JE, DIVAI AU MVINYO NI SAHIHI KUTUMIKA KANISANI?(EKARISTI TAKATIFU sehemu ya pili- part: 2)
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Kanisa katoliki halihamasishi Wala ku-intertain ulevi Wala unywaji wa pombe KWA namna yeyote ile
hauruhusiwi na Wala haulazimishwi kunywa au kutokunywa pombe au MVINYO!
(tumsifu Yesu kristu..🙏)
Asante kwa mangamuzi mazr maana malokole yana yumbisha sana baadhi ya wakiristu wasio kua na msimamo
Asante kwakutusaidia pia sisi tunaenda kufunza wengine
Amina sana, asante sana, barikiwa sana.
Mahubiri, mazuri juu ya ulevi na mvinyo, kabisa katoliki tuko imara katika Imani ya kuazimisha mafumbo ya Imani, divai, na mkate
Nilikua natafuta haya maandiko matakatifu sana
Zitambueni njia anazo tumia shetani kuteka watu ,hizi zote ni njia za shetani ni nani aliye tumia kileo hata akasimama sawa sawa kwenye njia yaYesu?
Kwanini mwakumbatia anasa ambazo humo shetani huteka watu?
Hamira inalewaesha hata kama inauchachu hulewi inayo katazwa kwa kua inapoteza akili na kua fujo au kuua au kubaka ndio imekatzwa pia hasara unapoteza pesa ndio ikaharamishwa sio mandazi duh hata yesu ni zabibu sio kilevi nabee haezi kunywa pombe unamwambia mtu anywe kiasi ndio mana bar nyingi