Mungu hana dini. Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu. Wokovu ni Mpango wa Mungu kumtafuta mwanadamu. Pia Mungu anawatafuta watu watakaomwabudu Mungu ktk Roho na kweli.
Katoliki hawa abudu sanamu jamani . Wewe ukiweka picha zako na familia kwenye ukuta inamanisha unazi abudu hizo picha ? Hapana ila ni kumbukumbu tu. Nasio kuabudu
Tunaabudu wokovu uliotundikwa juu ya msalaba na siyo kuabudu sanamu. Hatutakatishwa tamaa na watu wasioelewa maana ya familia yetu ya yesu kristo, yeye ndo anajua tunachokifanya.
Kuna makanisa mengi yawa protestanti wana abudu pesa ijapokua hawaweki sanamu kanisani kwao ila vituko ambavyo vinapitika ndani ni hatari. Pastor hawezi kukupaka mafuta bila pesa mkononi hiyo pia ni byashara wanafanya kanisani. Ila hawaoni kama ni vibaya
Mie ni muanglikana ninaamini kanisa moja la mitume yani catholico na apostoliko (katoliki). Mapokeo yetu ni sawa na katoliki utofauti wetu ni kwamba tulijitoa chini ya utawala wa papa. Kwa jina lingine dhehebu letu ni anglo-catholic church.
Msingi wa imani unatoka kwenye neno la Mungu ,hata hiyo kutoka 20 inaenda mbali sana kusema usifananishe na kitu chochote cha mbinguni wala duniani,zile sanamu ni mfano wa watakatifu wa mbinguni na Yesu mwenyewe,pia siku ya ibada ya ijumaa kuu kuna wimbo unasema "huu ndio mti wa msalaba ,njoni,njoni tuabudu,"hii moja pia kuna kubusu msalaba .kubusu ni unyenyekevu wa hali ya juu sana kwenye sanamu .Heshima ya sanamu imetoka wapi,kwenye msingi upi, mtu unapoingia kanisani unapiga goti kuelekea either ule msalaba mbele au sakristia hii kama sio ibada ni nini,.Siku ya Xmas pango la mtoto Yesu siku hizi unapeleka na sadaka kabisa kwenda kumlaii mtoto yesu.ibada yoyote inakamilishwa na sadaka.Mara kuna groto watu wanaenda wanapiga goti wanafanya ibada au maombi mbele ya sanamu ya bikira Maria .hii ni ibada manake umefananisha sanamu na bikira Maria aliyeko mbinguni wakati hata hiyo kutoka imekataa
Kujilindaje, maana sanamu haiwezi kukufata na kukudhuru? Usisome biblia hovyo, Tito,3:5" hata bila kuchonga unaweza ukawa muabudu sanamu nayo unasemaje?
Unajichosha Sana kumfungulia maandiko mkatoliki maana waloma hawaitaki hiyo bibilia wanajifunza Neno ili kujenga hoja za kulipinga Neno Kwa hekima hata ushoga wanaukubali na kuunga mkono Kwa hekima
Kama tunaheshimu bendera ya nchi, kwani ni tunaiabudu? Wakatoliki hatuabudu sanamu. Uzuri mmojawapo wa wakatoliki hatuhangaiki na madhehebu mengine wanafanyaje ibada. Lakini nyie wa madhehebu mnahangaiiiiika na namna tunavyokuwa karibu na Mungu. Hatuhangaiki na mwislamu wala mprotestant wala mlokole. Tuko wenyewe na Mungu Baba katika nafsi tatu na sanamu zetu ambazo hatuziabudu bali tunaziheshimu na kuvuta hisia kutuleta karibu na Mungu.
Hawa waporoto mambo wanafanya makanisani kwao ni mabaya sana unaona pastor ana kugusagusa ama ana kupiga kofi nziko kichwani uanguke eti ni roho mtakatifu. Yaani watu wamedanganywa hadi mwisho
Yamefichwa machoni penu, lkn muda uliobaki nimchache yesu anarud kukichukua watakatifuwake, ndipo itakavo kuwa kilio na kusaga meno Mungu mwenyewe awasaidie macho ya Rohon, Zimewekwa kama kielelezo? Unaidanganya hata nafsi yako
Yani hizi hoja kwako hazijaeleweka kwako au ni tofauti tu ya Imani ndo inakufanya hivyo basi km ndo hivyo nahisi hata waalimu wako darasani wanapata tabu au walipata taabu na km si hivyo basi ni utofauti wa iman ndo unakufanya uwe mbishi kumbuka na huyo sio padre amejibu kwa ufasaha hivyo jua kua kanisa katoliki linawasomi na watu wenye weredi mkubwa juu ya maandiko matakatifu tofauti na madhehebu yenu mtu darasa la saba anakua mchungaji theolojia kaijua wapi? Anabaki kukalili vifungu tu ambavyo mtu yeyote anaweza ili mradi ajue kusoma na kuandika ndo maana hua mnatudhalilisha sana wakristo wenzenu mnaposhindwaga kujibu maswali na kuwapa ufafanusi wasio wakristo hasa mnapokua kwenye miadhara hasa ya kiislamu na kwa ujinga wenu mnaenda wenyewe kwenye miadhara hiyo huku mkijua hamna Elimu ya kutosha kuhusu maandiko na theolojia.
The Papacy is the little horn of Daniel 7 that came out of the Roman empire,look at their attire;They are attoned in gold,and in Purple and in scarlet and a blasphemous ring on their head.This little horn or the papacy accepts to be titled "Holy Father",a title that belongs to God almighty alone.The RCC has shed blood than any other institution on this planet as it is prophesized in the book of Revelation.And for sure it ruled for 1200 yrs as prophesized in the book of Revelations.In addition,the RCC has false teachings;Purgatory,salvation by works,worship of lyrics or the dead.Come out of her my people lest you partake in her delicacies.
Kwaukweli kanisa ambalo ni la ukweni dunia kote ni katolika. Hakuna hiyo vituko kanisani kwa katoliki. Pia waesilamu pia hawana hizo byashara ndani ya mosque
Katoliki haiwezi kuwa kanisa la kweli "kanisa la kweli lile linalotii amri zote za MUNGU Ikiwemo Sabato" na ushuhuda wa Yesu (imani ya Yesu) ufunuo 14:12,ufunuo 12:17 na ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii ufunuo 19:10 sasa niulize je! Kanisa katoliki linatii hayo maagizo na kudai wao wanawaita watu watakatifu ambao hawana hizo sifa.
Je neno tu katikisita papa cardinals vinapatikana wapi katika biblia tunaona ktk biblia mchungaji, mwinjilisti, mwalimu,nabii,mtume, je? Mumepata wapi hizo Huduma papa ,cardinals, katikista
Bila ya kuwepo Sanamu imaan na ibada haitakamilika?!!! Kuna ulazima/umuhimu gani wa kuwepo Sanamu?!! Kwanini iwepo/iheshimiwe Sanamu ya Yesu na Maria tu ?!! Kama ndivyo iweje/kwanini isiwepo na isiheshimiwe Sanamu ya Adam na Hawaa na mitume na manabii wengine walotangulia ?!!! Kuipigia goti Sanamu goti la unyenyekevu sio kuiabudu/kuitukuza (kuiabudu)?!!!
Namshukuru Mungu kwa kuzaliwa na wazazi wakatoliki. Naomba wakatoliki tusiyumbishwe na kelele za vyura
Ahsante San mtumishi wa mungu maan kwel wakatolik tunadharauliwa at tunaabudu sanamu mmh kwel mungu anawaona hao ambao wanasem sisi tunaabudu sanamu
Asante sana kwa ufafanuzi mzr nimezidi kuimarika kiimani kwali mimi nnajivunia kuwa mkatolic
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri
Amen leo nimebarikia na nitaenda kutangaza haya maelezo kwa hawa watu ambao wanatusumbua
Najivunia Sana kuwa mkatoriki🙏🙏🙏🙏
Sanamu linatoka italy linanunuliwa hi hatari kwa wazungu dhambi
Ahsante sana Ila sikio la kufa halisikii dawa
Mungu hana dini. Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu. Wokovu ni Mpango wa Mungu kumtafuta mwanadamu. Pia Mungu anawatafuta watu watakaomwabudu Mungu ktk Roho na kweli.
Mti wenye matunda hupondwa na makota hata mawe,nashukuru ee baba Kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili ukawafunulia watoto wachanga
Asant sana nimefamu kapisa shukurani
Katoliki hawa abudu sanamu jamani . Wewe ukiweka picha zako na familia kwenye ukuta inamanisha unazi abudu hizo picha ? Hapana ila ni kumbukumbu tu. Nasio kuabudu
Tunaabudu wokovu uliotundikwa juu ya msalaba na siyo kuabudu sanamu. Hatutakatishwa tamaa na watu wasioelewa maana ya familia yetu ya yesu kristo, yeye ndo anajua tunachokifanya.
Kuna makanisa mengi yawa protestanti wana abudu pesa ijapokua hawaweki sanamu kanisani kwao ila vituko ambavyo vinapitika ndani ni hatari. Pastor hawezi kukupaka mafuta bila pesa mkononi hiyo pia ni byashara wanafanya kanisani. Ila hawaoni kama ni vibaya
Umeona chunguzeni mengi mtayajua ni uongo biashara tu
Nikweli tunasemwa san na walokole
Acheni kusujudia sanam msujudie bwana mungu peke yake
Mie ni muanglikana ninaamini kanisa moja la mitume yani catholico na apostoliko (katoliki). Mapokeo yetu ni sawa na katoliki utofauti wetu ni kwamba tulijitoa chini ya utawala wa papa. Kwa jina lingine dhehebu letu ni anglo-catholic church.
Hayo maneno utayasema siku hiyo
Waaabudu sanamu
Msingi wa imani unatoka kwenye neno la Mungu ,hata hiyo kutoka 20 inaenda mbali sana kusema usifananishe na kitu chochote cha mbinguni wala duniani,zile sanamu ni mfano wa watakatifu wa mbinguni na Yesu mwenyewe,pia siku ya ibada ya ijumaa kuu kuna wimbo unasema "huu ndio mti wa msalaba ,njoni,njoni tuabudu,"hii moja pia kuna kubusu msalaba .kubusu ni unyenyekevu wa hali ya juu sana kwenye sanamu .Heshima ya sanamu imetoka wapi,kwenye msingi upi, mtu unapoingia kanisani unapiga goti kuelekea either ule msalaba mbele au sakristia hii kama sio ibada ni nini,.Siku ya Xmas pango la mtoto Yesu siku hizi unapeleka na sadaka kabisa kwenda kumlaii mtoto yesu.ibada yoyote inakamilishwa na sadaka.Mara kuna groto watu wanaenda wanapiga goti wanafanya ibada au maombi mbele ya sanamu ya bikira Maria .hii ni ibada manake umefananisha sanamu na bikira Maria aliyeko mbinguni wakati hata hiyo kutoka imekataa
1YOHANA5:21"WATOTO WADOGO JILINDENI NAFSI ZENU NA SANAMU!"
Kujilindaje, maana sanamu haiwezi kukufata na kukudhuru? Usisome biblia hovyo, Tito,3:5" hata bila kuchonga unaweza ukawa muabudu sanamu nayo unasemaje?
Unajichosha Sana kumfungulia maandiko mkatoliki maana waloma hawaitaki hiyo bibilia wanajifunza Neno ili kujenga hoja za kulipinga Neno Kwa hekima hata ushoga wanaukubali na kuunga mkono Kwa hekima
Pongezi kwa kuanzisha hii channel
hata wanaosema tunaabudu sanam wanaabudu wamejfcha kwa waganga na matambiko yao huko lakin hawajion
Maelezo yanajitoshereza kwa asiye na mihemko Atakuwa ameelewa vizuri! Na kama Kuna ubishi Bado ni vyema akafika na kuishuhidia hiyo Ibaada ya sanamu
Soma Ezekiel:8
Catholic forever
Mimi ni mkatoliki ndanii, na huwa namwabudu mungu.
Kama tunaheshimu bendera ya nchi, kwani ni tunaiabudu? Wakatoliki hatuabudu sanamu. Uzuri mmojawapo wa wakatoliki hatuhangaiki na madhehebu mengine wanafanyaje ibada. Lakini nyie wa madhehebu mnahangaiiiiika na namna tunavyokuwa karibu na Mungu. Hatuhangaiki na mwislamu wala mprotestant wala mlokole. Tuko wenyewe na Mungu Baba katika nafsi tatu na sanamu zetu ambazo hatuziabudu bali tunaziheshimu na kuvuta hisia kutuleta karibu na Mungu.
Imeandikwa usijifanyie sanam ya kuchonga, na pia sheria ya BWANA haibadiliki zaburi 89:34
Kwa nini masanamu yana kaa ndani ya kanisa na kwanini wanabusu misalaba wenye picha ya yesu
Thank you
1KOR.6:9-10"AU HAMJUI YA KUWA WADHALIMU HAWATAURITHI UFALME WA MUNGU?MSIDANGANYIKE; WAESHARATI HATAURITHI UFALME WA MUNGU,WALA WAABUDU SANAMU,WALA WAZINZI,WALA WAFIRAJI,WALA WALAWITI,WALA WEVI,WALA WATAMANIO,WALA WALEVI,WALA WATUKANAJI WALA WANYANG'ANYI!"
Hawa waporoto mambo wanafanya makanisani kwao ni mabaya sana unaona pastor ana kugusagusa ama ana kupiga kofi nziko kichwani uanguke eti ni roho mtakatifu. Yaani watu wamedanganywa hadi mwisho
Kanisa katoloki halibabaiki
Baba nimeelewa sana
Ushindwe kabisa
Nikweri
Kabisa la kweli ni katoliki, hayo mengine tiamaji tiamaji, siasa tupu, hawana litrujia ya kweli
Ahsante sana kwa Mafundisho haya kwani nimejifunza na kunitia nguvu ya kuweza kujibu kama nikikutana na swali kama hili. KRISTO.
Yamefichwa machoni penu, lkn muda uliobaki nimchache yesu anarud kukichukua watakatifuwake, ndipo itakavo kuwa kilio na kusaga meno Mungu mwenyewe awasaidie macho ya Rohon,
Zimewekwa kama kielelezo? Unaidanganya hata nafsi yako
Uwe na uhakika na UBISHI wako mpendwa
Yani hizi hoja kwako hazijaeleweka kwako au ni tofauti tu ya Imani ndo inakufanya hivyo basi km ndo hivyo nahisi hata waalimu wako darasani wanapata tabu au walipata taabu na km si hivyo basi ni utofauti wa iman ndo unakufanya uwe mbishi kumbuka na huyo sio padre amejibu kwa ufasaha hivyo jua kua kanisa katoliki linawasomi na watu wenye weredi mkubwa juu ya maandiko matakatifu tofauti na madhehebu yenu mtu darasa la saba anakua mchungaji theolojia kaijua wapi? Anabaki kukalili vifungu tu ambavyo mtu yeyote anaweza ili mradi ajue kusoma na kuandika ndo maana hua mnatudhalilisha sana wakristo wenzenu mnaposhindwaga kujibu maswali na kuwapa ufafanusi wasio wakristo hasa mnapokua kwenye miadhara hasa ya kiislamu na kwa ujinga wenu mnaenda wenyewe kwenye miadhara hiyo huku mkijua hamna Elimu ya kutosha kuhusu maandiko na theolojia.
Uje Kansas katoliki
Kwel
Ivy
Uliskia wapi
Mnaabudu masanamu makafiri nyie
Mungu aturehemu.
Tafahuti ya YAHWEH NA MUNGU ??.
Dahhh ni ukwel kabisa kanisa katoliki ni Safi,sema shetani anatumia uzuri wake kupotosha watu...enyi ulimwengu sikieni ukweli msiwe wagumu
Utoto
Ukipiga tu magoti mbele ya Sanam ya picha muiitayo yesu na msalaba ni kuiabufu Tisha,nyie tunawajua wadanganye tu.
The Papacy is the little horn of Daniel 7 that came out of the Roman empire,look at their attire;They are attoned in gold,and in Purple and in scarlet and a blasphemous ring on their head.This little horn or the papacy accepts to be titled "Holy Father",a title that belongs to God almighty alone.The RCC has shed blood than any other institution on this planet as it is prophesized in the book of Revelation.And for sure it ruled for 1200 yrs as prophesized in the book of Revelations.In addition,the RCC has false teachings;Purgatory,salvation by works,worship of lyrics or the dead.Come out of her my people lest you partake in her delicacies.
Mbona padri hubusu msalaba? Ama biblia
Ni kweli kanisa la katoliki wako kwa Illuminati?
Kwaukweli kanisa ambalo ni la ukweni dunia kote ni katolika. Hakuna hiyo vituko kanisani kwa katoliki. Pia waesilamu pia hawana hizo byashara ndani ya mosque
Sii kweli omba ufunuo kwa mungu
Katoliki haiwezi kuwa kanisa la kweli "kanisa la kweli lile linalotii amri zote za MUNGU Ikiwemo Sabato" na ushuhuda wa Yesu (imani ya Yesu) ufunuo 14:12,ufunuo 12:17 na ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii ufunuo 19:10 sasa niulize je! Kanisa katoliki linatii hayo maagizo na kudai wao wanawaita watu watakatifu ambao hawana hizo sifa.
Ni nani aliye waruhusu kutumia sanam nyie? Ikiwa Mungu kakataza?
Mpaka hapo hujui maandiko ila umekalili mashairi na kelele za mchungaji wako.
Je? Anayeabudiwa haheshimiwi? Ikiwa kama sanamu zinaheshimiwa.tu
REJEA nimeelezea Lengo la sanamu kuwepo kanisa katoliki
Hakuna mahali MUNGU Katoa maelekezo sanamu kuwepo makanisani hata mtume paulo mwenyewe alifadhaika sana kuona mji wa rumi umejaa masanamu.
Je neno tu katikisita papa cardinals vinapatikana wapi katika biblia tunaona ktk biblia mchungaji, mwinjilisti, mwalimu,nabii,mtume, je? Mumepata wapi hizo Huduma papa ,cardinals, katikista
Hatuabudu sanamu tuna abudu mungu aliye hai
Kwani Kuna tofauti GANI kati ya Papaa, father, Tata, dady!
AU ni ipi tofauti kati ya
Rabi, masiha, teacher, mwalimu, KATEKISTA,
Usihangaike na LUGHA
Watakujibu sasa
@@ijueimanikatoliki980 papa ni jina kwa lugha gani
Bila ya kuwepo Sanamu imaan na ibada haitakamilika?!!!
Kuna ulazima/umuhimu gani wa kuwepo Sanamu?!!
Kwanini iwepo/iheshimiwe Sanamu ya Yesu na Maria tu ?!!
Kama ndivyo iweje/kwanini isiwepo na isiheshimiwe Sanamu ya Adam na Hawaa na mitume na manabii wengine walotangulia ?!!!
Kuipigia goti Sanamu goti la unyenyekevu sio kuiabudu/kuitukuza (kuiabudu)?!!!
Sasa wewe sjui unaakil gan umetajiwa vitu vinavyotakiwa katka kua bd sanam
Dini ni mbili tu ya ukweli hapa duniani num 1 ni katolika na num 2 ni muslim .
Ni kweli hizo ni dini za hapa duniani siyo dini za MUNGU Wa kweli