Jamani mbona ni mambo ni mangumu kwa Lisa ameyatimba rafiki yake uyu sio poa ya yy bila kufikiliya amekuvari kufanya ujinga Sasa sijui itakuwaje hila kakayang anampenda yataisha tu hila samu nae amerudi umbeya mapenzi Shikamoo jamani nimecheka mm simulizi ni tamu mnooooooo Ankojay hongera mnooooooo na temu yako ❤❤ tunawapenda jamani
Lisa pole 😂😂😂Sas cjuw utabaki na Alvin au utakwenda kwa kelvin ukijuw ukwel tunasbri muendelezo tujuw mwsho wke ila vzr ungebaki na Alvin ndo mnaendana jpo ushamkera 😂😂😂😂
Mmmm wanafamilia wenzangu hamlali najua nimechelewa lkn nipo hapa kwa sasa tuna enjoooy pamoja natumain hamjambo wanafamilia wa anko mapesa naomben like zenu plz 🎉🎉😊
LISA PART 04 👉 ruclips.net/video/AJ581ykP89A/видео.htmlsi=Lg_Hng06q4NfOqzv
Akili za kuambiwa changanya na zako dear marafiki siku zote wanakushauri mema na mabaya pia
Kweli
Khaa Alvin anagubu kweli 😂
lla gubu lake ni zuri maana linafurahisha
Mungu kubaliki anko jay
Oo oh 😊,, hakika nlikuw nasbiria kwaham ❤❤ kuskia simuliz tamu kutoka kwa mkaka mweny saut yake RUclips
Nzuri sn
Masikini pole lisa
Mie s mpez wkucomment lkn hii imebd smulz tamu sanaaaa🎉🎉
Kweny sherehe kubwa kama anko jay kuowa😂😂😂😂 mh mitihani
Wa mwishooo
Hata sio ,,,mie 333 wew je
Watuwazuri huja nahuenda
Dah Alvin usilolijua nisawa na usiku wa giza Nene!
Ivi Anko yule demu wako wa kipemba niaje?😅😂😅
Mbuzi masawe anko jay bwana
Asant Ankojay kwa simlizi yenye mafundisho sana mungu akubariki sana
Jaman Anko hongera ❤wapendwa wee mkaka wewe
😂😂😂house mate 😂😂😂 wanafurahisha hawa
Sana,lkn Alvin aache ukauzu
Weweeeeee❤❤❤❤ we anko jay nakunyoshea mkono binti lissa😘😘😘
Nmependa hapo wanapong'atana jmn😂😂😅😂😂😂
kwakweli hii hapa hii niya moto🔥🔥🔥🔥
Fungua mwaka hii ninzur sana tena sana
Lisa pamoja na haya yote ,usikate tamaaa😊😊
Woyoooo pamoja sana anko jay 🇴🇲🇴🇲🇴🇲❤️🥰🥰
Nimewahi jamani mpk raha 😘😘
Anko jay ambia muandishi saa kumi atuangushie zigo la bwana Alvin 😂😂😂 Alvin ananipunga sna jomba wajo himiza kazi plz
Inahuzuniii sana sana
jamani ankoj nakupenda unasimulia vzuri hadi nakupenda
Mashallah anko Jay shukran kipenzi chetu Allah akubariki akupe afya afuwa
Wow inko jei hi simuliz jmn nitamu mno thank you
Hongera sana kakangu mungu akubariki Tena akupanulie mupaka Yako yakazi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙏🙏🙏🙏🙏🌹🌹🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nilikua nasubiri kwa hamu ngoja nisikize❤❤❤❤asante anko
Thank you too, Enjoy
Anko asante kwa kutupatia Fraha
Cjachelewa sana....kiti changu kipo😊
Tena umewahi kweli,hongera
Ongera sana ankojey kwakutuletea kazi Zuri I love you ankojey❤❤❤❤
Woyooo🎉🎉 Anko leo umeweza
Ok Enjoyyyy
Sauti Ya anko na muonekano Yani daaah anko Upo na sauti nzuri sn na haswa pale unapo sema yani kama anko J Alivyo mzuri😜😜
Jmn anko jay leo nime lala hapa 😅😂😂 jmn daah Asante babaa kwa mwendelezo mauwa yako hayo🎉🎉😊😊😊😅
Asante san ankojay kwa simulizi nzur tha🎉🎉🎉❤❤❤
Wakwanzaaa ankooo asante kwakibao cha lisaaaa❤❤❤
Ahante , Enjoy
❤
Nimewahi ❤❤🎉😂😂senkyu anko jei
Jamani mbona ni mambo ni mangumu kwa Lisa ameyatimba rafiki yake uyu sio poa ya yy bila kufikiliya amekuvari kufanya ujinga Sasa sijui itakuwaje hila kakayang anampenda yataisha tu hila samu nae amerudi umbeya mapenzi Shikamoo jamani nimecheka mm simulizi ni tamu mnooooooo Ankojay hongera mnooooooo na temu yako ❤❤ tunawapenda jamani
Wee leo wadau mumeniwai ila nko nanyi bampa 2 bampa skubli kuachwa nyuma😂😂😂
Tamu sana nice historie
Wow,❤❤❤❤🪴🪴🪴🪴💐💐💐💐💐💐🎄🎄🎄🎄utamu kolea😂
Jamn naomben na mm laik🎉🎉🎉
Nakupa nyiiiingi
Ahsante sana Anko kwa muendelezo yetu nzuri hatakama nimechelewa ila tuko pamoja
Jmn nasikia raha❤❤❤❤
Asent san Ankojay kwa simulizi tamu❤❤❤🎉🎉😊😊
lisa jmn hadi uruma 😢😢
Yaaan jamn
Asant san kutpa vitu vitam nashukulu wote 🎉🎉
Duuuh jamn watu mshajaa sijachelewa sana Asante San Anko j ❤❤❤❤🎉🎉
Kazi nzur kaka kutoka omani❤❤❤
Asante kwamafudzo. Nauzuni. Kwa. Dada. Yetu Lisa. Anko. Jey. Mungu. Akupe. Wepesi. Kwenye. Kazi. Ishaalla. ❤❤❤
Haya sasa ❤❤❤
Mambo yanazid kuiva
Tupo ndani ya mda thanks allot Anko j we love you listening from Kenya 🇰🇪❤
Nice story ❤❤❤
Weweeeeeeeeeee asante anko jjjjjj🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂❤❤❤❤
sasa si kamharibu sura jamani 😂😂😂
Ubarikiweeee Anko j
Wow lisa
Wow kazi nzuri kaka,listening from Kenya,much ❤
Iyi simulizi nitamu sana kipande kikiisha unataman uendelee tena na tena 😊 anko part 4 lini jaman 😢
Mhmm,jambo limezua jambo,ukipewa ushauri changanya na zako
Walahi hii simlizi ni tamu sana jomba wajo leo nimecheka mpaka wainguru anashangaa❤❤❤
Looh siokwakuchelewa huku bandugu😂😂😂😂😂😂
Hongera
Mie 333
Ila vituko vya Alvin na lissa hata kama hutaki kucheka utacheka mbona kung'ata shavu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwanza nimecheka pka bac apo walipong'atana nimecheka pka bac😂😂😂😂😂😂😂yni acha2 ila mungu atawafanyia wepec wataelewana2 .. Alvin kiburi kadindisha lkn akakataa mzigo duuh😂 😂😂😂 kiboko
Kwanza kelvin ndio huyo sasa mambo yanaenda kua mazuri sana alafu mtu mjinga ni Alvin
@@shahrayn93 😂😂😂😂😂😂
@@polinlizzlizz tusubiri tuone
@@zuenahz5514 kwanza leo karibu nitoe tangazo kua mjomba wetu anko jay amepotea sababu sikuona ujumbe wowote
Jamani hii simuliz ni nzur tutumie mwendelez
Nzuri sana tuliingoja kwa hamu
Asante simuliz nzuri sana
😂😂😂😂. Wanachekesha haw wanandoa. Alvin. Nistaki nataka. Asante. Anko ❤❤
Yan hatimae simulizi hii Tam imefika Acha ni 🪑🎧 niinjoi
AnkoJay ahsante kwakweli 🤭😂🤣
Ahsante Anko j make nilikuwa nasubiri kwa hamu blaaa
MashaAllah MashaAllah MashaAllah wa 75
🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao ankojay
Jamani lewo wakwanza ankoj asante 😘 muito obrigada 😊
😂😂😂jamani ety ank jay kaoa
Afu uyo Alovin siaseme tu? 😂😂😂
Yani umenikoshq❤❤❤❤🎉
Jaman akuna kulala adi kieleweke❤❤❤
Nashukuru mungu nilijipata kwa hii channel ya Ankojay...vitu vitamu..
Hatimay nitalala kwaamani😅❤❤❤
Lisa pole 😂😂😂Sas cjuw utabaki na Alvin au utakwenda kwa kelvin ukijuw ukwel tunasbri muendelezo tujuw mwsho wke ila vzr ungebaki na Alvin ndo mnaendana jpo ushamkera 😂😂😂😂
Watu mnarohombaya yaan cku zte izo ndo kwanz mumenipa like 4 wtu nyny wabay
Weweeeee... ❤❤
Mmmm wanafamilia wenzangu hamlali najua nimechelewa lkn nipo hapa kwa sasa tuna enjoooy pamoja natumain hamjambo wanafamilia wa anko mapesa naomben like zenu plz 🎉🎉😊
Jamani niko ndani sana ❤❤❤ thanks sana
Hongerani mlio wahi😂😂
Na hongera yao kweli
Mie 333
Alooooo nimewahi kufika Alvin mwendee lisa wako❤❤❤
Umetisha sana
@@ankojay_ asante anko joy crash wetu 🤣🤣🤣🙈
Crash wako sio wetu@@victorwesamba2520
Mambo ni 🔥🔥🔥😘
😢😢😢😮nimepitwa jamani mm ndio kuingia ss😂 but hope mko chonjo twende nalooo🎉🎉🎉🎉
Asante sanaaaaa Ankojay nafurahi
Asante sana Ankojay ♥️♥️♥️♥️🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ahsante anko Jay tunakupenda zaidi kwakutuleteya simulizi tamu ❤❤❤❤❤❤
mwisho wa lisa ilikuaj🎉🎉😊
Hatimaye lisa na alvn mjengon tna
Nimefika kwawakati😂😂😂
Jamaniii kumbee teyari ata kuniambia nimeshelewa daah 😢 haya tupo finally tujuwe itakuwaje jamaniii huyu BINTI LISA❤❤❤
Jomba Wajo yuko vizuri hongera kwake👏👏👏sitamani iishe haki😢
anko j sehemu ya nne bado tu!!!! 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Kweli anko tumeulizia sana❤❤❤❤❤❤
Lisa namumewe mbavu Sina🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Ngoja ni sikilize kwanza nita rudi kukomenti badae 😅😅
Aisee nilikuwa naisubiria kwa hamu sana maana kila saaa nilikuwa natazama simu
Anko leo ume2weza be blessed anko ❤❤❤❤