ONDOA nguvu MBAYA Ndani ya Nyumba kwa GLASS MOJA tu yenye MAJI ya
HTML-код
- Опубликовано: 4 фев 2025
- #negativeenergy #chumviyamawe #nguvuzauniverse Nguvu mbaya au nguvu hasi ndani ya nyumba zinaweza kuondolewa kirahisi kwa kutumia glass yenye maji ya chumvi, limao, mshumaa na vinegar. Tazama video hii mpaka mwisho uweze kujua ni kwa namna gani unaweza kutumia vitu hivyo kuondoa nguvu mbaya ndani mwako.
Chumvi ya mawe
Mshumaa
Glass ya maji
This is original content created by the owner of this channel @NGUVUZAUNIVERSE
upo vizuri sana katika ushauri wako mama swari sasa iyo nguvu ya ulimwengu nimtandao gani au nikitugani samahani kama nitakuwa nimekukwaza naomba kunua
Nipmepokea
Asante sana naomba namna ya kuondoa vitu Mwilini yaani unaskia vitu vinatembea naomba Msaada
Ahsante Sana aunt kw mafundisho yako ya nguvu za universe,Mimi nimeona matokeo makubwaa kupitia maji na chumvi,barikiwa Sana kw jina la Yesu
Asante sana dada kwa mafundisho mazuri. Niko tayari kuamini nguvu za universe, amen
Asante sana.namimi nintahakikisha nintahakikisha namjua mbaya wangu,maishs yangu yanabadilika.kwanguvu za univas
Ahsante kwa somo zuri
Asante sana Mimi ni mgeni kwa wiki mbili sasa,nimeanza kushudia vizuri nguvu za universe zina uwezo kabisa,mungu akupe nguvu za kutuelimisha,asante
Yani nimeona.matokeo❤
Asante Dana na omba kujua nyota yangu
Uko vizuri sana mpendwa nimekuellewa, unadar
Dada ahsante mnoooo kwa maajabu tu ninayoyaona kabla hata cjaanza kufanikiwa kwangu inatosha kusema ahsante dada nitafata hatua zote mpaka nifanikiwe na kwenye pesa
Nakutakia mazuri zaidi 🤝 ❤️
Asante nikotayari kwanini nguvu za yunevercity😊
Asante kwa maelezo yakoje naweza kuweka limao nagrasi ya maji kwa siku moja
Hapana, fanya mbinu moja kwa wakati mmoja
Asante sana
Asante mama Mungu akubariki
Hi dada nina tatizo hilo nitatumia tiba hii asante sana h
Sawa dada ngoja nijaribu
Tajiri mwenye baraka na mafanikio makubwa ni mimi 🙏🙏
Asante dada tupe ya kushinda tunaobeti sasa
Kbsa team 20 unakuta 2 zinachana au moja
Nipo karibu kupokea muujiza
Asatee kwa somoo
Ahsante kwa mambo mazuri
Karibu 🤝❤️
Asaante
Asante dada yakibaki maji meupe nayaoga
Asante dada ninashukuru kupata mafunzo mazuri
Karibu 🤝❤️
Asante saaana kweri kutuj7lisha ilo
asante
Uko vzr dada
🙏❤️❤️
Ahsante sana
Napokeya muhujiza wakuondoa nguvu mbaya ndani mwangu
Assant saana dada yangu
Naweza kutumia jina la yesu
Asante dada
Shukran sana
Nipo tiar kupokea muujiza wangu
Thanks so much
You're welcome!
Napokea Nguvu Mpya Kutoka Kwa Universe
Dada mm ndani kwng kuna ndege wamejenga viota vya nyas je ni ishara nzuri au niwatimue
Ishara nzuri sana,usiwatoe
@@NGUVUZAUNIVERSE utanuwia maneno gani wakati wa kuoga hizo dawa?
Nimekubari nitafanya
Nashukuru sana lakini ikiwa huna choo cha kuflash unafanje
Ahsante dada
dada mambo
Asate dd
Dadá kwanza nikushukuru Kwa somo lako mungu Akupe zaidi ya unacho kitoa asante pili swali nifanyeje ili kudhibiti ninacho kipata kiweze tulia
Karibu Sana,, hakikisha nyota yako ipo vzr kila kitu kitakaa sawa
@@NGUVUZAUNIVERSE madam samahani ili kujua kama Nyota iko sawa nifanyeje pia nimetamani kujua zaidi ni vitu gani au Chakula gani tunapaswa kutumia ili kukaa sawa tusisumbuliwe na matokeo mabaya kwenye maombi
Napokea muujiza wakuondoa nguvu mbaya katika maisha yangu yote
Napokea nguvu moya kotoka kwa universe
Napokeamuujiza WA kuondoa nguvu mbaya ndani mwangu
INAWEKWA VYUMBA VYUMBA VYOTE AU KIMOJA TU?
Amina
Nataman sana niisome elimu hii nitaipataje?
AMINA
Asante dada number yako
Amin
Nitumie ujumbe wa Kinga yenye2e
Dada naomba uniunganishe kwenye guru p lako
Asante sana dada
🎉dada nitumiye numero zako mafudisho haya ni mazuri saana
Asante dada swali lang ni huku niliko sina mushumaa ninyanyeje
Nyanya ivyoivyo mahi😂
@@AngelRimoynifanyeje!? Au😁
Samahan hiyo karafuu na mdalasini sio lazima iwe ya unga hata magome yanafaa
Na ya kawaida inafanya kazi, kuna siku nilikuwa naumwa vibaya nilichukua maji kidogo nikachukua na chumvi nikawa najipaka kama mafuta mwili mzima haikuchukua hata robo saa nilikuwa nsharudisha afya yangu🙏🏻kikubwa imani Tu.
🙏
Ni lazima mshumaa
Dada mimi ni muumini mzuri sana wa nguvu za ulimwengu na zimeniletea matokeo chanya kifedha,sasa nauliza kila nilalapo huwa huwa nastuka usiku wa manane kwa ajili ya kenda haja na wakati huo huo huangalia saa yangu katika simu kuna muda nakuta 2:02 au3:03 au4:04 na siku zote nikiona hivyo huwa silali tena hutafakali na kuanza kumwomba mungu mpaka alfajir je nimakosa?
Kuna Somo alilifundisha kuhusia na hiyo mida
natamani kujuakuondoa nguvu mbaya ndan mwangu
Ni lazima iwe chini au naweza kuweka hata juu ya friji au kabati?
Nikotayali kujiunga nanguvu za yunivas
Chumvi hii haitakiei kukaa wazi kwani inavuta vituhasi sasa maduka i utakuta iko wazi .Je tunapoinunua ktk hali hiyo inakuwaje? Itafaa?
Ibariki kabla ya kuitumia
Yani apo umenisema mm kabisa
Naomba urudie pale kwenye mdalasini
Jambo je!ku flash Ndio uni?
Kama je nikiweka sebule i??
Mimi
Mimi napenda kujua inapatikana wapi nionane na wewe live.
Dada naomba Unieleze Namna Ya Kutumia Olive Oil
Ninaweza ogea chumv na mdarasi pamoja kwaajili ya pesa
Ndiyo
Mtoto wangu anapenda shule lkn ni mgum kuelewa nifanyaje
Ok habar za Leo? Je unaweza kutumia glad ya maji pamoja na kuwasha mshumaa kwa pamoja kuondoa hizo nguvu mbaya ? Yan kutumia vyote kwa pamoja?
Nimekosa mteja wakuuza nyumba wakitizama wanapenda hata pesa tunakubaliana ila wakiondo tu awarudi tena nifanyeje ???
Kama unaixhi kwenye nyumba za udongo
Je, baada ya kufanya Hilo zoezi hazita nizuru yaani kuleta madhara
Nitumie number yako Kama hauna hela kabisa utaweza
Kwann hutaki kutupa namba zako?
Pia unaoga kwa muda gani?
Napokea muujiza wa kuondoa nguvu mbaya ndani mwangu
Au ni lazima utumie njia ya kwanza ya glass
Chagua mojawapo fanya
Kuoga hiyo ni maji ya aina gani yaani ya moto au ya baridi?
Na unaoga wakati gan au mda wowote tu
Muda wowote
Alafu muda wa kuoga ni siku ngapi
Hiyo venegi inapatikana dukani au wapi
Ndiyo dukani
Naomba namba yako mm ninashida ninaitaji uni saidie
Ma ukitaka kuogea chumvi na hiyo mdarasin pamoja na karafuu unaweza kuogea hata choon au bafuni
Bafuni
@@NGUVUZAUNIVERSE sasa la guns Bafi unaogea choon utafanya je kwenye nyumba za kupanga
Haya maji ya chumvi, limau na mshumaq unaweka siku moja au siku tofauti?
Sikiliza video,, utapata jibu la swali lako
Mdalasini na karafuu za unga za faa?
Ndiyo, unaweza kutumia
He ukimwaga maji unamwaga pamoja na hiyo chumvi au
Na Kama unaishi n watuu
Hvi vitu mdarasin na chunvi haukosi pesa
utupemae lekezo ya kuondosha nguvumbaya ndani namwilini
Tazama video yangu mpya nimetoa Jana tu
Jambo dada na weza Pata namba ya kwako ya upeke ?nataka maogezi
Njoo inbox Facebook
Nimelima shamba la mpunga lilikuwa vizuri lakin nahsi limeharbiw kichaw mpunga unaharbika tu nifanyaje
Dada mimi nlieka maji ya chumv kwa cku saba lkn hayajachafuka
Hakuna nguvu hasi
Unapo washa mshumaa taa inatkiwa kuzma au
Ndiyo, uwake mshumaa tu
Nina watito wangu walikua waerefu but wamefika hawapiti vuzuri masimo yao nifanyeje dada