Mapigano Makali kati ya Jeshi la Congo na Waasi wa M23

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Please SUBSCRIBE

Комментарии • 74

  • @simonlukiko2850
    @simonlukiko2850 Год назад +5

    NIME ICHEKI HIYO SCENE WASHENZI WAME KIMBIA HAO ALAFU HAWA JAMAA M23 NI WAKOROFI ALAFU KUMBE NI WAOGA ALAFU MBONA WAKI WITHDRAW WANA ELEKEA MPAKANI NA RWANDA???

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 Год назад +4

    The last support to our brothers in congo, is torefuse those manyarwanda and m23 and other fools to use mombasa and daressalam horbour

  • @ayubufumbuka3233
    @ayubufumbuka3233 Год назад +4

    Congo usaliti unazidi mno walimsaliti kanali Mamadou msitafa dala aliyekuwa akipambana na m 23 na makundi mbalimbali ya kigaidi chaajabu kesi ikabaini mtu mmoja tu aliye sababisha mauaji hayo.sisi watanzania tunawaombea mshinde hiyo vita lakini kusalitiana jeshini ni ujinga huo ujinga msije mkauludia unaharibu taifa lenu wakongo

    • @godfreyobadiah7892
      @godfreyobadiah7892 Год назад +1

      Mamadou aliuliwa na wanyarwanda waliotoapesa ili kupata taarifa na root za Mamadou.

  • @bernardjohn3345
    @bernardjohn3345 Год назад +6

    Safi sana vijana wa kongo ni muhimu kuilinda nchi yenu hakika uzalendo muliouonesha Mungu atasimama na ninyi na mutawaondosha hao m23

  • @yusuphyunusi-zz1hx
    @yusuphyunusi-zz1hx Год назад +2

    Jeshi la congo watandikeni hao wanyarwanda hakuna m23 Bali ni majeshi ya kagame

  • @luogafrank3205
    @luogafrank3205 Год назад +1

    Dawa hapa m23 wawafwate rwanda huko huko iwe vita tu kagame aone nae hayuko salama

  • @Karabashinakove
    @Karabashinakove 8 месяцев назад +1

    Boyebi mama na ngai tika tokomona

  • @Karabashinakove
    @Karabashinakove 8 месяцев назад

    Bino ba ndoki confirme comme hier voodoo ngai encore tika naza wana nazali wana nakotikala wana bino ba terrorist ici toyebi

  • @didierauza7150
    @didierauza7150 Год назад

    Sisi.wanaichi.wacongomani.tunaomba.baba.yetu.president.asiendeleye.kudanganywa.na.awa.kenya.nawengine.walewote.niwamoja.naule.m.23..ivitunaomba.sisiwenyewe.tupiganiche.adui.na.tutamushinda.tu.hakunamusaada.kwa.wale.wakenya.nawengine.isipokua.wacongomani.pekeyetu.ok

  • @MoïseNamegabe-l7c
    @MoïseNamegabe-l7c 9 месяцев назад +2

    Courage à vous tous qui empêche m23.

  • @kubuyakatsungwa
    @kubuyakatsungwa 7 месяцев назад

    hatuwataki tena jeshi lakenya kwanini tu wakenya. wanakuya saidia corneill naga.

  • @MteleSelemani
    @MteleSelemani 2 месяца назад

    mwenyezi ndo kilakitu hapa chin jua

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 Год назад +1

    Anayesapotiwa na kupewa usaidizi wa wanajeshi toka Kenya yuko na Mungu, je Rwanda anasapotiwa nani.

  • @ernestkunja3472
    @ernestkunja3472 Год назад +2

    Suruhisho ni kuwaondoa monusko katika kongo

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 Год назад +1

    Msaada utakaofuata ni Kenya na Tanzania kukataa bidhaa za rwanda na uganda bandarini.

  • @daudipaurlo8353
    @daudipaurlo8353 Год назад +3

    Lengo kuu la waasi wanataka nini

  • @Karabashinakove
    @Karabashinakove 8 месяцев назад

    World war 3 epayi na bino eza biso

  • @musangamfuracelestin6629
    @musangamfuracelestin6629 6 месяцев назад

    Emu 23 izabahaganya. Batarebye neza irabamara. 1:19

  • @balukuernest8283
    @balukuernest8283 4 месяца назад

    eastern DRCONGO is going to like eastern ukriene the way how i see the m23 and drc the situation is like russia and ukreine so that war may not end soon bzk they are not fighting for the cause but for minirals which congo delays to mine

  • @oworabernardobbo8907
    @oworabernardobbo8907 Год назад +1

    Musoge ata watu ya Uganda 🇺🇬 walichoka na museven tuta join nyinyi

  • @Daidizz01chinga
    @Daidizz01chinga 3 месяца назад

    Ongera kenya na uwarabuni musiende tupambaniye África yetu ❤❤❤❤

  • @kubuyakatsungwa
    @kubuyakatsungwa 7 месяцев назад

    hatumutakitena kenyata kuingilia maswala ya jamuhuri yacongo, ni adui wakongo.

  • @AganzeEnock
    @AganzeEnock 6 месяцев назад

    Hawa wanataka niniii?

  • @JOSWAMUJOSEPHATH
    @JOSWAMUJOSEPHATH 7 месяцев назад

    Sasativii

  • @mohdmnemo9281
    @mohdmnemo9281 7 месяцев назад

    Mimi nawaomba viogozi wa afirika mashariki kuudaha kikosi malumuu cha afirika mashariki ilee nichi. Yoyote. Ya afirika mashariki wakiwepo wahasi basi waodoke arakaa

  • @rizikivincent5255
    @rizikivincent5255 Год назад +3

    Mweye vipofu hao si ni wanyarwanda na waganda na warundi na waethipia na wasimalia hao mumeingiliwa vyaatari nyie tena wanyarwanda wamejaa muhilo jeshi hupumbavu ni mwingi kwa wacongomani hamjitambuagi jeshi linachukiliwagwa kama mashindanoni?na huyo ambaye ndo wanamuonyesha muonyesha ndo wamemueka kama kivutio ila sura za wanajeshi wenyewe wanazificha inchi inachezea kabisa ewe mcongomani utaamka lini?hivi unaamini wanyarwanda wanaweza piga wenzio kwa ujinga kama wenu?nyie waziwazi mnaonekana kusaliti inchi yenu kusalitiana wenyewe mumewekwa kuwa vilalo tu na hadi siku itakapokamilika mipango ya wanyarwanda ndo mutakumbuka kama yuda iskariote wenzenu mumainchi yao wanaeshimiana watanzania awawezi kuchezewa na wakeny wala warundi msako hufanyika tanzania hakunaga wakupinga ukiweka Ugadi juwa utaangamizwa na pasipo yeyote kusema lakini nyie lugha ya kifaransa inawapunguza ujanja na busara ninyi si werevu wenzenu wamejifunza uwerevu wakuishi na mgeni muinchi yao au yake wacongomani pendeni sana inchi yenu maana ndio matunda yenu mti wenu wa watunda mazuri ni inchi yenu utakayowatolea matunda mazuri ni congo yenu ikiwa mumeitunza na kuitetea po

  • @MoïseNamegabe-l7c
    @MoïseNamegabe-l7c 9 месяцев назад

    Hangera jeshi letu pamoja na réservistes wetu.

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Год назад

    Sasa Ilo Taifa Alina Wanajeshi Mpaka Mkavamia Laiya Waende Uko Mnapeleka Wananchi Kwani Congo Inapigana Na Nchi Jilani Au Wacongo Kwa Wacongo Wananchi Watumike Kukiwa Na Vita Ya Taifa Kwa Taifa Cha Msingi Jeshi Wawe Na Silaha Kali Na Wawaangamize Ao Waasi Kwa Taifa Lao Sasa Kuwatumia Vijana Wakati Jeshi Liko Sizani Kama Ndipo Kumaliza Vita

  • @Karabashinakove
    @Karabashinakove 8 месяцев назад

    Bobenga nga boyebi ngai vrainent bamalaya ici comme bango ngai vraiment merci

  • @DOLICEALCHARD
    @DOLICEALCHARD 7 месяцев назад

    Hongera sana serikali ya kenya kwa kutoa wanajeshi kwa ajiri ya kuongeza kikosi kazi Congo Mungu awapiganie mtashinda nawaombea mno Mungu awape utulivu jmn by vice president National Institute of Transport NIT

  • @Magalabyamungudesire
    @Magalabyamungudesire 7 месяцев назад

    Jambo Redio yetu muni weke mu groupe

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 Год назад +1

    Kagame na zelsky wana fanana akili zao

    • @alphadee9021
      @alphadee9021 Год назад +1

      You are comparing two different things. Ukrain / Zelensky is loosing. Kagame is not loosing anything. But Tshisekedi is loosing alot, Money to buy weapons, paying soldiers that he is renting to fight his battle, loosing golds. Rwanda Kigali is growing each and everyday. good on social media. Love Rwanda. From Ghana

  • @madahaman5402
    @madahaman5402 Год назад

    Hao vijana wakuje tu tutawaonesha sisi wapiganaji kuwa ni akinanani?

  • @Karabashinakove
    @Karabashinakove 8 месяцев назад

    Merci tozomona ezabino

  • @ATHUMANABDALLAH-e7c
    @ATHUMANABDALLAH-e7c 7 месяцев назад

    🎉🎉

  • @musametaao8569
    @musametaao8569 Год назад

    NASENGI NABASO MERCI NA2023.

  • @veronicamagesa1752
    @veronicamagesa1752 5 месяцев назад

    Mungu awasaidie aman ipatikane

  • @bashanafrank6778
    @bashanafrank6778 6 месяцев назад

    Team M23 ❤️

  • @MoiseSemasake
    @MoiseSemasake 6 месяцев назад

    Mungu awalide yot

  • @DOLICEALCHARD
    @DOLICEALCHARD 7 месяцев назад

    Mungu awapiganie watu wa Congo jmn

  • @LucienTshisuaka
    @LucienTshisuaka Год назад

    La RDC 🇨🇩🇨🇩 toujours likolo 🇨🇩🇨🇩

  • @TechCollege1
    @TechCollege1 11 месяцев назад

    Pore Sana wakaaji wa drc😢

  • @johnfaida-vv2ei
    @johnfaida-vv2ei Год назад

    Wanafiki Hao
    pia Wasaliti

  • @JohnnyAzabho
    @JohnnyAzabho 7 месяцев назад

    Ahhhh
    😂

  • @Karabashinakove
    @Karabashinakove 8 месяцев назад

    Nous somme comme nous etiion la en afrique broken

  • @luhalamoisembirize4565
    @luhalamoisembirize4565 Год назад

    N'a bado pale njo mwanzo

  • @kasendelukadi2047
    @kasendelukadi2047 Год назад

    Pour quoi dans cette armee on utilise pas les avions des combats?

  • @johnmasud8888
    @johnmasud8888 Год назад

    Hawa watu Soo kabisa

  • @alphadee9021
    @alphadee9021 Год назад

    Yiyi ni comedy kweri kweri

  • @danielmathengeofficialpage4058
    @danielmathengeofficialpage4058 Год назад +7

    I stand with you the youth of congo and say thank you for the sacrifice to liberate your nation . You have set a good example by being in the front line.God bless you as you defend your nation.

  • @JohnBaba-dg9rk
    @JohnBaba-dg9rk 6 месяцев назад

    Safi sana

  • @manyesulanews3624
    @manyesulanews3624 Год назад

    God will bless you a lot just fighting

  • @shadrackfrancis3973
    @shadrackfrancis3973 Год назад

    Duh

  • @yasminebanza8267
    @yasminebanza8267 Год назад

    Ah RDC

  • @zakariyaiyakaremye4658
    @zakariyaiyakaremye4658 Год назад

    Conho

  • @bizimanaeric8444
    @bizimanaeric8444 Год назад

    23

  • @richardnsafu5820
    @richardnsafu5820 Год назад

    RDC très fort

  • @ChiefLee-ub3uz
    @ChiefLee-ub3uz Год назад

    Chief Lee

  • @yusuphyunusi-zz1hx
    @yusuphyunusi-zz1hx Год назад +1

    Wanyarwanda mnayoyafanya congo na kumsapot kagame IPO siku mtalia kagame anawadanganya amewatengenezea maadui wengi East Afica

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 Год назад

      Aliko watoa kagama hawa Watusi ni mbalisana acha awatwange hao wazaire wa zamani hujui kua zaire iliwasapoti wahutu katka kuchinja Watusi enz za seseco afuu baada ya kagame kuwazidi nguvu wakakimbilia zaire nchi ya kongo ikawapokea wabaya wa rwanda acha kagame alipe damu iliyo mwagwa mwaka 94 niliumia saaaaana

    • @nairobinyeusi5811
      @nairobinyeusi5811 4 месяца назад

      ​@@AFRICA_D669 Wahutu ni wabantu. Na mkicheza na wabantu nikama kuchokoza simba. Africa mzima itakuja kumaliza hao watutsi

  • @abuukajembe5985
    @abuukajembe5985 Год назад +1

    Vzuri sana

  • @alphadee9021
    @alphadee9021 Год назад

    M23 strong soldiers.

    • @yusuphyunusi-zz1hx
      @yusuphyunusi-zz1hx Год назад

      There is no m23 but kagames forces but days are numbered

    • @alphadee9021
      @alphadee9021 Год назад +1

      @@yusuphyunusi-zz1hx Days have gone. May be after empty headed Kisekedi is defeated in the elections.

  • @Karabashinakove
    @Karabashinakove 8 месяцев назад

    Playing with congo is playing with america do you know the rest respect forever

  • @mongodiankenda7612
    @mongodiankenda7612 Год назад

    C'est bon.

  • @emmanuelchiza7733
    @emmanuelchiza7733 Год назад

    DRC akikisheni shida zilizo ikumba goma mnaziamishia rwanda ili nawao wa onje hii shida wanayo pata wacongolise