Mashallah Shekh wangu Allah akupe umri mrefu wenye kheri na wewe, unaongea ukweli mtupu na asiekuelewa wewe hamuelewi mtu mwingine tena, kwa sababu unamfahamishabmtu mpaka kwa mifano
Tatizo propaganda za maadui wa Uislamu kuichukia Saudia,na kuzidisha mambo,zaidi ya namna ukweli ulivyo,takribani asilimia 90 yanayozushwa kuhusu saudia ni uwongo,uhalisia unapokwenda huko,ni tofauti na ukweli wenyewe,tunawaambia hawa wazabizabina,ambao hutumia dini ndio maslahi yao ya maisha katika huu ulimwengu,kwa kuchafua dini ya Allah Subhana wataala,na wengine wanaochangia kwa kuchochea wasiyoyajua,basi wajuwe,Jalla Jallalu yupo,mwenye kuyajua tusiyoyajua,na kila mmoja atabeba alilolichangia kulipotosha,ushabiki wa kuropokwa na wamelishwa ya uchochezi ya wapotoshaji na maadui wa Allah,alama zao za unafiki,Allah Atazihukumu, tahadhari mengi yanayosemwa hayana ukweli.
Tatizo propaganda za maadui wa Uislamu kuichukia Saudia,na kuzidisha mambo,zaidi ya namna ukweli ulivyo,takribani asilimia 90 yanayozushwa kuhusu saudia ni uwongo,uhalisia unapokwenda huko,ni tofauti na ukweli wenyewe,tunawaambia hawa wazabizabina,ambao hutumia dini ndio maslahi yao ya maisha katika huu ulimwengu,kwa kuchafua dini ya Allah Subhana wataala,na wengine wanaochangia kwa kuchochea wasiyoyajua,basi wajuwe,Jalla Jallalu yupo,mwenye kuyajua tusiyoyajua,na kila mmoja atabeba alilolichangia kulipotosha,ushabiki wa kuropokwa na wamelishwa ya uchochezi ya wapotoshaji na maadui wa Allah,alama zao za unafiki,Allah Atazihukumu, tahadhari mengi yanayosemwa hayana ukweli.
Kati ya mashekh ninao jivunia mafundisho yake mmoja wapo ni huyu ,Allah amzidishie elimu zaidi tuzidi kufaidika zaidi na kunufaika kwa elimu na mawaidha yake.
@@user-st3re4uw9u Mashetani ndio walio potea na wao hujiona ndio wako sahihi siku zote na wao ndio walikuwa wanamwita mtume MUHAMMAD S. A. W kuwa mchawi na mtu alie potea MUNGU aepushe dhana hizo mbaya. Siku Allah akikujalia neema ya uislam sahihi na ukawa muuni utaacha chuki na dharau na kejeli kwa itikadi zisizo na faida kesho kiama.
Saudia hali mbaya kwa maana ya mamlaka ni mtihani kwa waislam.. Kuna vijana wengi walioslimu na waislam kutoka Marekani na Ulaya hufunga safari ya ndoto yao kwenye uislam kwenda Saudia kushuhudia uitimilifu kwenye uislam na watu wake lakini wanayoyakuta Saudia ni ya kushangaza kwenye uovu timilifu ndani ya uislam. Moja ya kijana alikwaruzana kidogo na kijana mwenzake kutokana na kugombania nafasi ya kusalia msikiti ulikuwa umejaa na nikiwa karibu nae na akiwa ndani ya malalamiko kijana aliyerudi kutoka Saudia akamwambia wewe hujaona kitu bado Saudia hali mbaya zaidi. Moja ya vijana hao amesilimu wiki mbili zilizopita. Kuna wimbi kubwa la Wamerekani kusilimu hivi sasa na kwakuwa uwezo upo ndoto yao kubwa kwenda Saudia na si Maka tu na madina hutamani kuona mazingira ya nje ya miji hiyo mitukufu miwili pia
@@UmmuHaneefahChikomeleAcha upumbavu ww uliona wap muislam akasaidiwa na mmarekan mumelala sna kwakumezeshwa ujinga wenzenu wanalipwa nyie mmekalia ubish tu ukielezwa una dalili na hata hiyo dalili ukipewa pia hujui mnacho jua nikutukana watu nakukataa ukwel saudia ni wayahudi wanaovaa vazi la kiislam yan Saudia na America tofaut yake ni ile miji mitukufu tu ila uongoz wke na America ni ule ule mwez washauandaa miaka mitatu mbele ww ukisubiria eid bwna wako Saudi 🇸🇦 angalie mwez yeye anasubir tarehe zke zifike atangaze
Ukweli wauma wafwatao saudia hole wenu. Sio wazee usingizi wanakosa ni wakukesha Madisco vilabuni ndani ya miji ya Saudia . Leo wewe Huko Kenya wafwata calenda ya saudia bandala ya Mwandamo wa Mwezi . Sheik wetu uko sawa ❤.
Tatizo propaganda za maadui wa Uislamu kuichukia Saudia,na kuzidisha mambo,zaidi ya namna ukweli ulivyo,takribani asilimia 90 yanayozushwa kuhusu saudia ni uwongo,uhalisia unapokwenda huko,ni tofauti na ukweli wenyewe,tunawaambia hawa wazabizabina,ambao hutumia dini ndio maslahi yao ya maisha katika huu ulimwengu,kwa kuchafua dini ya Allah Subhana wataala,na wengine wanaochangia kwa kuchochea wasiyoyajua,basi wajuwe,Jalla Jallalu yupo,mwenye kuyajua tusiyoyajua,na kila mmoja atabeba alilolichangia kulipotosha,ushabiki wa kuropokwa na wamelishwa ya uchochezi ya wapotoshaji na maadui wa Allah,alama zao za unafiki,Allah Atazihukumu, tahadhari mengi yanayosemwa hayana ukweli.
@@madrassatulihyaa-ilislaami2911Suala zuri sana,Allah ni Shahidi kwa hili nimeshafika,na sio Saudia tu,kwa kadara ya Allah ulimwengu nilijaliwa kuuzunguka ulimwengu kwa zaidi ya nchi 50,na nauzunguka mpaka sasa,hapa nilipo nipo nje ya Tanzania,umri wangu ni mkubwa,na hizo safari siziwezi tena,narudia tena chungeni ndimi zenu,mengi yanayosemwa hayana ukweli,na uwe na tahadhari unapokuwa Saudia,sheria za kiislamu bado zimesimama,hizo media na propaganda za kidini zisikupotoshe,hukumu ya kukatwa vichwa na mikono bado vinaendelea,na maduka huwachwa wazi hadi Leo,wakaenda kuswali,mimi sipo makka kwa sasa,lakini mdogo wangu yupo huko,na futari zinaliwa msikitini ni bure kwa kila mtu,ni sadaka za iftari kila mwahali,tena kila siku,muazini kila mwahala,usisikilize upotoshaji,hao masheikh wanaozua wasiyoyajua Wallah wanachukua dhima,tena dhima kubwa.
Huyu ni muongo sana,kwa mfano anasema adhana ya alfajiri imekatazwa saudia" Subhaanallah kilicho katazwa ni kutumia spika za nje tu wakati wa kuswalisha,na siyo adhana NI UONGO WA HALI YA JUU HUU YANI UONGO PLUS
@user-jl9sl2gb9w Sasa nduguyangu ktk Iimani ikiwa Sheikh nimuongo lkn umekiri kuwa Spika za nje zimekatazwa na mengine aliosema huja comment, inamaanisha 90% ya alichosema nikweli. OK tubaki kwenye spika zanje zilizokatazwa! Nihoja gani ya msingi iliosababisha spika za nje zikatazwe? Ni muislam gani mwenye imani yasawasawa anaekerwa na Quran ikisomwa? Wagonjwa wanatakiwa kusomewa Quran wao wanakataza kwa msingi upi? Tuache kufuru, Kua muarabu au mzungu au muhindi au muafrika (mweusi)au mchina nikwaajili yakujuana tu. Na haimaanishi kuwa watu wa Saudiarabia hawana dhambi. Mwakajana tu kunakijana kauwa na yeye kachinjwa ,hii niushahd nawao wanakufuru kubwa wanafanya. Namengi mengi tunayajua. Endelea kuwatetea lkn kufuruzao zipo waziwazi , Allah awasamekh wao nasisisi pia lkn wao baadhi niwashenzi km watu wengine.
Kuna sehemu umezungumza ukweli na sehemu umezungumza kwa ushabiki kwa maneno ya mtaani na tuhuma zisizo na mashiko ..NI NYIE NYIE SAUDIA ILIPOKUWA INAFANYA VIZURI MWANZO BADO MLIKUWA MNAIPONDA ,,Huwezi fananisha Saudia na Jamaica hata kama kuna maasi kwenye baadhi ya miji ya wageni kama Jeddah au Riyad lakini bado Saudia ina kheri nyingi kuliko miji yote ..Shida ni baadhi ya Viongozi wanataka kuibadili ili nchi kwenda kimagharibi ...UADILIFU kitu kigumu sana
@@AthumaniAmiri-fv5zp Mbona kapambanua vizuri wewe tu ndo haujamuelewa tatizo la hao masheikh zenu ni kutaja mabaya yaliyo machache kwa uwingi na wakakosa uadilifu wa kuyasema mema ya Saudi ili kuwafurahisha mashia watoe michele kwenye maulidi zao
Suudia mtu akiiba anakatwa mkono akiua na yeye anauliwa akizini anapigwa mawe ebu nitajie ktk nchi ulizo sema za Kenya na nyinginezo niipi inampiga mawe mzinifu!! Ni ipi mwizi anakatwa mkono?? Izudani mjinga sana anachuki na nchi inayo simamia sheria ya allah
Ukweli uliyo wazi. Utawala wakisaudi na tawala zingine za kiarabu ni makafiri tu. Makafiri wakubwa kuliko makafiri wazaliwa. Alafu na viongozi wa dini katika inchi hizo ni manafiqi ndiyo mana hawazungumzi chochote. Wakweli wamewekwa jailer. Hongera sheikh wetu izzudin. Na tunamkumbuka Sheikh aboud rogo Muhammad. Alikuwa akizungumza sana kuhusu utawala wa kikafiri wakisaudi. Allah amrehemu
Swali langu ni kwamba je kama kila mji na mwezi wake sasa kwanini waseme tumekubaliana kenya, Zanzibar na Tanzania bara kuwa mwezi ukionekana tunajumuika pamoja?
Hapa tatizo watu wanatetea sehemu, kwa kuwa inaitwa saudia bhac watu wanadhan hayawez kutendeka maovu, ni hivi fateni uislamu unavosema na wala sio kuangalia sehemu, au mtu juu ya kile anachofanya, Mwanadamu kagewa akili ili aweze kuchanganua mwenyew kati ya njia mbaya au nzuri, TUFATE SHERIA NA MISINGI YA UISLAMU NA WALA SIO SEHEMU AU MTU!!!!
Saudia ni nchi iliyo na matatizo makubwa katika maendeleo ya Uislamu, ipo kwa ajili ya dunia zaidi. Wakuu wa serikali, ukoo unao tawala ni kikwazo kikuu, wamesilimu lakini hawajaamini.
😂😂😂😂 unajua nafurahi kitu kimoja, Ktk nchi zenye viongozi w kinafiki ni saudia Arabia dini imepew kichogo kabis na ujinga mkubw zaid huwatumia hao hao maulamaa kin sheikh Sudais na kuwalazamish kutoa fatwa na maelekez mengin ya kidini , na Qatar na EAU huwafuat, kuwaogop na kuwaheshim san Saudia. Hiz ni nchi ambazo siasa zao na mamb Yao ya ndan Marekani ndie anaeamuwa ndug zang ndug zang tusifuat mikumbo tufuatilie hizi nchi siasa zak na serekali zake sio km hakuna waisalamu tuelewan ila viongoz wao sio wanaofuat uislamu na unafiki mkubwa uko ktk hizi nchi tufuatilie na tuzisome hizi nchi za ukanda ule wa middle east pan maoza oza pale makubwa na kiongozi wa yote ni saudia Arabia
Je ktk inchi zote izo ulizozitaja au nchi zote unazozijua niselikari gani au mfalme gani amewai kumnyonga mtoto wake kwa ajili ya kutekeleza hukumu ya dini?? Nyinyi mnachuki na suudia kwa kuwa wao niwatu was tauheedi.mtawazulia mengitu nabado
Chuki gani shekhe na wakati wametangaza wazi miji ya kidini ni makka na madina, kwingine ruksa kufanya unachotaka bila kujali mipaka ya uisilamu. Kwenye lazima ukubali sio kuleta kichwa kigumu Kama ndugu zetu wasiokuwa waisilamu wanabisha wakati haki hiko wap.
Hapana ndugu yangu,amekutia uongo mwingi sana,saudia hawaja kataza adhana na kama wamekataza adhana mimi namuomba Allah aniangamize kwa namna yoyote mbaya.
Facts 100% ndio Wana tutesa huku ju hata hawa jui sunnah ya mtume wetu MUHAMMAD S.A.W very bad people subhannallah hata na hii Ramadan hawa huruma kabisa
Kwakweli muna chuki sana na saudia mpaka unaifananisha na Jamaica nendeni mkahiji uko uko Jamaica tuwaone kweli na chuki zenu mbona nchi zenu izi zimearibika vibaya zaidi hamsemi kazi kuisema vibaya saudia kwakuwa kuwa wapo tofauti na mitazamo yenu
Maneno mengine ni sawa na mengine ni siasa na chuki. Mfano kama kuhusu flag ya Saudi 🇸🇦, wachezaji mchezo aina yoyote, wakati wanaingia chooni, ni sawa kuingia na kalima hiyo.. Mtume Muhammad Pete yake alikua akiivua kwa sababu gani wakati akiingia kwa haja ?? Ni sawa hiyo flag ibadilishwe, iwe ya heshima na kuwepo ya sirikali. Bila ya neno la Tawhid.
Somalia ndio Dola yatauheed sio Suudia. Endeni Somalia mukaone Waislam haswa wanawake wakiislam wote Wanavaa majalibib . .Kama nisuudia Hakuna uislam huko.. wakishika Dini niwachache Sana ..Dini iko Afrika ..
Sisi saudia tunaupenda ni nchi ya waislamu na nchi ya dini lkn tunasema wenye wako mamalakini saudia sahii n vibarka wa america wala hawafai kufutwa wanaistahili kutolewa mamalknai
Tatizo propaganda za maadui wa Uislamu kuichukia Saudia,na kuzidisha mambo,zaidi ya namna ukweli ulivyo,takribani asilimia 90 yanayozushwa kuhusu saudia ni uwongo,uhalisia unapokwenda huko,ni tofauti na ukweli wenyewe,tunawaambia hawa wazabizabina,ambao hutumia dini ndio maslahi yao ya maisha katika huu ulimwengu,kwa kuchafua dini ya Allah Subhana wataala,na wengine wanaochangia kwa kuchochea wasiyoyajua,basi wajuwe,Jalla Jallalu yupo,mwenye kuyajua tusiyoyajua,na kila mmoja atabeba alilolichangia kulipotosha,ushabiki wa kuropokwa na wamelishwa ya uchochezi ya wapotoshaji na maadui wa Allah,alama zao za unafiki,Allah Atazihukumu, tahadhari mengi yanayosemwa hayana ukweli.
Kweli kabisa SAUDIA YA MASALLAF HIYO, sasa walivyokuwa na nyenyekevu halafu wanaanza kuodoa adhaana, live tareweeh, wanasappot Israel, nk UISLAMU WA SAUDIA unaendeshwa na mfalume,sio misingi ya kidini
Sasa nyie masheikh ambao ni vibaraka wa wamisri nataka nkwambieni,hakuna nchi yyte saivi ya kiarabu mnayoijua nyinyi ina fuata uislamu wa sawa,angalau hao suudi wajitahidi,tembeeni muyaone,hao wamisri na masheikh wa az-har ambao miaka nenda miaka rudi wajitia kuikosoa saudia,nchi yao wao wenyewe imeathiriwa na umagharibu kwa kias cha juu saana,kiasi ilifika hatua walipagana wao kwa wao kwa kutohitaji uongozi wa kidini,nchi za kiarabu zote saiv zimeingia katk ma mipira,miziikiii,udanguurooo,kubusishwa na mabishara atarishi,sasa msitake kuionea saudia kwa sbbu ya tofauti za kiitikaadiii,hakuna hata nchi moja ya kiarabu unayoijua weweee ina ukamili,fanyeni wlau inswaaf mnapokua mnaizungumzia saudia
Hii sio arabuni tu hata sisi East Africa tumeungana lakn huwezi kutoka na kitambulisho cha nida kuingia kenya wala kenya kuja tanzania kwa kitambulisho kama huna passport huwezi kuingia kenya ukitokea Tanzania
Lubuva WEWE UNASEMA OMAN MAIBADHI WATU WA BIDAA..... JE.... UNAWEZA KUWEKA HOJA ZAKO HAPA YA HIZO BIDAA UNAZO ZUNGUMZIA????? NAOMBA UTUFAHAMISHE AU VINGINEVYO UTAENDA KUMJIBU ALLAH KWA MANENO YAKO HAYA POTOFU!!!!!
Kwani tunafata mwenzi au tunafata tabia za nchi mana hamna nchi ya kiisilamu kote hali tete mm npo zanzbar lakn afazali na apo daa wat wanakaula na ukionekana daa vp tusifunge
Shekhe wangu wapotea sana ati watu wafuate kwa makafiri wasifate saudia wala dubai wala Abudhabi ssa wenda fanyanni wwe makka kwanni huendi uko jamaika ama kweli chuki yawaislamu nikwa waislamu wasio namsimamo waichukia nchi ya mtume namasahabawake bc nenda jamaika usiende saudia
@@sammarley1413 Kweli akhui hilo halina mjadala labda uwe unapata mgawo kutoka Saudi Arabia ndio waweza ungana nao. Saudi Arabia wanashirikiana na wazungu na mayahudi kitambo Kwani hawajui.?
Huyu sio shekhe uyu nijaahili anasema selijari ya suudia aina dini wakati inasimamia hukumu za kiislaam hamkumuona sirikali ya suudia ikimyonga mtoto wa mfalme kisa kakutikana na kosa linalo stahiki kifo!!!!
Ila huyu SHEKH bila shaka umefanya kitu ambacho wengine waliogopa kulisema,na kwa kauli hii umewaokoa wajinga wengi. Kama ktk zama za Mtume saww walifunga tofauti wewe ni nani uwalazimishe watu?mawahabi wana ujuaji wa kijinga na ubishi wa kitoto sana.
Ndo uwe unaenda kuhiji Jamaica basi. Ni kweli serkali inamapungufu yake ila kamwe huwezi fananisha na Jamaica labda kama ni kuala la kwenda kujifunza bangi Jamaica.
Maashaalla ukweli unamweka mtu kuwa huru sema tuu sheikh usichoke
Mashallah Shekh wangu Allah akupe umri mrefu wenye kheri na wewe, unaongea ukweli mtupu na asiekuelewa wewe hamuelewi mtu mwingine tena, kwa sababu unamfahamishabmtu mpaka kwa mifano
Tatizo propaganda za maadui wa Uislamu kuichukia Saudia,na kuzidisha mambo,zaidi ya namna ukweli ulivyo,takribani asilimia 90 yanayozushwa kuhusu saudia ni uwongo,uhalisia unapokwenda huko,ni tofauti na ukweli wenyewe,tunawaambia hawa wazabizabina,ambao hutumia dini ndio maslahi yao ya maisha katika huu ulimwengu,kwa kuchafua dini ya Allah Subhana wataala,na wengine wanaochangia kwa kuchochea wasiyoyajua,basi wajuwe,Jalla Jallalu yupo,mwenye kuyajua tusiyoyajua,na kila mmoja atabeba alilolichangia kulipotosha,ushabiki wa kuropokwa na wamelishwa ya uchochezi ya wapotoshaji na maadui wa Allah,alama zao za unafiki,Allah Atazihukumu, tahadhari mengi yanayosemwa hayana ukweli.
Sheik ana sema ukweli ❤
MashaALLAH sheikh ❤
Kwa point ya Saudia,, sheikh wangu nakusapoti mara 100000%
Tatizo propaganda za maadui wa Uislamu kuichukia Saudia,na kuzidisha mambo,zaidi ya namna ukweli ulivyo,takribani asilimia 90 yanayozushwa kuhusu saudia ni uwongo,uhalisia unapokwenda huko,ni tofauti na ukweli wenyewe,tunawaambia hawa wazabizabina,ambao hutumia dini ndio maslahi yao ya maisha katika huu ulimwengu,kwa kuchafua dini ya Allah Subhana wataala,na wengine wanaochangia kwa kuchochea wasiyoyajua,basi wajuwe,Jalla Jallalu yupo,mwenye kuyajua tusiyoyajua,na kila mmoja atabeba alilolichangia kulipotosha,ushabiki wa kuropokwa na wamelishwa ya uchochezi ya wapotoshaji na maadui wa Allah,alama zao za unafiki,Allah Atazihukumu, tahadhari mengi yanayosemwa hayana ukweli.
Kati ya mashekh ninao jivunia mafundisho yake mmoja wapo ni huyu ,Allah amzidishie elimu zaidi tuzidi kufaidika zaidi na kunufaika kwa elimu na mawaidha yake.
Amiin
Umepotea basi kabisa kabisa
@@user-st3re4uw9u Mashetani ndio walio potea na wao hujiona ndio wako sahihi siku zote na wao ndio walikuwa wanamwita mtume MUHAMMAD S. A. W kuwa mchawi na mtu alie potea MUNGU aepushe dhana hizo mbaya. Siku Allah akikujalia neema ya uislam sahihi na ukawa muuni utaacha chuki na dharau na kejeli kwa itikadi zisizo na faida kesho kiama.
uko sahihi sheikh
Siku hizi unasema haki tupu..mashallah
Sheikh wangu nakuelewa sana
ALLAH AKUBARIK SHEIKH IZUDDIN
Saudia hali mbaya kwa maana ya mamlaka ni mtihani kwa waislam.. Kuna vijana wengi walioslimu na waislam kutoka Marekani na Ulaya hufunga safari ya ndoto yao kwenye uislam kwenda Saudia kushuhudia uitimilifu kwenye uislam na watu wake lakini wanayoyakuta Saudia ni ya kushangaza kwenye uovu timilifu ndani ya uislam. Moja ya kijana alikwaruzana kidogo na kijana mwenzake kutokana na kugombania nafasi ya kusalia msikiti ulikuwa umejaa na nikiwa karibu nae na akiwa ndani ya malalamiko kijana aliyerudi kutoka Saudia akamwambia wewe hujaona kitu bado Saudia hali mbaya zaidi. Moja ya vijana hao amesilimu wiki mbili zilizopita. Kuna wimbi kubwa la Wamerekani kusilimu hivi sasa na kwakuwa uwezo upo ndoto yao kubwa kwenda Saudia na si Maka tu na madina hutamani kuona mazingira ya nje ya miji hiyo mitukufu miwili pia
Ungekuwa mkweli ungeweka ushahidi waweza kuthibitisha lini mliikubali Saudi....?
Kama saudia Wana ungana na mayahudi kuipiga parestina utawamini vipi sio parestina tu lrack ribia silia afughanistan
Mambo mengi kibao tu wanahalibu lbada ya hija lmekua biashala lnayo lipa
@@UmmuHaneefahChikomeleAcha upumbavu ww uliona wap muislam akasaidiwa na mmarekan mumelala sna kwakumezeshwa ujinga wenzenu wanalipwa nyie mmekalia ubish tu ukielezwa una dalili na hata hiyo dalili ukipewa pia hujui mnacho jua nikutukana watu nakukataa ukwel saudia ni wayahudi wanaovaa vazi la kiislam yan Saudia na America tofaut yake ni ile miji mitukufu tu ila uongoz wke na America ni ule ule mwez washauandaa miaka mitatu mbele ww ukisubiria eid bwna wako Saudi 🇸🇦 angalie mwez yeye anasubir tarehe zke zifike atangaze
mashaalah. allah akutie nguvu. sema kweli mungu na ss waumin tu pamoja nawe
Ukweli wauma wafwatao saudia hole wenu. Sio wazee usingizi wanakosa ni wakukesha Madisco vilabuni ndani ya miji ya Saudia . Leo wewe Huko Kenya wafwata calenda ya saudia bandala ya Mwandamo wa Mwezi . Sheik wetu uko sawa ❤.
Asante sana sheikh kwa kutufungua masikio nimekuelewe vizuri mwenyezi mungu akujalie sana sheikh
Alhamdulilah Sisi tupo ulaya miaka mingi sana na hatufuati Saudia kabisa na tupo kwa maelfu ambao hatufuati Saudia.
Msifate kabisa brother hawa saudians niwapotofu kabisa hawana kabisa uhusiano na dini
@@sammarley1413
Mche Allah maneno yako yanaandikwa
Unaichukia Saudia umejikalia zako nchi za kikafiri huko Europe kwenye ndoa za jinsia moja jnaangalia nyuchi tu 😂😂😂
Sheikh mm nakukubali km Saudi Arabia ingekuwa nchi ya kiislam icnge karibisha Mpira jambo la kishetani na kutumia pesa nyingi kwa ajil ya Mpira.
Mashaallah shekhe uko sahihi allah akuzidishie
اَلسَلامُ عَلَيْكُم وَرَحْمَةُ اَللهِ وَبَرَكاتُهُ
الله akuzidishie atuongoze
Mimi naamini kila nchi ifuate mwezi wake. Hapa nilipo europe mwezi hauonekani. Sasa tufate wapi? Naomba kuelimishwa sheikh wangu.
Mko ulaya kama mwezi hamu uoni dini inasema kamilisheni siku 30 mwezi wa sha'bani.
@@Tv-dl4qjhiyo Shaban atajuaje Ni 30 wakati hainekanwi bro tuache kilafu kWa Dini yetu
Sheikh zungumza dini ndio kazi yako sio siasa za nchi au badilisha mkondo na abdulsamad.
Miezi shehe ni mingi duu nimefurahi sana
Mashallah
Huyu she Yuko vizuri amesoma dini anaijua huyu
Umeonaeee❤❤❤
Jamaica unkujuwa ami
Tatizo propaganda za maadui wa Uislamu kuichukia Saudia,na kuzidisha mambo,zaidi ya namna ukweli ulivyo,takribani asilimia 90 yanayozushwa kuhusu saudia ni uwongo,uhalisia unapokwenda huko,ni tofauti na ukweli wenyewe,tunawaambia hawa wazabizabina,ambao hutumia dini ndio maslahi yao ya maisha katika huu ulimwengu,kwa kuchafua dini ya Allah Subhana wataala,na wengine wanaochangia kwa kuchochea wasiyoyajua,basi wajuwe,Jalla Jallalu yupo,mwenye kuyajua tusiyoyajua,na kila mmoja atabeba alilolichangia kulipotosha,ushabiki wa kuropokwa na wamelishwa ya uchochezi ya wapotoshaji na maadui wa Allah,alama zao za unafiki,Allah Atazihukumu, tahadhari mengi yanayosemwa hayana ukweli.
@@bagalucha Wew ushafika saudia??
@@madrassatulihyaa-ilislaami2911Suala zuri sana,Allah ni Shahidi kwa hili nimeshafika,na sio Saudia tu,kwa kadara ya Allah ulimwengu nilijaliwa kuuzunguka ulimwengu kwa zaidi ya nchi 50,na nauzunguka mpaka sasa,hapa nilipo nipo nje ya Tanzania,umri wangu ni mkubwa,na hizo safari siziwezi tena,narudia tena chungeni ndimi zenu,mengi yanayosemwa hayana ukweli,na uwe na tahadhari unapokuwa Saudia,sheria za kiislamu bado zimesimama,hizo media na propaganda za kidini zisikupotoshe,hukumu ya kukatwa vichwa na mikono bado vinaendelea,na maduka huwachwa wazi hadi Leo,wakaenda kuswali,mimi sipo makka kwa sasa,lakini mdogo wangu yupo huko,na futari zinaliwa msikitini ni bure kwa kila mtu,ni sadaka za iftari kila mwahali,tena kila siku,muazini kila mwahala,usisikilize upotoshaji,hao masheikh wanaozua wasiyoyajua Wallah wanachukua dhima,tena dhima kubwa.
anayo yaongea sheikh mengi ni ya uongo.mimi niko saudia miaka mingi sana
Warabu wajnga cwakubal aswa asa wasaudia wabaguz sana wezao Gaza ata Maj hawapelek
Mashaalah piga ukwl ukwl nilikua siyajuy haya
Shekh ongea ukweli ,kufata na kutokufata tutaamua wenyewe.
Lkn binafsi mimi nakuelewa.
Huyu ni muongo sana,kwa mfano anasema adhana ya alfajiri imekatazwa saudia" Subhaanallah kilicho katazwa ni kutumia spika za nje tu wakati wa kuswalisha,na siyo adhana NI UONGO WA HALI YA JUU HUU YANI UONGO PLUS
@user-jl9sl2gb9w
Sasa nduguyangu ktk Iimani ikiwa Sheikh nimuongo lkn umekiri kuwa Spika za nje zimekatazwa na mengine aliosema huja comment, inamaanisha 90% ya alichosema nikweli.
OK tubaki kwenye spika zanje zilizokatazwa!
Nihoja gani ya msingi iliosababisha spika za nje zikatazwe?
Ni muislam gani mwenye imani yasawasawa anaekerwa na Quran ikisomwa?
Wagonjwa wanatakiwa kusomewa Quran wao wanakataza kwa msingi upi?
Tuache kufuru,
Kua muarabu au mzungu au muhindi au muafrika (mweusi)au mchina nikwaajili yakujuana tu.
Na haimaanishi kuwa watu wa Saudiarabia hawana dhambi.
Mwakajana tu kunakijana kauwa na yeye kachinjwa ,hii niushahd nawao wanakufuru kubwa wanafanya.
Namengi mengi tunayajua.
Endelea kuwatetea lkn kufuruzao zipo waziwazi ,
Allah awasamekh wao nasisisi pia lkn wao baadhi niwashenzi km watu wengine.
Khurafi is at his best!
Asante
Wangi wao hatuna ilmu ya kidini nimelewa sana Shekhe IZIDDUN
Alhamdulillah Maa shaa Allah tabaaraka llah hakika mungu akuzidishie unasema maneno ya kweli
Kuna sehemu umezungumza ukweli na sehemu umezungumza kwa ushabiki kwa maneno ya mtaani na tuhuma zisizo na mashiko ..NI NYIE NYIE SAUDIA ILIPOKUWA INAFANYA VIZURI MWANZO BADO MLIKUWA MNAIPONDA ,,Huwezi fananisha Saudia na Jamaica hata kama kuna maasi kwenye baadhi ya miji ya wageni kama Jeddah au Riyad lakini bado Saudia ina kheri nyingi kuliko miji yote ..Shida ni baadhi ya Viongozi wanataka kuibadili ili nchi kwenda kimagharibi ...UADILIFU kitu kigumu sana
Sasa umekataa nn unakubal nn😅😅😅
@@AthumaniAmiri-fv5zp
Mbona kapambanua vizuri wewe tu ndo haujamuelewa tatizo la hao masheikh zenu ni kutaja mabaya yaliyo machache kwa uwingi na wakakosa uadilifu wa kuyasema mema ya Saudi ili kuwafurahisha mashia watoe michele kwenye maulidi zao
Allh Akbar umenizindua maalim nilikuwa mjinga sana
Jamanini tuskilize kwa umakini
Suudia mtu akiiba anakatwa mkono akiua na yeye anauliwa akizini anapigwa mawe ebu nitajie ktk nchi ulizo sema za Kenya na nyinginezo niipi inampiga mawe mzinifu!! Ni ipi mwizi anakatwa mkono?? Izudani mjinga sana anachuki na nchi inayo simamia sheria ya allah
Wewe umemexeshwa taarifa hujui lolote, vyema kaakimya .
Ww ni mwehu na hufaham kwn yy kasema izo nchi ni za kiislam? Au kasema ni afadhali kuliko iyo inayosemwa ni ya kiislam? Mbona ww ni mwehu na mjinga
@@HemedSerious
Endelea kutema povu na matusi hicho ndiokipimo cha uelewa na akilizako,ndiojibu sahihi na naelewa wewe nimuelewa kiasi gani.
Huyu shekhe anaongea ukweli ulio waziwazi sasa kama utakuwa na ushabiki wa kumkejeli ni hiari yako
Mashaalla wape ukwe vibaraka
Hiyo saudia iliyokataza adhana kwa spika nje ni saudia ya Kenya au saudia ipi maana huku adhana twaziskia vzr misikiti yote saudia
Allah atukubalie swaumu zetu
Amiin
Ukweli uliyo wazi. Utawala wakisaudi na tawala zingine za kiarabu ni makafiri tu. Makafiri wakubwa kuliko makafiri wazaliwa. Alafu na viongozi wa dini katika inchi hizo ni manafiqi ndiyo mana hawazungumzi chochote. Wakweli wamewekwa jailer. Hongera sheikh wetu izzudin. Na tunamkumbuka Sheikh aboud rogo Muhammad. Alikuwa akizungumza sana kuhusu utawala wa kikafiri wakisaudi. Allah amrehemu
Tuongeeni na raisi wetu atuchapishie misahafu kutoka kenya. Maana wanatuheshimu sana waislam.
Kiukweli hawa wazee wa saudia wanazingua wakifunga wafunge ila wasitutangazie
Sio Serekali ya kioslamu kabisa manake Hata kina Rihana wana tumbuiza siku hizi Concert kwenda mbela
Masha Allah mungu akuweke uzidi kutuzindua shehe
Mashallah shekhe
Shekhe upo vizuri. Allah akupe afya njema
Wallah nahisi wahabi wanatatizo kubwa LA kiakili, yani wameshindwa kumuelewa izzudi Wallah
Wewe ndio una matatizo sababu hujakaa kusoma dini yako.
Kwani yeye ni nani hadi kila asemacho kiaminiwe..?
Swali langu ni kwamba je kama kila mji na mwezi wake sasa kwanini waseme tumekubaliana kenya, Zanzibar na Tanzania bara kuwa mwezi ukionekana tunajumuika pamoja?
Acha ujinga we mwisilamu,
Msikiliz kwa makin yy hakatai ufate uko lkn je uko unako data ni sahih
habibi alhamdulillah umeweka wazi kila kitu asie helewa achimbe shimo ajifukie tu
Mwezi wanatangaza sawa makosa ya mtawala usiyalinganishe na muandamo wa mwezi kuwa muadilifu
Hapa tatizo watu wanatetea sehemu, kwa kuwa inaitwa saudia bhac watu wanadhan hayawez kutendeka maovu, ni hivi fateni uislamu unavosema na wala sio kuangalia sehemu, au mtu juu ya kile anachofanya, Mwanadamu kagewa akili ili aweze kuchanganua mwenyew kati ya njia mbaya au nzuri, TUFATE SHERIA NA MISINGI YA UISLAMU NA WALA SIO SEHEMU AU MTU!!!!
Labda ungemtaja anayetetea saudia kama nchi na sio dini...?
Saudia ni nchi iliyo na matatizo makubwa katika maendeleo ya Uislamu, ipo kwa ajili ya dunia zaidi. Wakuu wa serikali, ukoo unao tawala ni kikwazo kikuu, wamesilimu lakini hawajaamini.
Kweli kabisa
Wewe nchi yako inasimamia sheria ipi ktk sheria za Allah mpaka uanze kuilaumu suudia? Tutajie apa
Saudia haiheshim dini hii misikiti inajengwa na wakoloni au? Mbona unabweka tu utamdanganya nani zama hizi
Sheikh unasema kweli saudia hakunankitu nimayahudi kimtazamo.
Mche mola wako kaka
Ndio hali ilivyo nduguu kama hujui yule kiumbe mwenye jicho moja ni yeye asilimia zote@@mohammedmohsin3186
Huko Saudi-Arabien siku hizi ufedhuli mwingi tuu mungu atusimamie na hiyo Macca yetu tuu na Madina Inshallah 🙏🙏
Mnajazwa chuki mno angalieni mashia washasema makka yao Karbala mtajazwa hadi mtageuza kibra
@@UmmuHaneefahChikomele hatariii
😂😂😂😂 unajua nafurahi kitu kimoja, Ktk nchi zenye viongozi w kinafiki ni saudia Arabia dini imepew kichogo kabis na ujinga mkubw zaid huwatumia hao hao maulamaa kin sheikh Sudais na kuwalazamish kutoa fatwa na maelekez mengin ya kidini , na Qatar na EAU huwafuat, kuwaogop na kuwaheshim san Saudia. Hiz ni nchi ambazo siasa zao na mamb Yao ya ndan Marekani ndie anaeamuwa ndug zang ndug zang tusifuat mikumbo tufuatilie hizi nchi siasa zak na serekali zake sio km hakuna waisalamu tuelewan ila viongoz wao sio wanaofuat uislamu na unafiki mkubwa uko ktk hizi nchi tufuatilie na tuzisome hizi nchi za ukanda ule wa middle east pan maoza oza pale makubwa na kiongozi wa yote ni saudia Arabia
Je ktk inchi zote izo ulizozitaja au nchi zote unazozijua niselikari gani au mfalme gani amewai kumnyonga mtoto wake kwa ajili ya kutekeleza hukumu ya dini?? Nyinyi mnachuki na suudia kwa kuwa wao niwatu was tauheedi.mtawazulia mengitu nabado
Chuki gani shekhe na wakati wametangaza wazi miji ya kidini ni makka na madina, kwingine ruksa kufanya unachotaka bila kujali mipaka ya uisilamu. Kwenye lazima ukubali sio kuleta kichwa kigumu Kama ndugu zetu wasiokuwa waisilamu wanabisha wakati haki hiko wap.
Sheikh ongeya mambo ya ki ELIMU SIYO uhaduyi maneno Yako unaleta uwaduyi wewe mwenyewe ujuwi niwanani?
Good Shekh❤
Shekh nimekupata vizur ila elewa pia wapo wasaudia watakao ingia moton maana wao ni binadamu
Ungesema kuna wasaudi watakao ingia peponi Kwa sababu wamotoni nikama wote pumbavu zao 😂😂😂😂
@@mjaweathman6519😂😂😂😂😂😂😂😂
tatizo kuna wa2 wana commment kwa jazba cjui shekh kasema kutoka na na aya hajasema ukahij jamaica jaman sikilizen mpaka mwisho ndo ukoment acha jazba
Wanachanganya mambo Kwa jazba na sio km hawaelewi
Hata misri siku hizi mpaka sudia itangaze
Umetufungua Ufaham sheikh shukran
Hapana ndugu yangu,amekutia uongo mwingi sana,saudia hawaja kataza adhana na kama wamekataza adhana mimi namuomba Allah aniangamize kwa namna yoyote mbaya.
@@user-jl9sl2gb9wusitetee usalafi, nyuma ya usalafi kuna ukafiri unasapoti harakati zao.
Allah akubarik sheikh umeeleweka vzr
Facts 100% ndio Wana tutesa huku ju hata hawa jui sunnah ya mtume wetu MUHAMMAD S.A.W very bad people subhannallah hata na hii Ramadan hawa huruma kabisa
Kwaiyo Jamaica wanafuata Dini??? Mashekhe wa cku izi mnatafta umaarufu mitandaon
Wew nawe uwe msikivu hajamaanisha jamaica ila pale tu ukapokuona kua ni sahihi mi mkristo ila nimemuelewa palipo na haki ndipo upafuate kaka
Kwakweli muna chuki sana na saudia mpaka unaifananisha na Jamaica nendeni mkahiji uko uko Jamaica tuwaone kweli na chuki zenu mbona nchi zenu izi zimearibika vibaya zaidi hamsemi kazi kuisema vibaya saudia kwakuwa kuwa wapo tofauti na mitazamo yenu
Ni wajinga wanaobebeshwa chuki na makafiri wa kishia na manaswara
Maneno mengine ni sawa na mengine ni siasa na chuki. Mfano kama kuhusu flag ya Saudi 🇸🇦, wachezaji mchezo aina yoyote, wakati wanaingia chooni, ni sawa kuingia na kalima hiyo.. Mtume Muhammad Pete yake alikua akiivua kwa sababu gani wakati akiingia kwa haja ?? Ni sawa hiyo flag ibadilishwe, iwe ya heshima na kuwepo ya sirikali. Bila ya neno la Tawhid.
❤
Maneno kuntuu ya ukweli .wameelewa hawataki tuuu kufuata
Sheikh Serikali ya Saudia ya lini? Serikali ya Saudia Zama zote? Sema wazi Serikali ya sasa ya Saudia
Serekali ya saudia ya sahii
Sheikh Umeeeleweka vya kutosha 🥺Allah akuhifadhi.
Huwezi kushindana na daula TAWHEED
Somalia ndio Dola yatauheed sio Suudia. Endeni Somalia mukaone Waislam haswa wanawake wakiislam wote Wanavaa majalibib . .Kama nisuudia Hakuna uislam huko.. wakishika Dini niwachache Sana ..Dini iko Afrika ..
@@sulehassanshall6140kweli kabisa wanao ijua Saudi vizuri ni kama Sisi mashagala lakini wengine wataitetea tu hakuna uislam huku ni wayahudi
Saudia ni dola la kikafiri
Dola ya tawheed ya kikafiri saudia kabisa sheikh
Sheikh Ako na umakinifu wa akili CONSCIOUS
Mola mpe umri mrefu shehe wetu azidi kuwazindua walio kosea
Mche Allah
Usitetee usalafi
Sh. izzudin masha allah
Sisi saudia tunaupenda ni nchi ya waislamu na nchi ya dini lkn tunasema wenye wako mamalakini saudia sahii n vibarka wa america wala hawafai kufutwa wanaistahili kutolewa mamalknai
Mashallah sheikh
Walio funga na saudia wanachooooo
😂😂suudia kubw jinga abu jahal lahab😂😂
Tatizo propaganda za maadui wa Uislamu kuichukia Saudia,na kuzidisha mambo,zaidi ya namna ukweli ulivyo,takribani asilimia 90 yanayozushwa kuhusu saudia ni uwongo,uhalisia unapokwenda huko,ni tofauti na ukweli wenyewe,tunawaambia hawa wazabizabina,ambao hutumia dini ndio maslahi yao ya maisha katika huu ulimwengu,kwa kuchafua dini ya Allah Subhana wataala,na wengine wanaochangia kwa kuchochea wasiyoyajua,basi wajuwe,Jalla Jallalu yupo,mwenye kuyajua tusiyoyajua,na kila mmoja atabeba alilolichangia kulipotosha,ushabiki wa kuropokwa na wamelishwa ya uchochezi ya wapotoshaji na maadui wa Allah,alama zao za unafiki,Allah Atazihukumu, tahadhari mengi yanayosemwa hayana ukweli.
Maa Shaa Allah
Nikipi wenzetu wakenya wenye kuwa na haraka ya kufunga siku ya ishirini na tisa kutokamilisha Thalathini ? ETI saudia Wametangaza Wewe uko 🇰🇪.
Maa Shaa Allwah
Sheikh .. wangu upo sahihi ..
Kweli kabisa SAUDIA YA MASALLAF HIYO, sasa walivyokuwa na nyenyekevu halafu wanaanza kuodoa adhaana, live tareweeh, wanasappot Israel, nk
UISLAMU WA SAUDIA unaendeshwa na mfalume,sio misingi ya kidini
Wewe hujui kuwa mashia wa Yemeni walituma mabomu kuipiga alkaaba!! Je muislaam anaweza kuipiga alkaaba!!!
Mwana falakia wa Saudia anasema kwa miaka 65 kuna Hali 38 kwamba unatangazwa mwezi bila ya kuwepo
Shekhe ni kiongozi gani anaeongo hata kwa sheria moja tu ya kiislm
Sasa nyie masheikh ambao ni vibaraka wa wamisri nataka nkwambieni,hakuna nchi yyte saivi ya kiarabu mnayoijua nyinyi ina fuata uislamu wa sawa,angalau hao suudi wajitahidi,tembeeni muyaone,hao wamisri na masheikh wa az-har ambao miaka nenda miaka rudi wajitia kuikosoa saudia,nchi yao wao wenyewe imeathiriwa na umagharibu kwa kias cha juu saana,kiasi ilifika hatua walipagana wao kwa wao kwa kutohitaji uongozi wa kidini,nchi za kiarabu zote saiv zimeingia katk ma mipira,miziikiii,udanguurooo,kubusishwa na mabishara atarishi,sasa msitake kuionea saudia kwa sbbu ya tofauti za kiitikaadiii,hakuna hata nchi moja ya kiarabu unayoijua weweee ina ukamili,fanyeni wlau inswaaf mnapokua mnaizungumzia saudia
Hii sio arabuni tu hata sisi East Africa tumeungana lakn huwezi kutoka na kitambulisho cha nida kuingia kenya wala kenya kuja tanzania kwa kitambulisho kama huna passport huwezi kuingia kenya ukitokea Tanzania
Africa bado
Lubuva
WEWE UNASEMA OMAN MAIBADHI WATU WA BIDAA.....
JE.... UNAWEZA KUWEKA HOJA ZAKO HAPA YA HIZO BIDAA UNAZO ZUNGUMZIA?????
NAOMBA UTUFAHAMISHE AU VINGINEVYO UTAENDA KUMJIBU ALLAH KWA MANENO YAKO HAYA POTOFU!!!!!
Mashaallah
Kwani tunafata mwenzi au tunafata tabia za nchi mana hamna nchi ya kiisilamu kote hali tete mm npo zanzbar lakn afazali na apo daa wat wanakaula na ukionekana daa vp tusifunge
Huyu shekh muongo sana
Afadhali Kenya 👍
Shekhe wangu wapotea sana ati watu wafuate kwa makafiri wasifate saudia wala dubai wala Abudhabi ssa wenda fanyanni wwe makka kwanni huendi uko jamaika ama kweli chuki yawaislamu nikwa waislamu wasio namsimamo waichukia nchi ya mtume namasahabawake bc nenda jamaika usiende saudia
Hajapotea shekhe saudia saiz washapotea kwenye baadhi ya mambo, ila km utaandama Jamaica na ukatangazwa basi tutafata
Tumia busara Saudia sio nchi ya mtume.
Nakuhusu cuki Hakuna muislam mwenye akili timam anaweza kuitetea Saudia .
Msimamo wa Saudia kuhusu palestina huuoni???
Vip nchinya mtume s.a.w iwasaidie makafiri mayahudi wanaouwa waislam palestine ?
Serkali ya Saudia nimakafiri nahilo halina mjdala
@@sammarley1413 Kweli akhui hilo halina mjadala labda uwe unapata mgawo kutoka Saudi Arabia ndio waweza ungana nao. Saudi Arabia wanashirikiana na wazungu na mayahudi kitambo Kwani hawajui.?
Tatizo lako hufahamu hata ukifahamishwa
Tatizo hujafika Saudi ukaona kunavyo enda😂😂😂😂😂
Huyu sio shekhe uyu nijaahili anasema selijari ya suudia aina dini wakati inasimamia hukumu za kiislaam hamkumuona sirikali ya suudia ikimyonga mtoto wa mfalme kisa kakutikana na kosa linalo stahiki kifo!!!!
Ila huyu SHEKH bila shaka umefanya kitu ambacho wengine waliogopa kulisema,na kwa kauli hii umewaokoa wajinga wengi.
Kama ktk zama za Mtume saww walifunga tofauti wewe ni nani uwalazimishe watu?mawahabi wana ujuaji wa kijinga na ubishi wa kitoto sana.
Ndo uwe unaenda kuhiji Jamaica basi. Ni kweli serkali inamapungufu yake ila kamwe huwezi fananisha na Jamaica labda kama ni kuala la kwenda kujifunza bangi Jamaica.
😂😂😂😂😂😂😂😂.
shehe inasemekana kiongozi wa saud anahasiri ya uyaud ndomana wameungana tushituke
Tumia kichwa kufikilia....