RC Makonda atangaza ratiba ya matukio Arusha | "Tutakula bata siku tatu"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • SAFARI FIELD CHALLENGE: Hii hapa hotuba kamili ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda katika hafla ya ufunguzi wa shindano la waongoza watalii #SafariFieldChallenge ambapo ametaja matukio makubwa yaliyopangwa kufanyika jijini humo mwaka huu.
    Miongoni mwa matukio hayo ni kufunga mitaa kwa siku tatu kwa ajili ya kula raha, kualika wanaohitaji kufanya harusi, tamasha la magari na mengine kadhaa...
    Katika hotuba hii, pia Makonda amepiga marufuku magari ya watalii kukamatwa kuanzia saa Julai 01, 2024.

Комментарии • 45

  • @anastazialushika
    @anastazialushika 3 месяца назад +9

    Huyu jamaa ana maono sana na ni mbunifu kwer! Hongera sana Makonda Mungu akuinue katika viwango vya juu zaidi

  • @ErizicDaud
    @ErizicDaud 3 месяца назад +9

    ❤❤❤🎉🎉❤hata watu wakuchukie wakuchafue nitakupenda tuuu

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 3 месяца назад +2

      Hata mimi ntampenda tu Makonda mpaka mwisho ❤

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 3 месяца назад +6

    Duh!!! Mhe Makonda wewe nimbunifu sana tumechelewa kidogo ila mungu mwema atakufanyia wepesi kwa kazi zako insha Allah hahahaaaaa❤❤❤❤❤️

  • @KaujuMwakajumba
    @KaujuMwakajumba 3 месяца назад +4

    Hivi kutompa madaraka yoyote ndani ya miaka mitatu huyu kijana ni kutotutendea haki sisi wanyonge...hongera sana makonda wewe ni mfano mzuri wa watendaji WA serikalini

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 месяца назад +6

    Salute kwako Mh Makonda 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 3 месяца назад +5

    Mungu akubariki kwa mawazo mazuri na kuhitaji kukuza uchumi wa Arusha

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 месяца назад +5

    ❤❤❤🎉🎉 Hongera sana Makonda Mungu akulinde

  • @djfiremoto3429
    @djfiremoto3429 3 месяца назад +5

    MUNGU AKUBARIKI SANA TENA MARA DUFU MAKONDA UKO NA AKILI SANA🙏

  • @josephwilliam4727
    @josephwilliam4727 3 месяца назад +4

    Hongera sana makonda Hakika unawazo Mazur mno

  • @NeemaMwangobola
    @NeemaMwangobola 3 месяца назад +1

    Mama safi sana Kwa kumuoma makonda...mungu akukumbuke kimaombi..makonda anakusaidia sana sana sio mnafki kwako...wa pili ni wazili wa arhi siraha nae kichwa..sifa zikufikie mbunge wa arusha Kwa kushilikiana namakonda Kwa kuwa muwazi..wengine unafki TU.msiogope mungu yupo juu yenu.

  • @FestoMgimwa
    @FestoMgimwa 3 месяца назад +3

    Yaaan mungu amekuchagua kumusaidia rais wetu kipenzi cha watu .nchi imetulia hata wasioona wanaona ..wenye masikio yaliyo ziba yamefunguka ..rais anajembe hongeraa mama kwa malezi haya mema

  • @emmanuelkubambala1998
    @emmanuelkubambala1998 3 месяца назад +6

    Nice speech PCM

  • @asajileraphael1951
    @asajileraphael1951 3 месяца назад +4

    Yaaani your the best in leadership

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 3 месяца назад +3

    Mmexico asiwalete Mashoga, Wasenge na Wasagaji Kufunga ndoa Arusha.

  • @cleopasmdasi5950
    @cleopasmdasi5950 3 месяца назад +1

    Hongera mh rais na kwako pia mh makonda,unaongoza njia

  • @VictorJohn-fu7ch
    @VictorJohn-fu7ch 3 месяца назад +2

    Napenda inchi ya Arusha❤❤❤❤

  • @DaudiMazengoMasterDTEM
    @DaudiMazengoMasterDTEM 3 месяца назад +2

    Hongera sana mkuu. Wangine wanajikongoja. Big up.

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 месяца назад

      Wakuu wa mikoa mingine kazi zao kusifia sifia tu eti mkuu wa mkoa kazi yake kwenda kufungua vyoo vya mashuleni na kusifia hii ndio kazi ya mama.

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 3 месяца назад +1

    Hakika Mungu kawekeza kwako❤

  • @renatusgasembe3338
    @renatusgasembe3338 3 месяца назад +2

    mkuu wa mikoa safi sana

  • @trendings1293
    @trendings1293 3 месяца назад +4

    Viva makonda

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph5811 3 месяца назад +4

    SAMIA SULUHU JEMBE SANA , CCM OYEEE

  • @lonjinoedward3539
    @lonjinoedward3539 3 месяца назад +3

    My president 2030

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 3 месяца назад +2

    Kweli kabisaaa kuplan si kazi, kazi ni utekelezaji

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 3 месяца назад +2

    Tunatoa Swadaka mollah akupe afya njema kamanda makonda piga kazi Arusha is Dubai now 🇹🇿🇦🇪

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 3 месяца назад +2

    Big brain

  • @ConstanciaShangali
    @ConstanciaShangali 3 месяца назад +1

    GENEVA YA ARUSHA HII HAPAAAA🎉🎉

  • @irangamatandura8537
    @irangamatandura8537 3 месяца назад +2

    Maono ya Jpm jmn imepata mtetez jmn mungu huyu ampe huyu jamaa mamlaka kamili ili akamilishe maono yake

  • @annanaiman9321
    @annanaiman9321 3 месяца назад +5

    Makonda ni jembe tumuombeeni tu,hatakama anamabaya yake,tusiyaangalie sana,tuangalie kichwani ananini ambacho tutanufaika nacho

  • @mariamshabani7107
    @mariamshabani7107 3 месяца назад +4

    ❤❤❤❤❤

  • @aguumoppao15
    @aguumoppao15 3 месяца назад +4

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @mercyzakariah
    @mercyzakariah 3 месяца назад +6

    Tunu ya jamhuri ya muungano huyo NI zaidi ya dhahabu isio shuka thamani,, tunakutegemea kama taifa, milion 68 ya Wa tz TUKO nyuma yako chapa kazi,,

  • @MagrethEvaresth-dd1lb
    @MagrethEvaresth-dd1lb 3 месяца назад +6

    Raisi wangu wamwaka 230

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 3 месяца назад +2

    Jeshi la mungu

  • @manvoice1
    @manvoice1 3 месяца назад +3

    🤝🔥🔥🔥

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 3 месяца назад +4

    Hiki chombo

  • @NAMAYANINANYARO
    @NAMAYANINANYARO 3 месяца назад +1

    Magufuli Junior

  • @martinezsiwale4419
    @martinezsiwale4419 3 месяца назад

    Makonda🙌🙌🙌

  • @AyoubKhatib-p4k
    @AyoubKhatib-p4k 3 месяца назад +4

    Huyu Makonda ana akili kama za raisi wa Urusi Putin

  • @collyalinani2407
    @collyalinani2407 3 месяца назад +2

    nitakuja uko aisee

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 3 месяца назад +1

    ❤❤❤🎉

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 3 месяца назад +4

    Makonda wewe ni njembe