Jezi mpya ya Azam FC | Waziri Tabia Mwita azindua aina kumi za mtoko wa dunia

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • MTOTO WA DUNIAWaziri wa Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Tabia Maulid Mwita alipozindua jezi mpya za Azam FC kwa ajili ya msimu mpya wa 2024/25.
    Tukio hili limefanyika katika duka la bidhaa za Azam, Michenzani Mall, Zanzibar saa chache baada ya utambulisho rasmi wa jezi hizi uliofanyika ndani ya boti.
    Baada ya uzinduzi huu, Waziri Tabia akakabidhiwa begi lake la mtoko wa dunia......
    Ni mitoko tofauti aina kumi, viatu, skafu na kofia.
    Je, ni mtoko upi umeukubali zaidi?
    #AzamFC #AzamFCOfficialKit #UzinduziWaJezi #JeziMpya #Zanzibar #TabiaMwita

Комментарии • 85

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt Месяц назад +2

    Azam Noma saaaana aisee Mmetisha kinoma Noma 🔥💯💥

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Месяц назад +2

    Nimeuelewa uzi azam big up sana❤🎉

  • @emmanuelnyakatai7311
    @emmanuelnyakatai7311 Месяц назад +2

    Azam mko vizuri sana. Nadhani Kwa namna hii pamba Jiji tujipange na a sisi..

  • @EmmanuelYesaya
    @EmmanuelYesaya Месяц назад +1

    Azam ni brand kubwa mno ni mtazamo na fikra kubwa sana hakika inapendeza sana natumai kwa maendeleo hayo siku sio Azam wataanza kuwa na familia kubwa za mashabiki wake kamili kutokana na kujali mahitaji muhimu ya mchezo wa Mpira wa miguu Big up Azam football club

  • @JOSEP490
    @JOSEP490 Месяц назад +6

    Nimekua wa kwanza naombeni leke zangu JEZI NZULISANA

  • @oswardndilahomba2903
    @oswardndilahomba2903 Месяц назад +2

    Safi

  • @user-yn4di1lj7f
    @user-yn4di1lj7f Месяц назад +1

    Azam mmeuwa kuliko timu zote kamaumekubali vitendea kazi vya azam like

  • @henry_ob
    @henry_ob Месяц назад +2

    Timu bora bidhaa bora

  • @eidallyeidally5093
    @eidallyeidally5093 Месяц назад +3

    zinauyanga mwingi njaaan0

  • @emmanuelnyakatai7311
    @emmanuelnyakatai7311 Месяц назад +2

    Kwa namna hii ni kweli Azam wamejipanga sisi pia PAMBA JIJI pia tujipange

  • @abdulyhassan
    @abdulyhassan Месяц назад

    JEZI KALI SANA AISEEEE❤🔥🔥 ILA NYEUPE NDO MWISHO❤

  • @snkhannassoro2404
    @snkhannassoro2404 Месяц назад +1

    Mm ni mnyama,
    Ila Azam haijawah kukosea kwenye utengenezaji wa jezi Bora

  • @KalimbaAmini
    @KalimbaAmini Месяц назад +3

    Niko rwanda nabapeda sana

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Месяц назад +1

    Bora iyo nyeupe tafuten designer mwenye upeo wa mbali kama mnaye mtimuen...Tafuten mwingin..Bora za msimu uliopita zilikuw bora zaidi...Na Dabo hawez kuwapeleka makundi ligi ya mabingwa mbinu zake ni ndogo...Kama mnataka badilishen kocha mlete kocha mwenye experience kubwa na mpira wa africa na master wa mbinu kinyume cha ivy mtasubir sana...Mna rangi nzur san cjajua wap mmekwa mna blue, mna cjui pink ile iliyokozwa, mna nyeupe, dhahabu na nyeusi..kwel designer kashindwa kutengeneza maajabu...Uzinduz nao ni zero game..bora ata mngeend kukodi kile chumba ambacho kinaelea baharin mkaingia mule mkazindua jezi ili mkatangaza na utalii au kisiwa chenye kuvutia cz kwa zanzibar vipo vingi

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 Месяц назад

    Mko vizuri kwenye jezi

  • @nurdinmvellah4032
    @nurdinmvellah4032 Месяц назад +1

    Hyo siyo njano nyie wa wanga , hyo ni golden color

  • @user-MIO5pu1iv7o
    @user-MIO5pu1iv7o Месяц назад

    Nawapa maua yao Azam 🎉🎉🎉🎉🎉nzuri mnoooo

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 Месяц назад

    Jezi Zina uyanga mwingi Sana wakati yanga wametoka kwenye asili ya rangi zao.. Zigzag

  • @JosephBWAGIZO-fs5ig
    @JosephBWAGIZO-fs5ig Месяц назад

    Hongereni Azam

  • @erick4frido41
    @erick4frido41 Месяц назад +2

    Mnakoelekea Azam mtaweka nembo ya YANGA sasa

  • @JamesmalesaMavere
    @JamesmalesaMavere Месяц назад

    Azam on 🔥🔥🔥

  • @BillHunter-Musician
    @BillHunter-Musician Месяц назад +2

    Mnazindua jesy kienyeji kama matanga bhn😂😂😂 ila Azam bhn

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp Месяц назад

    Jez kali sana

  • @user-yl2zx3et9l
    @user-yl2zx3et9l Месяц назад

    💚💛Sheria ngowi ANASTAHILI ulinzi na aongezewe donge nono

  • @Saidiamiri-s8i
    @Saidiamiri-s8i Месяц назад

    Azam kwenye jezi mmi huwa nawakubali sana,unavaa popover pale.

  • @husseinmohamed6735
    @husseinmohamed6735 Месяц назад

    Ongeren sana

  • @rashidysekione1868
    @rashidysekione1868 Месяц назад

    Sasa Kama jezi zote Kali mmetoa toa mwaka huumwajani tuna toa nini tena Ila jezi ya mazoezi Inge tosha kabisa kwa msimu huu

  • @nassororashidi33
    @nassororashidi33 Месяц назад

    Mmmh! Blue na nyeupe ndo asili ya azam

  • @SaraRobert-io8xv
    @SaraRobert-io8xv Месяц назад

    Jaman azam mmeuwa

  • @bkrjma5285
    @bkrjma5285 Месяц назад

    Wajitathmini kwenye rangi zao.
    Wanatakiwa wazijue asili ya rangi za azam

  • @juliusjkalela9164
    @juliusjkalela9164 Месяц назад +1

    Me mwana yanga dam dam ila hiyo jezi nyeupe nmeielewa xana na bei gan??

  • @isayasamwel1340
    @isayasamwel1340 Месяц назад

    Jezi ni kali mnooo

  • @user.tunduru
    @user.tunduru Месяц назад +1

    Akuna jezi vitenge vile vile
    Kiujumla mwaka huu sandalend ndo mwamba

    • @user-kd7kh1io9k
      @user-kd7kh1io9k Месяц назад

      Musione aibu kuiita sanda ndivo ilivoandikwa

  • @MaloHasani
    @MaloHasani Месяц назад

    Uku Zanzibar tunazipata lini nataka tarehe 8 niutinge Uzi wetu mpya ndani ya new aman ikipenda allah

    • @MaloHasani
      @MaloHasani Месяц назад

      Hala I love azam fc mwaaaa

  • @abuuemraan8815
    @abuuemraan8815 Месяц назад

    Katika jezi nilozielewa na hizi... Nikapata na hiyo track suit

  • @ashirafkhamis1556
    @ashirafkhamis1556 Месяц назад

    hakuna jezi iliyofanana na yanga hapo ila tu ubunifu wao ni mdogo sana ila zipo vizuri.hata upande wa kofia zimetulia

  • @user-np4om6hz4m
    @user-np4om6hz4m Месяц назад +1

    Azam mnafeli hata jezi mnazindua kwenye duka la vinywaji umeona wapi😂😂😂 azam mnacheksha sana😂😂😂 jifunzeni kwayanga wanavofanya

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Месяц назад

      Azam ni timu yakujifurahisha tu ndio maana hata tashtiti hawana

    • @user-kd7kh1io9k
      @user-kd7kh1io9k Месяц назад

      Msimu ujao azam watazindua nyumbani kwako

  • @mropeamadeus54
    @mropeamadeus54 Месяц назад +2

    Hii nitanunua maana kama yetu ya Yanga

  • @babazizu1255
    @babazizu1255 Месяц назад

    Azam hawa yanga part 2

  • @MdalesioWilliam
    @MdalesioWilliam Месяц назад

    Poleni kwa kukosa washabiki

    • @user-kd7kh1io9k
      @user-kd7kh1io9k Месяц назад

      Sawa tumekosa washabiki ila tumewashinda makolo wanaenda shirikisho

  • @user-bl2xd3ke6u
    @user-bl2xd3ke6u Месяц назад

    Hiibya azamu ya yanga

  • @BabMuniwe-pg7el
    @BabMuniwe-pg7el Месяц назад

    Mimi yanga nimependa njono😢

  • @eliaskahory7116
    @eliaskahory7116 Месяц назад

    Mwaka huu mmechapia

  • @JayCinemaHD
    @JayCinemaHD Месяц назад

    Hawa jamaa co wabunifu kabsa hicho kibegi kolo ndio alitembea nacho msimu uliopita 😂😂

  • @user-yn4di1lj7f
    @user-yn4di1lj7f Месяц назад

    Azam wana jezi nzur kulika watu wavitendo yanga tafteni mbinu bhaana hii jezi inamikono duniani sijaona jezi mbaya kama yanga misimu wote😅😅😅😅

  • @user.tunduru
    @user.tunduru Месяц назад

    Awajamaa wanatambulisha ad makoti

  • @Tee-King
    @Tee-King Месяц назад

    Na hisi yanga akikosa jersey ataazima azam

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul Месяц назад

    Uliosema ni rangza ynga umechelewa mana gold ht mwk jana walikuwanazo jez nzur pia wabunifu wazuri mpk sandos hadi raba mpk kapelo azam wametisha xana kongole mm wa kwnz kununuwa full azam wako juu xana kitu kikiwa c kizuri hakizungumzwi kikizungumzwa kizur kama hawana ubunifu ungenyamaza tu mbwa

    • @honesttarimo5823
      @honesttarimo5823 Месяц назад

      Kisugu hajaona. Utasiki Azam nayo ni tawi la YANGA. Kuna njano na kijani jez nyingi brother. Ila ni ubunifu wao sio wameiga maana hazina nembo ya YANGA.

  • @user-bl2xd3ke6u
    @user-bl2xd3ke6u Месяц назад

    Unaacha rangi zenu asili

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 Месяц назад

    Third kit ni kama za Yanga

  • @AllyHKilinga
    @AllyHKilinga Месяц назад

    Ila Azam bwana shingoni zote njano😂😂😂😂

  • @swedywamba5535
    @swedywamba5535 Месяц назад

    Mimi yanga zote kali

  • @Makungumakame
    @Makungumakame Месяц назад

    Bei gani

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 Месяц назад

    Hyo njano bora wangetoa yanga ingeendana na rangi ya timu, Azam congole

  • @rashidhemed1444
    @rashidhemed1444 Месяц назад

    Kila anaeponda anaumia rohoni

  • @iddymohammed1890
    @iddymohammed1890 Месяц назад

    mmeaua kuuza nguo askrim haziliki

  • @salaamibahsan3063
    @salaamibahsan3063 Месяц назад

    Kwakweli mumejipanga

  • @Ambagaye
    @Ambagaye Месяц назад

    Hivi Azam FC inao mashabiki wa kuweza kununua jezi hizo?

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 Месяц назад

    Mpaka sasa ni simba waliotoa jezi za maana. Yanga wameiga rangi za simba, azam wameiba rangi za yanga

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 Месяц назад

      Yanga na rangi za Simba wapi na wapi we umeona nyekundu au nyeupe kwenye jezi za yanga maan hizo ndizo rangi za simba

  • @killyney6296
    @killyney6296 Месяц назад

    Wananchi kabisa hahaha

  • @YusuphuNdele
    @YusuphuNdele Месяц назад +1

    ivi hawa azam rangi za jezi zao halisi ni zipi maana nyeupe, nyeusi, blue, orange mara njano duuh hawa wapo wap sa tuwaelewe😂😂😂🤣

  • @michaelmwakatapa1652
    @michaelmwakatapa1652 Месяц назад

    Hyo haikuhusu

    • @fadhilamgilangwa4633
      @fadhilamgilangwa4633 Месяц назад

      Hata mini Azam nawakubal saizi wameaka tofauti na hiko nyuma aise Kira prisizon yaan.

  • @bkrjma5285
    @bkrjma5285 Месяц назад

    Jezi ni mbaya mno...
    Na huyo mtengezaji ni yanga.
    Asili ya azam hakuna rangi ya njano.
    Hizo jezi zote zina rangi ya njano kama yanga...

    • @SaraRobert-io8xv
      @SaraRobert-io8xv Месяц назад

      Mbona unaasira tuache sisi naazam yetu

    • @user-kd7kh1io9k
      @user-kd7kh1io9k Месяц назад

      Msimu ujao utatengeneza wewe ili ziwenzuri pia poleni kwasanda

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6z Месяц назад

    Hawana jez

  • @robertrerarevocatus3455
    @robertrerarevocatus3455 Месяц назад

    Hawa nao vilaza kabisa

    • @user-kd7kh1io9k
      @user-kd7kh1io9k Месяц назад

      Walikulaza wapi?

    • @rashidhemed1444
      @rashidhemed1444 Месяц назад

      Mijitu inaumia humu ndani vumilieni ndio Kuna ukubwa wa club na ukongwe wa club azam ni kubwa tu

  • @user-mo7iq2fd8g
    @user-mo7iq2fd8g Месяц назад

    zote hizo wendavaa wapi😂😅

  • @emmanuelnyakatai7311
    @emmanuelnyakatai7311 Месяц назад +1

    Azam mko vizuri sana. Nadhani Kwa namna hii pamba Jiji tujipange na a sisi..

  • @rashidysekione1868
    @rashidysekione1868 Месяц назад

    Sasa Kama jezi zote Kali mmetoa toa mwaka huumwajani tuna toa nini tena Ila jezi ya mazoezi Inge tosha kabisa kwa msimu huu

  • @neemaraphael8732
    @neemaraphael8732 Месяц назад

    Safi