Yesu usinipite leo unapowazuru watu wako na mm uniondolee roho zote za mauti kwny maisha yangu na familia na vurugu kwny ndoa zikakome ktk jina LA YESU
EWE YESU NAOMBA UWONDOE ROHO ZA UMAUTI, ZA AJALI, ZA MAGONJWA, ZA KIFILISTI,ZA KIGOLIATI, ZA WATESI, ZA WALOWEZI, ZA WASHAMI, ZA MA AGENT, ZA KIMIZIMU ,ZA KI FREMASON KWA FAMILIA YANGU, NDUGU JAMAA NA MARAFIKI KATIKA JINA LAKO TAKATIFU AMIN🙏🏼
Mungu naomba inisaidie uniondolea roho ya mauti nakuomba eeeee Mungu wambinguni kila roho mbaya Zote eee kristo unisafishe iniondoleee kila kuta ya eriko
Eeeeh mungu ninamletaa philemon martini moshi mbele zako nakataaa Mauti nakataaaa roho za kuzimuu vifungo vote vilivyotegwa juu yakeee naviteketezaaa kwa jina la yesuuu
Mungu nisaidie kwenye mash yangu naunipe muke mwema anae kupenda mungu wang
Mungu Nipe mume mwema 🙌🙌🙌
Ameeen na wapata nikiwa hapa Nairobi
Eeeh Bwana ulilolipanga juu ya maisha yangu shetani asinipokonye kwa damu ya yesu
Yesu najiungamanisha namaombi ya Leo mungu naomba uniondolee roho za mauti. Ndani yafamilia yangu
Najiaunganish na madhabahu ya Safina radio yakanipe busar na hekima Kwa jina la Yesu
Ee Yesu Kila Ulirolipanga juu Ya Maisha Yangu Shetani Asilipokonye Hata Punje, Ktkt Jina la Yesu🙏
najiunganisha namaombi mungu akanipe mume mwema kutoka kwake
Yesu usinipite leo unapowazuru watu wako na mm uniondolee roho zote za mauti kwny maisha yangu na familia na vurugu kwny ndoa zikakome ktk jina LA YESU
Mungu Asante kwa hili kanisa na nmetuma sadaka yangu
Nimebarkiwa sana na maombi yaleo mtuombee na jumamosi mungu atuwezeshe maana wengine tunatokea Moshi nauli ni changamoto watumishi
Eeeh yesu nipe wakati mwingne ❤️🙏🙏
Yesu ondoa magonjwa ktk familia yangu .Kwa jina la Yesu kristo
EWE YESU NAOMBA UWONDOE ROHO ZA UMAUTI, ZA AJALI, ZA MAGONJWA, ZA KIFILISTI,ZA KIGOLIATI, ZA WATESI, ZA WALOWEZI, ZA WASHAMI, ZA MA AGENT, ZA KIMIZIMU ,ZA KI FREMASON KWA FAMILIA YANGU, NDUGU JAMAA NA MARAFIKI KATIKA JINA LAKO TAKATIFU AMIN🙏🏼
Yesu NAKUOMBA uniondolee magonjwa ya presha na sukari inashuka ingilia kati usiku huu nitete yesu
Mungu azidi kuwalinda watumishi wote wa redio safina...
Yesu najiungamanish na ibada hii yes naomba uniponye magonjwa yote na atuondolee roho ya mauti kwenye familia yetu
Najingamnish na ibda hii munguuu akanipee kziiii
Eee mungu Nisaidiye katika hihi maombi ya Leo nipone na meno zinazo nisubua amina
Mungu ni mkuu sana.
Ee Bwan Mungu wa mbingu n nchi watt wangu naenda kuwakabidhi mikononi mwako
Mungu naomba inisaidie uniondolea roho ya mauti nakuomba eeeee Mungu wambinguni kila roho mbaya Zote eee kristo unisafishe iniondoleee kila kuta ya eriko
Amina.kubwa
Najiunganisha na madhabau ha redio safina yesu ingilia kati Afya yang usiache baba mwema
Amen but Redio safina imeacha kushika Katavi Mpanda
3:15 3:16 3:16 3:16 3:16
Mungu nixaidie niweze kupona
Eeeeh mungu ninamletaa philemon martini moshi mbele zako nakataaa Mauti nakataaaa roho za kuzimuu vifungo vote vilivyotegwa juu yakeee naviteketezaaa kwa jina la yesuuu
Yesu yes
Bwan utukuf na heshima n zakwako napokea kwa iman
Najiunganisha na maombi haha mungu akawasaidie watt wangu,ktk masomo yao,na akamponye mwanangu Oliver valence akarejee shulen akiwa amepona na
Naomba kujua namna ya kupata vitendo vya imani-huku mkoani KAGERA
Ameen
Amen
Najiungamqnisha n maomb ya leo kwa iman
2:38
Kila kitu kibaya kitashindwa katika jina la yeau kristo
Philemon Martin moshi namletaa mbele zakoo saa hiii
Amen