Mwanaume ata umfnye vpi akiwa anakuona ovyo au labdha sio wa maana kwake bs jua Fadhila zako kwake nisawa n kumfadhili mbuzi mara mia kuliko binadamu .
Wakusikia wasikie kweli maana mapenzi ayaji eti niju ww mzuri apanaaa akuna mtu ambae hana kasoro kila mtu anako kasoro fanya kitu kielewekee kabsa kipindi hichi nakisikia tu haaa nishaanza ata kuyafanyaa sasa ivi maana ukisikia kitu kinach faa lazma ukifanyie bid
Aisee nimeipenda iyo Asante Kwa darasa
Karibu
Hongera kaka
Jaman nimekipenda hiki kipindi sijui.nimechelewa wapi😂
Ata mm najishangaaa
Jamni nimependa sana
Good mr.
Inshaallah nitakuwa hivyo
Asante ndg
Mkn sanaa
Ujumbe mzuri 😗😗😗
Kweli kabisa jamani
Mashallah pambeee
Mwanaume ata umfnye vpi akiwa anakuona ovyo au labdha sio wa maana kwake bs jua Fadhila zako kwake nisawa n kumfadhili mbuzi mara mia kuliko binadamu .
Nikweli kama alikutamani hajakupenda hata ukate mauno la feni ataenda kwamchepuko tuuu, kikubwa upate anaekupenda lwa dhati
Kweli kabisa dada
Nimeelewa somo kaka
Nice
Thank you
asante sana kwa mafunzo mazuri
Asante lkn nawao wanunueee
Sante sana kaka
Mambo kk, Kaka naomba san niunge kweny group lako la whatsapp n me naitaji kujifunzaa
Na mm
Shukran sana👏
Asantee kwa ushaurii
Ahsante kwa somo
Dah somo zur kwa wale wachfu
Nimekuelwa kaka
Iko poa iyòo
💓💓💓💓💓
Hayo yote 9 lakumi nihili😀, nyumba yenyewe ni ya udongo hata dari haina, huo udi utakaa wapi😀😀😀.
Hayo mango mbona haayahusiani na aina ya nyumba? Kwahiyo utaishi umchafu eti kwa vile nyumba yangu sio ya kisasa?
Hahahahaa,weka humo humo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahahahaaaa mbav zangu
Weka tu 😂🤣🤣🤣🤣
Napend sn mafundish yko
Wakusikia wasikie kweli maana mapenzi ayaji eti niju ww mzuri apanaaa akuna mtu ambae hana kasoro kila mtu anako kasoro fanya kitu kielewekee kabsa kipindi hichi nakisikia tu haaa nishaanza ata kuyafanyaa sasa ivi maana ukisikia kitu kinach faa lazma ukifanyie bid
navipesa navyo vya kufanya chumba kidamshi ndo tatizo ukitak shuka zuri mapambo ya chumba ni pesa ila usaf ni lazima
Nadiya Kisho jifanyie kibiashara Dear itakaa poa sana utafanya vitu vingi kwa weledi mzuri
Gonja Dunus napenda sn lkn nimekatazwa kufanya biashar kabisa yan
Nadiya Kisho 😢😢😢
Nadiya Kisho ila si anakuhudumia vizuri??
Gonja Dunus ni kweli lkn mm pia Nina mzazi inaman akiwa na shida mpak nianze ten kuomba
Kweli kabisa 💞💞💞
Tatizo pesa kaka 😂😂😂😂
Kweli khadija pesa ndio kila kitu hamna anayependa nongo,
Khdija Ahmed ss
Wengne hawajielew
Mwanaume ni mbwatu ataufanye nini atakuacha tu nafanya haya kwajiliyangu siokwajili ya mwanaume
Wangu hapendi udi jmn
Ahsante
Topic waah
ILa kunawanawake wachafuuuu daaaha waelimishe wanawake wengi hawajitambui
Kwel mmy
Shukran sana ubarikiwe
Asantee
Shukura kwasomo
Kweli
🎉🎉🎉
Asante
Na kama kila unacho fanya he does not appreciate
Ujue huyo hajitambui,anaekupenda lazima atapenda ubunifu wako
@@Zetuflix uko Sawa kabisa
@@Zetuflix swadkta
Pambe hatari
Kama una mtoto mchanga marashi yatamtia mafua
Hata ufanye nini, wanaume ni tatizo.
Thanks
Asnate
Nimekipenda kipindi.
Kweli kaka
asante kaka umetupatia faida
faiqah faiqah i
Shukran kwa mafunzo
asante
خديجه
Shukuran
Ni kweli👍
nice
Shukran kwa mafunzo.
Ujumbe mtaaaaamu
Somo pambee kwa kweli
ASANTE
Thank u
Kweli kabisa jamani
Ahsante
Asante
Thanks
Thank you
Thanks
Thanks