i know Im randomly asking but does anybody know of a method to log back into an instagram account?? I was dumb forgot the login password. I would love any tricks you can give me
EEh mama Samia endeleza mfano mzuri wa aliyekuwa amiri jeshi wetu mkuu, forget mask,vaccinations and lock down, hayo ni mambo ya wazungu, kama mababu zetu waliweza kubadilisha risasi kuwa maji enzi zile hatushindwa kuitokomeza corona kwa nyungu za asilia.
Haya mama sasa waambie wanao ukweli wa kinachoendelea, Corona ipo na watu wavae mask na uwaombee hiyo sindano ya mzungu, hizo story za vita vya majimaji achana nazo nyungu inawezekana walitumia mababu zetu na zikaweza kubadilisha risasi ya mkoloni kuwa maji, hayo tusiyazungumze tena mama, tunachekwa sana na wenzetu tukiwasimulia.
Oohooo my!!! Tanzania is Blessed! Has got a real president. Queen Esther is here!!!!!!!!!!!!!
Mama anajua kuzungumza vizuri, saana
Mama Samia simama kwa nafasi yako baba amekuacha kabla hyjajipanga kiakili Mungu akutie nguvu.
The best president ever in east Africa,am a kenyan citizen but Magufuli was my role model
I love this lady. May God bless and guide her in the difficult task of leading a Nation
Is she the wife of the late president?
i know Im randomly asking but does anybody know of a method to log back into an instagram account??
I was dumb forgot the login password. I would love any tricks you can give me
Pole dadangu mpenzi, na Rais wetu mpendwa tunakupenda sana Mungu akuweke.
I mourn this great man..President Dr. Magufuli.
Mungu akupee ujazili, hekima, afya na nguvu kuiongoza Tanzania,, my soul of Hon magufuli continue to rest in peace
Rest in paradise Africa's finest.
Good moments of recovery Tanzanians 🇰🇪🇹🇿
We unacho hitaji ni kuongwa mkono namaombi na Allah akupe uwezo zaidi nguvu na maisha ndefu inshaallah unatosha kwa rais
John pombe Magufuli rais wa nyonge anaejali maslahi ya mwananchi sio matumbo ya matajiri kama kenya yetu
Let him rest in peace 🙏 Sasa wewe ni Mama wa taifa la Tanzania
Rip Dr john pombe magufuli
Ata ningekuwa na bendi ya taarabu huyu mama sidhani kama ningem select, wacha nafasi ya kuongoza nchi.
pole sana watazania
R.I.P DR.MAGUFURI
EEh mama Samia endeleza mfano mzuri wa aliyekuwa amiri jeshi wetu mkuu, forget mask,vaccinations and lock down, hayo ni mambo ya wazungu, kama mababu zetu waliweza kubadilisha risasi kuwa maji enzi zile hatushindwa kuitokomeza corona kwa nyungu za asilia.
Rais suluhu umesahau kusema amejenga msikiti mkubwa sana
Madame, you seem you can do it.
Mmeanza
Rest in eternal peace president John Pombe Magufuli😭
God
Hakika husahauliki baba wa wanyonge
Rip Magufili
R.I.P BRUDOSAR
If at all there is Corona in Africa, this is the time to see serious outbreaks..
There's no fuckin corona mehh
Haya mama sasa waambie wanao ukweli wa kinachoendelea, Corona ipo na watu wavae mask na uwaombee hiyo sindano ya mzungu, hizo story za vita vya majimaji achana nazo nyungu inawezekana walitumia mababu zetu na zikaweza kubadilisha risasi ya mkoloni kuwa maji, hayo tusiyazungumze tena mama, tunachekwa sana na wenzetu tukiwasimulia.