Wow, Unasema nini Yesu wangu............ . More grace my dear sister Martha Mwaipaja, nasikiliza nyimbo hii tamu nikiwa hapa kazini ,mji wa mombasa ,kenya.
I love this woman,,, her songs are effortless and also her songs inspires me so much I almost have all her songs in my playlist🙈,wacha mungu aseme nasi huku Kenya pia 🥰🥰♥️
Sauti ya Yesu tu ndio iko na majubu yetu Mungu atusaidie tusikie anaposema na sisi.......seeema na mimi Yesu nakusikia❤❤❤❤ Mungu akubarikiwa sana dada yetu Martha.🙏
Her songs bless me so much✅✅✅she sings with total submission to God🙏🙏🙏her dressing mode top notch❤❤❤May God continue lifting u from glory to glory Martha.
Ooh groly to God,sema na Mimi yesu wangu.wakati Niko chini,wakati nataka kusikia mundu,wakati nalia,napenda kusikiliza nyimbo zako.nakupenda sana dada yangu.kila siku lazima nisikilize nyimbo zako
Napenda nyimbo zako sana Martha Mwaipaja.....sauti nzuri na unaimba kws mpangilio...mara nyingi natamani kufanya wimbo na wewe lakini nashindwa jinsi ya kukupata.....endelea kuimba nyimbo nyingi dear....much love
je ne sais pas quoi vous dire maman Martha, a ma première fois d'entendre cette belle chanson, ça m'as beaucoup touchée, mais je prie à ce bon Dieu de vous augmentez la grâce de l'inspiration 🏆 🙏🙏🙏depuis Congo RDC
I’m here waiting patiently. You never disappoint dada angu. Nyimbo zako uwa zinanibariki sana nakunipa moyo wakati ninapo pitia majaribuni. May the Heavenly Father bless your ministry 🙏🙏🙏
Mwanadada ambaye anazidi kufanya vizuri hapa nchini ya Kenya . Amakweli Martha wewe Mwalimu mawema katika jamii. Endelea na kazi nzuri katika mziki wako❤❤❤❤
Nikiwa katika mawazo ama mawazo wimbo huu ni faraja sana kwangu Asante dada mungu akuzidishie kukua kiiman usimluusu shetani akupoteze maan nae anapenda kutumia nafasi nzuri Kwa watumishi wa mungu kama nyie
The Lord came and stood there, calling as at the other times, “Samuel! Samuel!"Then Samuel said, “Speak, for your servant is listening.” - 1 Samuel 3:10
Hakika wimbo huu it's touch may lord God guide me through through out my life nahitaji kusikia sauti yake ndani yangu ikisema nani juu ya maisha yangu kazi ndoa moto wangu Jehova am waiting
Mungu akubariki❤️🫶🏿 na kazi yamikono yako na family yako mungu akupiganie Katika safari yako ya mahicha. Atawale kwenye family yako Martha 🙌 myimbo yako hina ni Blešš sana much love from america 🇺🇸 the way hunavahaga 👏🙌 #yall don’t mind my Swahili 😅
Hongera sana nyimbo zako zinanifutia martha mwaipaja nikika nimekasilika nasikiliza tu nyimbo zako nzinanimpa uvimilivi kwa sababu nimejionea mengi na kunyamasa tu , mungu akubariki
Km kuna mwimbaji ninaye mpenda n Martha yaan huyu mama amenitoa mbali sana n ninampenda zaidi y san mungu alikiluita mum kuokoa Roho za watu mungu akujalie mwisho mwema barikiwa sana
Martha Mwaipaja simu yangu imejaa nyimbo zako na video zako tupu!!! Niombee niweze kufanikiwa kupata simu yenye internal memory kubwa,,,Nazipenda sana nyimbo zako.
Dada Martha hakika utumishi wako unagusa wengi najifunza kupitia ww uuimbaji wako ni mzuri nyimbo zako zinabariki mno zinanivusha mahali pia watengeneza musc wako makini sana
Mimi nakubali sana nyimbo zako zote mungu akubaliki sanaaa.nakuombeaaa wendeee mbali zaid sina wezo wowote ningekutafute nikuone kwamacho yangu mwenyewe 🙏🙏
Asante dada Martha. Manake Mungu kakuzungumzia Kwa wakati mwafaka manake hata NAMI Kwa sasa nasubiria TU kumsikiza anasema Nini juu ya maisha yangu manake amekuwa mwaminifu Kwa maisha yangu. Hajawahi niangusha .
Mungu amekupa kitu cha thamani dada Martha....just stay humbled everytime my sister...I'm praying for you, you will be a blessing for many souls in this world...❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
My Kenyan people likes za Martha mwaipaja🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥💝
🔥🔥💯
Let her do a collabo with Shusho
❤more the songs are torching
Blessings
❤❤🎺🎺🎺
Hongera mdogo wangu mungu aendelee kykuinua
AMEEN DADA YANGU ❤
2ko pamoja saaana mtumishi from mbeya
❤❤❤❤❤❤
@@marthamwaipaja4725 umenitoa shimoni mum. Mungu azidi kukutumia jameni
Congratulations madam
I like your songs though language it's a challenge to me
But you are my Role model
❤❤❤
Always my favourite gospel artist ❤❤❤❤❤ harusi yangu nitakualika jamani asikatae kuja show some love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Martha your songs are encouraging ❤❤❤
Gonga like tukibarikiwa
Umenifunza kutaka kusikia tu Kutoka kwa Mungu mama angu, hapo tu Kuna msaada wangu, nitamtegemea Yesu milele🙏 najivunia kuwa nawe mum❤.
Amen 🙏 kazi nzuri
❤
Amin
@@neemarobina6682 q⁸800m and a
Martha ❤️❤️❤️❤️🙏
Wimbo uliojaa utukifu wa Mungu am from kenya i love your songs 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sema nami unasema nini juu yangu
Nakupenda bure dada
Ukisikiliza unaingia kwenye maombi bila tatizo 🙏
Wow, Unasema nini Yesu wangu............ . More grace my dear sister Martha Mwaipaja, nasikiliza nyimbo hii tamu nikiwa hapa kazini ,mji wa mombasa ,kenya.
I love this woman,,, her songs are effortless and also her songs inspires me so much I almost have all her songs in my playlist🙈,wacha mungu aseme nasi huku Kenya pia 🥰🥰♥️
AMEN 🇰🇪
I really love her songs too.ope one day God will help me meet with her tufanye collabo.
@@NjueFloraMukami amen🙏
@@NjueFloraMukami my prayer too
❤🇺🇬
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kama umebarikiwa wapi likes za Martha tafadhali🤗
Kipindi nmesikiza nyimbo zako nkiwa chini,napata nguvu ya kuzidi kumwamini Mungu,Sema na Mimi Yesu wangu nakusikiza😊🙏 🇰🇪 yakupenda
Sauti ya Yesu tu ndio iko na majubu yetu Mungu atusaidie tusikie anaposema na sisi.......seeema na mimi Yesu nakusikia❤❤❤❤ Mungu akubarikiwa sana dada yetu Martha.🙏
Her songs bless me so much✅✅✅she sings with total submission to God🙏🙏🙏her dressing mode top notch❤❤❤May God continue lifting u from glory to glory Martha.
Ameen Ameen Ameen Ameen Ameen Ameen Ameen Ameen Ameen Ameen Ameen Ameen Ameen Ameen mtumishi wa Mungu yesu akutendee zaidi Dada yangu Ameen Ameen Ameen Ameen Ameen Ameen
Unasema nini Yesu wangu sema nakusikia BABA yangu wimbo wakukupea tumaini ya milele ❤️🙏wapi like kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
Amina 🙏🙏
Marthamwaipaja
Good work guys.
Ooh groly to God,sema na Mimi yesu wangu.wakati Niko chini,wakati nataka kusikia mundu,wakati nalia,napenda kusikiliza nyimbo zako.nakupenda sana dada yangu.kila siku lazima nisikilize nyimbo zako
Amina Sana dada martha
Wow ubarikiwe sanaaaaaa dada na kuzidi napenda nyimbo zako sanaaaaaa zimebeba ujumbe mzuri nakupenda Dada
Nikumsikiliza Yesu tu ndilo jawabu .🇰🇪🇰🇪.
Napenda nyimbo zako sana Martha Mwaipaja.....sauti nzuri na unaimba kws mpangilio...mara nyingi natamani kufanya wimbo na wewe lakini nashindwa jinsi ya kukupata.....endelea kuimba nyimbo nyingi dear....much love
je ne sais pas quoi vous dire maman Martha, a ma première fois d'entendre cette belle chanson, ça m'as beaucoup touchée, mais je prie à ce bon Dieu de vous augmentez la grâce de l'inspiration 🏆 🙏🙏🙏depuis Congo RDC
Another amazing song. Surrendering all to Jesus in order to hear his voice. Loving it from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Jamani ni follow
Glory to the most High 🙌🙌🙌 .talk to us lord be blessed Martha ❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Talk to me OH God am listening to your voice nice massage and fantastic video Martha wapi like za Martha from Kenya.
Yesu atosha, sauti yake tu yatosha, sema Yesu nakusikia, stay blessed Martha!
mapamambo yanenishinda Nakusikiliza wewe yesu Unasema nini Sema na me nakusikiaa 😢
Ndio mtumishi wa Mungu ❤
I’m here waiting patiently. You never disappoint dada angu. Nyimbo zako uwa zinanibariki sana nakunipa moyo wakati ninapo pitia majaribuni.
May the Heavenly Father bless your ministry 🙏🙏🙏
😊
O
I😊
😊 all m ni mm
L😊😊
😊l
Ll
L
Ll
Amen amen 🙌🙌🙌
Amina
@@mamy1605 Amen
Tanzania inavipaji sana angalia na huyu dada
ruclips.net/video/dv3o1GnwbuY/видео.html
Martha Mungu akulinde kunakitu nataka nikiseme lakin bc tu hujawahi feli tangu album yako ya kwanza
Blessings to you woman of God,you Have been a blessing to me indeed 🇰🇪🇰🇪from...kenya may God bless you big
❤❤ Your songs are like medicine to my health
😢Sema na Mimi Yesu 😭 nakusikia
Thanks so much for this song 😊
Mwanadada ambaye anazidi kufanya vizuri hapa nchini ya Kenya . Amakweli Martha wewe Mwalimu mawema katika jamii. Endelea na kazi nzuri katika mziki wako❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
Nasibiri kolabo Yangu Na yako mama Nakupenda sanaaa nimejifunza Vingi kupitia Nyimbo Zako Namini Mungu Ata fanya jambo
Unasema nini yesu wangu juu ya inchi yetu RDC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩maman yangu martha mungu akupe maisha ma refu.mungu akubebe biwango bingine.
Sichoki kusikiza nyimbo zako dada. Mungu azidi kukuinua viwango mpaka viwango
La façon dont j'aime tes chansons , un jour je viendrais te voir en Tanzanie ,( suis au Congo Kinshasa ?❤❤❤
Amen!! Mungu sema na mimi nyimbo hii iwe baraka kwa maisha yangu...Martha zidi kutubarika,
Naomba Mungu akubariki kwa wimbo huu nime u shari tii Cameroun kwenye marafiki nanimewafasiria niniwameongea Moses kutoka Congo DRC Lubumbashi
My role model am happy for you.More Grace n favour from God siz
Nikiwa katika mawazo ama mawazo wimbo huu ni faraja sana kwangu Asante dada mungu akuzidishie kukua kiiman usimluusu shetani akupoteze maan nae anapenda kutumia nafasi nzuri Kwa watumishi wa mungu kama nyie
Kazi nzuri Martha listening from Nairobi Kenya wapi likes za wakenya jameni!!!
Kuna mtu aliniulizia kwa Nabii mmoja
Akamwambia Mungu anavyosema kuhusu mimi 🥰😍❤ 🙌🏾🙏🏽
The Lord came and stood there, calling as at the other times, “Samuel! Samuel!"Then Samuel said, “Speak, for your servant is listening.” - 1 Samuel 3:10
Thank you Martha, much love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😊💞God unasema what???? Nakuskiza
Hakika kusikiliza kutoka Kwa Mungu ni kila kitu Martha!! Wacha na Mungu azidi kukuinua
Hakika wimbo huu it's touch may lord God guide me through through out my life nahitaji kusikia sauti yake ndani yangu ikisema nani juu ya maisha yangu kazi ndoa moto wangu Jehova am waiting
May the almighty God see us through in whatever we are going through 😭😭😭😭one day will come out victorious by the word of His mouth
Amen 🙏 my dear lord nifunze kusikia sauti Yako
Glory to God be blessed Martha always
,powerful song🙏🙏
Mungu akubariki❤️🫶🏿 na kazi yamikono yako na family yako mungu akupiganie Katika safari yako ya mahicha. Atawale kwenye family yako Martha 🙌 myimbo yako hina ni Blešš sana much love from america 🇺🇸 the way hunavahaga 👏🙌 #yall don’t mind my Swahili 😅
Am so encouraged, let God speak to our situations. God bless you more Minister Martha.
Huyu ndo mama wa gospel Mungu Akuinue zaidi Mama nyimbo zako Zina baliki Sana
Ameeen Mungu akuzidishie Mamaa nyimbo zako zinagusa moyo na ziko na ujumbe mzito ..Be Blessed ❤🙏🙏
Semaa Nami yesuh wakati huu ngumu Baba!!!!Usikae Mbali na mmh ooo mungu wangu🎉🎉🎉🎉
Hongera sana nyimbo zako zinanifutia martha mwaipaja nikika nimekasilika nasikiliza tu nyimbo zako nzinanimpa uvimilivi kwa sababu nimejionea mengi na kunyamasa tu , mungu akubariki
Dada Martha umeanza vizuri mpaka nimenifaliji tofauti na vile unasema kumbe nishamsahau hainibariki sana wimbo mtamu agness juma miss tanga
My Lord God I want to win and I can't win without you and am here to listen to your voice God.
What nice song mum.... huduma isonge mbele Kwa jina la yesu............. ✍️✍️
Napenda hii wimbo sana inanibariki
Km kuna mwimbaji ninaye mpenda n Martha yaan huyu mama amenitoa mbali sana n ninampenda zaidi y san mungu alikiluita mum kuokoa Roho za watu mungu akujalie mwisho mwema barikiwa sana
Amen 🙏 thanks ,, Ubarikiwe sana Dada yetu❤👏👏
Nakuelewa sana Martha means "Even if we are passing in the deepest valley of the death, we do not afraid so God is with us!!" Big Up Martha!!
I have been waiting this Video,
Martha, you are blessed and Blessing me.
»»Voice from Russia««❤🙏
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Sema sasa Bwana nakusikia
Wimbo wako mama una mafunzo kibao,,acha Mungu atende kupitia kusikia💯
Martha Mwaipaja simu yangu imejaa nyimbo zako na video zako tupu!!! Niombee niweze kufanikiwa kupata simu yenye internal memory kubwa,,,Nazipenda sana nyimbo zako.
Your songs are helping me both spiritual and educational🙏keep it up dear
Dada Martha hakika utumishi wako unagusa wengi najifunza kupitia ww uuimbaji wako ni mzuri nyimbo zako zinabariki mno zinanivusha mahali pia watengeneza musc wako makini sana
my favorite gospel artist❤
Asante dada zetu ktk Christo yesu kwazawadihii imeturejeshea tumaini Katika safarihi yenye changamoto sisiniwatu wenu from congo tunaishi Burundi
My all time mentor.. I am strong because of your songs😢you are a blessing in my life mum❤
Amen wimbo huu umenitowa Mahali, Mungu akubariki Dada. Napenda nyimbo zako sana. Ujumbe imefika mbari kbs. @FROM KENYA...........
I'm from Nigeria. May God continue to be with you always.Your songs touch even the hard hearted to surrender their lives to Christ.
Nyimbo zako zaninjenga kiroho kila wakati na kunikuza. Mungu azidi kukuinua mamangu
Nice song. May God's grace be sufficient with you always 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I think God answered your question "unasema nini" in your other song that says " mwanangu hata iweje, kushinda niblazima." This encourages me alot.
Martha Mwaipaja inspires me alot 🙏🏽 She makes me feel loved by Christ 🥲 May you live longer to give us more 🙏🏽🙏🏽
The lord will grant us this wish. Just see how young she is
Mungu akujazenguvu kabisa nyimbozako zina mafuta yambingu zinafariji sana sana kwakweri 😢 unamungu dada mungu akupe mwisho mwema uyimbe naye mbinguni
Listening to the Lord's voice only.
It's a powerful prray to God ❤❤❤
Lovely songs nyimbo zako zimenitoa mbali.
Nakuskiliza wewe tu yesu wangu thanks madam Martha nyimbo zako zina upako na mafunzo we love you from kenya
Amen sister Martha mwaipaja be blessed aki yaani nyimbo zako zinanibariki sana❤❤❤
Je proviens de République démocratique du Congo,suis tellement ravis de merodie édifiantes et convaincante,merci Martha courage ma mère
I just love your songs,may the Lord continue to bless you 🙏🇰🇪🇰🇪
Asante kwa wimbo huu ambao siachi kuusikiliza yaani umenibarki sana dada Martha Zidi kubarikiwa ni Roz kutoea Kenya
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu.Nyimbo zako zinanipa nguvu sana .
Amen Amen ubarikiwe san dada yangu mung azidi kukupa. Kipawa chahali yajuu zaidi amen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Love your gospel songs mommy watching live from Qatar doha iam from kenya God bless you mommy
mdundo mkali ✍👏👏👏🙌🙌🙌🙏❤💥💯martha mwaipaja....
J'aime beaucoup cette sœur qu'elle douceur 💞💞💞💞💞💞💞
Baba Mungu sema Nami , nakusikiya. Unasema nini ilikuniongoza nisopoteee nakusiya .hakita mwito wangu sitaki nisikiye wakorofi sema nami sasa nakusikiya 🙏🙏🙏🙏
Nakusikia Yesu🙇♀️🙇♀️🙏🙏👌👌🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🔥🔥🔥🔥🔥
Mimi nakubali sana nyimbo zako zote mungu akubaliki sanaaa.nakuombeaaa wendeee mbali zaid sina wezo wowote ningekutafute nikuone kwamacho yangu mwenyewe 🙏🙏
Amen, Jesus the answer dear sister your blessings to the worship u lead us to understand where we should call ,the name of almighty
Amen..nahitaji kusikia kutoka kwa Mungu pekee..hapo ndio kuna sauti ya kweli..Kenya inabarikiwa sana
Sema na Mimi yesu nakusikia ...sauti ya Mungu emejawa nguvu ,inagururuma njuu ya maji mengi ...sema na Mimi yesu
HONGERA sana dada yangu kipenzi kwa kuendelea kuinjilisha, zaidi usiruhusu kiburi,majivuno na minyanyapao ktk Utume wako❤❤
Martha napenda nyimbo zako,this one has raised my hope,kungojea anachosema yesu
Asante dada Martha. Manake Mungu kakuzungumzia Kwa wakati mwafaka manake hata NAMI Kwa sasa nasubiria TU kumsikiza anasema Nini juu ya maisha yangu manake amekuwa mwaminifu Kwa maisha yangu. Hajawahi niangusha .
Am feeling blessed naposkiliza nyimbo zako my sister, Mungu akutunze uendelee na huduma, unawezaaa
❤
Mungu azidii kukuinua viwango vya juu dada martha umejua kunitia moyo kwa kweli mungu wa mbinguni akulinde kilaa iitwapo leo dada martha
More blessings Mummy watching from Uganda
Mungu amekupa kitu cha thamani dada Martha....just stay humbled everytime my sister...I'm praying for you, you will be a blessing for many souls in this world...❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪