AHMED ALLY THANK YOU ZITAENDELEA , KWA JOBE NA WENGINEO ? | "HATUKUMTAKA MWAMNYETO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 50

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 3 месяца назад +2

    Hahahahahaha jizi ndani ya bodi yao anagawanya mshahara na Jobe per Omar 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 na bado nyie wasenge omba omba kwa babujiiiii sijui mumenielewa au mumebelewa nyie wote wanafiki ila Ahmed Ally big comedy ndani ya tanzania ana oscar nomineted

  • @Adolphine-if
    @Adolphine-if 3 месяца назад +5

    Ujinga tu, kwani nyie mna beki gani wa kumzidi Mwamnyeto ?
    Ni Mwamnyeto aliwakatalia kujiunga nanyi kwa sababu anaipenda sana Yanga yake, kumbuka ni naodha pia.

    • @Osamabilladeni
      @Osamabilladeni 3 месяца назад

      Waganga vp wameshapewa thank you 😂😂

    • @mwanaishamasoud
      @mwanaishamasoud 3 месяца назад

      mbona makasiriko mapema

    • @JohnsonWazaza
      @JohnsonWazaza 3 месяца назад

      Mjinga ni ww unaetoa matusi badala ya kutoa mawazo yako😂😂

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 3 месяца назад +1

    Sikia machine ya kuchekesha hy ana kwambia inonga labda kiwango kilishushwa alipo Simba 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mmbaya huyu anapiga mule mule .kisha mara ayubu kaingizie ndungu yake pia mchezaji basi hao simba moshikio imewafunuka kama misenge vile bodi mbovu munatarajia matokeo gani kwenye vita

  • @carrenbenson2111
    @carrenbenson2111 3 месяца назад +2

    Mmemuuza inonga hela kusajilia imepatikana

  • @VexMaizoOfficial
    @VexMaizoOfficial 3 месяца назад +2

    🧭🤳 from Msumbiji Mozambiki 🇲🇿 PEMBA CariaCo

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499 3 месяца назад +1

    Huyu jamaa chenga sana😂😂😂ila comedy sana

  • @dieyoung-nn4yp
    @dieyoung-nn4yp 2 месяца назад +1

    Ligi ianze tu

  • @sanifumedia
    @sanifumedia 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 3 месяца назад +5

    yanga timu yenu inahitaji mtu kama huyo kiwasemea...kutokana na mafanikio mlokuwa nayo....mngependa sana😊

    • @highcancara1993
      @highcancara1993 3 месяца назад +5

      Hapa Simba tumepigwa hamna msemaji huyu ni mburudishaji wa mitandao ya kijamii

    • @abdallahngoe
      @abdallahngoe 3 месяца назад +1

      Kwenye upande wa kusemea timu na kuhamassha mashabiki huyu jamaa kwa sasa hana mpnzani yanga na mafanikio yao bado kwenye matamasha na mechi kubwa hamzd simba angalia 1. Simba na yanga day 2.derby ya simba mwenyeji na yanga mwenyeji 3. Yanga na al ahly 4.simba AFL na mechi za caf

    • @stanslausrwiza5251
      @stanslausrwiza5251 3 месяца назад +3

      Hanauwezo wowote wakuisemea yanga maana yanga awataki waongo waongo

    • @abdallahngoe
      @abdallahngoe 3 месяца назад +1

      @@stanslausrwiza5251 wewe unaleta ushabiki badala ya uhalisia ila siku akija kwenu mnamkubali hata manara mlikataa hivihivi ila alipokuja kwenu mkamkubali. Ali kamwe hamfikii ahmed ally kubali ukatae

    • @MwajumaNgaruma
      @MwajumaNgaruma 3 месяца назад

      ​@@abdallahngoe aswaaaaa ,,akuna semaji kama ahmed

  • @JumaHUssi
    @JumaHUssi 3 месяца назад +2

    Huyu jamaa kweli anaipenda yanga.

  • @NoelaJohn-p5d
    @NoelaJohn-p5d 3 месяца назад

    Nyum mwik kwa kizungu daah

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 3 месяца назад +1

    Huyu kenge bwege kabisa

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 3 месяца назад

    Anaongea pointi sana

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 3 месяца назад

    Huyu jamaa ana faa kubewa master panadol wa mashabiki wa Simba a.k.a omba omba kwa nabujiii.Ahmed ujue mm ni yanga kindaki ndaki lakini ww ni mkali wallahi unawaponya akili za wana simba wengi mno .big up mr.panadol

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 3 месяца назад

    Sheikh Omar atupishe kidogo bhana😂 sema nyuma mwiko wazulumishi sana kudadadeki 😂

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 3 месяца назад

    SIMBA NI ILE ILE TU BADO TUPO TUPO SANA , WANAKUPA WAKATI MGUMU TU AHMED FUNDI WA AKILI.

  • @sebastianmboya6702
    @sebastianmboya6702 3 месяца назад +2

    Yanga bingwa tena

  • @hamadabdullah9702
    @hamadabdullah9702 3 месяца назад

    www mjing kwel wew mamyet unsmfannanish na inongs

  • @geralddeus1434
    @geralddeus1434 3 месяца назад

    Nyuma mwiko kwa kizungu😂😂

  • @sunnrisetz2873
    @sunnrisetz2873 3 месяца назад +2

    Nyuma mwikoo😂😂😂

  • @aderickrevelian4876
    @aderickrevelian4876 3 месяца назад

    Nimecheka sana na file la wadaiwa sugu

  • @KulwaMataba
    @KulwaMataba 3 месяца назад

    Hapo kwa chama ,Simba kaupiga mwingi sana

  • @carrenbenson2111
    @carrenbenson2111 3 месяца назад

    Jua yako wewe mwimba kaswida

  • @PeterGeorge-bi8jn
    @PeterGeorge-bi8jn 3 месяца назад +1

    😅😅😅

  • @storytownTv
    @storytownTv 3 месяца назад

    Thimba genge la wahuni...🎉😊

  • @hmanyinja
    @hmanyinja 3 месяца назад

    Chumba cha mafile ya nyuma mwiko

  • @shahilmmasai2989
    @shahilmmasai2989 3 месяца назад

    😂😂😂

  • @risekidy7660
    @risekidy7660 3 месяца назад

    Nyuma mwiko😂😂

  • @Alphertv
    @Alphertv 3 месяца назад

    From morogoro

  • @Alphertv
    @Alphertv 3 месяца назад

    From morogoro

  • @Alphertv
    @Alphertv 3 месяца назад

    Ni follow pls

  • @Alphertv
    @Alphertv 3 месяца назад

    Ni follow pls