Jux afanya kufuru kwenye mjengo wake, asema hapo hajapa Nyumba ya ndoto zake
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Juma jux
Nakuelewa sanaaa kaka nakukubali sana mziki wako na jinsi ulivyo
Habari Zakuamka
Maswali ya mwandishi🤔..rudi shule please
Nzur bro unapambn san kijana makini bg up
i know I am quite off topic but does anyone know of a good place to watch new movies online?
Huu jamaaa nampenda sanaaa sjui nikwanini du sku moja Nita burundi nimfate tz hakiyanane
Upuuzi tu kwani yeye hakuwa na girlfriend aliyekuwa anauza madawa na akafungwa au watu wamesahau sasa? Endelea kukufuru tu Mungu anakuona.
Ohh..Kumbe mnapenda ila mkaza...Sina uwakika jamani.
Big up bro nakukubali sana
Ndoto y nyumb yako ni kaburi pekee yake ndo nyumba y milele usikufuru mungu
@travelstylish nurse jina lako linatosh kwmb umeuwach Uislamu Inna lillahy wainna ilaihy rajiun msib ndug yng
@travelstylish nurse hapo ndio mwsho w mawazo yko y kufkiria you loose duniani n Akhera pia mungu atakusadia
@travelstylish nurse endelea Kuw n dunia, dunia ni saw na jamvi linalokunjw jiandaee mm n wewe maiti watarajiw
Kaburi LA wote ukipewa nafasi ya kuishi fanya maendeleo!!! Usiwe mjinga wa kusema kaburi ndo nyumba yako wakati bado unaish kaburi ni nyumba utayojengewa hutajenga ww ukiwa hai jenga nyumba mwenyew
@@ibrahimkanuto3514 shehe kaburi halijengwi kw sunna y bean mtume kaburi halijengwi makuhani ndio wnaojeng kaburi
Hiyoo nyumba ipo mbweni jkt mbona
Juu tu sana
Wazee wa kuongeza ziro
Never post if you ain't ready to talk about.
UIONGELEE ILI IWEJE KAPOST INATOSHA MASHABIKI WAJUE
Naaah,yours is a fake gospel,peleka mbali
Jux yuko vzr sana
Vi2 vya fasta uhisha fasta nmekusoma aisee.
Iyo nyumba amepanga mm naijuwa nanimeishi apo
Nakubali 🇶🇦
Jukisi
Mmmh ninawasiwasi kapanga mbona hayupo proudly na nyumba yake
Ila ni fresh asiongee kuliko kujiproud na nyumba ya kupanga
Hahaha xo kweliii uyo mtu mztooo
Just
Ulichopata ushukuru
Tatizo la huyu dogo anasshindwa kuongea ukweli kuwa ile nyumba siyo yake bali kapanga
rudi kwa mdee
Nyumba yako kaburi wewe lofa mbona usiiijengee
Ndoto ya nyumba yake ni kabuli.maana huko ndio tutadumu milele
Wapi uyo anajipya
Hajawah kufel