DOGOJANJA Afanya KUFURU ARUSHA APIGA SHOW BABKUBWA! AWAPANDISHA WADUDU KWENYE STAGE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 апр 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 87

  • @user-ve3mq3ou2l
    @user-ve3mq3ou2l Месяц назад +29

    Kama umekubal alichokifanya dogo like zake apa

  • @mjumbewakristo8677
    @mjumbewakristo8677 Месяц назад +33

    tunao muangalia kenyonyo like hapa 😂😂

  • @ShaDrohd
    @ShaDrohd Месяц назад +11

    Hongera Mama Samia. Hongera Makonda. Hapo nimeona ajira ya steji shoo. Janjaro njoo Dar ufanye shoo kubwa na hao wadudu wasio uma hiyo ni brand tayari.

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 Месяц назад +12

    Najiuliza yule dogo janja wa 2015-2019 yuko wapi naomba ujumbe huu umfikie maana alikuwa mtu frani wa mfano vijana wengi walikuwa wanapata njaa ya utaftaji kutoka kwake njaa yake kwenye muziki hamasa mitandaoni safi lakin saiz sijui nini kimekupata broo hizo hit unazo perform hatuzioni siku hizi jamii bd inakuitaji pia binafsi watu wengi wanapenda mafanikio yako niwakati wako dogo janja siji kusema tena inatosha kwa ufupi tunataka hit by hit ❤❤❤🎉 Dunia nisehemu salama janjaro republic

    • @dallerbwoyniglo8675
      @dallerbwoyniglo8675 Месяц назад

      😂😂sa kla sku awe mfano tu asiwe swar la mtihani 😂😂😂😂😂saivi acha awe necta 😂😂😂😂

    • @SwahiliAmbasador954
      @SwahiliAmbasador954 Месяц назад

      @@dallerbwoyniglo8675 🤣🤣🤣🤣 itoshe kusema akili zako zinakutosha mwenyew ndugu 🤣🤣🤣.

    • @lovedavie9621
      @lovedavie9621 Месяц назад

      ​@@dallerbwoyniglo8675😅😅😅😅😅🙌

    • @gracendumbaro5196
      @gracendumbaro5196 Месяц назад +1

      Ameoa na Analea au hujui

    • @lucyjeremia1381
      @lucyjeremia1381 Месяц назад +1

      Analea😂😂😂

  • @saidharbinie-dl4dd
    @saidharbinie-dl4dd Месяц назад +2

    Wadudu wametoka kwenye ududu wamekuwa wabunifu big up sna

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 29 дней назад

    ❤❤❤❤ nimewapenda sana maana mmechangamka sana

  • @HamisiNgoli
    @HamisiNgoli Месяц назад +10

    Kenyonyo nakukubali vikali😊

  • @kizaziog
    @kizaziog Месяц назад +5

    Like za Kizazi og Na Kenyonyo hapa

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 Месяц назад +5

    Tafadhali naomba mtu ata mmoja anifikishie ujumbe huo kwa dogo janja tafadhali media

  • @user-cy5zv5fb9l
    @user-cy5zv5fb9l Месяц назад +3

    Kenyonyo on the top🤣🤣🤣🤣🤣

  • @shamilamuhogo7542
    @shamilamuhogo7542 Месяц назад +1

    😢😢😢 Arusha jamani dah ngoja tu nicheke tena😅😅😅

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Месяц назад +3

    Good work brother

  • @SokaAfrica1961
    @SokaAfrica1961 Месяц назад +1

    Am your biggest fan from Tanzania, nimekuwa nikifuatilia sana vipindi vyako since those days but tangu umeShift kwenda Nje cjui ndo CANADA sioni ile taste ya those days😥😥 Critical officer Rudi Home buana, but just advise vile me naona

  • @user-fe9uy7vq4p
    @user-fe9uy7vq4p Месяц назад +2

    Yaani kenyoyo hapo anajiona yuko mbinguni 😂😂😂

  • @marymsemakweli4915
    @marymsemakweli4915 Месяц назад

    Mungu akubariki mkuu wa mkoa wa Arusha mweshimiwa Makonda kwa hekima uliyoitumia kubadilisha mazingira ya hawa vijana,kwa utaratibu huu mtu aliyekuwa hafai katika jamii,waliokuwa wanaogopwa sasa unawaleta wawe watu wa kufaa na watengeneze pesa kwa njia inayokubalika katika jamii ya watanzania nadhani hata wazazi wao wamepata amani naunauonesha mji wa Arusha kuwa ni wa kitalii

  • @mkazy6550
    @mkazy6550 Месяц назад +1

    Moto Sana

  • @halimadamasi2770
    @halimadamasi2770 Месяц назад +2

    ❤nyumban kumenogaa❤❤❤❤

  • @ReenehMasiwa
    @ReenehMasiwa Месяц назад

    So poaaaa big up homeboe💯💯💯💯

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe Месяц назад +1

    Ila janjaro ban 🎉🎉🎉😂😂❤❤

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Месяц назад +3

    Kumbe hawa wadudu wapo poa sana

  • @siphifahashimu9723
    @siphifahashimu9723 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Месяц назад +3

    Siku nyigine ilo jukwaaa mliweke juu mnamuumiza Waziri mkuu shingo

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Месяц назад +3

    Nyimbo za dogo bado ziko na utamu miaka 10

  • @user-zo1ym2te7r
    @user-zo1ym2te7r Месяц назад

    Kizazi og

  • @diovvany-khan
    @diovvany-khan Месяц назад +2

    jamn ambao wanawakubali wadudu kama me waonekane apa kwa kulike

  • @zahoorz2915
    @zahoorz2915 Месяц назад +1

    Hii nyimbo naipendag sn

  • @MarchadesJenius
    @MarchadesJenius Месяц назад +1

    Nakubar 👏👏👏

  • @AdrianRichard-mu9jh
    @AdrianRichard-mu9jh Месяц назад

    Janjaroooo🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AbduryNdagowe
    @AbduryNdagowe Месяц назад +1

    Unawez sanaaa bob...😢😢😢😢

  • @Naju645
    @Naju645 Месяц назад

    🔥🔥🔥🔥

  • @Baisa934
    @Baisa934 Месяц назад

    ❤❤❤

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Месяц назад

    Kinyonyo da!huwa ananifurahisha sana

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Месяц назад

    Kinyonyo😊😊😊asante Mungu Kwa ajili ya Makonda kuwaona hawa vijana. Unajua watu hawajuh tuu. MTU unaweza fanya lolote lile km unajiona huelewi lolote. Huna pesa huna hili ili mradi tuu upo upo tuu. Hawa vijana sidhani km walitaka wawe hivyo no shida. Wakaamia liwalo na liwe. Kuna watu waliwachukukia vibaya. Ona sasa kumbe destiny Yao IPO Kwa makonda. Asante Mungu wakijielewa wameshatoboa hao

  • @lilchampion1960
    @lilchampion1960 Месяц назад

    Kenyoyo aka zakayo chuga international😂😂😂

  • @jawaduisuja
    @jawaduisuja Месяц назад +3

    I'm from kondoa irangi upuuzi mtupu TU hapo

    • @charlesmillinga992
      @charlesmillinga992 Месяц назад +1

      Upuuzi Gabi sasa kaka hapo. Punguza hasira presha Iko jiraani relax cheka maisha ndo haya ndugu😂😂😂😂😂😂😂

    • @charlesmillinga992
      @charlesmillinga992 Месяц назад +1

      Gonga like kama tuko pamoja ndugu❤

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Месяц назад +1

    Dah wadudu kweli bhana wadudu wa makonda duh makonda kazi unayo

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 Месяц назад +1

    My country Arusha😂😂😂

  • @NeemaNchimbi-oj5fb
    @NeemaNchimbi-oj5fb Месяц назад +1

    Makonda hapa kaz ipo

  • @officialdinaize
    @officialdinaize Месяц назад

    Kenyonyo❤

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 Месяц назад

    Kenyonyoooo habari ya town

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Месяц назад +1

    Ama hao ndo wadudu wenyewe wako na dogo janja

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi673 Месяц назад

    😢kweli hawa wadudu

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz Месяц назад

    Show kali

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 Месяц назад

    Kenyooooo , aminia 😂😂

  • @godlistenobed9299
    @godlistenobed9299 Месяц назад

    Janjaro

  • @malengabaya4913
    @malengabaya4913 Месяц назад +2

    Kumbe Janja n mdudu pia…Makonda hajakosea wadudu si wahalifu ni wana Sanaa

  • @desderylasway9810
    @desderylasway9810 Месяц назад +1

    Kenyonyo

  • @jaminusisanga607
    @jaminusisanga607 Месяц назад +2

    Nimecheka mbavu mpaka basi dunia ina watu

  • @hawaa341
    @hawaa341 Месяц назад +1

    Dogo nae kama wadudu

  • @rachelmikey5493
    @rachelmikey5493 Месяц назад

    Kenyonyo😂

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 Месяц назад

    Namuona kenyonyo tu hapo

  • @asheryngaiti5549
    @asheryngaiti5549 Месяц назад

    Dar kuna misomisondo Arusha kuna Wadudu

  • @yomseyyomsey5114
    @yomseyyomsey5114 Месяц назад +2

    Duuuh Kwa kifupi Wameua kabisa Na Watu Wa R chuga Hakika Ni wabunifu na wanajikubali HUJAPATA KUONA Hakika Wako na vipaji Vingi Sana na wakali wa mitindo Ya Uvaaji Eeeebwana Wameua kabisa .

  • @omeganthale3220
    @omeganthale3220 Месяц назад

    Kenyonyoooo

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 Месяц назад

    Kenyenyo 😂😂

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 Месяц назад

    Kenyonyoooo hahahahaaa!!

  • @marymsemakweli4915
    @marymsemakweli4915 Месяц назад

    Pongezi kubwa

  • @JennyLimo
    @JennyLimo Месяц назад

    Are🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅

  • @user-py2jy7sz2d
    @user-py2jy7sz2d Месяц назад +1

    Arusha akuna Fala saimoni pande za jenji

  • @user-wj3wr9dn1f
    @user-wj3wr9dn1f Месяц назад

    Hii kapo ya kenyonyo sijaw ielewa ujuw ni mm tu

  • @jonijomk3107
    @jonijomk3107 Месяц назад

    hako kamdudu kafupifupi hakachelewagi kusema kamechoka kanaumia miguu😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk Месяц назад

    KIBERTI KIMEWAKA CHENYEWE

  • @user-dz1gm4dh7e
    @user-dz1gm4dh7e Месяц назад

    Kenyonyo kauaaa

  • @josephmussa3708
    @josephmussa3708 Месяц назад

    Kenyonyo apo umetisha..safi sana umevunja kwanja

  • @sadruhsnow5637
    @sadruhsnow5637 Месяц назад

    Janja lkn mkalii

  • @kahambujulie7131
    @kahambujulie7131 Месяц назад

    🇨🇩🔥🔥🔥

  • @magembekisabo9632
    @magembekisabo9632 Месяц назад

    Show za bure

  • @callicevallice7383
    @callicevallice7383 Месяц назад

    Kenyonyo 😂😂

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe Месяц назад +1

    Ila janjaro ban 🎉🎉🎉😂😂❤❤

  • @neemajumbe5802
    @neemajumbe5802 Месяц назад

    ❤❤❤

  • @mvullamanase
    @mvullamanase Месяц назад +1

    Kenyonyo

  • @user-dz1gm4dh7e
    @user-dz1gm4dh7e Месяц назад

    Pigaa keleleee kwaaa kenyonyo oooo

  • @aishaaisha9876
    @aishaaisha9876 Месяц назад

    ❤❤❤