    @mrsjoelkinyota8500 2 года назад +2

    Waha na wajita wapi na wapi uongo mtupuuuu

  • @tabulugoe9966
    @tabulugoe9966 11 месяцев назад

    Hujui wewe historia unapiga piga tu huwezi kutaja historia ya wajita bila kumtaja balozi Nimrud Lugoe na Antony Mtaka Wakuu wa mikoa

  • @MagrethKagere-uw5xn
    @MagrethKagere-uw5xn Год назад

    Kabila la wamwera

  • @zerapeter3451
    @zerapeter3451 3 года назад

    Kwel

  • @mwizarubisylvester9772
    @mwizarubisylvester9772 Год назад

    Naomba unitafutie nyimbo ya kasaunga na kama itawezekna uitaftie maelezo ya kile kilicho imbwa

  • @onionpeeling5822
    @onionpeeling5822 Год назад

    Jita wana ukaribu zaid na kabila la Igbo pia . Ni wabantu tu hao ..

    • @georgemark1470
      @georgemark1470 Год назад

      Wajita wote si wabantu bali walipofika Musoma na kuchangsnyika na wakwaya na waruli waliongea lugha yao. Kuna wenye asili ya toka Sudan na Ethiopia. Wako kama washombe na pua ndefu, ni warefu.
      Vijiji na majina yanaingiliana na watutsi Pia. Mfano nawajomba zangu wajita mara nyingi niliwashangaa wako kama waethiopia na wasudan. Ndo nikaelezwa asili yao toka huko. Tusilazimishe mambo historia inajulikana.

    • @onionpeeling5822
      @onionpeeling5822 Год назад

      @@georgemark1470 yupi huyo amelazimisha kitu??🤔

    • @onionpeeling5822
      @onionpeeling5822 Год назад

      @@georgemark1470 inaenda mbali zaidi ya ututsi or uethiopian .. Inaenda hadi kabisa kwenye kabila la kihebrania ndugu .. Hebrew .. WaJita inasadikika wana chimbuko hilo