Usilolijua juu ya Historia ya kabila la Wairaqw waishio Manyara
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Kutokana na wasiwasi wa kupotea kwa mila, desturi na tamaduni za kabira la Wairaqw, Mzee mwenye umri wa zaidi ya miaka 70 ameamua kuchukua jukumu la kukusanya na kuhifadhi historia ya jamii hiyo inayosadikika kutokea nchini Ethiopia.
Napenda kabilaangu sanaaaaaaa twenda sawa Kama wewe nikabila yetu hi
Hapo ni kwetu home kabisa kwa wazazi wangu
Lawo lari
Am proud to be mwiraq
adosii amaa
Naomba jina unalotumia insta
Mjomba wangu big up for keeping this unique history of ours @danitewa
I'm your brother from Ethiopia
No doubt we are the same!!
Hakika asili yangu jmn ahsante mzee kwa kutunza historia
Asaaaa
Vizuri sana mzee stay blessed I like my tribe ....
Mko wengi wilaya nyingi sanaaa mbulu ,karatu,Hanang, manyoni, ilamba wanyilamba na irangi Kondoa na walisambaa had iringa upaleni na pia usukuma huko.meatu na Bariad na maswa aliolewasanaaa hawa wairaq yaan wakushi wa Ethiopia
Hii histori nzuri kweli ahsante baba
I am quite impressed with how the Iraqw people retained their language and culture, even when they live so far from the Cushite territories. I am amazed at how much common words we have (Iraqw and Somali )after a thousand years of separation
I can teach you Iraqw and you teach me Somali
Cushites
@@lovenessisojick2139how can we connect
Cushites in Tanzania are from Ethiopia and originated from Esrael not Iraq Mesopotamia never ,in Tanzania cushties lives in Kondoa,manyoni, ilamba, Hanang, mbulu ,karatu majority are Christian Catholic and other Muslim groups are wanyilamba, warangi, mbulu, salatoga, etc
Most influential my trible
Ni vizuri katuelazea.tuli zani ni wasomali wenzetu.asnte baba.kwa kutufindisha.harar ni jirani sana na somalia
Proud mbulu 🤗
mbulu oyeee
Oyee one ☝️ blood 🩸
Nimefurahia sana historia yetu
Sayitaa, sayu, aidoma, aidori kweli kwa kuongea kiiraqw tabu sana hutaweza km cyo asili yako
Kwa kweli mzee uko vzr mungu akupe miaka mingi
Niko Sulle naas loowale aning muk ayare u loowatla
Baba kunaas loowaale adosi ta tlehh ka loowaur
Safi Sana Twapenda kabila letu Daima
@@immaculateslegaray3454 saitaa sayu idoma unapenda kula ugali wa kwante
Asant baba nimefurah napenda kabila langu naas
asili yangu oryo
I proup to be mwirak is among the fantastic language
Joel Nayi umeona ee
Najivunia kuwa muiraqw asante Mungu
Ohoh good
Naipenda sana kabila langu la iraqw❤
Laway oha
GAM kara sayta gan
SU
🚗🚔🛀🏮🎱🎱🛁
sayuuu
Sayuuu
Kabila langu niçe
Very nice my tribe
Am proud to be iraq
Maelezo haya Mimi na amini ni sahihi ,utafiti zaidi unahitajika
❤❤kabisa yangu
Barise ako garikahi agaahksiike
Saitaa sayuu
Naipenda kabila yangu ako gasi dakha lari qo dero ar ama ne akoos iwaqatiaka bara Qatar wak
Wairaq walitokea Iraq kwa asili Ethiopia walipitia na wengine wakabaki huko tafiti maana ya neno"Irqwar daaw" maana yake "Wairaq wa mashariki" walijiita hivyo walipofika Mbulu
oryo a saytaaa
Sayuuu
Wairq oyee
Oyeee
Hatutoki Irag matamshi ya jina TU sisi SI waarabu sisi ni waafrika ila kush land in Ethiopia
Muk dooren lawe ohaq
Oro atadawan ila ako dakha gasi tuw qatka neakook iyaandaka asm muku ang, neu hami tislay aak
🇮🇶🇮🇶
Nzr
Kuongea kwao sasa
Hahahahahahaaaaa unatakiwa uwe umeshiba
oohayodaa GAM kara sayutaa
Asayuui
😎
Jamani tuundeni kundi la wairaqw watsaap
Group lipo mda sana
@@iraqgirl2143 ningependa niwe na rafiki wa kike wa kiiraqw one blood , ngumu kupata ukiwa ughaibuni
@@iraqgirl2143 mambo sayitaa sayu
Liko wap
Ako history re qumege. Low uileisi