RC Makonda atangaza ratiba ya matukio Arusha | "Tutakula bata siku tatu"
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- SAFARI FIELD CHALLENGE: Hii hapa hotuba kamili ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda katika hafla ya ufunguzi wa shindano la waongoza watalii #SafariFieldChallenge ambapo ametaja matukio makubwa yaliyopangwa kufanyika jijini humo mwaka huu.
Miongoni mwa matukio hayo ni kufunga mitaa kwa siku tatu kwa ajili ya kula raha, kualika wanaohitaji kufanya harusi, tamasha la magari na mengine kadhaa...
Katika hotuba hii, pia Makonda amepiga marufuku magari ya watalii kukamatwa kuanzia saa Julai 01, 2024.
Huyu jamaa ana maono sana na ni mbunifu kwer! Hongera sana Makonda Mungu akuinue katika viwango vya juu zaidi
❤❤❤🎉🎉❤hata watu wakuchukie wakuchafue nitakupenda tuuu
Hata mimi ntampenda tu Makonda mpaka mwisho ❤
Duh!!! Mhe Makonda wewe nimbunifu sana tumechelewa kidogo ila mungu mwema atakufanyia wepesi kwa kazi zako insha Allah hahahaaaaa❤❤❤❤❤️
Hivi kutompa madaraka yoyote ndani ya miaka mitatu huyu kijana ni kutotutendea haki sisi wanyonge...hongera sana makonda wewe ni mfano mzuri wa watendaji WA serikalini
Salute kwako Mh Makonda 🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu akubariki kwa mawazo mazuri na kuhitaji kukuza uchumi wa Arusha
❤❤❤🎉🎉 Hongera sana Makonda Mungu akulinde
MUNGU AKUBARIKI SANA TENA MARA DUFU MAKONDA UKO NA AKILI SANA🙏
Hongera sana makonda Hakika unawazo Mazur mno
Mama safi sana Kwa kumuoma makonda...mungu akukumbuke kimaombi..makonda anakusaidia sana sana sio mnafki kwako...wa pili ni wazili wa arhi siraha nae kichwa..sifa zikufikie mbunge wa arusha Kwa kushilikiana namakonda Kwa kuwa muwazi..wengine unafki TU.msiogope mungu yupo juu yenu.
Yaaan mungu amekuchagua kumusaidia rais wetu kipenzi cha watu .nchi imetulia hata wasioona wanaona ..wenye masikio yaliyo ziba yamefunguka ..rais anajembe hongeraa mama kwa malezi haya mema
Nice speech PCM
Yaaani your the best in leadership
Mmexico asiwalete Mashoga, Wasenge na Wasagaji Kufunga ndoa Arusha.
Hongera mh rais na kwako pia mh makonda,unaongoza njia
Napenda inchi ya Arusha❤❤❤❤
Hongera sana mkuu. Wangine wanajikongoja. Big up.
Wakuu wa mikoa mingine kazi zao kusifia sifia tu eti mkuu wa mkoa kazi yake kwenda kufungua vyoo vya mashuleni na kusifia hii ndio kazi ya mama.
Hakika Mungu kawekeza kwako❤
mkuu wa mikoa safi sana
Viva makonda
SAMIA SULUHU JEMBE SANA , CCM OYEEE
My president 2030
Kweli kabisaaa kuplan si kazi, kazi ni utekelezaji
Tunatoa Swadaka mollah akupe afya njema kamanda makonda piga kazi Arusha is Dubai now 🇹🇿🇦🇪
Big brain
GENEVA YA ARUSHA HII HAPAAAA🎉🎉
Maono ya Jpm jmn imepata mtetez jmn mungu huyu ampe huyu jamaa mamlaka kamili ili akamilishe maono yake
Makonda ni jembe tumuombeeni tu,hatakama anamabaya yake,tusiyaangalie sana,tuangalie kichwani ananini ambacho tutanufaika nacho
❤❤❤❤❤
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Tunu ya jamhuri ya muungano huyo NI zaidi ya dhahabu isio shuka thamani,, tunakutegemea kama taifa, milion 68 ya Wa tz TUKO nyuma yako chapa kazi,,
Raisi wangu wamwaka 230
Umri
Jeshi la mungu
🤝🔥🔥🔥
Hiki chombo
Magufuli Junior
Makonda🙌🙌🙌
Huyu Makonda ana akili kama za raisi wa Urusi Putin
Umenena
nitakuja uko aisee
❤❤❤🎉
Makonda wewe ni njembe