Hii ndio maana halisi na pekee ya fasihi kuangaza na kutazama katika kulinda utamaduni na amali zake hongera sana kazi nzuri kwa kudumisha utamaduni wetu
Sorry to be offtopic but does someone know a trick to get back into an instagram account? I somehow lost my password. I would appreciate any help you can give me!
Huyu jamaa maneno yake mengine unaweza kucheka peke yako kila mala.eti nataka tuweze kuzitumia jinsia zetu kwa maana ya jinsia zenyewe!!! Hatari sana yaani 🤣🤣🤣😍....
Nafurahia kutazama asili yangu madebe unanifunza mengi ya nn kutazama korea movie ambazo hazinipi maadili ya nyumbani. Nimezaliwa nyumbani na nacheza nyumbani
madebe filamu zako nzuri sana na tena unafata maadili ya kiafrika wahusika hawavai utupu
Uko vzr
Hongera kama madebe kwa kucheza filamu nzuri yenye uasilia wa kiafrika.more love from Kenya 🇰🇪
Hongera kwa Madebe moves zina stara namaanisha mavaz sio mapaja wazi kifua wazi na zinamafunzo
Nipe like kama wataka madebe awe msanii bora Afrika...🙌🙌
Nc
Hana mpinzani kwa saiz
yaani anatesa kweli
Penda Sana madebe
Yuko vizur jamaa
Kwa kweli wee ni mwalimu,kwa kila aziangaliae movie zako na kujifunza
Your movies are amaizing madebe because you are the teacher of life
Teach the world 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nabii is the best of the best in Tanzania am your big fun from Saudia.
Huyu kwa nn hapatiwi tunzo anastahiki madebe❤️❤️❤️❤️❤️
Mungu awabarik uongoz mzima Wa tz kurudisha Bongo move nakupenda nabii mswaili🙏
et tuweze kuzitumia jinsia zetu kwa maaana ya jinsia zenyewe....kama umeukubali msemo huuu gonga like hapo...
Kazi nzuri madebe vijana wanaolingia magari ya baba zao au mama zao watupishe wenye baiskeli zetu
Hii ndio maana halisi na pekee ya fasihi kuangaza na kutazama katika kulinda utamaduni na amali zake hongera sana kazi nzuri kwa kudumisha utamaduni wetu
Me namkubali sana uyu mama kwa kweli
Kipenzi cha watanzania, madebe lidai, all the best❤❤❤
Like your movies very great
Hakuna mpinzani kwako ndugu madebe,, fasii n yako, Respect 🏅
Shukrani madebe,wewe ni mwalimu
Hongera kwa muiguzaji wangu mpendwa bwana Madebe Lidai.
The best actor in the world congrats madebe lidai
Madebe your the best🤗, watching from India.!
Sorry to be offtopic but does someone know a trick to get back into an instagram account?
I somehow lost my password. I would appreciate any help you can give me!
Punguzeni mabod unangalia mpaka unachoka mchezo bado
Twapenda movie zako madebe uko Kenyan aujawai kutuangusha
amos magundo napenda movie zako kk unamuonekano wako tofauti
amos magundo hiyo tamu
kweli Mzee, Mtu Akikushinda Kwa Kusema Nawe Mshinde Kwa Kunyamaza..
Hakika n mwandishi bora
Sijaona !!!!!!madebe hatariiiiiiii me nimpenda sana movie zako
Upo vzuri sana brother madebe lidai Salute.
Pumbavu madebe unajua saaaana hadi unaboaa , nakupenda saaaana
Kwel yan hatar
Hhhh pambe
Madebe ongera kwakipawa ulichopewa na Mungu.
Asante kwa kazi yako nzuri ya kuelimisha jamii
Uyu Mama Nampenda Bure ❤❤❤Tena Akuna Move Ninayoipenda Kma Ya Watu Wachache Kma Hii Watatu Au Waine Uwa Iko Vizuri Sanaaa❤❤❤❤
Tuache uhandsome jamn huyu madebe kwa voko zake hizi hivi kuna mwannamke atakataa kweli mana s kwa mistari hii
Kazi nzuri kabisa
Naweza kutazama hii filamu mara tena na tena bila kuchoka. Madebe Lidai nakupenda bure
Kazi mzuri LP media,heka like kama wapenda Nazi LP media
Nyinyi made be, na wale shilngi yamajinamengi, mnausiano, basic nisalimieni, unaona siwaoni.
Madebe Kaka nipo pamoja na wewe inshallah
D.R.Congo tunahangali madebe lidai 25/05/2019
Burundi 🇧🇮 big up madebe
Woow Burundi!!,big up Madebe lidai
Daaaaa!!!!!! Kila siku nanunua mb kwa ajili ya madebe. Madebe saluti kwako kaka
Madebe ww nomaa sana sijawayi kukosa movie yako 👋👋👋
Madebe salut kabisa
Iyi misemo yako
Uwa inani malizatu
Wenoma sana kweli Nic 😘😘😘😘
sowana and sonakshi saf xana kaka
Gud madebe
Katisha SAna
@@nasrasaid8877 mwalim mkuu
Congratulations madebe wcthng at kanairo kenya
Kosa la kutotaja jina la eneo husika bado linaendelea. Movie nzuri iko poa sana.
Kaka good job unafanya mung akupe maisha malef
Bro madebe move zako zinanifunza xana nashukul tuko pamoja
madebe una IQ ya hali ya juu kazi nzuri unazofanya
Hongera Sana brother madebe kwa kunifundisha kitu
Kaka made bee ww ni star unadumisha tamadun ya Tz safiiiiiiiiii
Bro madebe upo vizuli mungu akujalie
So very very very nice
Uko.vzr sana madebe lidai
Masanga kma Masanga nimekusoma madebe we ni nomaaa
Madebe atari kwenye movie ya joka la Kijiji aaaanh ile atari ww noma madebe
madebe is the bonge acta aisee sijapata ona
🎉 maana halisi ya neno kioo cha jamii #Madebelidai
uyu mama nampenda sana anajua kuigiza
movie kama hii unaiqchaje kuisapot,big up walioshiliki
Kaka hongera sana washa moto nakukubari sana
Tunaomba meendelezo wa nabii mswahili part7
Madebe kweli ushakida mizizi kwn mistari
Nimeanza kuangalia bongo movie sasa
Mashallah, kazi nzuri safi sana nayakupendeza.ongera sana producer Madebe lidai na wenzako mloshirikiana
Zula Chama kazi nzuriii hatariiiii
Daaaaah, nice movie, Lidai Madebe umeweza
Thanks kwa kazi nzuri unayoifanya mungu akuzidishie nguvu💪
shujaa siku zote huheshimiwa nawakubali wachezaji wote walioshiriki na wazidi
Dahh madebe hatary Sana unanifundisha na unanichekesha misemo yakoo
Huyu jamaa maneno yake mengine unaweza kucheka peke yako kila mala.eti nataka tuweze kuzitumia jinsia zetu kwa maana ya jinsia zenyewe!!! Hatari sana yaani 🤣🤣🤣😍....
ZUBEDA MBWITA kungwiiii unaniitaaa kungwi da noma xana
Huku kaka nakwambia mafumbo yake akuna msichana anaweza ruka🤣😂😁😃😅
ZUBEDA MBWITA hahah
Unajuwa mpaka naboreka naujuzi ulionao yani natamani mm niwe ndio wewe nawe uwe ndio mimi kudadadeki MADEBE LIDAHI new KANUMBA RESPECT
Kila nikiweka bando lzm nianze na Madebe penda sn your movie
Danniel Bosco na mkubal sana kaka madebe
Chapa mwendo kazi zur
Kama unatizama kama mm November gonga like tujuane
Hongera madebe
My favourate actor...😍
Nice movie ad interesting
Daaaàah bonge la movie
Ww ni bara Sana Madebe we no msani kweli kwasababu unavaa uhusika kweli.
Daahhh. Madebee
producer wewe
Director wewe
mwandishi wewe
hatary sanaaa
Iko powa
Uyo MTU noma
I like it
kila kitu anamalz mwnyw
Huyu n mfalme zaidi ya kanumva
untoucheble
Kwa kweli huwa napendaga mithali za madebe
Nafurahia kutazama asili yangu madebe unanifunza mengi ya nn kutazama korea movie ambazo hazinipi maadili ya nyumbani. Nimezaliwa nyumbani na nacheza nyumbani
Hidja Djabiru kutoka Uganda nakupenda Sana madebe we unajua kbs
Madebe weh nakwita tena madebe unajua sana dah
Kamanda unapasua Anga wakimbize Ao
Madebe upo vizuliii san😘 mungu akupe maisha malef
Madebe es o melhor ti accompany em Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 your es the best.
Upo vzr Mr Madebe, tunakunda wanaharkat wote.
Madebe movie zako znaonesha uharcia wa maisha
Ubalikiwe sana
watching from china
Nice Job Brother God bless you and your job.
Madebe umeingiza vizur cna movie zako hongela sana
Madebe unajua mpaka unakela kabisa ,we noma
vzr madebe kwangoma zako Kali Kali kweli
Aisee uyu jamaa n nomaa saana
Drc lubumbashi +243 nakubali kaka madebe na wote mliowezesha kazi hii penda sana
Nice film
Madebe ww hodari tanzani nzima hawakuwezi ila zidisha juhudi wataisoma namba kk
da! Noma sana huyu jamaaa
Kweli tupu,namwona mrithi wa Kanumba uyoooooo
Movie nzuri sana #MADEBE Hongera
Kazi nzuri madebe picha zako zinaelimisha sana,Mungu akubariki zaidi.
Upojuu madebe ndani nanjee yanchi
thats awesome bro🙏🙏🙏
Napenda Sana maigizo yako kaka yana mafunzo ya ajabu sana#keepitup
Nice movie bro
movie iko juu sana🔥🔥
Duh madebe naisubiri hyo kiberiti kimewashwaaaaaaaa na kimewakaaaaaaa
Nice 😘😘
Yani hili limama halojawahi kuwa na roho nzuri