Kwakweli mungu akueke na azidi kukubariki kazi yako isonge mbele zaidi inshallah, kaka kelvin unachembechembe za kanumba na mungu anaenda kukubariki 🙏🙏🙏
Pole Sana klvn ume pandisha kazi zako nzuri sana na pia ume ieshimisha Mungu akubari Sana na yeye aliekupa nguvu ya kuingia kwa hii kazi na akuinuwe zaidiii
kelvin mm n mkenya but currently in USA. My friend lem tell you your movie is so interesting and inspiring ❤❤❤❤ I've already fallen in love with you 💋💋
Eee kelvin kumb ndoman kuanzia kwa movie ya 21 nitudog tudog ulibadili wakutunx movi make. Umesem eti unatak kujipunguzia machungu !!lakin kelvin lovness nawapend sana mung mbele nawatakia kila laheki🎉🎉❤
Kelvin broo mm cdhani km unajua ni jinc gn unakubalika kwa sasa, kiukwl cc tunaofatilia kazi zako tunakkbali sannnnnaaaaa zaidi ya unavofikiria, ckupata kujua kuwa ww kumbe ni mpambanaji kuac hicho, na kumbe Loveness tabia zake nzr tunazoziona kumbe ndivo alivo kwny uhalisia hongera kwake Loveness.
Dogo Kelvin acha niseme Kweli, kutokana na movi ya mtoto wa boss aikupendezi umkose lovenes sababu kakupendezasana kuliko chemeji nyumbani, yani utasema no Kweli kinasho fanyika.
Huyu dada wa mbengo tv Ako vizur, natamani kumuona siku Moja Kwa movie, much love kutoka Busia 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kaka kvn tunakupenda sana from kenya salimia lovevness❤❤❤❤
Boss kubwaaaaa Kelvin 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ congratulations Sana brazaaa uko good!!!!!
Pia mm ningefulai kukuona ukimuoa loveness kiukwl sio kuigiza yn mumependezana km kp na zebu mashallah❤
Huyu jamaa na muelewa sana He is positive, humble and so kind.
Nzega nyumbani KWETU ,, Nilikuwa naisubili interview ya Kelvin, kinomaaaaaa
Kaka we nomaaaaaaaaaaaaaa
Hata Mimi nmefrahi Sana kumbe nzega tuna malegend kabisa big up nzega nmepamiss sana
Kazi yako nzuri kaka Kelvin ❤❤❤❤🎉🎉🎉 big up bro 🥰
Asant kutureteya Kevin nimekuwa nimeviomba❤🇸🇦🇧🇮👌🥰kanumba uyo kbx nafwatoriya kazi zake kbx❤
Just marry Loveness ❤❤u look good together ❤May our good God bless you abundantly,, ❤❤
Kevin namuona kanumba kabisa hapo mungu akuweke dogo uko vzr sn💯💙 napenda sn kazi zako
Kweli
Nakukubali saana mwanetu
Kelvin ukovizuri sana mwamba mungu akutunze
we Kevin hoa loveness she is your match .much love from kenya
Much ❤ to you Kelvin keep up the good work salimia loveness
Kwakweli mungu akueke na azidi kukubariki kazi yako isonge mbele zaidi inshallah, kaka kelvin unachembechembe za kanumba na mungu anaenda kukubariki 🙏🙏🙏
Namkubali Sana Kelvin Na nafuatilia movie zake Sana nikiwa🇰🇪🇰🇪
Kwel mwanaume mwenye ndoto ya kujipambania congratulation kelvin❤❤❤❤
Kaka kelvin mungu akulinde azidi kukuinua akubariki pia azidi kukupa maarifa ili nawe uzidi kutuelemisha❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 salimia loveness tunampenda saana🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Hongera sana kelvin kwa kazi yako, Mungu akubariki uzidi kutuelimisha congoke sana.🙏🙏
Kaka Kevin napenda sana movie zako mungu akupe maisha marefu twakependa sana huku Kenya ❤❤❤
Nilikuwa nasubir kwa hamu san interview ya Kelvin akifanyiwa na wew mdad, so perfect
Kazi nzuri kelvin
Kazi yako iko poa Kelvin ❤
Masha ALLAH Kelvin nakupenda pia ❤❤❤❤
Uko vizur Kelvin Mungu akubariki uwe viwango vya juu zaidi
🎉 naifuatilia sana mbego tv na wewe dada unajuwa kuhuliza maswali mazuri sana, Nakupenda from Mozambique 🇲🇿🇲🇿👍
Nampenda sana loveness nikimwangalia nafalijika sana
Kelvine courange kabis unanjua kuingiz❤❤❤❤ Mimi Burundi
Kelvin una kipaji kizuri sana napenda kazi zako nakufuatilia kutoka oman big sanaaa
😂😂😂wf ya mwarabu
Unakza nzur
Kijana mpole mtulivu 😊 napenda vile unamshugulikia loveness ❤
nakubali san kk kelvin pamoja na loveness ❤❤ munaenda kwakweli
God bless you Kelvin
Du! Kumbe wa nzega mwenzangu!🎉🎉
Kelvin nakupenda saana. Unaonekana ni kijana mstaarabu saaana. Na napenda saana kazi zako. Na huna baya. Nakufatilia kutoka Oman.🇴🇲
mbengo TV nawa penda me niwa mbeya dada nakupenda bure kwasa babuniko Congo 🇨🇩
Nakubar San kak Kevin kaz zako ni nzuri San nafatiliye san movie zako❤❤❤❤
Kiukweli mungu akubariki tunakupenda natunakufatilia sana kbx inchini Burundi kiukweli unauwa❤❤❤
Nilikua nasubiri sana interview ya Kelvin Nakupenda Bure bro big up bro ❤❤❤❤
Kelvini upo vzr sana jembe unatisha mpe hai kunambi na love
May the lord bless you mr.kelvin,,big up ed good work our brother .salimia loveness sana🇰🇪🇰🇪
Pole Sana klvn ume pandisha kazi zako nzuri sana na pia ume ieshimisha Mungu akubari Sana na yeye aliekupa nguvu ya kuingia kwa hii kazi na akuinuwe zaidiii
Kelvin hongera mung akuweke
kelvin mm n mkenya but currently in USA. My friend lem tell you your movie is so interesting and inspiring ❤❤❤❤ I've already fallen in love with you 💋💋
Eee kelvin kumb ndoman kuanzia kwa movie ya 21 nitudog tudog ulibadili wakutunx movi make. Umesem eti unatak kujipunguzia machungu !!lakin kelvin lovness nawapend sana mung mbele nawatakia kila laheki🎉🎉❤
Yes but mimi nilijua km kaimba mwenyewe naipenda hii nyimbo tá mtt wa boss😊😊😊
Kelvi mungu hamutupi mjawake
Mungu awabariki mzid kukuwa zaidi mpe hai loveness, nawapenda sana♥️♥️
Kelvin una nyota ya kipekeee mungu akupe maisha marefu
Napenda sana movie zako kaka pia uncheza uhalisia hongera kaka
Yes. Ht mimi nilijua km kaimba mwenyewe. Naipenda hii nyimbo ya “mtt wa boss”
Upo vzr san kw kz zko zte nfatilia zte nkiwa Qatr bt mi nmkenya....we love you broo❤❤❤❤
Nakuombea itokee, kelvin loveness mumependezana sana mm nampenda loveness. Nataragia mambo mazuri. Lisemwalo lipo nakama halipo laja ❤❤❤😂
Mwambie Kelvin tunategea episode 23 tu sana🔥🔥
Kevi unajua unajua Tena Mungu akuweke kaka nakupenda❤❤❤🎉
Thank for .....
Kazi zako poa ,mpole nakupenda sana
Aki kelvin usimwache Love tunawapenda kutoka Kenya ❤❤❤😂❤🎉
kelvn is our mirror in real life
Kumbe mtu wa nzega mwenzagu good sana brother
Nakupenda sasa ka kevin
Kazi ipo Calvin uso kwa uso na mama chumbani kwa loveness ❤
Nakupendaka kk ❤❤❤❤❤
Kaka msitaarabu sana mwenyezi mungu akupe hitaji la moyo wako❤❤
Nakubali kazi zako sana tu big up ❤❤❤
Ila kiukweli kevi unachembe Cha kuwa na love❤
Kaka kelvin fanya bidii umuowe loveness plz munaendàna kwa kweli awe mama watoto wako nawapenda sana kutoka 254🇰🇪
Kelvin tafathali kama haujaoa kiukweli kabisa naomba umuoe lovenes na mupate watoto tafathali mumeendana sana ❤❤
Kaka hongera sana umejitafuta sana
Nampenda sana kazi zako kelvin mungu akusaidiye tu
Mungu akujaliye kilalaheri ni Aisha kutoka marekani
Loveness na kelvin the bext❤❤
Mnachelewa sana jamani kutoa episodes
Kazi zuri
Kelvin broo mm cdhani km unajua ni jinc gn unakubalika kwa sasa, kiukwl cc tunaofatilia kazi zako tunakkbali sannnnnaaaaa zaidi ya unavofikiria, ckupata kujua kuwa ww kumbe ni mpambanaji kuac hicho, na kumbe Loveness tabia zake nzr tunazoziona kumbe ndivo alivo kwny uhalisia hongera kwake Loveness.
Nakupenda klvn mungu akulipe
Ningekuwa mwanaume mm ningemuoa love nampenda sana
Nimependa sana unavyieleza Kila jambo Kelvin hata kwa movie zenyewe.
tuendelezee part 2 ya siku moja kbla ya Ndoa
Kazi nzuri 🎉🎉🎉
Kazana kaka nakupenda sana❤
Nampenda kelvin na lavunes
Mm natak umuowe lov kelvin nitachangia shera
Safi sana kaka Kelvin nakukubali sanaa
Kazi yako nzuri
Kelvin wetu 😘😘😘😘
Nawatazama kutoka kenya kazi zuri kevin
Mungu azidi kukiweka kipaji chako Ila mtoto wa boss mnatucheleweshea jaman jitahid kuiwaishaa maan imebamba Sana Sasa hivi jitahid sansss
Kelvin huko vizuri sana
Dogo Kelvin acha niseme Kweli, kutokana na movi ya mtoto wa boss aikupendezi umkose lovenes sababu kakupendezasana kuliko chemeji nyumbani, yani utasema no Kweli kinasho fanyika.
nakukubali sana kelvin 😅
Team strong mkuje bas au hamjaamka😂😂😂😂😂 waarabu leo wamefikiwa na kelvin punda hawa😂😂🎉🎉❤
Nikweli kabisa umeongea pwent mana warabu wanavo taka wewo mfanyakazi asipumnzike
Iko pwa san kabisa🎉
Keven Mimi ni murundi nakupenda sana
Kelvin na penda upendane na loveness
kaka huna baayaaa uishi saana 💯💯💯💯💯
Umetisha kak wey siyo kilaza umetisha
Ongera san kelvn
Hi Kelvin
watu wa Nzega hoyeee kaka tunae tunajivunia sana
Mwamba kabisa Allah amuweke❤❤❤
Kelvin ana kipaji kikubwa cha uigizaji🎉🎉🎉