Hongera Dada yetu unajua sana kutuonyesha Furaha ndani ya maisha yetu kupitia huduma yako ya Gospel 🥰 Napenda sana nyimbo zako sina mafundisho mazur sana Mungu akupe Afiya njema
Marthe mwaipaja u never disappoint, you are the queen of gospel songs. God bless you🙏 Wakenya kujeni tubarikiwe hapa na mnipe likes huu msimu wa maandamano.🇰🇪🇰🇪
Feeling heartbroken. This song has blessed my heart and I'm trusting God because " Ni wewe umenikubali..... Ni wewe umeniitika.... ( Mungu Baba) 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen 🙏 na Mungu akubariki sana kwa kugusa moyo wangu kupitia nyimbo zako, naomba kama naezapata kibali machoni pa Bwana Mungu na machoni pako, nipate kukutana na wewe ili nipokee hiyo Neema ambayo umeibeba. Naitwa joyvictory kutoka Kenya ndo nimeanza kuimba na wewe dadangu ndio my role model katika uimbaji, yaani ukinikubalia naomba kuimba nawe hata kama ni wimbo mmoja nipokee hayo mafuta na nijue ni wapi Nina upungufu katika uimbaji wangu. Mungu akubariki sana dadangu
Nice one... Hakuna wimbo wako nitauskia nkose kuupenda... May God bless you so much uendelee kuwa katika viwango vya juu...♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️one love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
This is One Kind of a Soul. You are such a blessing to all. 100% of Kenyans 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 love you. Continue being a blessing to all. Much love from Kakamega Kenya 🇰🇪 🇰🇪 😊😊😊😊😊😍
Nikisikiaga nyimbo zakho yan nafarjika hata kama nilikasirka kiazi gan nashutukiatu naimba wakika uko vizuri dada Ang Martha mngu akupe maisha marefu afu nimesikia niwewe umenitpka eshima😂😂😂🙏🙏
Naomba kuuliza japo kwa upole , dada huyu mwenye sura ya kupendeza na sauti yenye kumtoa nyoka pangoni na kumweka mapangoni kama anaye mchumba❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊
I just like the simplicity in this Lady, As she gives the strong message through her praise, Dada Martha Mungu akizidishie milele ,maana unajua kujipunguza na kunyenyekea mbele zake na kumpa sifa, maana ni yeye amekuiitika
Mimi ni mpenzi wa nyimbo zako dada Martha ila huu wimbo uko kiwango kingine kwakweli nikiusikiliza nafarijika mnoo haki nakoswa maneno mazuri ya kukupea zaidi ya mungu akubariki
Martha ndie mwimbaji pekee wa kike Africa mashariki na kati ambae hajakubali wimbi la umaharufu limbadilishe kwa muonekano na pia msimamo wake wa kiimani. Hivi karibuni Sanaa ya ulimwende imemdoe sana. Nimemuona akijaribu ulimwende lakini dhamira zake hazimrusu kabisa. Naomba Mungu amlinde kutokana na mtego huu. Dada Mungu akuepushe na kufuru zote na akiinue kichwa chako juu ya kila mawimbi. Amin.
Asante Mungu kwa makuu uliyowatendea watoto wangu, Umewakubali, umewaitika na kuwaheshimisha Amina❤❤❤🎉🎉🎉
Hongera Dada yetu unajua sana kutuonyesha Furaha ndani ya maisha yetu kupitia huduma yako ya Gospel 🥰 Napenda sana nyimbo zako sina mafundisho mazur sana Mungu akupe Afiya njema
Kama unamkubali huyu dada gonga like hapa
Hata mimi nakupenda sana mtumishi💓💞
Hahika niwew ymenikubar MUNGU Wang endelea kunikubali Zaid peke yako ndo mpenZ wa kwel
😂
Uko vzr my
Binafsi ninabarikiwa sana uimbaji wako!
Kama unapenda nyimbo za Martha mwaipaja gonga like hapa ❤❤❤
❤ ❤ Hakika Martha umewaongoa wengi kwa nyimbo zako ubarikiwe sana.
Nakupenda sana matha Mimi Ema wa mbezi huu wimbo unanikosha
Kama unampenda dada martha weka like za kutosha hapa❤❤❤maana anaimba poa saaana🙏
❤️❤️❤️❤️❤️
@@MariamSade-e8t vzr..saaana rafiki..
@@MariamSade-e8t njoo pia kwangu rafiki
Pic ya kinyaki iyo cio pow...kazi nzur sister ...Mungu akutunze ❤❤
Dadangu mungu akuinue kwaviwango vyajuu sana wimbo mtamu mno nimeupenda
Hongera mdogo wangu mungu akuinue
Asante sana dada Yesu ni mwema
@@marthamwaipaja4725 ROSE MAMA NAKUONA HAPA , HEBU MPIGE REMIX #marthamwaipaja4725
Plppp
Tunagoja colabo yenu mama rose
❤❤❤❤❤ my favourite singer plus martha mungu awabariki sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nyimbo nzuri,ujumbe 💯, Kenya 🇰🇪 tupo ndani♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Tubarikiwe pamoja
My mentor spiritually...Gd work.blessings..
Behind u
Waw!! Another one ...Martha the president of gospel music her songs fades not
Tupo ndugu
Hongera mother mwaipaja kwa kazi yako safi 🙏🙏🙏🙏💪🇰🇪🇰🇪🙏
So amazing, tunakupeda 🇰🇪🇰🇪
Kweli kabisa dadangu Mungu akikubali inatosha Amen ❤ 4:08 to 🇰🇪🇰🇪
Marthe mwaipaja u never disappoint, you are the queen of gospel songs. God bless you🙏
Wakenya kujeni tubarikiwe hapa na mnipe likes huu msimu wa maandamano.🇰🇪🇰🇪
Yes yes
❤
*Beautiful Song, Team Kenya jambooo.* 🇰🇪❤🎉
Sijambooo
Sijjambooooooooo
Team mwaipaja lotsssss 💕
Ni wewe umenikibali vile nilivyo
🎉
Mungu akubariki sana kwa nyimbo nzr🙏🙏
❤❤❤❤❤wimbo nzuri ujumbe nzuri.......twendeeeeeeee
Nyimbo nzuli sana! Love kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮♥️
Wimbo-singular Nymbo-plural
@@selemanshidda9688 swahili ya Burundi tofauti sana na ya TZ
When I listen this song I found my self 😢
Kenyans where are you nice song blessings from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
here we're 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I like Martha and her is very encouraging
Beat..100%
Sounds.. perfect
Theme...100%
Talent...100%
Mungu akubariki sana...
Ubarikiwa sana
Nyimbo nzuri kwa vina na mashairi Dada yangu,unaelimisha Taifa Kiimani na kuimarisha Kiroho,Barikiwa
Beat ndo hatari😅😅
good work martha mwaipaja hongera sana
Kabisaaa
Hongera sister mathar kwa nyimbo nzuri na inatujenga kiroho
Nani kama martha mwaipaja nyimbo zake n 🔥🔥🔥🔥hii comment nachia watakao isoma 2030 wajue nilipita hapa
Kenya tumesema ndio🇰🇪🇰🇪
You're true and vocalist
Tunaopenda hii Gospel ifike juu #1 on trending , wajue Mungu yupo tujuane kwa likes 😘❤️
🙏🙏
Ni wewe umeniitika ni wewe bwana umenipenda, can't get enough ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kitu Safi Mali safi❤️🎉from Kenya with love
Very good song.
kweli Mungu ni mwema tukikumbuka tulipotoka yeye nidio anajua
Wonderful!Its very therapeutical.
Ni yeye tu❤hakuna mwingine.
Feeling heartbroken. This song has blessed my heart and I'm trusting God because " Ni wewe umenikubali..... Ni wewe umeniitika.... ( Mungu Baba) 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Feeling the same dear bt mungu wetu ametukubali na ni yy atatuitika be strong sweetheart God love you
Wahoooo 🥰🥰 exactly 💯🧎🧎
I feel like this song shld be played in my wedding coz of what have gone through
Keep up the good work mama Kenyan in the house fanyeni ile kitu please 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
The best gospel singer 💫🎉 ubarikiwe sana 🙏🏾🙏🏾
i am greatfull nyimbo zako hubariki hakika
Nakupenda bure ❤
Mungu azidi kukutumia kutuhubiria kupitia nyimbo nzuri Kenya twakupenda Martha🇰🇪🇰🇪❤️
Nice song love from Kenya 🇰🇪 kutoka 14-16 tunakuja uko Arusha Crusade
Karibu sana tutakuws Arusha ..hope mama Martha will come" we❤ Tanzania
Huku Kenya tunasema kitu kuruka, Yaani kitu iko, kitu therapy. You're a blessing to many. Love from Kenya Kamkunji grounds❤️💙👏👌💪🏼
Ongeza sauti kaka ,kitu therapy
Kabsaaa kaka hapo volume Iko sawa wakenya tumefika
😂wakenya tuko ndani.niko hapa Rongai.nasikiza mdogo tu❤❤
😂😂😂tupo ndani ya therapy 😂
Hallelujah 🙏 kweli kabisa hapa Kenya atawale kote si mungu atawale tu
Ni kweli kabsa Martha ndiye ananibariki sana
AKSANTI MUNGU KWANI WEWE TU UNA STAHILI MAISHANI MWANGU. UMENIITIKI NGISI NILIVYO 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 WEWE NI BABA
Martha you are blessed to Africa nation😊 Mungu azidi kuuinuwa sanaa hadi maaduwi washangae much❤ from +254 and that is 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
MUNGU azidi kuku pandisha viwango vya juu dada matha
Ubarikiwe sister
Amen Amen 🙌 🥰🥰from Kenya 🇰🇪
Nyimbo zako dada hubariki dunia nzima...wakenya twakupenda sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hapa nipo ndani kabisa ❤❤❤❤ i really love your songs
Safi sana nampenda Martha sana sana from kenya
Hakika ndio nimejua utamu wa huu wimbo ❤❤❤dada ubarikiwe zaidi🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇬
Amen 🙏 na Mungu akubariki sana kwa kugusa moyo wangu kupitia nyimbo zako, naomba kama naezapata kibali machoni pa Bwana Mungu na machoni pako, nipate kukutana na wewe ili nipokee hiyo Neema ambayo umeibeba. Naitwa joyvictory kutoka Kenya ndo nimeanza kuimba na wewe dadangu ndio my role model katika uimbaji, yaani ukinikubalia naomba kuimba nawe hata kama ni wimbo mmoja nipokee hayo mafuta na nijue ni wapi Nina upungufu katika uimbaji wangu. Mungu akubariki sana dadangu
Amen! Amen! Barikiwa sana kwa kutupa wimbo mtamu na WA kupendeza na kumja mungu,,🇰🇪twakupenda
Noma sana Mungu ampe miaka kadili ya kutupa nyimbo za imani Mungu ni mwema
Nakupongeza hupendi nywele za bandia, hongera Sana Dada endelea ivoivo
Hakika wimbo huu ni wenye kufariji, especially unapo usikiliza ukiwa umetulia, barikiwa sana cute Martha.
Nikiwa kenya napenda nyimbo zako sana sana nibarikiwe pia🙏🙏
Nice one... Hakuna wimbo wako nitauskia nkose kuupenda... May God bless you so much uendelee kuwa katika viwango vya juu...♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️one love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yesu ni wewe umenikubali,ni wewe umeniitika,yaani huu wimbo nanibariki sana mpaka naukopea bando.Dada Martha Mungu akupe mwisho mwema
Ni wewe Mungu umenikubali 🎉🎉 ni wewe umeniitika nashukuru umbali umeniweka umeniinua zaidi ❤
Am blessed from Kenya 🇰🇪
Amen
Nandy
I'm blessed all the way from kingdom Riyadh
Amen. Wimbo bora sana kwangu ubarikiwe mtumishi wa Mungu 🎉🎉🎉
Napenda sana nyimbo zako mamaa..unabariki sana moyo wangu❤
Mimi niko nsani kabisa, mungu ume kumbali kunilete dunia hii ume nikubali may God bls you mother good song 🎉❤
Hongera sana Dada,,,nyimbo nzuri
Barikiwa Sana Dada nyimbo zako zinainua Moyo Sana,Mungu Anikubali na aAniitike na Mimi,much Love 🇰🇪🇰🇪
This woman always delivers 🙌...much love from Kenya 🇰🇪❤❤
Nakupenda sana unavyoimba
Wimbo mtamu wenye mguso na baraka.Mungu akutie nguvu zaidi dada.
Zuri sana napenda nyimbo zenu Mungu azidi kuwainua
Much love my big sister yani kila siku lasima nitazame nyimbo zako Much more ❤❤from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Nikiskia huu ngoma naskia raha moyoni...yaani sijui jinsi ya kueleza..mungu ni mwema kila wakati
for those who are lien to swahili the words "ni wewe umenikubali, ni wewe umeniitika" means "you have accepted me, you have answered me"
Thank you, I like her songs but can't hear anything, i'm poor at swahili😂 i keep watching songs but....😅
Thanks alot
I like her songs but language it's a challenge to me
Thanks alot
Mungu 2 mwokozi w majivuni yangu yote,, alfaah omega apewe sifa
🎉🎉🎉❤ lovely 🌹🌹🌹 song my dr
Martha never disappoints more love from Kenya❤❤❤❤
Hongera mama kazi nzuri 🎉🎉🎉
This is One Kind of a Soul. You are such a blessing to all. 100% of Kenyans 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 love you. Continue being a blessing to all. Much love from Kakamega Kenya 🇰🇪 🇰🇪 😊😊😊😊😊😍
Nikisikiaga nyimbo zakho yan nafarjika hata kama nilikasirka kiazi gan nashutukiatu naimba wakika uko vizuri dada Ang Martha mngu akupe maisha marefu afu nimesikia niwewe umenitpka eshima😂😂😂🙏🙏
Wimbo mtamu sana Umeniitika kweli mungu amekukubali
Wimbo kama mwanga, aaa mwanga si taa
Mungu akuongezeya maisha marefu dada🙏🙏
Ni wewe Bwana umenikubali asante sana Yesu. Upijile sana Martha Mwaiapaja
Naomba kuuliza japo kwa upole , dada huyu mwenye sura ya kupendeza na sauti yenye kumtoa nyoka pangoni na kumweka mapangoni kama anaye mchumba❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊
Nakupenda tu sana my dear,napenda nyimbo zako
Napenda nyimbo zako Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Pongezi mwana wa Mungu..Mungu akubariki...Amen
Hallelujah 🙏 can't get enough of this song 🙏 hakika n Wewe Mungu umenikubali,uliyeniitika,uliyenitafuta🙏🙏🙏
Here I am again, Thanks Lord for everything 🧎🧎🧎🙏🙏let your will be done Lord hold my hands Father 😭😭
I just like the simplicity in this Lady,
As she gives the strong message through her praise,
Dada Martha Mungu akizidishie milele ,maana unajua kujipunguza na kunyenyekea mbele zake na kumpa sifa, maana ni yeye amekuiitika
Beuriful ❤
Imagine, very simple and beariful at the same time, enyewe mungu amekuitika dada matha
On my bedroom,ninalia tuu 😂😂machozi yakidodonga nikisikiza huu wimbo.
Wimbo ni mzuri Sana ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu, Martha
Mimi ni mpenzi wa nyimbo zako dada Martha ila huu wimbo uko kiwango kingine kwakweli nikiusikiliza nafarijika mnoo haki nakoswa maneno mazuri ya kukupea zaidi ya mungu akubariki
Nampenda sana huyu dada jaman mungu azid kukuinua
Every time you release a song ,it's always am in that season. Am in the season of thanksgiving. More grace 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Kazi nzuri Martha listening from Nairobi Kenya wapi likes wakenya jameni
Napenda sana nyimbo zako❤ barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Nakupenda sana dada hata niwe na majaribu 10000 nikisikiliza nyimbo zako nakuwa mpya mungu akuweke dada Martha
ni wewe nimekubali tz gospel
Martha ndie mwimbaji pekee wa kike Africa mashariki na kati ambae hajakubali wimbi la umaharufu limbadilishe kwa muonekano na pia msimamo wake wa kiimani. Hivi karibuni Sanaa ya ulimwende imemdoe sana. Nimemuona akijaribu ulimwende lakini dhamira zake hazimrusu kabisa. Naomba Mungu amlinde kutokana na mtego huu. Dada Mungu akuepushe na kufuru zote na akiinue kichwa chako juu ya kila mawimbi. Amin.
True
I love you martha
Kwenye kila tunayopitia hizi nyimbo hututia sana nguvu na imani Mungu atufanyie wepesi katika nyakati ngumu Amina.😭🙏
Ameeeen, ni wewe Yesu umenikubali oh hallelujah nakupenda, nakuheshimu, 🔥 🔥
Ni wewe yesus seigneur 👌🤲
October 2024❤
Nyimbo nzuri sana mungu akubariki sana dad uko vizuri
Ni wewe umenikubali umenikubali Jehova dunia inajua ❤❤❤ faraja ninayo ipata nikisikiza huu wimbo 🙏🙏🙏
🇰🇪Kenya tuko nyimbo nzuri
Ni wewe tu Bwana! Amen et Amen!
Nakupenda Sana 🇧🇮🇧🇮
Ni Wewe umenikubali ni wewe Umenipokea🎶
Glory be to God🙏
Amen Amen 🙏🙏🙏🙏 good video and good song God bless you my friend ❤❤❤👍👍💯💯
No one can understand me how joyfull I feel when im listening ❤❤❤❤ to this amazing gospel our sister may God bless you so so much 🙏🙏🙏🙏
Nakupenda mtumishi wang
Ameen
Imenifanya ni download hii gospel music ❤❤❤ more life martha zidii kutukuza
Asante dear.Umenibariki kwa wimbo nzuri.Mungu akuzidishe kwenye huduma yako.Love you