Hongera Mama Samia. Hongera Makonda. Hapo nimeona ajira ya steji shoo. Janjaro njoo Dar ufanye shoo kubwa na hao wadudu wasio uma hiyo ni brand tayari.
Najiuliza yule dogo janja wa 2015-2019 yuko wapi naomba ujumbe huu umfikie maana alikuwa mtu frani wa mfano vijana wengi walikuwa wanapata njaa ya utaftaji kutoka kwake njaa yake kwenye muziki hamasa mitandaoni safi lakin saiz sijui nini kimekupata broo hizo hit unazo perform hatuzioni siku hizi jamii bd inakuitaji pia binafsi watu wengi wanapenda mafanikio yako niwakati wako dogo janja siji kusema tena inatosha kwa ufupi tunataka hit by hit ❤❤❤🎉 Dunia nisehemu salama janjaro republic
Am your biggest fan from Tanzania, nimekuwa nikifuatilia sana vipindi vyako since those days but tangu umeShift kwenda Nje cjui ndo CANADA sioni ile taste ya those days😥😥 Critical officer Rudi Home buana, but just advise vile me naona
Mungu akubariki mkuu wa mkoa wa Arusha mweshimiwa Makonda kwa hekima uliyoitumia kubadilisha mazingira ya hawa vijana,kwa utaratibu huu mtu aliyekuwa hafai katika jamii,waliokuwa wanaogopwa sasa unawaleta wawe watu wa kufaa na watengeneze pesa kwa njia inayokubalika katika jamii ya watanzania nadhani hata wazazi wao wamepata amani naunauonesha mji wa Arusha kuwa ni wa kitalii
Kinyonyo😊😊😊asante Mungu Kwa ajili ya Makonda kuwaona hawa vijana. Unajua watu hawajuh tuu. MTU unaweza fanya lolote lile km unajiona huelewi lolote. Huna pesa huna hili ili mradi tuu upo upo tuu. Hawa vijana sidhani km walitaka wawe hivyo no shida. Wakaamia liwalo na liwe. Kuna watu waliwachukukia vibaya. Ona sasa kumbe destiny Yao IPO Kwa makonda. Asante Mungu wakijielewa wameshatoboa hao
Duuuh Kwa kifupi Wameua kabisa Na Watu Wa R chuga Hakika Ni wabunifu na wanajikubali HUJAPATA KUONA Hakika Wako na vipaji Vingi Sana na wakali wa mitindo Ya Uvaaji Eeeebwana Wameua kabisa .
Kama umekubal alichokifanya dogo like zake apa
Punguza ushamba
Ushamba upi wewe wa mjin et
tunao muangalia kenyonyo like hapa 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Kenyonyo yaani
😅
Hongera Mama Samia. Hongera Makonda. Hapo nimeona ajira ya steji shoo. Janjaro njoo Dar ufanye shoo kubwa na hao wadudu wasio uma hiyo ni brand tayari.
Najiuliza yule dogo janja wa 2015-2019 yuko wapi naomba ujumbe huu umfikie maana alikuwa mtu frani wa mfano vijana wengi walikuwa wanapata njaa ya utaftaji kutoka kwake njaa yake kwenye muziki hamasa mitandaoni safi lakin saiz sijui nini kimekupata broo hizo hit unazo perform hatuzioni siku hizi jamii bd inakuitaji pia binafsi watu wengi wanapenda mafanikio yako niwakati wako dogo janja siji kusema tena inatosha kwa ufupi tunataka hit by hit ❤❤❤🎉 Dunia nisehemu salama janjaro republic
😂😂sa kla sku awe mfano tu asiwe swar la mtihani 😂😂😂😂😂saivi acha awe necta 😂😂😂😂
@@dallerbwoyniglo8675 🤣🤣🤣🤣 itoshe kusema akili zako zinakutosha mwenyew ndugu 🤣🤣🤣.
@@dallerbwoyniglo8675😅😅😅😅😅🙌
Ameoa na Analea au hujui
Analea😂😂😂
Wadudu wametoka kwenye ududu wamekuwa wabunifu big up sna
❤❤❤❤ nimewapenda sana maana mmechangamka sana
Kenyonyo nakukubali vikali😊
Like za Kizazi og Na Kenyonyo hapa
Tafadhali naomba mtu ata mmoja anifikishie ujumbe huo kwa dogo janja tafadhali media
Kenyonyo on the top🤣🤣🤣🤣🤣
😢😢😢 Arusha jamani dah ngoja tu nicheke tena😅😅😅
Good work brother
Am your biggest fan from Tanzania, nimekuwa nikifuatilia sana vipindi vyako since those days but tangu umeShift kwenda Nje cjui ndo CANADA sioni ile taste ya those days😥😥 Critical officer Rudi Home buana, but just advise vile me naona
Yaani kenyoyo hapo anajiona yuko mbinguni 😂😂😂
😅😅😅Nimecheka sana
Mungu akubariki mkuu wa mkoa wa Arusha mweshimiwa Makonda kwa hekima uliyoitumia kubadilisha mazingira ya hawa vijana,kwa utaratibu huu mtu aliyekuwa hafai katika jamii,waliokuwa wanaogopwa sasa unawaleta wawe watu wa kufaa na watengeneze pesa kwa njia inayokubalika katika jamii ya watanzania nadhani hata wazazi wao wamepata amani naunauonesha mji wa Arusha kuwa ni wa kitalii
Moto Sana
❤nyumban kumenogaa❤❤❤❤
So poaaaa big up homeboe💯💯💯💯
Ila janjaro ban 🎉🎉🎉😂😂❤❤
Kumbe hawa wadudu wapo poa sana
❤❤❤❤❤❤❤
Siku nyigine ilo jukwaaa mliweke juu mnamuumiza Waziri mkuu shingo
Nyimbo za dogo bado ziko na utamu miaka 10
Kizazi og
jamn ambao wanawakubali wadudu kama me waonekane apa kwa kulike
Hii nyimbo naipendag sn
Nakubar 👏👏👏
Janjaroooo🎉🎉🎉🎉🎉
Unawez sanaaa bob...😢😢😢😢
🔥🔥🔥🔥
❤❤❤
Kinyonyo da!huwa ananifurahisha sana
Kinyonyo😊😊😊asante Mungu Kwa ajili ya Makonda kuwaona hawa vijana. Unajua watu hawajuh tuu. MTU unaweza fanya lolote lile km unajiona huelewi lolote. Huna pesa huna hili ili mradi tuu upo upo tuu. Hawa vijana sidhani km walitaka wawe hivyo no shida. Wakaamia liwalo na liwe. Kuna watu waliwachukukia vibaya. Ona sasa kumbe destiny Yao IPO Kwa makonda. Asante Mungu wakijielewa wameshatoboa hao
Kenyoyo aka zakayo chuga international😂😂😂
I'm from kondoa irangi upuuzi mtupu TU hapo
Upuuzi Gabi sasa kaka hapo. Punguza hasira presha Iko jiraani relax cheka maisha ndo haya ndugu😂😂😂😂😂😂😂
Gonga like kama tuko pamoja ndugu❤
Dah wadudu kweli bhana wadudu wa makonda duh makonda kazi unayo
My country Arusha😂😂😂
Makonda hapa kaz ipo
Kenyonyo❤
Kenyonyoooo habari ya town
Ama hao ndo wadudu wenyewe wako na dogo janja
😢kweli hawa wadudu
Show kali
Kenyooooo , aminia 😂😂
Janjaro
Kumbe Janja n mdudu pia…Makonda hajakosea wadudu si wahalifu ni wana Sanaa
Kenyonyo
Nimecheka mbavu mpaka basi dunia ina watu
Dogo nae kama wadudu
Kenyonyo😂
Namuona kenyonyo tu hapo
Dar kuna misomisondo Arusha kuna Wadudu
Duuuh Kwa kifupi Wameua kabisa Na Watu Wa R chuga Hakika Ni wabunifu na wanajikubali HUJAPATA KUONA Hakika Wako na vipaji Vingi Sana na wakali wa mitindo Ya Uvaaji Eeeebwana Wameua kabisa .
Kenyonyoooo
Kenyenyo 😂😂
Kenyonyoooo hahahahaaa!!
Pongezi kubwa
Are🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅
Arusha akuna Fala saimoni pande za jenji
Hii kapo ya kenyonyo sijaw ielewa ujuw ni mm tu
hako kamdudu kafupifupi hakachelewagi kusema kamechoka kanaumia miguu😂😂😂😂😂😂😂😂
KIBERTI KIMEWAKA CHENYEWE
Kenyonyo kauaaa
Kenyonyo apo umetisha..safi sana umevunja kwanja
Janja lkn mkalii
🇨🇩🔥🔥🔥
Show za bure
Kenyonyo 😂😂
Ila janjaro ban 🎉🎉🎉😂😂❤❤
❤❤❤
Kenyonyo
Pigaa keleleee kwaaa kenyonyo oooo
❤❤❤