NIMEKOMA (New Movie) Adam Leo, Kado Mwamba, 2023 Swahili Movie | Bongo Movie
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- NIMEKOMA (New Movie) Adam Leo, Kado Mwamba, 2023 Swahili Movie | Bongo Movie
SUBSCRIBE NOW / @adamleostudios
Welcome to Adam Leo STudios RUclips Channel.
Stream and Enjoy Best of Swahili Movies with your favourite artists here on Adam Leo Studios RUclips channel.
SUBSCRIBE NOW to stay updated on all latest Swahili movies.
DO NOT FORGET TO HIT THE NOTIFICATION 🔔 BELL ICON to STAY NOTIFIED ON ALL OUR NEW MOVIES.
#Nimekoma #bongomovie #filamumpya #swahilimovies #2023movies #adamleo
Usiache kutazama Filamu yangu mpya ya SLAY hapa👇
ruclips.net/video/UdUSLh0glcg/видео.htmlsi=72_bENQWV7-UIWdG
powa
Muendelezo wa SLAY tunangoja 😋😋
Adamu.hongelasana.mukubaliki
Is this slay part 2
Movie nzur sana ❤
Hii movie ina mafunzo mazur xna, inafinza kuhsu wale wanaume wenye tamaa na kpnda kufnya mapnzi ovyo na kla mwanamke big up xnaaa broo adamu nzuri xna ❤❤❤❤❤❤
Shukrani sana, nafurahi kama umepata funzo tulilolimaanisha🙏🙏🙏
Adam unaweza sana
@@user-mk3zl3yr3masante sana
Hongereni sana aiseee SEMA kuacha inakuaga ngumu sana aiseee
@@AdamLeoStudiosAdam mwendelezo wa Sabi unazingua ujueeeee
Nafatilia sana muv zako Adam leo very Nice work,Big up my brother Mungu aibariki kazi ya mikono yako na akili yako🙏maana unatoa mafunzo kwa jamii..
Amen na asante
Adam. Huyaki. UTI. Sugu. Nimecheka kwasauti. Daah. Kazizako. Nzuri sana. Hongera. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante sana
Duuuh movie tamu sana yenye mafunzo na yenye kuchekesha pia❤❤
Shukrani sana
Leo nimecheka yangu yote watching from Saudi 🇸🇦 wakomeshe hao wanaume watabia kama hizo na akikisha pia umewakomesha pia wanawake watabia hizo❤❤❤❤❤
Kabisa kabisa🙏
Kabisa.
Eeeee!!!!!! hii kali,funzo kuu,eee bwana we adamu tia bidii
Shukranii
Adam na kundi lako lote hongereni sana. Mna mafundisho mazuri mno, binafsi nawakubali hatari na nawaombea muendelee kutuelimisha hasa katika dunia hii inayonuka uovu.
Shukrani Lawyer❤️Nakupenda
@@AdamLeoStudios Asante dear
Adamu nmesuscribe nafrahia filamu zako xana kaka Mungu akubariki kama nko darasani vile.
Shukrani sana
Penda San Kazi zako 🎉🎉
Asante
I'm a kenyan watching from 🇸🇦big up bro
Thanks
Mmmh napenda sana 254🇰🇪we r representing well
Shukrani sana
congrats kaka napenda kazi zako
Shukrani sana
Adam mov zako tu kaka zinamafunzo san mung azid kukupa afya uelimishe jamii❤❤❤❤
Amen
Mimi nko Mombasa Kenya napenda movie zako jee pili na khanifa Salma wako wapi wako SAWA
Utawaona soon.
I'm a Kenyan watching from Spain. I love it😊. Thanks guys
Thanks a lot🙏🙏
Mashallah hongereni sana wadau nimejifunja kitu
Shukrani sana sana🙏🙏🙏
Asante sana adam leo,wenye tabia za umalaya jamani,iwafikie hiii,
Kabisa kabisa hii ni kwaajili yao.
My favorite, tunaendelea kufuatilia movies zako, safi kabisa!
Shukrani sana
Its the best combination Uyo jamaa mrefu anajua sana kuigiza dah alinifurahisha san kwenye ile movie Adam umemchukulia mkewe afu ukaenda kukaa kwake
Dah mnatish kk Adam i see you both far
Shukrani sana kaka, we appreciate🙏
Leo ningekuwa wakwanza sema tu nimechelewa ibadani
Sio mbaya kikubwa umeitazama..
nimekumbali sn hii movie yafundisha hak
Shukrani sana🙏🙏
Bro Adam much respect very well combination, we are going to get new kanumba, allah yuko pamoja na wewe kila la kheri kk
Shukrani sana, naendelea kupambana na kuhakikisha nawapa burudani kila leo, msiache kunisupport kwa ku SUBSCRIBE na kuSHARE filamu zangu🙏
Yaa huwa na Shea Sana na ku subscribe na ndo maana kila movie unapotoa lazima niione kaka angu adam
Asante sana.
@@AdamLeoStudios our next kanumba
Jiunge na Adam leo uenjoy 😊
Kabisa kabisa aisee🙏
ADAM UKO VIZURI MOVIE ZAKO ZINA FUNDISHA NA KUELIMISHA JAMII
Asante sana.
❤🎉🎉🎉❤cogratulation movies zenu zina mafundisho mazuri🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤🤗🙏
Asante sana sana
Adam Mungu anakuona hadi kaka Kado kaokoka 🤣🤣🤣🎉❤ nice movie
😂😂😂anampenda yesu..!
Mimi bado mdogo brother lakin nimejifunza mengi kupitia movie zako Zina ujumbe mzito unao hitaji moyo wa uvumilivu Ili uweze kuyabeba na kuyafanyia kazi HONGERA SANA BROTHER ADAM
Shukrani sana aisee...!! Mungu akubariki..
Mh maajabu Adam kwenye movie hii hupendi madem adi unamshauri mwenzako ila movie nzuri nimeipenda na ina mafunzo mazuri kwa wanaume wenye kupenda madem
Asante sana😂😂😂sema dah jamani mimi🙏
Mdogo wangu,Adam,mbona unapenda makande saanaa,maana kila movie lazma utaje makande!
Haha
Penda sana Adam unaweza tena na tena
Asante tena na tena
😂😂😂movie nzuri sana kado kapata adabu kweli👏👏👏
Umeona eh
Mwamba mwenyew
Naam
Good job man,am really addicted to your movie's tuned in from Kenya
Shukrani sana aisee.
Adam tunamshukuru sana kwa kaz nzur,, umetumia akil nying kumbadilisha kaka yako unastahl pongez kaka hongera xana.
Asante sana
Naye amekoma kweli 😂 😂 aki nmecheka mpaka nkamuonea huruma😢 kazi KUNTU 🎉🎉 kaka Adam umejua kumkomesha, na wenye tabia kama hii mkome pia..... ❤❤
Kabisaa
Hata kama nimechela bora nimetazama,,, Asante kaka Adam kwa movie nzuri
Shukrani sana aisee..
Adam leo hongera sana kakaangu hizi movie zako zina mafunzo 💯💯💯💯💯🎉🎉🎉🎉
Asante sana sana aisee.
🤣🤣🤣🤣Thanks for the behind the scene, I was nearly convinced it was a true story. Lovely colours, nicely timed music and quality love you guys great job. Kadoo played very well congratulations
Glad you enjoyed it, we appreciate🙏
Hi movie no Kali sana iko na mafunzo mazuri
Shukrani sana
Adam Shukran sana kwa Movie nzuri ❤❤❤ Mungu akuongoze uzidi kutufurahisha 🤗👏👏👏😊
Asante na tupo pamoja.
Hi
@@user-gf6qz9fd8l Hi
Big up brother movie zako nimezipenda sana
Shukrani sana
Nimependa sana🎉🎉
Asante mno🙏🙏🙏
Adam kazi zako nzuri sana zinamafudzo
Asante
Adam leo uko vizuri
Asante
Mwamba kanyoka kweli mpaka anaomba daaah n hatari kwa kweli 😂😂😂😂😂😂
Kanyookankweli😂😂
Wewe kaka nimependa movie zako sana kbs yani kwa hii moja umejuwa kunikomolea mtu kbs
Shukrani sanaa😀😀
Congratulations kazi nzuri saana❤❤❤
Asante
Nimewapenda
Asante sana
Atumbua macho kama mjuzi kabanwa n . Mlango n 😂😂😂😂😂😂nime wapenda sana kazi nzur sana
Hahahha acha kabisa
Kaz nzuri mafunzo mazuri bt nmecheka hadi nkapaliwa n mate😂😂😂😂
Hahaha enjoy
Jaman napenda movie za uyu mkaka ❤
Asante sana
@@AdamLeoStudios me nataman kuigiza sna wallah tena na ww mana napenda kuangalia movie zko kila siku wallah
Hapo kwer ulimuweza blaza yako Adamu....tisha sana you are so creative 👊👊
Shukrani sana
Much love from Kenya adamu movie zako nzuri kweli kweli keep up bro ❤
Thanks🙏
muvi zako zote kali kaka jitaidi utafika mbali
Shukrani
Nakukubali snaa Mr Adam Leo hakika unatoa vitu vya🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Shukrani🙏🙏
Big up My brooo kazi nzuri sana congratulations 👏👏👏👍❤❤❤🎉🎉🎉 mungu azidi kukubariki kila wakati nawapenda wote mdau wako shabiki love you so much 💞 mbarikiwe nyote
Asante sana sister❤❤❤
😅😅😅😅kinga jaman muhimu sna mashetani ya menda huyu mwisho hahahaha❤
Umeonaa eh
Kazi njema
Asante
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉 nakupenda bure
Mi pia
Asanteni
Inafunzo kukaa kwa watu shida
Congratulation kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉
Umeona eh
Adam leo unajuwa kuingiza filam
Shukrani sana
Movie tamu sana 🎉🎉🎉
Shukrani sana
Mwanzoni tu kazi inaonekana poa Sana hongera Sana mwamba kwa burudani hii
Shukrani sana aisee.
Asante. Sana. Kwa kutuerimisha wa dada. Na wa Kaka. Piatujilekebishe
Shukrani sana sana.
@@AdamLeoStudios asante nami pia kwa kutujali tulioko mbali na tz. Tunainjoy sana
Kaka hiyo ya slay pia nishaangalia Iko vizuri na inaelimisha pia
Asante
Hii move inafundisha Sana adamu nimefatilia Sana move zako uko vzr sana
Shukrani mno.
Hii movie nimewatch usiku peke yangu nyumba ya gorofa mbili Ile duru nimepiga kwa hiyo saduku kupotea mwaongopesha sana
Hahaha polleeee
Nakupenda sana brother I wish nikuje kuishi dar Alf niigize kwenye filamu zako
Karibu
Hii movie n zuri sana kwakweli inamafunzo mazuri sana
Asante sana
Utakii kingaaa kwa hiyooo kadoo anapigaa kavuuuu dooooo😅😅😅 una hatariiii
Kado ana hatari sana
Eeh wanawake tutafika binguni Kama tumechoka Aki uko Na mwanaume lakn bado unataka brother yake pia haraam mushimila much love from kenya
Thanks
Watching from Nashville USA, Adam. Hongera
Thanks a lot🙏🙏🙏
@@AdamLeoStudios God is with you never give up Leo, Mark my words one day you'll be somewhere
I appreciate🙏🙏
Nilkua sija jua kabisa lakini nimeisha kupata kabisa.
Shukrani
Asante sanaaaaa Adam kwa movie nzuri asante 🙏🙏🙏♥️♥️♥️🙏🙏
Asante nawe kwa kutazama🙏
nimeipena sana tena vijana tusikie
kaka iko poa sema hiyo introduction ungeiwek mwanzoni sio katikati
Poa poa mkuu, shukrani kwa maoni.
Hii movie nimependa sana tena inamafunzo❤❤❤ from kenya
Asante
Much love Adam Leo pamoja brother
Shukrani sana
hii movie ni darasa tosha napnd sna mnavyo tuleteya movie zenye mafunzo allh wape nduvu Zaid
Asante mnoo🙏🙏🙏
Woow mmeigiza vizuri sana jamani na nimepata mafunzo yakutosha, asanteni ❤❤❤
Asante sana.
Hii movie nikali walai Adam kazi safi sana Alf Sasa tukifika apo kwa behind the scene nakufaaaa😂
Hahaha asante jamani
Mwenyezi mungu akubariki kaka Kwa kuendelea kutupa mafunzo
Amen
Boss adamu alivyo mkubwa hivio hajuwi kaskazini ni wapi mungu wangu wwwweeee😂😂😂😂😂
Hahahaha acha kabisa.
Abana Adam mimi niko Australia lakini nazipenda movie zako sababu zinafundisha sana.
Asante sana
Uko vizuri
Asante
Niwe tu mkweli nimejufunza kitu apo kwa uhuni aisee wanaume lazima wataacha tu wapenda wa sipende, i salute you and BIG RESPECT
Shukraniii
@@AdamLeoStudioskaribu sana kaka yetu kipenzi tuko pamoja na wewe twakupenda sana Jabali wetu King 👑❤❤❤
🙏🙏🙏❤❤
Movie ntamu hongera kkaangu Adam ❤❤❤
Asante sana sana.
Hii muvi nimeipendaa buree Adam hongera sana kwa Ubunifu ,,,,nimependa
Asante kwa kuona hilo
Umetisha kaka angu Adam Mungu akuongoze ufanye vitu vizuri zaidi 🙏🙏🙏
Asante mno
Napenda saaan kuangalia movie zako big up saaan
Shukrani sana
kazi nzuri sana. Be blessed more
Thanks a lot🙏🙏🙏
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣adam umemfanya mwenzio goigoi
Hahaha jamanii
Mmmm ongera sana.kweli mauwa yako bro 🌹🌹🌹🌹
Shukrani
😂😂😂Nisiulizwe Nacheka nn Munipe likes thu😊
Endelea ku enjoy
Bro adam unajua cheza movie big up ❤🔥
Shukrani
Dah mov nzr sana inafundsha ata kama Kuna mtu anatatzo ili anaweza apply aidia hii na akafanikisha
Kweli kabisa asante kwa kuliona hilo🙏🙏
Nimejikuta kufunga macho kwa maombi ya kado ongereni kwa kazi nzuri ❤❤
Hahahah asante sana jamaniii, Kado alikuwa anashusha upako🙏🙏
Ingekua wazizi wote wafanywa ivyo wengi wangekoma😂😂😂 kudadeki wachezea kifo ww
🤣🤣🤣daaaah funzo kubwa sana hongera sana kwa kuzidi kutuelimisha kaka ADAM
Shukrani
Mimi ni mtanzania nawaangalia nikiwa Germany 🇩🇪 kazi nzuri
Shukrani sana