JUMA MAGOMA mzee wa yanga YUPO SAHIHI / JEMEDARI SAIDI AFICHUA UKWELI WOTE / INJINIA AACHIE NGAZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024

Комментарии • 135

  • @RaymondMwanza-xm4jf
    @RaymondMwanza-xm4jf Месяц назад +2

    Njaa ni mzigo na mwenye njaa hua hana kauli. Wanacho taka hao walio vurugika tayari hakito fanikiwa .Cha mtu ni Cha mtu na Cha MUNGU ni Cha MUNGU.Hizo mbinu walizo pewa za kuivuruga YANGA zimegonga mwamba.

  • @emanuelsikaona3347
    @emanuelsikaona3347 Месяц назад

    Du kazi ipo sana nimecheka kama chizi ,Naomba nikushauri Mahakama ni muhimiri kamili unatambulika kisheria pia kwenye katiba ya hii nchi umetajwa Magoma yuko sahihi kwamjibu wa kesi yeye Aliwashitaki wadhamini sio viongozi wa sasa but kwabahati mbaya mahamani alikuwa anahuria mtu 1mama karume Rita hawamtambui!!

  • @syliviamurondoro4690
    @syliviamurondoro4690 Месяц назад

    Ebu hersi njoo huku simba nguvu moja❤❤❤❤

  • @MariamKilimba
    @MariamKilimba Месяц назад +2

    uyo mzee tena atupishe tutamtoa kwa njia yoyote km ataendelea kulete ujinga wake km we magoma umetumwa sasa km ww ulikuwepo ulifanya nini acha ujinga ww magoma unataka kufa vibaya

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Месяц назад +1

    MATOPOLO MACHOGO FC NG'OMBE WA MAZIWA TU YAO NI MAJANI 😂😂😂😂😂😂 MZEE MAGOMA OYEEEEEE 😂😂😂😂😂😂 UBAYA UBWELA UBWELA NA BADO 😂😂😂😂😂😂

  • @manaseyona9260
    @manaseyona9260 Месяц назад +2

    Mmelaaniwa wote mnaotaka kuihujumu team

  • @bernardjohn6571
    @bernardjohn6571 Месяц назад +2

    Nabado anawakela sana akina jemedali na wanafiki wenzako

  • @ALLYBULULA
    @ALLYBULULA Месяц назад +2

    Inatakiwa hao wazee kqma wanakad ya wanachama wafutwe na wasiruhusiwe kufika kqngwan ktk ofis za yanga na wala ktk mechi za yanga

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Месяц назад

    Hatabeba mtu dhambi za mwenzie hili ni la kwenu Yanga wala siyo la upade wa pili haki ikidhihiri fisadi(batili inapisha njia)

  • @JustinSanga-ei8lo
    @JustinSanga-ei8lo Месяц назад

    Huyo mzeeee takataka mbwa Wana Yanga huyo mzeee Hafai kuishi Tumpotezeee mbwa huyu

  • @manaseyona9260
    @manaseyona9260 Месяц назад +1

    Hao wazeee hawana lolote. Wameona tim inazid kufanikiwa wao ndio waone kua uongozi haufai ..hii niupumbavu kwasabb hatakama wapewe wao uongoz hawawez kuiongoza yanga. Swali kipindi wapo wao uongozini walifika waapi. Naleo wanataka kuuihujumu tim.

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq Месяц назад

    Vicha nchi hii hawataisha kwakweli si wehu kweli

  • @manaseyona9260
    @manaseyona9260 Месяц назад +1

    Jemedar ni miongon mwawatu wanaopenda yanga isifanikiwe

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Месяц назад

      Jambazi dari ana chuki na husda kwa Yanga

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Месяц назад

      ​@@mohdkhatib223na wala hajifichi yaan yy na karia wanatamani yanga ipotee kabisa ili kusiwepo timu ya kuwasumbua

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Месяц назад

      @@fettiemaganza1484 lakini huyu jambazi dari hana akili, yeye muandishi wa habari na mchambuzi katika soka alitakiwa asionyeshe kupendelea timu yoyote hata kama ana timu yake anayoipenda. Angejifunza kwa wachambuzi akina Mwanduke wana timu zao na zinajulikana lakini kwenye uchambuzi hawaonyeshi kubezi katika timu yoyote wala kupendelea timu yoyote

  • @user-qi7px6nb8r
    @user-qi7px6nb8r Месяц назад +5

    Jemedari watu watakuchoka.Fanya mambo yako.Huyo mzee akipewa timu ataweza kuongoza? Hata sh Mia hana.Acheni watu wafanye kazi.Mpira ni pesa.Mambo ya wazee yamepitwa na wakati.

    • @JumbeOjaso
      @JumbeOjaso Месяц назад

      Usimuonee jemedari hiyo ni Hukumu ya kisutu, habari hii imeripotiwa kwenye kill media na wanahabari mama

    • @JumbeOjaso
      @JumbeOjaso Месяц назад

      Usimuonee Jemedari ,hii ni habari ya ukweli na wala siyo maneno yake ya kutunga.

    • @hassanabdala7383
      @hassanabdala7383 Месяц назад

      Uto walifurahia issue ya kilomoni sheria ni msumeno pambaneni na hali zenu mtapeli wajiengue

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt Месяц назад

      Basi muiambie mahakama hiyo ichukue team,tena Yanga ya sasa ni Moto

  • @bernardjohn6571
    @bernardjohn6571 Месяц назад +1

    Eng mnamuonea wivu jemedari mnafiki tu anamuonea wivu eng

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Месяц назад

    Jemedali mbona kawaida yake tunajua anachuki na team yetu kwa hiyo na yeye ni walewale

  • @AbdallahFaki-rd5qd
    @AbdallahFaki-rd5qd Месяц назад

    Yanga Wana utomvu wa macho

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Месяц назад +1

    Hersi Said akiondoka ndio kufeli Kwa Tanzania kwasababu hata usajili utakua batili mbeleni

  • @mazengojohn2090
    @mazengojohn2090 Месяц назад +1

    Huo ni uchawa uyo mzee ametumwa na simba

  • @josephmwangita7041
    @josephmwangita7041 Месяц назад

    Hao wazee n mamluki yananjaa zao yalizoea kula bila jasho yameshaona mtungi wapesa umejaaa yalikua wap na wakat wao waliifikisha wap tim yetu tim iliwashinda sasa imefanikiwa ya nataka tulud tuliko Toka tunachotaka mafanikio ya tim haijarishi ilikua vipi Yan ss watu weusi weusi had akili kwaza mshazeeka mtulie wachien vijana mubak kua washauli kama akili zenyee mnazo za kuishauli timu

  • @ExecutiveHouseKeeperElewana
    @ExecutiveHouseKeeperElewana Месяц назад

    Mmeona Yanga imepata mafanikiio mnaanza chokochoko. Hamtaweza kufanya lolote kwa yanga na Eng.Hersi ataendelea kuwa Rais wa Yanga hadi aseme mwenyewe amechoka.
    Hso waxee ni mamluki tu.
    Jenedar na ww kitu gani kinakuwasha washa hadi uingilie kwenye mjadala ambao hauna Tija kwako? Katiba ni kitabu kinaweza kubadilishwa within a minutes.
    Kaa mbali na Yanga jenedar

  • @user-ny7mi1ui4w
    @user-ny7mi1ui4w Месяц назад

    Kikundi Cha wahn mamaako na babaako bado tarehe 8,hamtutoi kwenye mchezo hata kidogo

  • @JanuariMchuno
    @JanuariMchuno Месяц назад

    Huyo mzee ni kolo asijitafutie kiki uzeeni atakufa vibaya

  • @195941233
    @195941233 Месяц назад

    Kiwango cha ujinga. Mara nyingi mkweli ni adui wa watu waovu. Hao wazee wawafungue akili wanachama. Ni kosa kubwa sana mbele ya sheria kutenda bila kufuata Katiba inayotambulika. Yanga walikuwa na haraka gani?

  • @festomartin6170
    @festomartin6170 Месяц назад

    Huyo mzee Magoma tutambonda kama ngoma

  • @KhamisKinobad
    @KhamisKinobad Месяц назад

    Akuna mcjambuzi nisiempenda kama jemedari

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 Месяц назад +1

    Nyiyi mnaombeza engineer Heres Saidi kaeni kimyaa kwanza mahakama ya kisutu na mpira wapi na wapiii? Mimi mwenyewe ni shabiki wa yanga kitambo mno ila sikuwa na furaha kushabikia yanga wala sikuwa naifuatilia yanga kiivyo ka ivi sasa nimefuraishwa sana na uongozi mzima wa yanga chini ya mhandisi Hersi Saidi yupo poa sana tena sana sana atutaki kusikia habari za wazee wanga wanga hao wachukue time pumbavu zao wametumwa upande wa pili na makolo na pesa wamepewa ili waivuruge yanga kwa taarifa yao mhandisi Heris saidi atoki na tutamlinda kama wao ni wazee wa yanga hata sisi huku ni wazee wa yanga tena ndiyo wachawi kuliko wao wasipo angalia atapotea mtu kimzaha mzaha maana kuna midude mikubwa yakiutisha tupo ata atujulikani tulipo ndiyo tuna tunamlinda huyo raisi wetu mpendwa wa Yanga Africa kwa mazuri yake aliyo yafanya atutaki siasa ktk foot Ball ivyo wakiiona hii coment wakae chonjo machifu tusije kuwafanyia mabalaaa ooh ooooh 🔥🔥🔥

    • @suleimanmwenyemvua995
      @suleimanmwenyemvua995 Месяц назад

      Hilo jambo dogo tu hao walishitaki hiyo timu siyo yao na hakuna atakaye kuwaunga mkono tuna taka furaha timu akabidhiwe nani baada ya kesi yao hiyo😊😊😊

    • @AllyFeruuz
      @AllyFeruuz Месяц назад

      Tuna maadui wengi ndani na nje ya timu kesi imefichwa siku zote na Sasa usajili wa jirani mbovu eti wanatoa hukumu kama ni Mimi we apewe wazee siku mbili tu wahudumie timu kule camp tuone

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Месяц назад

    Huyu jambazi dari si mchambuzi, na mpira haujui. Lina mihemko ya ukolo

  • @user-yf5rq1mx9v
    @user-yf5rq1mx9v Месяц назад

    Hatumtambui enjinia aondoke

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki Месяц назад

    Wanataka kula pesa ya gsm hao wazee tumewagundua wameshaziea kuihujumu yanga mahali alipo hersibna sisi tupo mbwa nyie nahata mkichukua form hatuwachagui washenzy nyie

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 Месяц назад

    HERS atawavuruga sana akili na bado aachie timu nyie mbna iliwashinda

  • @abdulazizmkondo7350
    @abdulazizmkondo7350 Месяц назад

    Maon yangu ni kuwapa nasaha hao wazee n jemedar kua wasihatarshe maisha yao hii ni Africa wataachwa wao lakin FAMILIA ZAO wanaweza kuzhatrsha kwaiy wachunge akili zao na bnadam

  • @AmonBukene-go9mz
    @AmonBukene-go9mz Месяц назад

    Hao wazee bora wafe ni wana simba wametumwa kutoka mwanza

  • @AllyGolota
    @AllyGolota Месяц назад

    Kwanza hao mnao wataja cyo wanachama wa yanga.nyie mnalorizungumzia hilo yote nyaa mnakusumbueni endereeni kutumika wala hamtutoi mchezoni njaaaaaaaaa itakuponzeni

  • @bernardjohn6571
    @bernardjohn6571 Месяц назад +1

    Wazee gani hao wachawii tu wametumwa na akina mkia fc na jemedali

  • @user-uc8ee8eq9m
    @user-uc8ee8eq9m Месяц назад

    jemedari wa usenge na sio habari kundu lake

  • @phirimrishomandari692
    @phirimrishomandari692 Месяц назад

    Ubaya ubwela!mambo ndiyo kwanza yanaanza. Tunywe mtori..........

  • @boscomalangalila
    @boscomalangalila Месяц назад

    Jemedari kirusi

  • @abdulazizmkondo7350
    @abdulazizmkondo7350 Месяц назад

    Namsih Jemedar kma ana njia nyengn y kupt rizk aach uchambuz utakmkost yy au familia yke astegemee kupta saport baad y mttz nimeon post nyng za vtish juu yake wtu na hasr z mpira huwambii kitu kam an mpenz n tim fulan aumie kimoy moy asjichngany wtu wabay dunia hii inatosha kw ushaur huu

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe Месяц назад

    Jemedari wewe ni CEO wa jkt ACHA kuongea utumbo kwako umekuweza?

  • @acreativefilms828
    @acreativefilms828 Месяц назад

    Yani Hao Wazee Wanachokitaka Watakipata

  • @johanesdeogratias5106
    @johanesdeogratias5106 Месяц назад

    😂😂😂 kwhy njia za kujiepusha na Vipigo vya5G zimeanza niwasaidie semen na Aziz' K kambaka mobeto

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 Месяц назад

    Yanga sio bora kama mnavyo dhani yanga ina umoja hata kwenye ubivu huu ndio ukweli wanabebana some time ni vizuri

  • @johnmwanja4476
    @johnmwanja4476 Месяц назад

    Viongozi Waporaji wa timu WAUMBULIWA na mahakama...Hukumu lazima itekelezwe

    • @AllyFeruuz
      @AllyFeruuz Месяц назад

      Lzm ufurahi sababu kipigo kinakuja kama kawaida

  • @HOLYCROSSPRIMARYSCHOOL1
    @HOLYCROSSPRIMARYSCHOOL1 Месяц назад

    Watwachie time ytu

  • @MsafiliNhabe-ll2vx
    @MsafiliNhabe-ll2vx Месяц назад +1

    Wazee hao wamejichanganya

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 Месяц назад

    Hersi anaongoza yanga kama yake hiyo sio halali lazima awache wazee waongoze timu

    • @JanuariMchuno
      @JanuariMchuno Месяц назад

      Wew Kuma kweli akuongoze wewe sio timu ya yanga

  • @RamadhaniMfaume-se9op
    @RamadhaniMfaume-se9op Месяц назад

    Wale wako sahihi waachie uongozi ili wafate katiba

  • @azamsp0rtshd2kiangi3
    @azamsp0rtshd2kiangi3 Месяц назад

    Sisi tunataka maendeleo ya yanga na matokeo huo uchawi wenu inasikitisha mmefungua kesi ya nini mnataka nini mnataka kutupiga mlete wachezaji wa mchongo tufugwe na Simba wanatumika hawa tuwalaani.

  • @jumaali9243
    @jumaali9243 Месяц назад

    Ndio mwanzo huo hata bado

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r Месяц назад

    Wambieni tutawafanya kitu kibaya

  • @richardkokoro3269
    @richardkokoro3269 Месяц назад

    Mnatakiwa kujua kuwa hukumu inasema uongozi wote ni batili. Wanachama hawana lolote juu ya kubatilisha hukumu hiyo

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m Месяц назад

    Jemedar wewe na wewe uo mkundu una kuwasha nyie na ao wazee mamruki tuachieni yanga yetu atu wataki nyie wazeee njaaaa tuuu

  • @Pendo-xd4es
    @Pendo-xd4es Месяц назад

    Jemedar ww para kama tako la mtoto mchaga ww

  • @iddathuman5613
    @iddathuman5613 Месяц назад

    Gsm na kundi lake ni wakati muafaka wa kutuachia yanga yetu heris saidy aende kwao Somalia

    • @AllyFeruuz
      @AllyFeruuz Месяц назад

      YEYE ende somalia wewe kwenye wapi kuwa mtulivubtuone mwelrkeo wa timu AU ndio nyie mapandikizi tunahutaji ushindi

  • @user-zi1mc9nw3m
    @user-zi1mc9nw3m Месяц назад

    Nyie achen mambo yakikuma acheni timu yetu tumeshawajua nataka mtutoe kwenye reli Kuma nyie

  • @JumaNassoro-tq2yf
    @JumaNassoro-tq2yf Месяц назад

    je medari nakuchukia kinoma san. alie kupelka crown alizingua. tutayiham kwa sababu yako.

  • @user-xj2wd7qr7l
    @user-xj2wd7qr7l Месяц назад

    We Mzee kama huna Hela za mboga sema tukuchangie kwanza huyo jemedali mi hua namwona Kuma Kam Kuma zingine

  • @AnnoyedDove-oo3kk
    @AnnoyedDove-oo3kk Месяц назад

    Change the leadership system Wazee wabaki washauri na kuroga tu ndo kazi zao uongozi hawawezi brain capability is chokad

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m Месяц назад

    Jeme dar kuma tu

  • @user-us7wo7jf8s
    @user-us7wo7jf8s Месяц назад

    Awo wazee njaa inawasumbua nyie wote tunawajua nyie no mabwabwaz

  • @faridmohdkhassan3656
    @faridmohdkhassan3656 Месяц назад

    Watu wanafata katiba

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 Месяц назад

    Ndugu zangu wanayanga!!
    Tusijeingia kwenye mitego ya kijinga!!
    Tushikamane!!

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 Месяц назад

    Gemedari hana kosa anaongelea haki haki haiangalii kuweza kuongoza

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Месяц назад

    Shida si kuongoza hapa Tunazungumzia.sheria za yanga

  • @ibrahimmtoni1863
    @ibrahimmtoni1863 Месяц назад

    Watu wawili hawawezi kuharibu furaha ya wengi hatukubaliani na ujinga wa kumuondoa ENG

  • @RamadhaniMfaume-se9op
    @RamadhaniMfaume-se9op Месяц назад

    Yanga ni kikundi Cha wahuni sio tim ya mpira

  • @iddathuman5613
    @iddathuman5613 Месяц назад

    Kwanza heris said ni msomari
    Pia asili yake ni mpenzi wa Simba

  • @bongotv7120
    @bongotv7120 Месяц назад

    Mzee anatafuta kiki

  • @user-vl7vt4bq8t
    @user-vl7vt4bq8t Месяц назад

    Uyo mzee njaa inamsumbua

  • @amosijoseph5552
    @amosijoseph5552 Месяц назад

    Tutaandamana

  • @chamimdesa148
    @chamimdesa148 Месяц назад

    Eng kakata mirija yao ndo maana wanahangaika

  • @user-eb1xi2qk8e
    @user-eb1xi2qk8e Месяц назад

    huyo chawa umemckia?

  • @user-us7wo7jf8s
    @user-us7wo7jf8s Месяц назад

    Ww mmakonde na uyo mmakonde mwenzio wote mabwabwaz mnaanza uchoko uchoko wenu tutawachoka

  • @azamsp0rtshd2kiangi3
    @azamsp0rtshd2kiangi3 Месяц назад

    Jemadari nae nani badala yakuongelea watu waandishi muandishi mguli haandiki kwa ushabiki hiyo ni mshabiki wa timu fulani

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 Месяц назад

    Jamani si mtuachie Raisi wetu!!
    Tatizo nn?

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 Месяц назад

    Inawezekana, ingawa ni ngumu

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib Месяц назад

    Kunawatu wanakutimeni ubavu Amna Simba wapo nyumayenu tutaelewanatu

  • @Ally-zz2hv
    @Ally-zz2hv Месяц назад

    Eti ndio mchambuzi uyo ajui mpira wa sasa unaideshwaje uyo mtu ata apewe mkanda tu siwezi kumtuza

  • @user-st7vf4zf4k
    @user-st7vf4zf4k Месяц назад

    wazee ha washenzi tuu

  • @user-qo5hq7pt5t
    @user-qo5hq7pt5t Месяц назад

    tumekuchoka

  • @bernardjohn6571
    @bernardjohn6571 Месяц назад

    Hawa waking juma na Geofry wacheni tutamalizana naoho

  • @Fredynchacha-qx1lv
    @Fredynchacha-qx1lv Месяц назад

    We jemedari wewe unachokitafuta utakipata

  • @saidkilungi641
    @saidkilungi641 Месяц назад

    Hao wazee kwanza hatuwataki yanga wakaanzishe tim Yao ya kwenda mahakani kwanza wajinga hao wazee

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Месяц назад

    Aondoke Tuu bc kwanza ni Mtu wa Rushwa sana huyo anaharibu ligi yetu

  • @michaelmhina3613
    @michaelmhina3613 Месяц назад

    Kumbe mafanikio ya Yanga ni ujanjaujanja tu. 😂😂

  • @Fredynchacha-qx1lv
    @Fredynchacha-qx1lv Месяц назад

    Naona wazee wamechoka kuishi

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 Месяц назад

    Hao wazee ni wachawi enheeee!!!
    Hawatoboi

  • @wetemjini8818
    @wetemjini8818 Месяц назад

    Mm naona Hersi atuachie team yetu

    • @AllyFeruuz
      @AllyFeruuz Месяц назад

      Wewe kama nani na unachangia sana kadi YAKO lkn huwashi huzimi kinachotskiwa ni ushindi tu

  • @devisjoseph5787
    @devisjoseph5787 Месяц назад

    Hersi atuachie timu yetu

    • @AllyFeruuz
      @AllyFeruuz Месяц назад

      Wewe una timu kama nani tinachotaka ushindi tu imetosha HAO wazee na njaa zao wavimilie tu

    • @josephmwangita7041
      @josephmwangita7041 Месяц назад

      Ukuachie tim yako unatimu ww kwaza wee Koro unaonekana

  • @GwakisaMwangajilo-rm4es
    @GwakisaMwangajilo-rm4es Месяц назад

    Wamechoka kuishi

  • @user-tm1vn7fd4f
    @user-tm1vn7fd4f Месяц назад

    Mtasema,badohamjasema

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Месяц назад

    Hata wapumbavu na wajinga huzeeka, wafutwe uanachana wachawi hao

  • @MsafiliNhabe-ll2vx
    @MsafiliNhabe-ll2vx Месяц назад

    Hao wazee wametumwa

  • @bernardjohn6571
    @bernardjohn6571 Месяц назад

    Jemedali nani ktk yanga

  • @Ally-zz2hv
    @Ally-zz2hv Месяц назад

    Jenerali Kuma tu

  • @user-jz1ur2ny5u
    @user-jz1ur2ny5u Месяц назад

    Nyie wote makuma tu

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Месяц назад

    Watakuchoka Kuma ww

  • @FaidhaSeleman
    @FaidhaSeleman Месяц назад

    Dah, ebuu watuachie yanga yetu HIV hiki ki2? Ebu tuambien hawa wazee wanayaoa nn

  • @MtoroIdd
    @MtoroIdd Месяц назад

    Tunataka tujue matumizi kwanini wanaficha