Jezi mpya ya Azam FC | Waziri Tabia Mwita azindua aina kumi za mtoko wa dunia
HTML-код
- Опубликовано: 8 сен 2024
- MTOTO WA DUNIAWaziri wa Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Tabia Maulid Mwita alipozindua jezi mpya za Azam FC kwa ajili ya msimu mpya wa 2024/25.
Tukio hili limefanyika katika duka la bidhaa za Azam, Michenzani Mall, Zanzibar saa chache baada ya utambulisho rasmi wa jezi hizi uliofanyika ndani ya boti.
Baada ya uzinduzi huu, Waziri Tabia akakabidhiwa begi lake la mtoko wa dunia......
Ni mitoko tofauti aina kumi, viatu, skafu na kofia.
Je, ni mtoko upi umeukubali zaidi?
#AzamFC #AzamFCOfficialKit #UzinduziWaJezi #JeziMpya #Zanzibar #TabiaMwita
Azam Noma saaaana aisee Mmetisha kinoma Noma 🔥💯💥
Nimeuelewa uzi azam big up sana❤🎉
Azam mko vizuri sana. Nadhani Kwa namna hii pamba Jiji tujipange na a sisi..
Azam ni brand kubwa mno ni mtazamo na fikra kubwa sana hakika inapendeza sana natumai kwa maendeleo hayo siku sio Azam wataanza kuwa na familia kubwa za mashabiki wake kamili kutokana na kujali mahitaji muhimu ya mchezo wa Mpira wa miguu Big up Azam football club
Nimekua wa kwanza naombeni leke zangu JEZI NZULISANA
Safi
Azam mmeuwa kuliko timu zote kamaumekubali vitendea kazi vya azam like
Timu bora bidhaa bora
zinauyanga mwingi njaaan0
Kwa namna hii ni kweli Azam wamejipanga sisi pia PAMBA JIJI pia tujipange
JEZI KALI SANA AISEEEE❤🔥🔥 ILA NYEUPE NDO MWISHO❤
Mm ni mnyama,
Ila Azam haijawah kukosea kwenye utengenezaji wa jezi Bora
Niko rwanda nabapeda sana
Bora iyo nyeupe tafuten designer mwenye upeo wa mbali kama mnaye mtimuen...Tafuten mwingin..Bora za msimu uliopita zilikuw bora zaidi...Na Dabo hawez kuwapeleka makundi ligi ya mabingwa mbinu zake ni ndogo...Kama mnataka badilishen kocha mlete kocha mwenye experience kubwa na mpira wa africa na master wa mbinu kinyume cha ivy mtasubir sana...Mna rangi nzur san cjajua wap mmekwa mna blue, mna cjui pink ile iliyokozwa, mna nyeupe, dhahabu na nyeusi..kwel designer kashindwa kutengeneza maajabu...Uzinduz nao ni zero game..bora ata mngeend kukodi kile chumba ambacho kinaelea baharin mkaingia mule mkazindua jezi ili mkatangaza na utalii au kisiwa chenye kuvutia cz kwa zanzibar vipo vingi
Mko vizuri kwenye jezi
Hyo siyo njano nyie wa wanga , hyo ni golden color
Nawapa maua yao Azam 🎉🎉🎉🎉🎉nzuri mnoooo
Jezi Zina uyanga mwingi Sana wakati yanga wametoka kwenye asili ya rangi zao.. Zigzag
Hongereni Azam
Mnakoelekea Azam mtaweka nembo ya YANGA sasa
Azam on 🔥🔥🔥
Mnazindua jesy kienyeji kama matanga bhn😂😂😂 ila Azam bhn
Jez kali sana
💚💛Sheria ngowi ANASTAHILI ulinzi na aongezewe donge nono
Azam kwenye jezi mmi huwa nawakubali sana,unavaa popover pale.
Ongeren sana
Sasa Kama jezi zote Kali mmetoa toa mwaka huumwajani tuna toa nini tena Ila jezi ya mazoezi Inge tosha kabisa kwa msimu huu
Mmmh! Blue na nyeupe ndo asili ya azam
Jaman azam mmeuwa
Wajitathmini kwenye rangi zao.
Wanatakiwa wazijue asili ya rangi za azam
Me mwana yanga dam dam ila hiyo jezi nyeupe nmeielewa xana na bei gan??
Jezi ni kali mnooo
Akuna jezi vitenge vile vile
Kiujumla mwaka huu sandalend ndo mwamba
Musione aibu kuiita sanda ndivo ilivoandikwa
Uku Zanzibar tunazipata lini nataka tarehe 8 niutinge Uzi wetu mpya ndani ya new aman ikipenda allah
Hala I love azam fc mwaaaa
Katika jezi nilozielewa na hizi... Nikapata na hiyo track suit
hakuna jezi iliyofanana na yanga hapo ila tu ubunifu wao ni mdogo sana ila zipo vizuri.hata upande wa kofia zimetulia
Azam mnafeli hata jezi mnazindua kwenye duka la vinywaji umeona wapi😂😂😂 azam mnacheksha sana😂😂😂 jifunzeni kwayanga wanavofanya
Azam ni timu yakujifurahisha tu ndio maana hata tashtiti hawana
Msimu ujao azam watazindua nyumbani kwako
Hii nitanunua maana kama yetu ya Yanga
Azam hawa yanga part 2
Poleni kwa kukosa washabiki
Sawa tumekosa washabiki ila tumewashinda makolo wanaenda shirikisho
Hiibya azamu ya yanga
Mimi yanga nimependa njono😢
Mwaka huu mmechapia
Hawa jamaa co wabunifu kabsa hicho kibegi kolo ndio alitembea nacho msimu uliopita 😂😂
Ubunifu maana yake nini?
Azam wana jezi nzur kulika watu wavitendo yanga tafteni mbinu bhaana hii jezi inamikono duniani sijaona jezi mbaya kama yanga misimu wote😅😅😅😅
Awajamaa wanatambulisha ad makoti
Na hisi yanga akikosa jersey ataazima azam
😂😂
Uliosema ni rangza ynga umechelewa mana gold ht mwk jana walikuwanazo jez nzur pia wabunifu wazuri mpk sandos hadi raba mpk kapelo azam wametisha xana kongole mm wa kwnz kununuwa full azam wako juu xana kitu kikiwa c kizuri hakizungumzwi kikizungumzwa kizur kama hawana ubunifu ungenyamaza tu mbwa
Kisugu hajaona. Utasiki Azam nayo ni tawi la YANGA. Kuna njano na kijani jez nyingi brother. Ila ni ubunifu wao sio wameiga maana hazina nembo ya YANGA.
Unaacha rangi zenu asili
Third kit ni kama za Yanga
Ila Azam bwana shingoni zote njano😂😂😂😂
Mimi yanga zote kali
Bei gani
Hyo njano bora wangetoa yanga ingeendana na rangi ya timu, Azam congole
Kila anaeponda anaumia rohoni
mmeaua kuuza nguo askrim haziliki
Kwakweli mumejipanga
Hivi Azam FC inao mashabiki wa kuweza kununua jezi hizo?
Ndio inao mashabiki ila poleni kwasanda
Mpaka sasa ni simba waliotoa jezi za maana. Yanga wameiga rangi za simba, azam wameiba rangi za yanga
Yanga na rangi za Simba wapi na wapi we umeona nyekundu au nyeupe kwenye jezi za yanga maan hizo ndizo rangi za simba
Wananchi kabisa hahaha
ivi hawa azam rangi za jezi zao halisi ni zipi maana nyeupe, nyeusi, blue, orange mara njano duuh hawa wapo wap sa tuwaelewe😂😂😂🤣
Hyo haikuhusu
Hata mini Azam nawakubal saizi wameaka tofauti na hiko nyuma aise Kira prisizon yaan.
Jezi ni mbaya mno...
Na huyo mtengezaji ni yanga.
Asili ya azam hakuna rangi ya njano.
Hizo jezi zote zina rangi ya njano kama yanga...
Mbona unaasira tuache sisi naazam yetu
Msimu ujao utatengeneza wewe ili ziwenzuri pia poleni kwasanda
Hawana jez
Hawa nao vilaza kabisa
Walikulaza wapi?
Mijitu inaumia humu ndani vumilieni ndio Kuna ukubwa wa club na ukongwe wa club azam ni kubwa tu
zote hizo wendavaa wapi😂😅
Unapotaka
Azam mko vizuri sana. Nadhani Kwa namna hii pamba Jiji tujipange na a sisi..
Sasa Kama jezi zote Kali mmetoa toa mwaka huumwajani tuna toa nini tena Ila jezi ya mazoezi Inge tosha kabisa kwa msimu huu
Safi