Akiwa amesimama gizani, Lisa alikuwa anaumia sana hivi kwamba alishindwa kupumua. Alikuwa amefanya nini hasa? Kwanini kila mtu alimtenda hivi? Alikuwa amevuliwa utu wake.
Ankojay congratulations bro..ur sweet voice uou make it really ...listening from USA...Texas......please leta part 03 ..nampenda lisa sana na Alvin❤❤❤❤
PART 03 YA LISA 👇ruclips.net/video/IBcPDoR9XYQ/видео.htmlsi=KrrTbPx7xXXIfcd5
Nzuri sana
Ahsante saana mungu akubariki Anko Jay Lisa anateseka juu ya familia yake na bila sababu mungu ampiganie kweli.❤❤
Kuish na mwanaume kama Elvin ni zaid ya swali mana hana upendo kabisa❤❤❤
Ana roho nyeusi sana
Hata kama ni weweee ungefanyajeee,
We Ankojay wakenya niwarembo haswa acha maneno yako😂😂😂
ankojy tuletee muendz wa binti lisa jamani unai chelewesha sana bhna 🎉🎉🎉🎉
Wa kwanza kama kawaida yangu chezea kulala you tube kwenye simulizi za anko Jay 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Anko jay shukran sana sana kwa simulizi mzuri yani wacha tu natamani kusubiria part three very nice one ❤❤❤❤❤❤
Jmn nime chelewa ten 😢ila simbaya Asante sana anko jay mapesa😅😅😅🎉🎉 nakuku bali sana
So sweet 💗💕 story haki ni tamu tena sana mungu akubariki sana anko Jay wetu kipenzi
Haya leo ni leo mambo ni moto 😂😂😂😂anko asante xn ❤❤❤❤
Kujeni kujeni kitu moto kwa hewa nishawahi kama kawaida 😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
Wow kazi nzuri kaka,listening from Kenya,much ❤
😂😂aiseee,, wadau ,, hii ndoa, ya lisa na , alvani ,, duuu nikizazaaa, aiseeee mhh , kama ndoa zenyewe ndo hiziii,, bora nikae singo
Yaaan,daaah
Daaaah Lisa Pole sana....Lkn Mungu hamfichi Mnafiki...soon utafurahia 😢😢😢Ndugu tunadidimizana Namna hii.
Ankojay congratulations bro..ur sweet voice uou make it really ...listening from USA...Texas......please leta part 03 ..nampenda lisa sana na Alvin❤❤❤❤
Nimeumia aki jamani dadangu lisa jamani ulikosea wapi jamani🥹🥹🥹🥹😥😥pole sana dada naumia kweli asate Ankoj kwa kazi zuri sana ❤❤❤❤❤Love you so mach
Subutu anko jay sisi wakenya ni warembo bwana😅😅
Bora useme ww coz anko J atuangalia Kwa uoga
Nawakubali hata mie
This story is super nice,kudos Anko J
Duuuh Lisa pole sana kipenzi mungu atawalipia
Asante anko kwa simulizi hii nzuri yenye kuburudisha kuelimisha na kuhuzunisha❤❤❤❤
Jaman binti lisa😢😢lakini mwisho we utakuja kufrai😊😊😊
We umeshaisoma yote?
Hakika
Mashallah anko Jay Allah akubariki sana tunakupenda sanaaaa habibi
Mwenyezi mungu ampinganie lisa kwakeliatashda vita hivi
😂😂kila mtu wa kwanza aya na mimi wa mwisho tuone lisa atafanikiwa kuwa shangazi
Hata sio wa mwisho
Mie wa 265
Nataman sana binti lissa afanikiwe na wale waliomdharau nione watafanya nin?
Kazi nzuri sana anko jay
Wa kwanza leo ❤❤❤ thanks sana kwa simulizi poa
Ahasante sana Anko jay Kwa mwendelezo ❤❤❤❤🇴🇲🇴🇲
Leo nimekua kwenye kumi bora na mm dhaaa much love from saudi Arabia
Representing kenya niko ndaani🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Good job 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊😊
Jamani lisa❤❤
Apo sawa ankojay nikwa nayisubiri kwa hamu jamani😂😂
Ankojay nisamhe sn nimesikilza lisa kuchelewa kwa sababu ambazo ya mbz but niko pamoja na ww❤❤❤❤❤😢
Mimi wa mwisho 😅😅nipeni like zangu
Mim wa 265
@@RahelIbrahim-id2li 😅😅😅
Kwann wanamtesa sana dada lisa😅❤❤❤
Sijui kwa kweli
Wakenya😂tumeambiwa tukule chakula cha paka,le pus pus,,hatuna shepu bora etii..😅😅😂😂😂😂❤ kudadadeki anko
Hii inatoka Kila baada ya siku ngapi ❤❤❤🔥🔥🔥
Nzur sana
Simulizi tamu kweli achia ya tatu Ankojay ❤
Dah pole sana lisa😢
Ahsante Ankojay acha ni 🪑🎧😅
Thanks Ankojay ❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 pamoja
Nipo apa nimekaa 🧘♀️anko J naisubiri kwa hamu sehemu 3 jamani 🎉🎉
🎉🎉🎉🎉 maskini Lissa❤❤
🎉🎉🎉Good job ❤ ❤ 🎉🎉
Finally I'm the number one 🎉
Wa61 jamani nipeni like zenu teletele 😂😂😂♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Wew umewahi saana ,,mie 265
Ahsante sana Anko Mahela kwa muendelezo wa simulizi yetu iliyo nzuri,bado tutakuwa pamoya,shukran sana kwa kazi yako nzuri.
Wazazi wazazi wazazi juweni maneno yakuwambiya watoto wenu
Acha tu yanii mtihani
Lisa pole mungu atakulipia mpenzi
Pole sana Lisa😭😭❤❤
Taratibu jamani😂😂naomba like 1 tu
Ahsante ❤❤❤❤❤nimekarribia
Sawa Kaka nakuelewa sana asante
Mmmh kwani mm napata simulizi late 😢sijapenda anyway twende nalo 🎉🎉🎉🎉
Wa kwanza leo❤❤❤❤
Nyingine kwa mpigo basi 😂😂
Pole sana lisa
Tamu sana 😊
Daah mpk nimelia mateso anayo pitia Lisa pole san ukitok salam akikisha unalip kisasi ten cheny maumiv na hao
Kweli hata mie najisikia vibaya
Better late than never .. nsha jiwakilisha kwa part 2 .. thanks Anko Jay for this intresting story
💃💃💃💃💃wow nimewahi kwa ndoa ya wengi😂😂😂
ᴬʸᵃ ˡᵉᵒ ⁿⁱᵒⁿᵉ ʷᵉⁿʸᵉ ʳᵒʰᵒ ᵐᵇᵃʸᵃ😂😂😂
Mbona part 3 amna ankojay??
Kama ipo ilete
😢😢😢Duh huyu dada anapitia magumu sana
Sana jaman
Loo.nimechelewa ila nimefika acha nipate kitu roho inapenda 🎉🎉🎉❤❤❤❤ safii sana Ankojay mach love ❤❤❤😊
Wakwanza mie❤❤❤❤❤
Anko J happy 2024. May God keep you, increase you and bless you and your good work
Ankjay tunasubili tu mwisho wake maan naamin mwish wake utakuwa nzuri tu
Good job ankojay allah akubariki
Aaah watu mnakimbia banaa yni mnasubiri2 anko jey update new simulizi wa2 haoo...anko jay ulishaturogaa katutegueee😂😂😂
Ubarikiwe uncle
Asante kwa muendelezo Anko j 🙏❤️❤️❤️🎉🎉
kumbee teyari haya tunasikiliza hapa ankojay maana tujuwe mwisho wakee BINTI LISA 🥰🥰🥰
❤❤❤❤❤❤ from Kenya
Wow nice 🎉🎉❤❤❤
Mwanamme jeuri huyu Lisa nae mvumilivu
Mvumilivu sana
Waoow thenkes allot ankojay ❤❤❤❤❤
Leo niko top.ten team fulus
Team isio toka online 😂😂😂😂
Online ndio itatupea furaha na kututia nguvu
😂😂😂😂watu wenye mnalala humu humu tuu
Simulizi ni tamu kama ya X ..waoh...maskini LISA😢😢😢
Asante anko jay kwa simulizi tamu❤❤❤ mungu habaliki mikono ya kazi yako❤❤
Asate sana ako Jay ubalikiwe sana
To be continued 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Heiwaaa😂thanks anko j 🇰🇪🇸🇦
Atar sana 🙋🙋🙋
Weeh ppl go through pole.lisa bt we wish all the best with Alvin can't wait for part 3 ankojay as usual we i love you so much❤❤❤❤ kipenzi changu
Alvin mchaluko leo amesifia duh😂😂😂😂😂❤❤❤
Lisa pole sana hayo yote yatapita Mungu akusaidie
Sijuuw.uyuka.ni.dada.anarobayaa😅😅
Wakwanzaaaa🎉🎉🎉
Asante sana ankojay hatimae part2 imetoka maana nimeisubr sana
❤❤❤❤🎉🎉
Leo zam yangu naomba like zenu
Chukua hizo mama
Like zako kama zote
Dah story nzuri sana! ❤
Am so happy with this story 😊
Maskinii lisa anapitia magumu jamanii😢ila yana mwisho wake
Nimewahiiii
Yani inauma sana pole Lisa ila wazazi jamani mbona tufikie huku😢😢
Jamani leo zam yangu like zenu
Wow Asante Anko jay❤