GEORGE AMBANGILE AFUNGUKA KUHUSU CHAMA / KOCHA FADLU DAVIDS ANAFAIDA / SIMBA WAWE WAWAZI KWA KOCHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 июл 2024
  • Karibu Simba SC Fans Tv,
    Simba ni klabu iliyofanikiwa zaidi katika nchi za Afrika Mashariki,Hapa utapata wasaa wa kutazama Marudio ya mechi, na mahojiano.
    Usisahau kujiunga nasi .
    Karibuni sana.
  • СпортСпорт

Комментарии • 12

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 20 дней назад +1

    Haya tena tukayaona kwa waliokosa deal.
    Eng. Hersi wakalitengeneza yeye na Azizi Ki wakifikiri yule kungru aliyekuwa anawinda vifaranga vya kuku bado yup kumbe yule kunguru kagundua Kuna mtego Kapaa kuelekea mashariki ya Kati waliko kunguru walioshiba hawakamari vifaranga tena.
    Ikabidi vlkifaranga cha mtego kikarudi kwa mama yake kunguru waliposhitukia mtego.

  • @nasseraljahwri6310
    @nasseraljahwri6310 20 дней назад

    George Ambagile, cool & composure, you're simply the best, napenda unavyo chambua mpira cool as you like, keep it up bro..
    Love all the way from Oman

  • @abelephraim1527
    @abelephraim1527 20 дней назад

    Keep up mzee ambangile uendelee kuwa na weledi .......uko vizuri..

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 20 дней назад

    Nimekuelewa Ambangile

  • @hashimhassanimassawe8366
    @hashimhassanimassawe8366 18 дней назад

    Kwaniyeyemnamsikilizaga.vizurikweli.hhuyu.jamaa.kasoro.utopolonakumwelewa.mpakauwe.umesoma.kyuba.ajawaige.kuongeleakizuri.chasimba.huyu.kaziyakekubwa.kuisifia.yanga.kuiponda.simbanawenzake.wote.baba.mmoja.mama.mmojauzurisikuizi.siwasikilizaji.muda.maanahuwa.wakoupande.mmojatu

  • @MajidMajid-ll8mf
    @MajidMajid-ll8mf 20 дней назад +1

    Ambangile unatakiwa uwepo katika shirikisho kutoa ushauri wa kiufundi una kipaji kikubwa

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 20 дней назад

    Ss wanasimba hata tusikie chama kafa hatushtuki labda tusikie mtanzania kapombe au shabalala

  • @MajidMajid-ll8mf
    @MajidMajid-ll8mf 20 дней назад

    Katika watu ninao wakubali ambangile ni mtu mwenye weledi

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 20 дней назад

    JE NI SAWA katika WELEDI WAKO Mwandishi au mtu wa MEDIA KATIKA ENEO LA MAHOJIANO,Kwasababu NYUMA KWA JICHO LANGU NINAONA NEMBO YA WASAFI wakati wewe ni SF TV?

  • @SophiaJoseph-gz6gk
    @SophiaJoseph-gz6gk 20 дней назад

    Katika wachambuzi wote wewe ni mchambuzi mahili Sana