MUSIBA AKIFICHUA MAZITO TUNDU LISSU KUPIGWA RISASI NA TIGO KUVUJISHA DATA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • *welcome to HB TV official you tube chanel
    *CONTACT us via: SIM1: 0674 260868 (call us)
    : SIM2: 0738 467 864 (whatsapp)
    #HAS_BILLION

Комментарии • 39

  • @josephmwinyi
    @josephmwinyi 5 дней назад

    Safi sana musiba nakukubali sana endelea kuitetea Tanzania yetu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 дней назад +1

    Hongera sanaaaa umerudi kazini chapa kazi Musiba Membe kaishia Yule aliyesema wazuri hawafi sasa mwanae aliyekuwa anataka Urais yuko wapi

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 5 дней назад +2

    Hawataweza kutuvuruga hawo ni mawakala wa marekani na marekani kamwe hawezi kufurahia amani ya Taifa letu na sikiliza kauri za mpumbavu Rema Hana kauri za kujenga zaidi uchochezi na pia na wenzake hawana point za kuwajenga watanzania na hicho chama nichakishenzi nasikitika hata wafuasi wao wanaburuzwa kama mizoga

  • @lupakisyomwambungu347
    @lupakisyomwambungu347 3 дня назад

    Ni kweli kutekwa ni vibaya sana kwa kuchugua amani

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 5 дней назад +1

    Tupe nondo ❤❤❤

  • @nanubob1969
    @nanubob1969 5 дней назад

    Hongera sana Musiba! Endelea ku-reseach suala hili ili tujue kulikojificha upotoshaji wake!!!

  • @masanjaelias5829
    @masanjaelias5829 5 дней назад

    Upo Arusha unaratibu mambo sio wew ndio utatuletea shida sana katika hili taifa letu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 дней назад +1

    Hao wanatumiwa tu na vibaraka Mama Samia mpaka 2030 na yeye mwenyewe amelitambua hilo kuwa kikulacho kinguoni mwako Watoto kawarudisha kwenye Uwaziri sasa walikuwa wanataka kumtoa mwenyewe wafikiri mwenzake aliwatoa bure sasa mama umejionea mwenyewe

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya 5 дней назад

    Brother kuna muda unaongea vizuri na kuna muda unapuyanga ,unashangilia watanzania kutojielewa na kusema ujinga wao kua ni utamaduni ,haya hawajaandamana wamepisha uchunguzi,walete majibu ya uchunguzi, nyinyi machawa mnawafanya watanzania kua na utamaduni wa ujinga wa kutodai ulinzi wa maisha,we jomba unafaidi nini kushabikia ujinga wa watanzania

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 5 дней назад +1

    Safi sana

  • @MarioMwambasa
    @MarioMwambasa 5 дней назад

    Safi mfundishe hyo mpaka aende Tena kwa vibaraka wake Tena .kampalamia jembe wa AR kachemsha .

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 4 дня назад

    Wewe mwenyewe mpotoshaji

  • @JuliusTluway
    @JuliusTluway 5 дней назад

    Wewe chawa!!!!!!!!!!

  • @Solomonnize
    @Solomonnize 5 дней назад +1

    Hatuwez ruka mkojo tukakanyaga mavi tena mabichi, wape nchi uone wanavyoikabidhi nzimanzima kwa wabelgiji waengland na babayao. Tupo tumekaa pale

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 5 дней назад

    Bilioni mbili za membe ishalipa
    Unapngelea mbao usiyajuwa
    Utashitakiwa tema pumbavu

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 5 дней назад

    Points 👉

  • @alexKasanda-if5xl
    @alexKasanda-if5xl 2 дня назад

    Mbna ww kila ki2 unapinga au ni ww nin? Inatakiwa tukuchunguze sana na ww maana umeshaanza kuonesha indicator za kuhuska kwa hyo unataka wakuteack una nn?

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 5 дней назад +1

    Mh musiba piga kazi...

  • @MfaumeMndele
    @MfaumeMndele 5 дней назад

    Yaani hili ni chizi kweli kweli

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 4 дня назад

    Kwaiyo Lissu ni mpotoshaji ila wewe siyo mpotoshaji

  • @MakaliusMwinuka-pr5um
    @MakaliusMwinuka-pr5um 5 дней назад

    Pumbavu mkubwa chawa huu si wakati magufuli nyinyi mbwa kabisa

  • @jaibamlabec5504
    @jaibamlabec5504 5 дней назад

    We baba kwani ukikaa kimya unapata tatizo gani

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 4 дня назад

    Chawa mmoja wewe hata aibu huna kazi yako kubwa kujipendekeza serikalini hata ukuu wa wilaya hupewi

  • @richardleomgaya7312
    @richardleomgaya7312 5 дней назад

    Unadanganya sio kweli kusema watanzania hauwez kuandamana watanzania tunazuiwa kuandamana kwanguvu yoyote ata tukihitaji haki yetu

  • @NoelyMziray-gi4xv
    @NoelyMziray-gi4xv 3 дня назад

    Usitegemee kupewa uwaziri

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps 5 дней назад +1

    Mnafiki tu,uliyekuwa unamtegemea alishakufa hapo unajipendekeza tu Chawa Mkubwa

  • @laulianmeneja5923
    @laulianmeneja5923 5 дней назад

    Umeibukia wapi umeanza kutafuta cheo

  • @MOSESIMCHUNGUZI
    @MOSESIMCHUNGUZI 5 дней назад

    ACHA USENGE IACHIE MAHAKAMA

  • @simonlabia3877
    @simonlabia3877 4 дня назад

    Pumba tupu

  • @EvaristoKidava-ni4pp
    @EvaristoKidava-ni4pp 4 дня назад

    Kosa vyote sio akili

  • @vicksonmwesiga1977
    @vicksonmwesiga1977 5 дней назад

    Kwani nani alisema maandamano ni ya kumuondoa kiongozi hayo ni maoni yako

  • @JacobMbosalee
    @JacobMbosalee 5 дней назад

    Anaruhsiwa kumsamhe mtu mara 70 kweli kabisa

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 5 дней назад

    Tena wewe ni kuma tuuu

  • @EdwardRweyendera
    @EdwardRweyendera 5 дней назад

    Je membe ulimlipa pesa yake

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 5 дней назад

    Tatizo unavyoongea hupangilii point zako , unajikanyaga kanyaga kuongea, pangilia point zako and speak short and clear, Jamii itakuelewa, unA kitu kizuri ila hujipangi kuongea, kigugumizi kingi

  • @AlbertTenga
    @AlbertTenga 5 дней назад

    Kama wewe unavyopotosha