BINTI LISA - PART 08

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Asubuhi iliyofuata Lina aliporejewa na fahamu, alishtuka baada ya kumuona mwanaume aliyekuwa pembeni yake ambaye alikuwa akimtumbulia macho. Huku kila kitu kilichotokea jana yake usiku kikimulika akilini mwake, alihisi kana kwamba alikuwa ameenda kuzimu kwa mara nyingine tena. Mtu huyo alikuwa anatisha, kwa kweli.

Комментарии • 499

  • @ababelemobintu2278
    @ababelemobintu2278 Год назад +1

    Ako j nakupenda sana wwkaka simulizi zako zinanitowaka mastes sana

  • @JoharHamis
    @JoharHamis 3 месяца назад +2

    Asante sana ankojey kutupa utamu

  • @khadijahamisi6558
    @khadijahamisi6558 2 месяца назад +1

    Ila lisa jamanii et kaa mbali na mwanaume wangu😂😂nawapenda sana lisa na alvin❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂

  • @Naomy-t6o
    @Naomy-t6o 9 месяцев назад +2

    Good job ankojay

  • @winniekwamboka4229
    @winniekwamboka4229 Год назад +28

    Team Lisa mpo 👋mpe salamu Ankojay popote mlipo👋👋

  • @KemmyPrince-m6h
    @KemmyPrince-m6h Год назад +4

    Hahahahahahhaha❤ Alvin mweu

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Год назад +25

    Mnataka like tu hamna ata aja ya kumpongeza anko Jay kwa kazi nzuri, kutuondolea stress kwa vigongo vitamu kama hivi, anko Jay shavu kwako kwa kazi nzuri❤❤❤❤

  • @Sur-v9s
    @Sur-v9s 11 месяцев назад +2

    Hongera kwako anko jay kwa kutuondolea mawazo uku tulipoo

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri Год назад +3

    De legend Alvin ❤❤❤chonde msiachane jameni napenda sema alivlisa unatuangusha mtoto mbichi kabisa huyo 😂😂tatiz ukauz em fanya jambo

  • @IrenewillyMwenda
    @IrenewillyMwenda 9 месяцев назад +3

    Sisem zambi anko nakupend San nataman niwe namwanaum Kam we

  • @angelmauja1846
    @angelmauja1846 10 месяцев назад +1

    Familia ya masawe unatakiwa kujua mungu wa Sasa ni mungu kijana,anajibu asubuhhhhhh

  • @khadijahamisi6558
    @khadijahamisi6558 2 месяца назад +1

    Anko j unaimba wew au lisa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi Год назад +1

    Simulizi Kali sana inafuja mbafu

  • @NeemaSogwejo
    @NeemaSogwejo 11 месяцев назад +3

    Hatimaye acha tuu awakomesheeeeeeee kwakweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @NeneteMurumbi
    @NeneteMurumbi Год назад +3

    Leo niko lastbon

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri Год назад +3

    Lissa kwann umetaka mkataba uvunjwe cjuy nn umedhamiria ucmuache alvin km ndo umepanga hivo😢😢

  • @happynessjulius5470
    @happynessjulius5470 Год назад +1

    Anko jay congratulations kwel Binti Lisa n tamu kama ilivyokuw X❤

  • @Nuru9568
    @Nuru9568 Год назад +33

    Wooow Asante anko jay ❤Tm Alvilisa like hapa❤

  • @aishaali8109
    @aishaali8109 6 месяцев назад +3

    Nipo yanane kama mnarudia kama mimi nipeni like zangu😅

  • @dashuushu6883
    @dashuushu6883 Год назад +1

    Asante sana anko jay ila unatutesa sana jamani unakaa muda bila kutuletea fulaha yetu ya bint lissa

  • @AjrasMobile-q8j
    @AjrasMobile-q8j Год назад +1

    Anko j upo vzr sna kwa kusimulia aisee😂😂hongera sna😊

  • @PaulinaLwena
    @PaulinaLwena Год назад +3

    Anko jay asante sana umetutendea haki❤❤❤❤❤

  • @marynaomi
    @marynaomi Год назад +1

    Alvlisa nakuku bali, ankjei

  • @mayasamayasa1205
    @mayasamayasa1205 Год назад +1

    Mambo yanazid kunona nyie asante anko jay❤❤❤❤

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Год назад +1

    Motooo unazidi kuwaka.lina lina ame9na anatengenezaa kumbeee anaharibuuu hivi mwanaume gani anaekupenda halafu akuachie ukachezeweee?

  • @DorcasMuomba-gd3sw
    @DorcasMuomba-gd3sw 10 месяцев назад +2

    Woooow shukrani anko jay with team alvilisa nawapenda❤❤❤🎉🎉

  • @NeemaLugoye
    @NeemaLugoye Год назад +1

    Mwandishi jomba wajo apewe mauwa yake❤🌺🌺🌹🌹🌷🥀🌸🌼💐

  • @OdethaIdrissa
    @OdethaIdrissa 9 месяцев назад +2

    😂😂jmn anko jay😘😘

  • @SaidSaleh-q5r
    @SaidSaleh-q5r Год назад +1

    Penda sana anko j kwa simulizi team sana

  • @VeronicaBoniphace-j8k
    @VeronicaBoniphace-j8k 11 месяцев назад +2

    Nakupenda bulee jamani

  • @kaduva_classic
    @kaduva_classic Год назад +39

    Wakwanz leo aya like zanguuu

  • @mleciWakati
    @mleciWakati Год назад +2

    Anko Jay tunakushukuru sana kwa simulizi zuri

  • @khadijahamisi6558
    @khadijahamisi6558 2 месяца назад +1

    Yaan lina sikupend ww mshenz😂😂asantee anko j❤❤❤❤❤

  • @batoolmwajuma3000
    @batoolmwajuma3000 Год назад +6

    Mambo safi vip nawew kipenz chetu ankoooo, wetu mapesa

  • @Fatum112
    @Fatum112 Год назад +4

    Ankojay hii simulizi ni tamu sana mpaka basi yani nikiskiliza sitamani iishe

  • @salmaebrahim2058
    @salmaebrahim2058 Год назад +5

    hila jamani simulizi ni tamu hongera Sana kina na kazi ni noma. Na nusu tunakupenda mnooooooo family yetu

  • @batoolmwajuma3000
    @batoolmwajuma3000 Год назад +4

    Ahsanty ,, kipenz chetu ankoo wetu mapesa ,,tunakupendajee!! Hatari

  • @khadijamohd5741
    @khadijamohd5741 Год назад +4

    Kwahio Alvin na Lisa mapenzi yao ya kiss tu

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 Год назад +1

    Mbona tamu sana hii simulizi jamani 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @joyfayla12
    @joyfayla12 Год назад +12

    Tunaomba Alvin na Lisa wasije kuwa kaka na dada jamani

  • @MacrinaSalama
    @MacrinaSalama Год назад +1

    Hongera sana anko jay 😊😊❤❤🎉🎉

  • @stelapius9604
    @stelapius9604 Год назад +1

    Asante uncle J we ishi tu ❤️

  • @Hawa-c3n
    @Hawa-c3n Год назад +1

    Anko j Acha kutudanganya lisa aliimba ivo kweli😂😂😂😂😂😂

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Год назад +1

    Lisa naalimficha Aliven ilesiku lina alimfanyia njama abakwee..lina ungejua lisa ako na picha zako zauchii hungefanya hiloo mana najua Alivine hatamuachaa lisaa.halafu huyu lina alitekwakivipi jamani halafu watekaji hawakumkata angalau kiungo kimoja iliiwekumbusho kwake mana anarohoo mbaya sana

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Год назад +4

    Hatimae Anko Jay Ameshusha mzigo

  • @editreaslizz
    @editreaslizz Год назад +5

    Ancle thanks for part 8 am waiting for part 9 now am done with part 8 mapema tu

  • @esperancesudi2842
    @esperancesudi2842 Год назад +2

    To be continued 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ❤❤❤❤

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 Год назад +7

    Much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦 asante kwa mwendelezo anko jay wetu maua yako haya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ntandufurahe3242
    @ntandufurahe3242 Год назад +5

    Jamn simuli nzur mashaallah haichoshi kusikiliza

  • @Sostenesnyandoa
    @Sostenesnyandoa Год назад +7

    Ahsante anko jay niliisubiri kwa ham sana

  • @UmmyDaudi
    @UmmyDaudi Год назад +11

    Ewe Mungu mlinde anko jay na wenye macho ya husda na umpe maisha marefu yenye tabasam amani upendo utulivu na furaha

  • @NadzuwaGofwa
    @NadzuwaGofwa Год назад +5

    Kabisa watu hawa lala hapa kabisa chukue maua ya upendo ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @victoriaedfonss727
    @victoriaedfonss727 Год назад +6

    Daaa jaman Nina wasiwasi kama Lisa na alvin ni ndugu alafu kuna kirusi kimeingia kutuaribia alvin wetu apa,🔥🔥🔥😍

  • @girukwishakaclaudine5374
    @girukwishakaclaudine5374 Год назад +7

    Yan simulizi hii ni 🔥👌 🤭😂🤣🤣 AnkoJay Ahsante Sana 💐💐🙏

  • @bettywayera8501
    @bettywayera8501 Год назад +3

    Lisa ni moto sana ,,ankoj nimejifunza mengi kwa hii simuliz ankoj,,mungu akupe maisha mrefu hapa dunia.

  • @fransiscafransisca3883
    @fransiscafransisca3883 Год назад +9

    Hahaha 😂😂😂😂anko hapo kwenye minong'ono unanifurahisha sana😂😂😂

  • @EsperanceNsabimana
    @EsperanceNsabimana Год назад +5

    Yani lina dunia ataiomba ipanuwe mdomo imumeze sik atajuwa kama William kimalo na Alvin kimalo kama ni wanandugu.
    Tama yake itamponza atajikuta kijijini
    Acha tungoj Anko Joy atume mzigo party 9

  • @SaidSaleh-q5r
    @SaidSaleh-q5r Год назад

    Acha weeeeeee ankoooo,🎉🎉🎉🎉 anko na wewe unaimba

  • @ElaineAkimana
    @ElaineAkimana Год назад +9

    Wooooooooo wapili leo naomba ata lik 10❤❤❤❤

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 11 месяцев назад +1

      Me nakupa 10 ulizoomba nakuongea zingine 2,000,000

  • @mwanakombofujo1710
    @mwanakombofujo1710 Год назад +1

    Lina n Stephanie mtakula jeuri yenu

  • @Zainabucharle
    @Zainabucharle Год назад +6

    Asant san Anko jey❤❤❤🎉🎉 kwakazi zuli mungu nakup .maisha malefu san

  • @janetkazungu7795
    @janetkazungu7795 Год назад

    Waah mambo ndio yanazidi kuwa Moto 😅😅😅

  • @deborahngoliga
    @deborahngoliga Год назад +2

    Anko jay naomba kujua hiyo sauti unayoimba ni sauti ni yangapiii ???? 😄😄😄😄😄,

  • @nassorochambuso1792
    @nassorochambuso1792 Год назад +5

    Mambo ni moto 🔥🔥🔥🔥 Lisa na Alvin nawapenda san

  • @MishyYusuph
    @MishyYusuph Год назад +10

    Ahsante sana Anko kwa muendelezo wetu huu mzuri,bado tuko pamoya.

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 Год назад +2

    Asate sana ako Jay ubalikiwe sana

  • @hawamaulidi787
    @hawamaulidi787 Год назад +2

    Hongera anko jay Kwa simulizi zuri

  • @blandinemasoka8625
    @blandinemasoka8625 Год назад +6

    Wale tulio kuwa tunasubiri tuone uromantic wa bwana Alvin tujuwane ❤😂

  • @AsinaKilozo-si1uu
    @AsinaKilozo-si1uu Год назад +6

    Nipeni like zangu

  • @yusrayusuph7835
    @yusrayusuph7835 Год назад +6

    Dah kila cku nachelewa

  • @amissanzeyimana3895
    @amissanzeyimana3895 Год назад +7

    Yani Anko jay wew kuimba hujuwiii kbx bora tuu utusimikiye😂😂😂😂😂 much love u ❤❤

  • @sososonia1956
    @sososonia1956 Год назад +109

    Hatimay maana siyo kwatukausha roho uko😢 😂😂 chonde chonde Alvin na Lisa wasijekuwa kaka na dada tunaopenda couple yao tutaliya sana 😢😭

    • @yusrambodze3804
      @yusrambodze3804 Год назад +9

      Wallah na mm mwenyewe pia naona itakua hivyo wallah nitaumia sana😢😢

    • @magrethjohn4929
      @magrethjohn4929 Год назад +1

      😂😂😂😂

    • @jacklineghati6431
      @jacklineghati6431 Год назад +5

      Part one nakumbuk km alvini alikuwa ana bibi tu sikusikia kuhus wazazi

    • @yusrambodze3804
      @yusrambodze3804 Год назад +5

      @@jacklineghati6431 yea ni kweli lkn ww vile babake Lisa anatoka Nairobi na ata Alvin pia alizaliwa so wasije kuwa ni ndugu jamani

    • @Babyfaty-m3y
      @Babyfaty-m3y Год назад

      ​@@yusrambodze3804kwel hta mm nna wsws lkn Naona itakuw hivo na hta yle rfik wa mama yke amesema kma baba yke anamchng mkubwa kweny kampun huon kma ndo iyo family ya kimaro na ivo wanavo chelew kukutan kimwil me naona ni ndug awo ndo mna hawjlla pmoja mpka leo 😢😢😢😢😢😢ila hii smuliz nzr

  • @saudarasuly1314
    @saudarasuly1314 Год назад +1

    Watu hawalali duuh hkk hii ni simuliz pndwa na kil mtu big up unkl jay tunkupnd san

  • @AsmaKitaki
    @AsmaKitaki Год назад

    Kazi nzuri anko jay❤❤❤❤

  • @NURIANATV
    @NURIANATV Год назад +15

    Jamani jamani jamani leo nimelala huku aisee😂😂😂😂😂like zangu wadau

  • @gracekahindo6937
    @gracekahindo6937 Год назад +6

    Ponyezi kwamuandikaji namusimuliyaji 🎉🎉❤

  • @ElizaJames-kp9of
    @ElizaJames-kp9of 4 месяца назад +1

    Tem couple ya alvn na lisa gonga like hapa❤❤

  • @SaumuSophyline
    @SaumuSophyline Год назад +1

    Pia mm nahisi hawa Lisa na Alvin ni brother na sister

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg Год назад +4

    Wahenga walisema kikulacho kinguoni mwako rehema alimsaliti rafi um

  • @stacyjames6676
    @stacyjames6676 Год назад +6

    ❤ mjomba J

  • @GloriaMduma
    @GloriaMduma Год назад +1

    Mwendelezo pls ❤️❤️❤️

  • @shariffamariam
    @shariffamariam Год назад +1

    mm wamwisho sasa maan wakwanza wamekuwa weng asantee ankojay

  • @AishaAishasalum
    @AishaAishasalum Год назад +8

    Tim lisaa tukiamshe hapa

  • @Imma-o3d
    @Imma-o3d Год назад +6

    Leo wa pili laki zang anko jay ❤️🥰😍🥰😍💕💕

  • @sephrinewarenga2745
    @sephrinewarenga2745 Год назад +8

    Wow kazi nzuri kaka,listening from Kenya,much ❤

  • @JuliethAndrew-s6h
    @JuliethAndrew-s6h Год назад +4

    Jamani nipoo

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg Год назад +7

    Akno utaniwa na furaha ya kubadilisha sauti yako😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤ mungu alikubariki na kipaji❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @Jasmeni-ns9dg
    @Jasmeni-ns9dg Год назад +7

    Leo tena wakwanza jaman like zenu

  • @MwanatumuJumaa-rj4fg
    @MwanatumuJumaa-rj4fg Год назад +8

    TEAM ALVILISA TUPO MACHO 😂😂TUKISUBIRIA HATMA YA COUPLE WATATA

  • @ElaineAkimana
    @ElaineAkimana Год назад +5

    Asante saaaana tamm tunaisubir kwaham saaaana ❤❤❤

  • @FatumaKombo-w3z
    @FatumaKombo-w3z Год назад +6

    Jamani mbn pambe❤❤❤🎉🎉

  • @basilisajacob1065
    @basilisajacob1065 Год назад +2

    Part 11 Anko

  • @rachelpanga5023
    @rachelpanga5023 Год назад +2

    Anko j asante sana usitucheleweshee bc

  • @MoshiMoshi-qy8dq
    @MoshiMoshi-qy8dq Год назад +19

    Jaman watu hamlali 😂😂 haya mliowah wote chukueni mauwa yenu🎉🎉🎉 acha ni 💺 🪑 tu enjoy pamoja na asante anko jay kwa muendelezo ❤❤❤

  • @EsherMacha
    @EsherMacha Год назад +4

    Anko jay hakikish bint lisa tunapat sizoni 2

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад

    Sasa Lisa anamnyoosha Alovin😅😅😅

  • @Loy-g2m
    @Loy-g2m Год назад +5

    Nilisubiri kwa hamu🎉

  • @PriscahPaul
    @PriscahPaul Год назад +3

    Wow kazi nzuri ankojay🎉

  • @TumuhamzaHamza
    @TumuhamzaHamza Год назад +1

    Anko jey mungu az kukbrki mna nvypnda smulz zko nkiamka 2 naingia naanglia kma umedondsha smlz mauwa yko hyo🎉🎉🎉🎉

  • @christinahaule-p8i
    @christinahaule-p8i Год назад +13

    congratulations anko j tumevumilia atimae umetuletea binti lisa part 8 ❤❤❤