🅻🅸🆅🅴 TUNDU LISSU ANAUNGURUMA KIBAKWE JIMBONI KWA WAZIRI SIMBACHAWENEXCVYV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 май 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 22

  • @user-ql7rm2zw4d
    @user-ql7rm2zw4d 23 дня назад +2

    Hapa Lisu ameeleza vizuri sana kwa watu wa kijijini ili wamuelewe kuhusu Katiba Mpya

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl 23 дня назад +1

    Jamani Chadema Jitahidini Mh Lisu Afike Wilaya ya Mwanga - Mkoani Kilimanjaro: hasa Upande wa Magharibi maeneo ya Kifaru, Mwanga, Kisangara, Lembeni, Kisangara Juu (Kata ya Ngujini, Kilomeni, Maeneo ya Bwawa la Nyumba ya Mungu na Ngulu Kwa Koa. Huku japo CCM wapo Sana mtapa watu wengi Sana wasioridhika na kwa utendaji wa miaka 60 ya CCM

  • @nicholasgeho3357
    @nicholasgeho3357 23 дня назад

    Viva chadema

  • @etufaniakahemela5879
    @etufaniakahemela5879 23 дня назад +2

    Ndugu zangu CCM imetengeneza ujinga kwa taifa na ujinga ukwa mtaji wao

  • @evelina9621
    @evelina9621 23 дня назад +3

    Kibakwe.changamkeni
    Wakati
    Ni.huu.

  • @evelina9621
    @evelina9621 23 дня назад +2

    Mpwapwakibwekwe.ndio.ngome.c"cm.mko.nyuma
    Kuliko.wilaya.mimi.ni.mgogo
    Kwetu
    Mima.napata
    Uchungu
    Sana.viongozi.wametuacha.sana.mungu.tubariki

  • @amushimushi
    @amushimushi 23 дня назад

    Hongereni SANA wamama wa kinwaweamama wore tanzania tuungane nao tutee maendeleo yetu ya Tanzania

  • @pastorlbahinyuye5796
    @pastorlbahinyuye5796 23 дня назад

    People power tusikate tamaa asubuhi imekalia tukazane

  • @user-hz1xf1kl3l
    @user-hz1xf1kl3l 23 дня назад

    Hongereni Wana chadema

  • @user-hf9kp7ys2h
    @user-hf9kp7ys2h 23 дня назад +1

    Tundu Lisu tuzungumzie na wananchi wa Nyatwali serikali inataka kuhamisha zaidi ya watu Elfu kumi na Tano vijiji vinne na kuwapeleka kusiko julikana Kwa lazima ili maeneo yao ya asili waliyoishi Kwa zaidi ya miaka mia nne wawape wawekezaji . Huo ni ukatili wa Hali ya juu kabisa serikali Haina huruma na wananchi wake kabisa .

  • @richardzakaria8669
    @richardzakaria8669 23 дня назад

    Kuna haja ya mabadiliko ya katiba hasa katika kukomesha utaratibu wa kulindana katika utawala bora wa nchi ya wanyonge kama Tanzania

  • @lutendelutendeubarikiwebro9432
    @lutendelutendeubarikiwebro9432 23 дня назад +1

    ✔️✌️✔️✌️

  • @malamlaaj9852
    @malamlaaj9852 23 дня назад

    Siasa hizi bwana!

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 23 дня назад

    Acheni hizo hamna sela kaziyenu ni na hao hawadanganyiki hata kilometa moja yabrbr hamuiweziiiiii poleni sana mungu awaone kwa maneno yenu hayo ccm hakuna kuwa da nga nyaaaaaa ccm oyeeeeee

  • @evelina9621
    @evelina9621 23 дня назад

    Wenyeviti.vijiji.wakichakuli.walipwe.posho.ndipo.mawazili.raisi.anatoka.wapewe.haki..

  • @clickway..
    @clickway.. 23 дня назад +1

    Chadema na CCM mkimsema vibaya Magufuli hamtakubalika kwa wengi, kuweni makini.

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 23 дня назад

      Axha upumba , Tena upumbavu, hakua mungu.. ni mwanadamu. Na alikua na mapungufu makubwa na ujinga mwingi tu. Na alikua mwi pia.

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 23 дня назад

      Magufuli ndiye aliyechangia ujinga wote huu kutaka bunge lote liwe CCM,sasa hivi kuna waimba taarabu tu.

  • @etufaniakahemela5879
    @etufaniakahemela5879 23 дня назад

    Semeni ukweli

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 22 дня назад

      Wamesema uongo gani hapo?

  • @evelina9621
    @evelina9621 23 дня назад

    Ni-viongozi.hawajita.mbui.mima.mili.mani.pana..madinii.chadema.fanya.utafiti