Highlights | AFC Leopard 0-2 Gor Mahia | FKF Premier League 07/10/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • MASHEMEJI DERBY: Magoli mawili kutoka kwa Benson Omalla dakika ya 21 na 56 yameipa ushindi wa 2-0 Gor Mahia dhidi ya AFC Leopards katika #MashemejiDerby Ligi Guu ya Kenya #FKFPremierLeague , game ikichezwa kwenye Dimba la Moi Kasarani, jijini Nairobi.
    Mechi ilikuwa LIVE #azamTV kupitia chaneli ya #AzamSports3HD

Комментарии • 134

  • @masoudtwalib6413
    @masoudtwalib6413 11 месяцев назад +3

    Well done Azam TV,bila kusahau Shirikisho la Mpira la Kenya, tunakwenda kuwa Ligi bora ukanda huu wa East Africa, wakenya nunueni Visimbuzi vya Azam nchi nzima,ili muone faida ya itokanayo na Mpira,.kuna uchumi mkubwa kwenye Football.
    Lkn lazima apatikane mtu wa kuutangaza kama vile afanyavyo AZAM.

  • @user-ek9rw5vd6n
    @user-ek9rw5vd6n 11 месяцев назад +13

    Derby nyepesi Sana Haina watu🇹🇿🇹🇿 njoo tuwafundishe

    • @otungalarry951
      @otungalarry951 11 месяцев назад +3

      Mnapopitia tulipitia miaka nyingi nyuma...tangu lini uliona MTz anamfunza mkenya??wazimu hio.. Kenyans will be ahead of you guys 100 years and you can take it to the Bank!!

    • @chacha-255
      @chacha-255 11 месяцев назад +2

      ​@@otungalarry951 Derby ya Tanzania Yanga vs Simba ni unfair kuilinganisha na Kenya, hata Azam vs Singida bado, labda Mashujaa vs Geita zitalingana na Derby ya Kenya, just be humble and accept to be mentored, take a chill pill

    • @thadeylyimo9772
      @thadeylyimo9772 11 месяцев назад +1

      ​@@otungalarry951Simba na Yanga ziko kwenye caf champion league group stage. Sema Sasa lini mliwahi kumwona gor na leopard kuza kufika hatuna Kama hizo... Tz tuna nafasi ya timu nne kwenye michuano ya Africa... kwa Mara ya kwanza Africa super cup. Mechi ya kwanza Simba vs Al ahaly 20/10/2023 .. mpaka Kenya mje kuwa na timu ya kucheza super cup ni miaka 100 ijayo..
      Tanzania league is no. 5 in Africa... Kenya league ata top 20 in Africa hampo... Nyie labda kwenye riadha..

    • @otungalarry951
      @otungalarry951 11 месяцев назад +1

      @@thadeylyimo9772 Gor ndio team ya Africa mashariki kuwai kushinda Hilo kombe mwaka wa 1987 na hadi wa leo hamna timu kwenye Africa mashariki imewai pata ushindi huo,kushiriki sio jambo bali ni kushinda kombe...najua hukua inajua soccer ni nini...

    • @otungalarry951
      @otungalarry951 11 месяцев назад

      @@thadeylyimo9772 Fala wewe soma historia ya mpira ndio uje ubweke,mbweha we...usione Simba kanyeshewa ukadhani ni panya!
      Timu gani hapo Tz yaweza kuilaza timu ya Kenya hadi wa Sasa??
      Midomo chiriku mingi!!

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 11 месяцев назад +4

    wapenda soka tz tunayo furaha kuona azam tv mnazidi kutanua masoko na kufika mbali zaidi

  • @almuhtaramzamil
    @almuhtaramzamil 11 месяцев назад +2

    Baraka Mpenja wa Kenya yupo vizuri

  • @almuhtaramzamil
    @almuhtaramzamil 11 месяцев назад +6

    Kenya wana ligi bora sana migogoro ya mara kwa mara ndio inarudisha nyuma ligi yao lakini ujio wa Azam Tv na uongozi imara wa KFF bila ya shaka ligi itavutia zaidi

  • @imteddy4103
    @imteddy4103 11 месяцев назад +3

    Cameras 💥💯

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo 11 месяцев назад +2

    Azam TV sasa mmetisha mwende na Uganda, Rwanda, n.k

  • @athumanmsuya2688
    @athumanmsuya2688 11 месяцев назад +2

    Good start jirani zetu hata sisi watanzania tulianza hivyo Cha msingi nunueni visimbuzi vya Azam tv visambae nchi nzima mtangaa yajayo

  • @halimaramadhan9650
    @halimaramadhan9650 11 месяцев назад +2

    Cameras ziko sawa 💯

  • @erickjeremiah255
    @erickjeremiah255 11 месяцев назад +1

    Nafurahi kuskiaa mtoto wa mjomba Kakazema akiwa kwenye bomba la Azam Tv , ninefurahii sana.
    Nakukubali kaka zema tangu ukiwa na beki wa kupanda na kushuka, badae ukaunda team ya Vicent voyo na sasa kwenye kideo

  • @liliangodwin5138
    @liliangodwin5138 11 месяцев назад +2

    Nipeni like zangu Leo mm wakwanza

  • @klintz9640
    @klintz9640 11 месяцев назад +2

    Tanzania na dharau mko top
    Haina ile

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 2 месяца назад

    Wakenya jirani zetu vipi jamani? Timu ziko good likini kwa stadium hamuingii. Sio fresh kabisa

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 11 месяцев назад +2

    Nimefurah kumuona PS Patrick sibomana

  • @aziziatumanially424
    @aziziatumanially424 11 месяцев назад +3

    Ila wa kenya mpira kama sio sana wao mbio ndio wanatuzid na nafikil wao mbio wanapata uzoefu kwenye kukimbia vita naamin na sisi kikichafuka mwaka mmoja tutapata wakimbiaji wazuri kama kenya.. kama hii ndio big match izo za kawaida zipoje ila nunuen visimbuzi muone mpira wa kibongo ulivyo ili muwatie tamaa vijana wenu wafik bongo na pia muongeze furahaa ya maisha kwa kutazama mpira mzuri.. msikasilike na sisi tulitokea uko ila na marefa wenu wajue kua sahiz kuna camera maana mmoja apo kajichokonoa kamasi alafu kalama najaua alijisahau ila mmjue hivo alafu nimesema mengi adi sielew nasema nini😊

    • @festomwakabulutu3589
      @festomwakabulutu3589 11 месяцев назад

      😂😂

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 10 месяцев назад

      Unawajua wakenya wewe?😂😂😂😂 ni wabishi na hawapendi ukweli wao ni majivuno tu

    • @HansChuma
      @HansChuma 10 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂 mshenzi xana ww😂😂😂😂😂

    • @atmblaise
      @atmblaise 7 месяцев назад +1

      Tanzania mna majivuno ila hakuna cha kudhihirisha hayo majivuno mdomo tu bla bla

    • @HansChuma
      @HansChuma 7 месяцев назад

      @@atmblaise hahahahahaha usipanic jiran kumbuka pia ww ni shemeji yangu kwa dada zenu watanzania wanapenda kuwatania wakenya cz nyinyi kama hvyo mpo haraka kukasirika bado hamjawajua watanzania sema watanzania wameshawajua nyinyi hapo sasa......Hahahahahahah

  • @ericksonodhiambo9964
    @ericksonodhiambo9964 11 месяцев назад +5

    Watz mnaleta dharau lakini mara ya mwisho hawa Gor mahia walikutana na simba na yanga si matokea mnayo ama mmesahau?

    • @peterkapel5332
      @peterkapel5332 11 месяцев назад +1

      Leta hiyo Gormahia ikutane na Yanga au Simba alaf matokeo utaniambia 😁😁😁

    • @peterkapel5332
      @peterkapel5332 11 месяцев назад

      Unakumbuka Azam Fc alimfanya nini Gormahia Cecafa. Unakumbuka Mbao FC alifanya nini Gormahia Sportpesa Cup?

    • @ericksonodhiambo9964
      @ericksonodhiambo9964 11 месяцев назад +1

      @@peterkapel5332 Nakumbuka bro wewe unakumbuka Bandari alivyomfanyia Simba na je unakumbuka kariobangi Sharks alivyomtesa Yanga Sportpesa cup

    • @JacksonLaizer-zv4se
      @JacksonLaizer-zv4se 11 месяцев назад

      Walete sai

    • @kalinyoboy3393
      @kalinyoboy3393 11 месяцев назад +1

      Oya wee usiongee sana sasambona timu zenu za kenya hazichezi mashindano ya ligi ya mabingwa Africa😂😂

  • @JohnMnary-nn7ei
    @JohnMnary-nn7ei 11 месяцев назад +5

    Mtangazj unavaib la kutosha unafaa uje kutangaz derby ya simba na yanga aseee

  • @mwelimazozo9691
    @mwelimazozo9691 11 месяцев назад

    Kaz nzur

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 11 месяцев назад +3

    Sasa derby ya Kenya ya nchi nzima ni Nan na Nan maana Sion mashabiki kha!

    • @atmblaise
      @atmblaise 7 месяцев назад

      Ati nchi nzima hiyo derby ya wajaka na waluhya 😂

  • @user-yp2he1rs1y
    @user-yp2he1rs1y 11 месяцев назад

    Waoooo

  • @ArnoldRwegasira-hp9gt
    @ArnoldRwegasira-hp9gt 11 месяцев назад +1

    Namuona PS mwamba sana huyu

  • @StevenKapugi-oh3bx
    @StevenKapugi-oh3bx 11 месяцев назад +1

    Jmn game nzuri ila watu akuna

  • @mpigadaud4180
    @mpigadaud4180 11 месяцев назад +1

    Sibomana si ndie ilimshinda League ya bongo kumbe kenya vyepesi saana anawachukua ivyo

  • @njungujames7501
    @njungujames7501 11 месяцев назад +1

    PS machine namuona apo

  • @ezekielmichael9431
    @ezekielmichael9431 11 месяцев назад +1

    Aaah derby imepoa haina shangwe kabisa ila kwa sababu ya Azam yetu kutoka Tanzania nchi ya mpira mkubwa nani kenya mtasogea sogea

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 11 месяцев назад +2

    Kenya bdo sana

    • @ericksonodhiambo9964
      @ericksonodhiambo9964 11 месяцев назад

      Bado lakini tukikutana hua tunawakalisha

    • @MudathiriMahr-df2wg
      @MudathiriMahr-df2wg 11 месяцев назад +1

      @@ericksonodhiambo9964 labda ukalishe kakamega😂😂😂😂

    • @groovy5357
      @groovy5357 11 месяцев назад

      @@MudathiriMahr-df2wgna this time mshinde ata mechi moja AFCON msiende tu holiday

    • @SayariStudio
      @SayariStudio 11 месяцев назад

      Bado nini?

    • @mkohoexperience7322
      @mkohoexperience7322 11 месяцев назад

      Goli la pili ni offside

  • @elishakitomari587
    @elishakitomari587 11 месяцев назад +2

    Hahaha nikama hiefu na singida wanavyo cheza😂😂😂😂😂😂😂

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 11 месяцев назад +1

    golikipa nae alikuwa anaenda wapi goli la kwanza

  • @user-rj3ms4qx6l
    @user-rj3ms4qx6l 11 месяцев назад +1

    Ligi ya kenya haina mvuto ndomana wachezaji wenu wanakimbilia tz kwenye hela na mpira mzuri😂😂😂😂

  • @MudathiriMahr-df2wg
    @MudathiriMahr-df2wg 11 месяцев назад +2

    Yaan hzi team zote zikikutana na Azam Fc n 8 bila

    • @davidmwangi6891
      @davidmwangi6891 11 месяцев назад +2

      Umesahau hakuna team ya Tanzania ishai chukua sportpesa cup? Team za Tanzania tunawaachia karibangi sharks na kakamega homeboyz

    • @kelvinmoses5232
      @kelvinmoses5232 11 месяцев назад +1

      ​@@davidmwangi6891ishiii,, unasemajee broo atii nn,,?? Jichanganye uonee iyoo gor mahia yenuu ata kw mtibwa haifui dafu😂😂😂😂😅

    • @ericksonodhiambo9964
      @ericksonodhiambo9964 11 месяцев назад +1

      Hii ndo ile Gor ilipiga yanga magoli manne ikawapiga Simba magoli mawili ama umesahau

    • @MudathiriMahr-df2wg
      @MudathiriMahr-df2wg 11 месяцев назад +2

      @@ericksonodhiambo9964 hahaaaaaaa 🤣🤣 kwahyo unafananisha kifo na usingizi acha hzo n ww yaan labda Ihefu kidogo mnawez mkaichalenge nyie hta kweny Raman ya soccer la Africa hampo Bora Uganda kidogo

    • @MudathiriMahr-df2wg
      @MudathiriMahr-df2wg 11 месяцев назад +1

      @@kelvinmoses5232 kabisa waambie mna wanapenda kubisha kila ktyu

  • @Thekidp3702
    @Thekidp3702 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 Bora tu host Afcon pekeetu 🇹🇿(Jokes)

  • @mkohoexperience7322
    @mkohoexperience7322 11 месяцев назад

    Tunaomba jaman majirani tupige na Tanzania mechi ya kirafiki kwann tunaenda mbali

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 11 месяцев назад +1

    Derby ni moja tu East Africa....yani Derby ya Kenya uwanja mtupu

    • @ericksonodhiambo9964
      @ericksonodhiambo9964 11 месяцев назад

      Hujui maana ya derby,nani kakuambia derby ni uwanja kujaa

    • @MudathiriMahr-df2wg
      @MudathiriMahr-df2wg 11 месяцев назад +1

      @@ericksonodhiambo9964 Deaby ni kuwa na mashabiki kumi🤣🤣🤣🤣

  • @AllegahMelk
    @AllegahMelk 11 месяцев назад +3

    Hongereni kenya hata sisi 2013 tulikuwa kwenye hii level ko mtatufikia tu tz

    • @luckygmdegela8477
      @luckygmdegela8477 11 месяцев назад

      watatufikia tukiwa tumesinzia au 😂

    • @unghetokhalid75
      @unghetokhalid75 10 месяцев назад

      Wakati huo tulikuwa na Supersport na ligi ya Kenya ilikuwa haishikiki😅

  • @georgexavier4966
    @georgexavier4966 11 месяцев назад

    The second goal was offside

  • @unghetokhalid75
    @unghetokhalid75 11 месяцев назад +2

    Gor mahia has a continental title while Tanzania as a country has never won an Afcon match 😂 . levels 😅

    • @luckygmdegela8477
      @luckygmdegela8477 11 месяцев назад +2

      nilijua tu ,kuna mkenya ataongea hizi hadith za upuuz

    • @MudathiriMahr-df2wg
      @MudathiriMahr-df2wg 11 месяцев назад +2

      @@luckygmdegela8477 ss hyo Gor mahia nayo n team 🤣🤣🤣 kwanz kubishana na nyie n dharau sn mna ss tupo mbali sn

    • @luckygmdegela8477
      @luckygmdegela8477 11 месяцев назад +1

      @@MudathiriMahr-df2wg tuko mbali sawa na mbingu na dunia ,,yaani kenya kosoka wanahitaji utulivu sana sisi tuko mbali sana

    • @peterkapel5332
      @peterkapel5332 11 месяцев назад

      1 Simba or Yanga player is equal to Leopards and Gormahia players and Staffs Combined 😁😁😂😂 . Levels

  • @user-hk2om2ef7m
    @user-hk2om2ef7m 11 месяцев назад +1

    Huu ni mwanzo

  • @kalinyoboy3393
    @kalinyoboy3393 11 месяцев назад

    Dah boli kali sana ila namona mchezaji wetu wa zamani aliekuwa mchezaji wa yanga

  • @alltanzania
    @alltanzania 10 месяцев назад

    Poor refereeing decisions all over. Second goal offside and penalty denied at the end for Gormahia

  • @groovy5357
    @groovy5357 11 месяцев назад +1

    watz mdomo tu
    hio nguvu tumieni kusearch gor vs yanga ama gor vs simba

    • @luckygmdegela8477
      @luckygmdegela8477 11 месяцев назад

      ndio shida wa kenya hampendi kuambiwa ukweli

    • @peterkapel5332
      @peterkapel5332 11 месяцев назад

      Na wewe hiyo Nguvu katumie kusearch Simba Vs Wydad, Al Ahly etc. Yanga Vs Tp Mazembe, USM algier etc. We are on a different level

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 10 месяцев назад

      Sisi tuna search Yanga vs Alger,Simba vs Ahly 😂😂😂

    • @groovy5357
      @groovy5357 6 месяцев назад

      ​@@Thekidp3702 ukimaliza search wabingwa wa klabu Afrika, then utafute simba na Yanga 😂😂 sijasema utafute Gor😂 tafuta simba na yanga

  • @hamadmohamed3056
    @hamadmohamed3056 11 месяцев назад +2

    Hii ni Darby ya Kabila mbili sio Darby ya NCHI ndio maana the rest of the Kenyans they don't know even what is going on😂😅mimi mwenyewe as a Kenyan I'm NOT interested 😅😅

    • @joshuachimwejo5892
      @joshuachimwejo5892 11 месяцев назад

      Na hiyo ndio shida yenu wenzetu, itawachukua muda mrefu sana kuungana na kupata ligi bora. Huku kwetu michezo inatuunganisha sana waTZ, kuanzia watoto, wanaaume mpaka wanawake, kila mtu anazungumzia mpira.

    • @SayariStudio
      @SayariStudio 11 месяцев назад

      And never be interested, just focus on supporting your European teams ,we haven't missed you at all

    • @hamadmohamed3056
      @hamadmohamed3056 11 месяцев назад +1

      @@SayariStudio Now a days even European Teams i don't support them even watching at all brother because they support LGBTQ 😭🤔
      Now a days I like SIMBA SC from Tz and Tanzanian league ❤️✅🏃😂🤣

    • @hamadmohamed3056
      @hamadmohamed3056 11 месяцев назад +1

      @@joshuachimwejo5892 sisi tunazungumzia vp tutapandisha Uchumi wa Kenya Mpira kidooogo siasa Kenya imetawala inazungumziwa everytime everyday
      Ruto anazingua ndio maana maandamano hayaishi 😂🤣🤣😂🏃✅ na katiba inaturuhusu tuandamane

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 10 месяцев назад

      Wakenya kwa Ukabila Tribalism bado mna mambo ya kizamani sana

  • @joramlaizer3941
    @joramlaizer3941 10 месяцев назад

    Uyu omala yanga tumchukue

  • @martinnassary587
    @martinnassary587 11 месяцев назад +1

    Ligi yenu nyepesi .mno kwa hiyo iyo ndo daby yenu? Mbona nyepesi sana

    • @ericksonodhiambo9964
      @ericksonodhiambo9964 11 месяцев назад

      Wewe ungecheza ama ni nyepesi kwa msingi gani?

    • @simonMchenchi-fe2ym
      @simonMchenchi-fe2ym 11 месяцев назад +1

      Hao wote wakiungana afu wakakutana na mziki wa Tabora utd wanaweza kula 5 Kwa mpira huo

    • @groovy5357
      @groovy5357 11 месяцев назад

      simba na yanga hazijawahi shinda Gor,,,tulia baba ,,,highlights ukitaka zipo yt na si kitambo sana

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 10 месяцев назад

      @@groovy5357 Azam kashawah kupiga Gormahia 😂😂😂😂😂

  • @pauljoackim2786
    @pauljoackim2786 11 месяцев назад +1

    KWA NN TFF YETU HAWANA CHAKI YA ALAMA UWANJANI INAPOTOKEA FAULO?????????????

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 11 месяцев назад

    Mnajitahid lakin lig ya Tanzania tamu zaid

    • @stephenochiengjakano
      @stephenochiengjakano 6 месяцев назад

      hiyo ligi ya tanzania haina kitu. leta hiyo simba ama yanga wacheze na Naivas fc uone vile watanyoroshwa

    • @ManpeloJ4
      @ManpeloJ4 6 месяцев назад

      ​@@stephenochiengjakanoaaahh weeehh unamjuwa simbaa?!!!