EXCLUSIVE NA KELVIN; MTOTO WA BOSS ALIYE MPENDA DADA WA KAZI, MAISHA YAKE HALISI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 176

  • @joshuasakwa1548
    @joshuasakwa1548 7 часов назад +3

    Huyu dada wa mbengo tv Ako vizur, natamani kumuona siku Moja Kwa movie, much love kutoka Busia 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @DoreenKabeby-kw4bj
    @DoreenKabeby-kw4bj День назад +14

    Kaka kvn tunakupenda sana from kenya salimia lovevness❤❤❤❤

  • @JacklineKaduma
    @JacklineKaduma День назад +2

    Boss kubwaaaaa Kelvin 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ congratulations Sana brazaaa uko good!!!!!

  • @mwanamisimwatsuma2707
    @mwanamisimwatsuma2707 День назад +3

    Pia mm ningefulai kukuona ukimuoa loveness kiukwl sio kuigiza yn mumependezana km kp na zebu mashallah❤

  • @MubayaSelemani
    @MubayaSelemani 2 дня назад +7

    Huyu jamaa na muelewa sana He is positive, humble and so kind.

  • @chrstopher4598
    @chrstopher4598 2 дня назад +14

    Nzega nyumbani KWETU ,, Nilikuwa naisubili interview ya Kelvin, kinomaaaaaa
    Kaka we nomaaaaaaaaaaaaaa

    • @reginakulwa4494
      @reginakulwa4494 22 часа назад

      Hata Mimi nmefrahi Sana kumbe nzega tuna malegend kabisa big up nzega nmepamiss sana

  • @SyproseOkumu
    @SyproseOkumu День назад +6

    Kazi yako nzuri kaka Kelvin ❤❤❤❤🎉🎉🎉 big up bro 🥰

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe День назад +2

    Asant kutureteya Kevin nimekuwa nimeviomba❤🇸🇦🇧🇮👌🥰kanumba uyo kbx nafwatoriya kazi zake kbx❤

  • @veronicahmuricho
    @veronicahmuricho День назад +3

    Just marry Loveness ❤❤u look good together ❤May our good God bless you abundantly,, ❤❤

  • @annabadru2352
    @annabadru2352 2 дня назад +18

    Kevin namuona kanumba kabisa hapo mungu akuweke dogo uko vzr sn💯💙 napenda sn kazi zako

  • @FelistusNduku-v9u
    @FelistusNduku-v9u 2 дня назад +4

    we Kevin hoa loveness she is your match .much love from kenya

  • @LilianKyule
    @LilianKyule День назад +4

    Much ❤ to you Kelvin keep up the good work salimia loveness

  • @rochelle8552
    @rochelle8552 День назад +6

    Kwakweli mungu akueke na azidi kukubariki kazi yako isonge mbele zaidi inshallah, kaka kelvin unachembechembe za kanumba na mungu anaenda kukubariki 🙏🙏🙏

  • @زينهاا-ش4د
    @زينهاا-ش4د 2 дня назад +5

    Namkubali Sana Kelvin Na nafuatilia movie zake Sana nikiwa🇰🇪🇰🇪

  • @NasraIbrahim-dw1hr
    @NasraIbrahim-dw1hr День назад +2

    Kwel mwanaume mwenye ndoto ya kujipambania congratulation kelvin❤❤❤❤

  • @اريناارينا-ق3ط
    @اريناارينا-ق3ط День назад +1

    Kaka kelvin mungu akulinde azidi kukuinua akubariki pia azidi kukupa maarifa ili nawe uzidi kutuelemisha❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 salimia loveness tunampenda saana🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @MARIAMARIA-j3r
    @MARIAMARIA-j3r 11 часов назад

    Hongera sana kelvin kwa kazi yako, Mungu akubariki uzidi kutuelimisha congoke sana.🙏🙏

  • @JulianaMwatela
    @JulianaMwatela День назад +1

    Kaka Kevin napenda sana movie zako mungu akupe maisha marefu twakependa sana huku Kenya ❤❤❤

  • @bernardmlenda9800
    @bernardmlenda9800 2 дня назад +3

    Nilikuwa nasubir kwa hamu san interview ya Kelvin akifanyiwa na wew mdad, so perfect

  • @SakinaBakrali
    @SakinaBakrali День назад +2

    Kazi nzuri kelvin

  • @FurahaDavid-t1o
    @FurahaDavid-t1o 23 часа назад +1

    Kazi yako iko poa Kelvin ❤

  • @asiasalim9323
    @asiasalim9323 День назад +1

    Masha ALLAH Kelvin nakupenda pia ❤❤❤❤

  • @JullyEdward
    @JullyEdward День назад +1

    Uko vizur Kelvin Mungu akubariki uwe viwango vya juu zaidi

  • @franciscojoaquimjoaquim7750
    @franciscojoaquimjoaquim7750 2 дня назад +4

    🎉 naifuatilia sana mbego tv na wewe dada unajuwa kuhuliza maswali mazuri sana, Nakupenda from Mozambique 🇲🇿🇲🇿👍

  • @SamsonMzehe
    @SamsonMzehe День назад +1

    Nampenda sana loveness nikimwangalia nafalijika sana

  • @DivineNishimwe-s4g
    @DivineNishimwe-s4g День назад +1

    Kelvine courange kabis unanjua kuingiz❤❤❤❤ Mimi Burundi

  • @imranahmed-lf9ny
    @imranahmed-lf9ny 2 дня назад +6

    Kelvin una kipaji kizuri sana napenda kazi zako nakufuatilia kutoka oman big sanaaa

  • @silviailenji7745
    @silviailenji7745 День назад +1

    Kijana mpole mtulivu 😊 napenda vile unamshugulikia loveness ❤

  • @NtahomvukiyeEmanuel
    @NtahomvukiyeEmanuel 22 часа назад +1

    nakubali san kk kelvin pamoja na loveness ❤❤ munaenda kwakweli

  • @FurahaChristine-g8w
    @FurahaChristine-g8w 2 дня назад +2

    God bless you Kelvin

  • @DevidikaWilliam
    @DevidikaWilliam 2 дня назад +3

    Du! Kumbe wa nzega mwenzangu!🎉🎉

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 2 дня назад +4

    Kelvin nakupenda saana. Unaonekana ni kijana mstaarabu saaana. Na napenda saana kazi zako. Na huna baya. Nakufatilia kutoka Oman.🇴🇲

  • @EspoirMuhesi
    @EspoirMuhesi День назад +2

    mbengo TV nawa penda me niwa mbeya dada nakupenda bure kwasa babuniko Congo 🇨🇩

  • @MariamJaberi-g5y
    @MariamJaberi-g5y 2 дня назад +2

    Nakubar San kak Kevin kaz zako ni nzuri San nafatiliye san movie zako❤❤❤❤

  • @NdabitezimanaYvette
    @NdabitezimanaYvette 20 часов назад

    Kiukweli mungu akubariki tunakupenda natunakufatilia sana kbx inchini Burundi kiukweli unauwa❤❤❤

  • @holykinyasi2745
    @holykinyasi2745 2 дня назад +3

    Nilikua nasubiri sana interview ya Kelvin Nakupenda Bure bro big up bro ❤❤❤❤

  • @FadhiliMwenda-o4k
    @FadhiliMwenda-o4k День назад +1

    Kelvini upo vzr sana jembe unatisha mpe hai kunambi na love

  • @LucyNyaga-u3i
    @LucyNyaga-u3i День назад

    May the lord bless you mr.kelvin,,big up ed good work our brother .salimia loveness sana🇰🇪🇰🇪

  • @MamanEstherEsther
    @MamanEstherEsther День назад +1

    Pole Sana klvn ume pandisha kazi zako nzuri sana na pia ume ieshimisha Mungu akubari Sana na yeye aliekupa nguvu ya kuingia kwa hii kazi na akuinuwe zaidiii

  • @TatuMkeso
    @TatuMkeso 14 часов назад

    Kelvin hongera mung akuweke

  • @jane7441
    @jane7441 День назад +1

    kelvin mm n mkenya but currently in USA. My friend lem tell you your movie is so interesting and inspiring ❤❤❤❤ I've already fallen in love with you 💋💋

  • @IrousielKabbyjay
    @IrousielKabbyjay День назад +1

    Eee kelvin kumb ndoman kuanzia kwa movie ya 21 nitudog tudog ulibadili wakutunx movi make. Umesem eti unatak kujipunguzia machungu !!lakin kelvin lovness nawapend sana mung mbele nawatakia kila laheki🎉🎉❤

  • @AnifaCarlo
    @AnifaCarlo День назад +1

    Yes but mimi nilijua km kaimba mwenyewe naipenda hii nyimbo tá mtt wa boss😊😊😊

  • @OliverPaul-y3e
    @OliverPaul-y3e День назад +2

    Kelvi mungu hamutupi mjawake

  • @LilianMtemi
    @LilianMtemi 16 часов назад

    Mungu awabariki mzid kukuwa zaidi mpe hai loveness, nawapenda sana♥️♥️

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m 2 дня назад +2

    Kelvin una nyota ya kipekeee mungu akupe maisha marefu

  • @NaomiZephania
    @NaomiZephania День назад +2

    Napenda sana movie zako kaka pia uncheza uhalisia hongera kaka

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 2 дня назад +2

    Yes. Ht mimi nilijua km kaimba mwenyewe. Naipenda hii nyimbo ya “mtt wa boss”

  • @mariamabdulla7868
    @mariamabdulla7868 День назад +2

    Upo vzr san kw kz zko zte nfatilia zte nkiwa Qatr bt mi nmkenya....we love you broo❤❤❤❤

  • @MARIAMARIA-j3r
    @MARIAMARIA-j3r 11 часов назад

    Nakuombea itokee, kelvin loveness mumependezana sana mm nampenda loveness. Nataragia mambo mazuri. Lisemwalo lipo nakama halipo laja ❤❤❤😂

  • @BigBossTV254
    @BigBossTV254 День назад +1

    Mwambie Kelvin tunategea episode 23 tu sana🔥🔥

  • @MagdalenaSwai-z6u
    @MagdalenaSwai-z6u День назад +1

    Kevi unajua unajua Tena Mungu akuweke kaka nakupenda❤❤❤🎉

  • @Brunilestar-
    @Brunilestar- 2 дня назад +1

    Thank for .....

  • @alicemutinda9754
    @alicemutinda9754 2 дня назад +2

    Kazi zako poa ,mpole nakupenda sana

  • @LeslieLuchivya-m7u
    @LeslieLuchivya-m7u 22 часа назад

    Aki kelvin usimwache Love tunawapenda kutoka Kenya ❤❤❤😂❤🎉

  • @AidanMugisha
    @AidanMugisha 2 дня назад +1

    kelvn is our mirror in real life

  • @MahaSaeed-hf3gs
    @MahaSaeed-hf3gs 16 часов назад

    Kumbe mtu wa nzega mwenzagu good sana brother

  • @MarieSafi-s7l
    @MarieSafi-s7l День назад

    Nakupenda sasa ka kevin

  • @maimunamselemo8427
    @maimunamselemo8427 День назад +1

    Kazi ipo Calvin uso kwa uso na mama chumbani kwa loveness ❤

  • @MarjoleneSafi
    @MarjoleneSafi День назад +1

    Nakupendaka kk ❤❤❤❤❤

  • @sakinabudi
    @sakinabudi 2 дня назад +1

    Kaka msitaarabu sana mwenyezi mungu akupe hitaji la moyo wako❤❤

  • @mkasykhamisi2587
    @mkasykhamisi2587 День назад

    Nakubali kazi zako sana tu big up ❤❤❤

  • @Mariam-w9s3b
    @Mariam-w9s3b 2 дня назад +2

    Ila kiukweli kevi unachembe Cha kuwa na love❤

  • @mkasykhamisi2587
    @mkasykhamisi2587 День назад

    Kaka kelvin fanya bidii umuowe loveness plz munaendàna kwa kweli awe mama watoto wako nawapenda sana kutoka 254🇰🇪

  • @JoyceMuche
    @JoyceMuche Час назад

    Kelvin tafathali kama haujaoa kiukweli kabisa naomba umuoe lovenes na mupate watoto tafathali mumeendana sana ❤❤

  • @boazigisogi3479
    @boazigisogi3479 День назад

    Kaka hongera sana umejitafuta sana

  • @SafiMmunga-p4r
    @SafiMmunga-p4r День назад

    Nampenda sana kazi zako kelvin mungu akusaidiye tu

  • @asebeassumanimtainga4015
    @asebeassumanimtainga4015 День назад

    Mungu akujaliye kilalaheri ni Aisha kutoka marekani

  • @MaryClement-gq3se
    @MaryClement-gq3se День назад

    Loveness na kelvin the bext❤❤

  • @SakinaBakrali
    @SakinaBakrali День назад

    Mnachelewa sana jamani kutoa episodes

  • @FrolaKaranja-f9z
    @FrolaKaranja-f9z 23 часа назад

    Kazi zuri

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 19 часов назад

    Kelvin broo mm cdhani km unajua ni jinc gn unakubalika kwa sasa, kiukwl cc tunaofatilia kazi zako tunakkbali sannnnnaaaaa zaidi ya unavofikiria, ckupata kujua kuwa ww kumbe ni mpambanaji kuac hicho, na kumbe Loveness tabia zake nzr tunazoziona kumbe ndivo alivo kwny uhalisia hongera kwake Loveness.

  • @NakawooyaSharuwa
    @NakawooyaSharuwa День назад

    Nakupenda klvn mungu akulipe

  • @SamsonMzehe
    @SamsonMzehe День назад

    Ningekuwa mwanaume mm ningemuoa love nampenda sana

  • @NeriusKithisyo
    @NeriusKithisyo 2 дня назад +2

    Nimependa sana unavyieleza Kila jambo Kelvin hata kwa movie zenyewe.

  • @azruntravel4306
    @azruntravel4306 День назад

    tuendelezee part 2 ya siku moja kbla ya Ndoa

  • @ZeinabBakar-je4nr
    @ZeinabBakar-je4nr День назад

    Kazi nzuri 🎉🎉🎉

  • @annaurassa7082
    @annaurassa7082 День назад

    Kazana kaka nakupenda sana❤

  • @FatumaRashidi-jk5ki
    @FatumaRashidi-jk5ki 2 дня назад +1

    Nampenda kelvin na lavunes

  • @NewNew-ep5dq
    @NewNew-ep5dq День назад

    Mm natak umuowe lov kelvin nitachangia shera

  • @Abdul-Aziz-eo8hr
    @Abdul-Aziz-eo8hr 2 дня назад

    Safi sana kaka Kelvin nakukubali sanaa

  • @RebekaSaddy
    @RebekaSaddy День назад

    Kazi yako nzuri

  • @SadaDjuma-e9b
    @SadaDjuma-e9b 2 дня назад +1

    Kelvin wetu 😘😘😘😘

  • @ndindamuema230
    @ndindamuema230 День назад

    Nawatazama kutoka kenya kazi zuri kevin

  • @LeahKenusu
    @LeahKenusu 2 дня назад +1

    Mungu azidi kukiweka kipaji chako Ila mtoto wa boss mnatucheleweshea jaman jitahid kuiwaishaa maan imebamba Sana Sasa hivi jitahid sansss

  • @BeatriceJuma-y9s
    @BeatriceJuma-y9s 2 дня назад

    Kelvin huko vizuri sana

  • @CornelioVampanguile
    @CornelioVampanguile 2 дня назад +2

    Dogo Kelvin acha niseme Kweli, kutokana na movi ya mtoto wa boss aikupendezi umkose lovenes sababu kakupendezasana kuliko chemeji nyumbani, yani utasema no Kweli kinasho fanyika.

  • @FADHILAMKOIMBA
    @FADHILAMKOIMBA День назад

    nakukubali sana kelvin 😅

  • @fatmaubwa-z8s
    @fatmaubwa-z8s 2 дня назад +4

    Team strong mkuje bas au hamjaamka😂😂😂😂😂 waarabu leo wamefikiwa na kelvin punda hawa😂😂🎉🎉❤

  • @mpagikhatib3684
    @mpagikhatib3684 День назад

    Nikweli kabisa umeongea pwent mana warabu wanavo taka wewo mfanyakazi asipumnzike

  • @HagaiPhilipo-m1q
    @HagaiPhilipo-m1q 2 дня назад +2

    Iko pwa san kabisa🎉

  • @ayshaysah6228
    @ayshaysah6228 День назад

    Keven Mimi ni murundi nakupenda sana

  • @butoyoSafiya
    @butoyoSafiya День назад

    Kelvin na penda upendane na loveness

  • @mathiasstephano8165
    @mathiasstephano8165 День назад

    kaka huna baayaaa uishi saana 💯💯💯💯💯

  • @RamadhanAlhabib-u4h
    @RamadhanAlhabib-u4h 2 дня назад

    Umetisha kak wey siyo kilaza umetisha

  • @OscarMwampashe
    @OscarMwampashe День назад

    Ongera san kelvn

  • @NajmaAbdullahi-n5f
    @NajmaAbdullahi-n5f День назад

    Hi Kelvin

  • @marianchamba3898
    @marianchamba3898 23 часа назад

    watu wa Nzega hoyeee kaka tunae tunajivunia sana

  • @FaudhiaWadongo
    @FaudhiaWadongo 2 дня назад

    Mwamba kabisa Allah amuweke❤❤❤

  • @WilbertMmary
    @WilbertMmary День назад

    Kelvin ana kipaji kikubwa cha uigizaji🎉🎉🎉