🅻🅸🆅🅴 TUNDU LISSU ANAUNGURUMA KIBAKWE JIMBONI KWA WAZIRI SIMBACHAWENEXCVYV
HTML-код
- Опубликовано: 8 май 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Hapa Lisu ameeleza vizuri sana kwa watu wa kijijini ili wamuelewe kuhusu Katiba Mpya
Jamani Chadema Jitahidini Mh Lisu Afike Wilaya ya Mwanga - Mkoani Kilimanjaro: hasa Upande wa Magharibi maeneo ya Kifaru, Mwanga, Kisangara, Lembeni, Kisangara Juu (Kata ya Ngujini, Kilomeni, Maeneo ya Bwawa la Nyumba ya Mungu na Ngulu Kwa Koa. Huku japo CCM wapo Sana mtapa watu wengi Sana wasioridhika na kwa utendaji wa miaka 60 ya CCM
Viva chadema
Ndugu zangu CCM imetengeneza ujinga kwa taifa na ujinga ukwa mtaji wao
Kibakwe.changamkeni
Wakati
Ni.huu.
Mpwapwakibwekwe.ndio.ngome.c"cm.mko.nyuma
Kuliko.wilaya.mimi.ni.mgogo
Kwetu
Mima.napata
Uchungu
Sana.viongozi.wametuacha.sana.mungu.tubariki
Hongereni SANA wamama wa kinwaweamama wore tanzania tuungane nao tutee maendeleo yetu ya Tanzania
People power tusikate tamaa asubuhi imekalia tukazane
Hongereni Wana chadema
Tundu Lisu tuzungumzie na wananchi wa Nyatwali serikali inataka kuhamisha zaidi ya watu Elfu kumi na Tano vijiji vinne na kuwapeleka kusiko julikana Kwa lazima ili maeneo yao ya asili waliyoishi Kwa zaidi ya miaka mia nne wawape wawekezaji . Huo ni ukatili wa Hali ya juu kabisa serikali Haina huruma na wananchi wake kabisa .
Kuna haja ya mabadiliko ya katiba hasa katika kukomesha utaratibu wa kulindana katika utawala bora wa nchi ya wanyonge kama Tanzania
✔️✌️✔️✌️
Siasa hizi bwana!
Acheni hizo hamna sela kaziyenu ni na hao hawadanganyiki hata kilometa moja yabrbr hamuiweziiiiii poleni sana mungu awaone kwa maneno yenu hayo ccm hakuna kuwa da nga nyaaaaaa ccm oyeeeeee
Nenda shule,
Wenyeviti.vijiji.wakichakuli.walipwe.posho.ndipo.mawazili.raisi.anatoka.wapewe.haki..
Chadema na CCM mkimsema vibaya Magufuli hamtakubalika kwa wengi, kuweni makini.
Axha upumba , Tena upumbavu, hakua mungu.. ni mwanadamu. Na alikua na mapungufu makubwa na ujinga mwingi tu. Na alikua mwi pia.
Magufuli ndiye aliyechangia ujinga wote huu kutaka bunge lote liwe CCM,sasa hivi kuna waimba taarabu tu.
Semeni ukweli
Wamesema uongo gani hapo?
Ni-viongozi.hawajita.mbui.mima.mili.mani.pana..madinii.chadema.fanya.utafiti