Nadhani wewe una ufahamu wa leo na jana; yeye amechimbua ya leo, jana, juzi, juzi ile, mtondo, mtondo-go na kadharika, na kadharika... Naamini hii ni fursa kwako ya kujifunza na kuongeza ufahamu juu ya historia ya kabila lako kuanzia ulipo kurudi kule ulikokuwa huna ufahamu nako... Hiyo ndo njia nzuri ya kujifunza historia ya jambo lolote husika.
Nadhani hujui kinyarwanda, kiganda na hayo alotaja. Wajita wanasikilizana na hayo makabila. Mie mjita mnyarwanda akiongea au maganda namwelewa uzuri sana.
Bwire mganda, Makori mkenya .Tatizo jina likionekana linafanana au linaelekea kufanana na maneno ya kijita bas anakuwa mjita. Kazi nzuri lakini epuka dhana ya "kujaza" .
Wajita wote si wabantu bali walipofika Musoma na kuchangsnyika na wakwaya na waruli waliongea lugha yao. Kuna wenye asili ya toka Sudan na Ethiopia. Wako kama washombe na pua ndefu, ni warefu. Vijiji na majina yanaingiliana na watutsi Pia. Mfano nawajomba zangu wajita mara nyingi niliwashangaa wako kama waethiopia na wasudan. Ndo nikaelezwa asili yao toka huko. Tusilazimishe mambo historia inajulikana.
@@georgemark1470 inaenda mbali zaidi ya ututsi or uethiopian .. Inaenda hadi kabisa kwenye kabila la kihebrania ndugu .. Hebrew .. WaJita inasadikika wana chimbuko hilo
Asante kwa historia hii nzuri proud to be jita
Mkama mashauli napenda Sana kabira angu la kijita❤❤❤❤❤
Ukinambia wajita ni sawa na wakwaya,wakerewe na waluli apo sawa lkn c ayo makabila mengne uloyataja
Nadhani wewe una ufahamu wa leo na jana; yeye amechimbua ya leo, jana, juzi, juzi ile, mtondo, mtondo-go na kadharika, na kadharika... Naamini hii ni fursa kwako ya kujifunza na kuongeza ufahamu juu ya historia ya kabila lako kuanzia ulipo kurudi kule ulikokuwa huna ufahamu nako... Hiyo ndo njia nzuri ya kujifunza historia ya jambo lolote husika.
Nadhani hujui kinyarwanda, kiganda na hayo alotaja. Wajita wanasikilizana na hayo makabila. Mie mjita mnyarwanda akiongea au maganda namwelewa uzuri sana.
Asante sana kutujuza historia yetu
I thank God to be jita
Napenda kusimlia waluli
Tafadhali tuletee historia hlisi ya Wajiji wa Ujiji, Kigoma Tofauti na uongo usemao kwamba wao ni Warundi au Waha
Bwire mganda, Makori mkenya .Tatizo jina likionekana linafanana au linaelekea kufanana na maneno ya kijita bas anakuwa mjita. Kazi nzuri lakini epuka dhana ya "kujaza" .
Ubarikiwe sana
Nnacho jua me ni mjita tena Timba kbsaa from Tz habar ya nmetokea wap achana nazo utachanganya watu.😅 ila waambie me n Mtanzania OG
Ahsante sana
Apo upo sahii tusiojua historia za makabila yetu tutafahamu
Alaa kumbe! Nlikua cjijui
Asate sana kaka
chinuno magoti ni baba ang nimesikia ad nikamkumbuka nimeumia sana leo hiii ayupo na amewah kua mbunge dah Yesu yupo nae
👏👏👏
Hapo vema
Niko nyumbani leo
Historia ya kabira la wa nyamwezi
Wajitaaaaa oeeeeeeh,😂😂😂😂
Saw
Andika na Historia ya Wasukuma
Abharamba
Waha na wajita wapi na wapi uongo mtupuuuu
Usibishe wewe kijita na kiha tofauti ni ndogo sna au we ndo haujui
@@davidibrahim9138 Waha na Wajita wapi na wapi? Uongo mtupu
Hajuwi huyo kwanza yawezekana hata hajui kijita huyo
Hujui wewe historia unapiga piga tu huwezi kutaja historia ya wajita bila kumtaja balozi Nimrud Lugoe na Antony Mtaka Wakuu wa mikoa
Kabila la wamwera
Kwel
Umemsahau Thomas Lisso alipapata mastas ya education miaka 1961
Muriyoo wajita😂😂
Naomba unitafutie nyimbo ya kasaunga na kama itawezekna uitaftie maelezo ya kile kilicho imbwa
Owenda olwimbo lwa kasaunga wasu
Jita wana ukaribu zaid na kabila la Igbo pia . Ni wabantu tu hao ..
Wajita wote si wabantu bali walipofika Musoma na kuchangsnyika na wakwaya na waruli waliongea lugha yao. Kuna wenye asili ya toka Sudan na Ethiopia. Wako kama washombe na pua ndefu, ni warefu.
Vijiji na majina yanaingiliana na watutsi Pia. Mfano nawajomba zangu wajita mara nyingi niliwashangaa wako kama waethiopia na wasudan. Ndo nikaelezwa asili yao toka huko. Tusilazimishe mambo historia inajulikana.
@@georgemark1470 yupi huyo amelazimisha kitu??🤔
@@georgemark1470 inaenda mbali zaidi ya ututsi or uethiopian .. Inaenda hadi kabisa kwenye kabila la kihebrania ndugu .. Hebrew .. WaJita inasadikika wana chimbuko hilo