Msungo Part 1 - Madebe Lidai & Aurelia Damas (Official Bongo Movie)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 404

  • @janeloy6550
    @janeloy6550 5 лет назад +22

    madebe filamu zako nzuri sana na tena unafata maadili ya kiafrika wahusika hawavai utupu

  • @colonelghadafi.4806
    @colonelghadafi.4806 4 года назад +8

    Hongera kama madebe kwa kucheza filamu nzuri yenye uasilia wa kiafrika.more love from Kenya 🇰🇪

  • @hjhj6230
    @hjhj6230 5 лет назад +16

    Hongera kwa Madebe moves zina stara namaanisha mavaz sio mapaja wazi kifua wazi na zinamafunzo

  • @abdulwadud2546
    @abdulwadud2546 5 лет назад +164

    Nipe like kama wataka madebe awe msanii bora Afrika...🙌🙌

  • @collinsshehi2588
    @collinsshehi2588 3 года назад +6

    Kwa kweli wee ni mwalimu,kwa kila aziangaliae movie zako na kujifunza

  • @ZachariaKoroso
    @ZachariaKoroso Год назад

    Your movies are amaizing madebe because you are the teacher of life
    Teach the world 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @maxdida8303
    @maxdida8303 2 года назад +4

    Nabii is the best of the best in Tanzania am your big fun from Saudia.

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis1261 5 лет назад +12

    Huyu kwa nn hapatiwi tunzo anastahiki madebe❤️❤️❤️❤️❤️

  • @bihizaclement9868
    @bihizaclement9868 5 лет назад +6

    Mungu awabarik uongoz mzima Wa tz kurudisha Bongo move nakupenda nabii mswaili🙏

  • @ustadhbilal3641
    @ustadhbilal3641 5 лет назад +76

    et tuweze kuzitumia jinsia zetu kwa maaana ya jinsia zenyewe....kama umeukubali msemo huuu gonga like hapo...

    • @mussajotta711
      @mussajotta711 4 года назад

      Kazi nzuri madebe vijana wanaolingia magari ya baba zao au mama zao watupishe wenye baiskeli zetu

  • @godifalsafa6956
    @godifalsafa6956 5 лет назад +1

    Hii ndio maana halisi na pekee ya fasihi kuangaza na kutazama katika kulinda utamaduni na amali zake hongera sana kazi nzuri kwa kudumisha utamaduni wetu

  • @suzanaramadhan1141
    @suzanaramadhan1141 5 лет назад +7

    Me namkubali sana uyu mama kwa kweli

  • @Mr_him_by_nature
    @Mr_him_by_nature 10 месяцев назад

    Kipenzi cha watanzania, madebe lidai, all the best❤❤❤

  • @ericksen335
    @ericksen335 Год назад +1

    Like your movies very great

  • @silveriashiveka8305
    @silveriashiveka8305 2 года назад +2

    Hakuna mpinzani kwako ndugu madebe,, fasii n yako, Respect 🏅

  • @jydsonnzanzu1090
    @jydsonnzanzu1090 2 года назад +1

    Shukrani madebe,wewe ni mwalimu

  • @allytimamy7815
    @allytimamy7815 6 лет назад +7

    Hongera kwa muiguzaji wangu mpendwa bwana Madebe Lidai.

  • @vdjmfidah3074
    @vdjmfidah3074 2 года назад +5

    The best actor in the world congrats madebe lidai

  • @mariadavid2298
    @mariadavid2298 6 лет назад +52

    Madebe your the best🤗, watching from India.!

    • @kylerwalter1308
      @kylerwalter1308 3 года назад

      Sorry to be offtopic but does someone know a trick to get back into an instagram account?
      I somehow lost my password. I would appreciate any help you can give me!

    • @alijuma1645
      @alijuma1645 2 года назад

      Punguzeni mabod unangalia mpaka unachoka mchezo bado

  • @amosmagundo7518
    @amosmagundo7518 6 лет назад +47

    Twapenda movie zako madebe uko Kenyan aujawai kutuangusha

  • @shabirabdy3272
    @shabirabdy3272 5 лет назад +37

    kweli Mzee, Mtu Akikushinda Kwa Kusema Nawe Mshinde Kwa Kunyamaza..

  • @raphaelngogo2645
    @raphaelngogo2645 6 лет назад +7

    Sijaona !!!!!!madebe hatariiiiiiii me nimpenda sana movie zako

  • @melkiorybrendan7017
    @melkiorybrendan7017 4 года назад +2

    Upo vzuri sana brother madebe lidai Salute.

  • @ombenikisunga5059
    @ombenikisunga5059 5 лет назад +38

    Pumbavu madebe unajua saaaana hadi unaboaa , nakupenda saaaana

  • @obviousmphande8621
    @obviousmphande8621 5 лет назад +15

    Madebe ongera kwakipawa ulichopewa na Mungu.

  • @mosesnjoroge3596
    @mosesnjoroge3596 3 года назад +1

    Asante kwa kazi yako nzuri ya kuelimisha jamii

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Год назад

    Uyu Mama Nampenda Bure ❤❤❤Tena Akuna Move Ninayoipenda Kma Ya Watu Wachache Kma Hii Watatu Au Waine Uwa Iko Vizuri Sanaaa❤❤❤❤

  • @humphreynduye6239
    @humphreynduye6239 4 года назад +12

    Tuache uhandsome jamn huyu madebe kwa voko zake hizi hivi kuna mwannamke atakataa kweli mana s kwa mistari hii

  • @anthonynjoroge2638
    @anthonynjoroge2638 2 года назад +1

    Kazi nzuri kabisa

  • @AntonyStarboy
    @AntonyStarboy 2 года назад

    Naweza kutazama hii filamu mara tena na tena bila kuchoka. Madebe Lidai nakupenda bure

  • @thepresidentvdjbecar5547
    @thepresidentvdjbecar5547 5 лет назад +14

    Kazi mzuri LP media,heka like kama wapenda Nazi LP media

  • @AliMohamed-bp5ji
    @AliMohamed-bp5ji 5 месяцев назад

    Nyinyi made be, na wale shilngi yamajinamengi, mnausiano, basic nisalimieni, unaona siwaoni.

  • @azeezaabdalla4673
    @azeezaabdalla4673 4 года назад +5

    Madebe Kaka nipo pamoja na wewe inshallah

  • @angelangel-wq4sx
    @angelangel-wq4sx 5 лет назад +14

    D.R.Congo tunahangali madebe lidai 25/05/2019

  • @bahati21
    @bahati21 5 лет назад +20

    Burundi 🇧🇮 big up madebe

  • @amosraphael6737
    @amosraphael6737 5 лет назад +5

    Daaaaa!!!!!! Kila siku nanunua mb kwa ajili ya madebe. Madebe saluti kwako kaka

  • @peninadauson158
    @peninadauson158 4 года назад +2

    Madebe ww nomaa sana sijawayi kukosa movie yako 👋👋👋

  • @sowanaandsonakshi9385
    @sowanaandsonakshi9385 6 лет назад +9

    Madebe salut kabisa
    Iyi misemo yako
    Uwa inani malizatu
    Wenoma sana kweli Nic 😘😘😘😘

  • @andersonmvita8921
    @andersonmvita8921 2 года назад

    Congratulations madebe wcthng at kanairo kenya

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 6 лет назад +9

    Kosa la kutotaja jina la eneo husika bado linaendelea. Movie nzuri iko poa sana.

  • @shasmahassan1880
    @shasmahassan1880 3 года назад

    Kaka good job unafanya mung akupe maisha malef

  • @pascaltzamosi1905
    @pascaltzamosi1905 5 лет назад +3

    Bro madebe move zako zinanifunza xana nashukul tuko pamoja

  • @omkamasamson9050
    @omkamasamson9050 5 лет назад +26

    madebe una IQ ya hali ya juu kazi nzuri unazofanya

  • @mosesmoses1429
    @mosesmoses1429 2 года назад

    Hongera Sana brother madebe kwa kunifundisha kitu

  • @agnessestoni5631
    @agnessestoni5631 5 лет назад +12

    Kaka made bee ww ni star unadumisha tamadun ya Tz safiiiiiiiiii

    • @tarzan1739
      @tarzan1739 4 года назад

      Bro madebe upo vizuli mungu akujalie

  • @abuumo9637
    @abuumo9637 6 лет назад +2

    So very very very nice

  • @mayungalukas1374
    @mayungalukas1374 3 года назад

    Uko.vzr sana madebe lidai

  • @zamberimturi5593
    @zamberimturi5593 Год назад

    Masanga kma Masanga nimekusoma madebe we ni nomaaa

  • @swalhashabani2487
    @swalhashabani2487 3 года назад +1

    Madebe atari kwenye movie ya joka la Kijiji aaaanh ile atari ww noma madebe

  • @alvinedefanny2502
    @alvinedefanny2502 5 лет назад +11

    madebe is the bonge acta aisee sijapata ona

  • @RamboMathaayo-mn1ix
    @RamboMathaayo-mn1ix Год назад

    🎉 maana halisi ya neno kioo cha jamii #Madebelidai

  • @salmamussa4604
    @salmamussa4604 5 лет назад +3

    uyu mama nampenda sana anajua kuigiza

  • @Lumegilemukata
    @Lumegilemukata 4 года назад +3

    movie kama hii unaiqchaje kuisapot,big up walioshiliki

  • @feisaltunwa6147
    @feisaltunwa6147 2 года назад

    Kaka hongera sana washa moto nakukubari sana

  • @kilutilekituyanuya3274
    @kilutilekituyanuya3274 5 лет назад +10

    Tunaomba meendelezo wa nabii mswahili part7

  • @joabsifunawandabusi839
    @joabsifunawandabusi839 Год назад

    Madebe kweli ushakida mizizi kwn mistari

  • @henry1933
    @henry1933 5 лет назад +2

    Nimeanza kuangalia bongo movie sasa

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 6 лет назад +5

    Mashallah, kazi nzuri safi sana nayakupendeza.ongera sana producer Madebe lidai na wenzako mloshirikiana

  • @samkirwa3572
    @samkirwa3572 3 года назад +1

    Daaaaah, nice movie, Lidai Madebe umeweza

  • @linusmark4140
    @linusmark4140 2 года назад

    Thanks kwa kazi nzuri unayoifanya mungu akuzidishie nguvu💪

  • @bwanamtaa3427
    @bwanamtaa3427 2 года назад

    shujaa siku zote huheshimiwa nawakubali wachezaji wote walioshiriki na wazidi

  • @brightonvalentino9024
    @brightonvalentino9024 6 лет назад +18

    Dahh madebe hatary Sana unanifundisha na unanichekesha misemo yakoo

  • @tunuyaomar5017
    @tunuyaomar5017 5 лет назад +14

    Huyu jamaa maneno yake mengine unaweza kucheka peke yako kila mala.eti nataka tuweze kuzitumia jinsia zetu kwa maana ya jinsia zenyewe!!! Hatari sana yaani 🤣🤣🤣😍....

    • @kenedygeorgeernest2803
      @kenedygeorgeernest2803 5 лет назад

      ZUBEDA MBWITA kungwiiii unaniitaaa kungwi da noma xana

    • @johncheng0610
      @johncheng0610 5 лет назад

      Huku kaka nakwambia mafumbo yake akuna msichana anaweza ruka🤣😂😁😃😅

    • @isiakakhalid2890
      @isiakakhalid2890 5 лет назад

      ZUBEDA MBWITA hahah

  • @dannielbosco2177
    @dannielbosco2177 6 лет назад +16

    Unajuwa mpaka naboreka naujuzi ulionao yani natamani mm niwe ndio wewe nawe uwe ndio mimi kudadadeki MADEBE LIDAHI new KANUMBA RESPECT

    • @shaibusymon7058
      @shaibusymon7058 5 лет назад

      Kila nikiweka bando lzm nianze na Madebe penda sn your movie

    • @ummyaly3132
      @ummyaly3132 5 лет назад +1

      Danniel Bosco na mkubal sana kaka madebe

  • @jestinasanga1940
    @jestinasanga1940 3 года назад +1

    Chapa mwendo kazi zur

  • @halimameledy6926
    @halimameledy6926 3 года назад +7

    Kama unatizama kama mm November gonga like tujuane

  • @ameirsaleh5289
    @ameirsaleh5289 2 года назад

    Hongera madebe

  • @glorymwakionya2572
    @glorymwakionya2572 6 лет назад +8

    My favourate actor...😍

  • @halimaomar2795
    @halimaomar2795 4 года назад

    Nice movie ad interesting

  • @charlesbarnabas1998
    @charlesbarnabas1998 3 года назад +1

    Daaaàah bonge la movie

  • @sebastianjames3403
    @sebastianjames3403 5 лет назад

    Ww ni bara Sana Madebe we no msani kweli kwasababu unavaa uhusika kweli.

  • @brightonvalentino9024
    @brightonvalentino9024 6 лет назад +46

    Daahhh. Madebee
    producer wewe
    Director wewe
    mwandishi wewe
    hatary sanaaa

  • @mzunguwiseman5774
    @mzunguwiseman5774 5 лет назад +2

    untoucheble

  • @josephramsonmtukufu3149
    @josephramsonmtukufu3149 5 лет назад +15

    Kwa kweli huwa napendaga mithali za madebe

  • @alphoncekimariyo7071
    @alphoncekimariyo7071 5 лет назад +1

    Nafurahia kutazama asili yangu madebe unanifunza mengi ya nn kutazama korea movie ambazo hazinipi maadili ya nyumbani. Nimezaliwa nyumbani na nacheza nyumbani

  • @bimenyimanahidjadjabiru6264
    @bimenyimanahidjadjabiru6264 4 года назад

    Hidja Djabiru kutoka Uganda nakupenda Sana madebe we unajua kbs

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 4 года назад

    Madebe weh nakwita tena madebe unajua sana dah

  • @marcusmeshack3106
    @marcusmeshack3106 3 года назад +1

    Kamanda unapasua Anga wakimbize Ao

  • @wemamhewa702
    @wemamhewa702 3 года назад

    Madebe upo vizuliii san😘 mungu akupe maisha malef

  • @lindoabilio-qw1lg
    @lindoabilio-qw1lg Год назад +1

    Madebe es o melhor ti accompany em Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 your es the best.

  • @thomasibaraka7920
    @thomasibaraka7920 5 лет назад +1

    Upo vzr Mr Madebe, tunakunda wanaharkat wote.

  • @halifahamis8385
    @halifahamis8385 4 года назад +1

    Madebe movie zako znaonesha uharcia wa maisha

  • @RamadhaniAbdala-o7n
    @RamadhaniAbdala-o7n 3 месяца назад

    Ubalikiwe sana

  • @irenekaijage8570
    @irenekaijage8570 5 лет назад +7

    watching from china

  • @masanjambeho5658
    @masanjambeho5658 5 лет назад +2

    Madebe umeingiza vizur cna movie zako hongela sana

  • @ayubujackson5782
    @ayubujackson5782 5 лет назад +1

    Madebe unajua mpaka unakela kabisa ,we noma

  • @rashidykhery4105
    @rashidykhery4105 5 лет назад +1

    vzr madebe kwangoma zako Kali Kali kweli

  • @thomasmichael3171
    @thomasmichael3171 3 года назад +1

    Aisee uyu jamaa n nomaa saana

  • @amosimwangonji6891
    @amosimwangonji6891 5 лет назад +1

    Drc lubumbashi +243 nakubali kaka madebe na wote mliowezesha kazi hii penda sana

  • @ريناء-ك5و
    @ريناء-ك5و 6 лет назад +4

    Nice film

  • @sirngopo172
    @sirngopo172 6 лет назад +66

    Madebe ww hodari tanzani nzima hawakuwezi ila zidisha juhudi wataisoma namba kk

  • @dripcutdifferent011
    @dripcutdifferent011 6 лет назад +5

    Movie nzuri sana #MADEBE Hongera

  • @marykates5001
    @marykates5001 5 лет назад

    Kazi nzuri madebe picha zako zinaelimisha sana,Mungu akubariki zaidi.

  • @vicentstephano5589
    @vicentstephano5589 5 лет назад +10

    Upojuu madebe ndani nanjee yanchi

  • @RuthNampemba-fz9ue
    @RuthNampemba-fz9ue 3 месяца назад

    thats awesome bro🙏🙏🙏

  • @jamesmwalatuson253
    @jamesmwalatuson253 4 года назад +1

    Napenda Sana maigizo yako kaka yana mafunzo ya ajabu sana#keepitup

  • @mercychebor3418
    @mercychebor3418 2 года назад +1

    movie iko juu sana🔥🔥

  • @dicksondicksonstivene9295
    @dicksondicksonstivene9295 6 лет назад +11

    Duh madebe naisubiri hyo kiberiti kimewashwaaaaaaaa na kimewakaaaaaaa

  • @hawasaid8262
    @hawasaid8262 4 года назад +2

    Nice 😘😘

  • @amiryshadrack4004
    @amiryshadrack4004 3 года назад

    Yani hili limama halojawahi kuwa na roho nzuri