NIMEKOMA (New Movie) Adam Leo, Kado Mwamba, 2023 Swahili Movie | Bongo Movie

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • NIMEKOMA (New Movie) Adam Leo, Kado Mwamba, 2023 Swahili Movie | Bongo Movie
    SUBSCRIBE NOW / @adamleostudios
    Welcome to Adam Leo STudios RUclips Channel.
    Stream and Enjoy Best of Swahili Movies with your favourite artists here on Adam Leo Studios RUclips channel.
    SUBSCRIBE NOW to stay updated on all latest Swahili movies.
    DO NOT FORGET TO HIT THE NOTIFICATION 🔔 BELL ICON to STAY NOTIFIED ON ALL OUR NEW MOVIES.
    #Nimekoma #bongomovie #filamumpya #swahilimovies #2023movies #adamleo

Комментарии • 750

  • @AdamLeoStudios
    @AdamLeoStudios  11 месяцев назад +33

    Usiache kutazama Filamu yangu mpya ya SLAY hapa👇
    ruclips.net/video/UdUSLh0glcg/видео.htmlsi=72_bENQWV7-UIWdG

  • @haluwahavla9740
    @haluwahavla9740 Год назад +23

    Hii movie ina mafunzo mazur xna, inafinza kuhsu wale wanaume wenye tamaa na kpnda kufnya mapnzi ovyo na kla mwanamke big up xnaaa broo adamu nzuri xna ❤❤❤❤❤❤

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Год назад +3

      Shukrani sana, nafurahi kama umepata funzo tulilolimaanisha🙏🙏🙏

    • @user-mk3zl3yr3m
      @user-mk3zl3yr3m 10 месяцев назад +3

      Adam unaweza sana

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  4 месяца назад

      @@user-mk3zl3yr3masante sana

    • @HUSSEINMUHAMED-so4dx
      @HUSSEINMUHAMED-so4dx 3 месяца назад

      Hongereni sana aiseee SEMA kuacha inakuaga ngumu sana aiseee

    • @HUSSEINMUHAMED-so4dx
      @HUSSEINMUHAMED-so4dx 3 месяца назад

      ​@@AdamLeoStudiosAdam mwendelezo wa Sabi unazingua ujueeeee

  • @gaudenciamzuma228
    @gaudenciamzuma228 7 месяцев назад +5

    Nafatilia sana muv zako Adam leo very Nice work,Big up my brother Mungu aibariki kazi ya mikono yako na akili yako🙏maana unatoa mafunzo kwa jamii..

  • @mamaaanmar1261
    @mamaaanmar1261 9 месяцев назад +3

    Adam. Huyaki. UTI. Sugu. Nimecheka kwasauti. Daah. Kazizako. Nzuri sana. Hongera. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @meryezekieli8640
    @meryezekieli8640 7 месяцев назад +4

    Duuuh movie tamu sana yenye mafunzo na yenye kuchekesha pia❤❤

  • @Jacklinemwikali773
    @Jacklinemwikali773 11 месяцев назад +8

    Leo nimecheka yangu yote watching from Saudi 🇸🇦 wakomeshe hao wanaume watabia kama hizo na akikisha pia umewakomesha pia wanawake watabia hizo❤❤❤❤❤

  • @user-up1wo6fb1k
    @user-up1wo6fb1k 7 месяцев назад +3

    Eeeee!!!!!! hii kali,funzo kuu,eee bwana we adamu tia bidii

  • @monalisajohn3029
    @monalisajohn3029 7 месяцев назад +3

    Adam na kundi lako lote hongereni sana. Mna mafundisho mazuri mno, binafsi nawakubali hatari na nawaombea muendelee kutuelimisha hasa katika dunia hii inayonuka uovu.

  • @user-vt4vd5rh8u
    @user-vt4vd5rh8u 2 месяца назад +3

    Adamu nmesuscribe nafrahia filamu zako xana kaka Mungu akubariki kama nko darasani vile.

  • @ngaiseryjembe9948
    @ngaiseryjembe9948 5 месяцев назад +4

    Penda San Kazi zako 🎉🎉

  • @user-hz3hd8jq1b
    @user-hz3hd8jq1b 7 месяцев назад +5

    I'm a kenyan watching from 🇸🇦big up bro

  • @lilianmbugua4966
    @lilianmbugua4966 9 месяцев назад +4

    Mmmh napenda sana 254🇰🇪we r representing well

  • @VithalisIrene
    @VithalisIrene 7 месяцев назад +4

    congrats kaka napenda kazi zako

  • @AminaYazidu
    @AminaYazidu 2 месяца назад +1

    Adam mov zako tu kaka zinamafunzo san mung azid kukupa afya uelimishe jamii❤❤❤❤

  • @iddjuma2206
    @iddjuma2206 11 месяцев назад +6

    Mimi nko Mombasa Kenya napenda movie zako jee pili na khanifa Salma wako wapi wako SAWA

  • @ngumbimueni8195
    @ngumbimueni8195 11 месяцев назад +7

    I'm a Kenyan watching from Spain. I love it😊. Thanks guys

  • @grice2075
    @grice2075 11 месяцев назад +3

    Mashallah hongereni sana wadau nimejifunja kitu

  • @monicamsile2284
    @monicamsile2284 Год назад +4

    Asante sana adam leo,wenye tabia za umalaya jamani,iwafikie hiii,

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola8835 8 месяцев назад +2

    My favorite, tunaendelea kufuatilia movies zako, safi kabisa!

  • @sumablacktz2288
    @sumablacktz2288 Год назад +2

    Its the best combination Uyo jamaa mrefu anajua sana kuigiza dah alinifurahisha san kwenye ile movie Adam umemchukulia mkewe afu ukaenda kukaa kwake
    Dah mnatish kk Adam i see you both far

  • @monicamsile2284
    @monicamsile2284 Год назад +6

    Leo ningekuwa wakwanza sema tu nimechelewa ibadani

  • @sanitasamini8899
    @sanitasamini8899 11 месяцев назад +3

    nimekumbali sn hii movie yafundisha hak

  • @hamisimwandu5675
    @hamisimwandu5675 Год назад +5

    Bro Adam much respect very well combination, we are going to get new kanumba, allah yuko pamoja na wewe kila la kheri kk

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Год назад +1

      Shukrani sana, naendelea kupambana na kuhakikisha nawapa burudani kila leo, msiache kunisupport kwa ku SUBSCRIBE na kuSHARE filamu zangu🙏

    • @hamisimwandu5675
      @hamisimwandu5675 Год назад +1

      Yaa huwa na Shea Sana na ku subscribe na ndo maana kila movie unapotoa lazima niione kaka angu adam

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Год назад +1

      Asante sana.

    • @leahwanjiku5466
      @leahwanjiku5466 11 месяцев назад

      @@AdamLeoStudios our next kanumba

  • @mwanamisirama1836
    @mwanamisirama1836 Год назад +4

    Jiunge na Adam leo uenjoy 😊

  • @-TECHNICIAN
    @-TECHNICIAN 10 месяцев назад +5

    ADAM UKO VIZURI MOVIE ZAKO ZINA FUNDISHA NA KUELIMISHA JAMII

  • @ROSSMUCH-kr3xn
    @ROSSMUCH-kr3xn 9 месяцев назад +2

    ❤🎉🎉🎉❤cogratulation movies zenu zina mafundisho mazuri🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤🤗🙏

  • @furahahappiness110
    @furahahappiness110 10 месяцев назад +4

    Adam Mungu anakuona hadi kaka Kado kaokoka 🤣🤣🤣🎉❤ nice movie

  • @GeophreyJoseph-ww5ws
    @GeophreyJoseph-ww5ws Год назад +1

    Mimi bado mdogo brother lakin nimejifunza mengi kupitia movie zako Zina ujumbe mzito unao hitaji moyo wa uvumilivu Ili uweze kuyabeba na kuyafanyia kazi HONGERA SANA BROTHER ADAM

  • @hanifaabdalla-qf2vd
    @hanifaabdalla-qf2vd 9 месяцев назад +3

    Mh maajabu Adam kwenye movie hii hupendi madem adi unamshauri mwenzako ila movie nzuri nimeipenda na ina mafunzo mazuri kwa wanaume wenye kupenda madem

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  9 месяцев назад +1

      Asante sana😂😂😂sema dah jamani mimi🙏

  • @imanimulumbilwa6056
    @imanimulumbilwa6056 2 месяца назад +1

    Mdogo wangu,Adam,mbona unapenda makande saanaa,maana kila movie lazma utaje makande!

  • @MunezeroSada-wk7vr
    @MunezeroSada-wk7vr 9 месяцев назад +2

    Penda sana Adam unaweza tena na tena

  • @user-pv5xn6vc1w
    @user-pv5xn6vc1w 2 месяца назад +1

    😂😂😂movie nzuri sana kado kapata adabu kweli👏👏👏

  • @elizabethdavid8982
    @elizabethdavid8982 11 месяцев назад +2

    Mwamba mwenyew

  • @leahwanjiku5466
    @leahwanjiku5466 11 месяцев назад +6

    Good job man,am really addicted to your movie's tuned in from Kenya

  • @ernestmwakalambo3938
    @ernestmwakalambo3938 11 месяцев назад +1

    Adam tunamshukuru sana kwa kaz nzur,, umetumia akil nying kumbadilisha kaka yako unastahl pongez kaka hongera xana.

  • @user-hw9ii7ge9s
    @user-hw9ii7ge9s Месяц назад

    Naye amekoma kweli 😂 😂 aki nmecheka mpaka nkamuonea huruma😢 kazi KUNTU 🎉🎉 kaka Adam umejua kumkomesha, na wenye tabia kama hii mkome pia..... ❤❤

  • @Ann-Strong
    @Ann-Strong Год назад +2

    Hata kama nimechela bora nimetazama,,, Asante kaka Adam kwa movie nzuri

  • @janetymwakupha4784
    @janetymwakupha4784 Год назад +2

    Adam leo hongera sana kakaangu hizi movie zako zina mafunzo 💯💯💯💯💯🎉🎉🎉🎉

  • @mrkeya
    @mrkeya Год назад +10

    🤣🤣🤣🤣Thanks for the behind the scene, I was nearly convinced it was a true story. Lovely colours, nicely timed music and quality love you guys great job. Kadoo played very well congratulations

  • @salmakiti1517
    @salmakiti1517 9 месяцев назад +1

    Hi movie no Kali sana iko na mafunzo mazuri

  • @mwanakombojuma7486
    @mwanakombojuma7486 11 месяцев назад +3

    Adam Shukran sana kwa Movie nzuri ❤❤❤ Mungu akuongoze uzidi kutufurahisha 🤗👏👏👏😊

  • @elizabethnkakeny667
    @elizabethnkakeny667 4 месяца назад +1

    Big up brother movie zako nimezipenda sana

  • @user-ix9kq6ke2m
    @user-ix9kq6ke2m 11 месяцев назад +2

    Nimependa sana🎉🎉

  • @paulinekombe3753
    @paulinekombe3753 2 месяца назад +1

    Adam kazi zako nzuri sana zinamafudzo

  • @CharlesMwamburi-dg1mh
    @CharlesMwamburi-dg1mh 6 месяцев назад +1

    Adam leo uko vizuri

  • @user-nc7cm3zp4g
    @user-nc7cm3zp4g 7 месяцев назад +1

    Mwamba kanyoka kweli mpaka anaomba daaah n hatari kwa kweli 😂😂😂😂😂😂

  • @Marie-dj4rl
    @Marie-dj4rl 8 месяцев назад +1

    Wewe kaka nimependa movie zako sana kbs yani kwa hii moja umejuwa kunikomolea mtu kbs

  • @MapenziJoshua-hw5gd
    @MapenziJoshua-hw5gd 3 месяца назад +1

    Congratulations kazi nzuri saana❤❤❤

  • @user-nb3od2px3l
    @user-nb3od2px3l 8 месяцев назад +2

    Nimewapenda

  • @fatumamkuzi8051
    @fatumamkuzi8051 7 месяцев назад +1

    Atumbua macho kama mjuzi kabanwa n . Mlango n 😂😂😂😂😂😂nime wapenda sana kazi nzur sana

  • @Saumu254
    @Saumu254 7 месяцев назад +2

    Kaz nzuri mafunzo mazuri bt nmecheka hadi nkapaliwa n mate😂😂😂😂

  • @aminaabdala563
    @aminaabdala563 6 месяцев назад +1

    Jaman napenda movie za uyu mkaka ❤

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  6 месяцев назад +1

      Asante sana

    • @aminaabdala563
      @aminaabdala563 6 месяцев назад

      @@AdamLeoStudios me nataman kuigiza sna wallah tena na ww mana napenda kuangalia movie zko kila siku wallah

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 7 месяцев назад +1

    Hapo kwer ulimuweza blaza yako Adamu....tisha sana you are so creative 👊👊

  • @janewangari7444
    @janewangari7444 10 месяцев назад +2

    Much love from Kenya adamu movie zako nzuri kweli kweli keep up bro ❤

  • @noushaddammam8805
    @noushaddammam8805 3 месяца назад +1

    muvi zako zote kali kaka jitaidi utafika mbali

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 Год назад +1

    Nakukubali snaa Mr Adam Leo hakika unatoa vitu vya🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 11 месяцев назад +1

    Big up My brooo kazi nzuri sana congratulations 👏👏👏👍❤❤❤🎉🎉🎉 mungu azidi kukubariki kila wakati nawapenda wote mdau wako shabiki love you so much 💞 mbarikiwe nyote

  • @user-jg5xb4kp6e
    @user-jg5xb4kp6e 9 месяцев назад +3

    😅😅😅😅kinga jaman muhimu sna mashetani ya menda huyu mwisho hahahaha❤

  • @sadickndende1840
    @sadickndende1840 10 месяцев назад +1

    Kazi njema

  • @user-sb4fj9iq6f
    @user-sb4fj9iq6f 9 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉 nakupenda bure

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 3 месяца назад +1

    Asanteni
    Inafunzo kukaa kwa watu shida
    Congratulation kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉

  • @Saidihamiss
    @Saidihamiss 4 месяца назад +1

    Adam leo unajuwa kuingiza filam

  • @AaAaarehema
    @AaAaarehema 4 месяца назад +1

    Movie tamu sana 🎉🎉🎉

  • @kulwanzobe7657
    @kulwanzobe7657 Год назад +1

    Mwanzoni tu kazi inaonekana poa Sana hongera Sana mwamba kwa burudani hii

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 11 месяцев назад +1

    Asante. Sana. Kwa kutuerimisha wa dada. Na wa Kaka. Piatujilekebishe

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  11 месяцев назад

      Shukrani sana sana.

    • @morjanoman5181
      @morjanoman5181 11 месяцев назад

      @@AdamLeoStudios asante nami pia kwa kutujali tulioko mbali na tz. Tunainjoy sana

  • @elizabethnkakeny667
    @elizabethnkakeny667 4 месяца назад +1

    Kaka hiyo ya slay pia nishaangalia Iko vizuri na inaelimisha pia

  • @user-lo3gx6gg7x
    @user-lo3gx6gg7x 8 месяцев назад +1

    Hii move inafundisha Sana adamu nimefatilia Sana move zako uko vzr sana

  • @lilianmbugua4966
    @lilianmbugua4966 9 месяцев назад +1

    Hii movie nimewatch usiku peke yangu nyumba ya gorofa mbili Ile duru nimepiga kwa hiyo saduku kupotea mwaongopesha sana

  • @user-qe5uj7tt8r
    @user-qe5uj7tt8r 11 месяцев назад +1

    Nakupenda sana brother I wish nikuje kuishi dar Alf niigize kwenye filamu zako

  • @yonzyonz7343
    @yonzyonz7343 10 месяцев назад +1

    Hii movie n zuri sana kwakweli inamafunzo mazuri sana

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 11 месяцев назад +1

    Utakii kingaaa kwa hiyooo kadoo anapigaa kavuuuu dooooo😅😅😅 una hatariiii

  • @RaelAmunga
    @RaelAmunga Месяц назад

    Eeh wanawake tutafika binguni Kama tumechoka Aki uko Na mwanaume lakn bado unataka brother yake pia haraam mushimila much love from kenya

  • @user-gf6qz9fd8l
    @user-gf6qz9fd8l 11 месяцев назад +3

    Watching from Nashville USA, Adam. Hongera

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  11 месяцев назад +2

      Thanks a lot🙏🙏🙏

    • @user-gf6qz9fd8l
      @user-gf6qz9fd8l 11 месяцев назад +1

      @@AdamLeoStudios God is with you never give up Leo, Mark my words one day you'll be somewhere

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  11 месяцев назад +1

      I appreciate🙏🙏

  • @omariamissi2162
    @omariamissi2162 5 месяцев назад +1

    Nilkua sija jua kabisa lakini nimeisha kupata kabisa.

  • @Alima-sl8jn
    @Alima-sl8jn 11 месяцев назад +1

    Asante sanaaaaa Adam kwa movie nzuri asante 🙏🙏🙏♥️♥️♥️🙏🙏

  • @herimornchriston6083
    @herimornchriston6083 10 месяцев назад +2

    kaka iko poa sema hiyo introduction ungeiwek mwanzoni sio katikati

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  10 месяцев назад +1

      Poa poa mkuu, shukrani kwa maoni.

  • @user-jo7wr4gs3k
    @user-jo7wr4gs3k 9 месяцев назад +1

    Hii movie nimependa sana tena inamafunzo❤❤❤ from kenya

  • @radjabuharerimana2538
    @radjabuharerimana2538 2 месяца назад

    Much love Adam Leo pamoja brother

  • @mkacibeiib7278
    @mkacibeiib7278 11 месяцев назад +2

    hii movie ni darasa tosha napnd sna mnavyo tuleteya movie zenye mafunzo allh wape nduvu Zaid

  • @laurenciakulwa8529
    @laurenciakulwa8529 11 месяцев назад +1

    Woow mmeigiza vizuri sana jamani na nimepata mafunzo yakutosha, asanteni ❤❤❤

  • @Saidahkims
    @Saidahkims Месяц назад

    Hii movie nikali walai Adam kazi safi sana Alf Sasa tukifika apo kwa behind the scene nakufaaaa😂

  • @JosephineJoachim-uw2ki
    @JosephineJoachim-uw2ki 11 месяцев назад +1

    Mwenyezi mungu akubariki kaka Kwa kuendelea kutupa mafunzo

  • @Mayah600
    @Mayah600 10 месяцев назад +1

    Boss adamu alivyo mkubwa hivio hajuwi kaskazini ni wapi mungu wangu wwwweeee😂😂😂😂😂

  • @ndabarinzesamuel9333
    @ndabarinzesamuel9333 10 месяцев назад +1

    Abana Adam mimi niko Australia lakini nazipenda movie zako sababu zinafundisha sana.

  • @ameenamwal6961
    @ameenamwal6961 8 месяцев назад +1

    Uko vizuri

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 11 месяцев назад +1

    Niwe tu mkweli nimejufunza kitu apo kwa uhuni aisee wanaume lazima wataacha tu wapenda wa sipende, i salute you and BIG RESPECT

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  11 месяцев назад

      Shukraniii

    • @fatimafoaani2263
      @fatimafoaani2263 11 месяцев назад +1

      ​@@AdamLeoStudioskaribu sana kaka yetu kipenzi tuko pamoja na wewe twakupenda sana Jabali wetu King 👑❤❤❤

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  11 месяцев назад +1

      🙏🙏🙏❤❤

  • @Marim-sj7oi
    @Marim-sj7oi Год назад +2

    Movie ntamu hongera kkaangu Adam ❤❤❤

  • @grolyjosephat8263
    @grolyjosephat8263 11 месяцев назад

    Hii muvi nimeipendaa buree Adam hongera sana kwa Ubunifu ,,,,nimependa

  • @malkiakaali5455
    @malkiakaali5455 11 месяцев назад +1

    Umetisha kaka angu Adam Mungu akuongoze ufanye vitu vizuri zaidi 🙏🙏🙏

  • @user-rp9dh1vr7r
    @user-rp9dh1vr7r 8 месяцев назад +1

    Napenda saaan kuangalia movie zako big up saaan

  • @MrMalusi
    @MrMalusi 11 месяцев назад +1

    kazi nzuri sana. Be blessed more

  • @HillaryKeraryo-yb1oy
    @HillaryKeraryo-yb1oy 7 месяцев назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣adam umemfanya mwenzio goigoi

  • @ayshaaysha3489
    @ayshaaysha3489 7 месяцев назад +1

    Mmmm ongera sana.kweli mauwa yako bro 🌹🌹🌹🌹

  • @aishasalim-9036
    @aishasalim-9036 3 месяца назад +1

    😂😂😂Nisiulizwe Nacheka nn Munipe likes thu😊

  • @yvesyveldinhomzee.5682
    @yvesyveldinhomzee.5682 11 месяцев назад +2

    Bro adam unajua cheza movie big up ❤🔥

  • @user-tw6pe9qx8b
    @user-tw6pe9qx8b 10 месяцев назад +2

    Dah mov nzr sana inafundsha ata kama Kuna mtu anatatzo ili anaweza apply aidia hii na akafanikisha

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  10 месяцев назад

      Kweli kabisa asante kwa kuliona hilo🙏🙏

  • @sentsent1484
    @sentsent1484 Год назад +1

    Nimejikuta kufunga macho kwa maombi ya kado ongereni kwa kazi nzuri ❤❤

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Год назад

      Hahahah asante sana jamaniii, Kado alikuwa anashusha upako🙏🙏

  • @Munalimaboi-um5iq
    @Munalimaboi-um5iq 2 месяца назад +1

    Ingekua wazizi wote wafanywa ivyo wengi wangekoma😂😂😂 kudadeki wachezea kifo ww

  • @LinasudMethew-ll8bf
    @LinasudMethew-ll8bf 11 месяцев назад +1

    🤣🤣🤣daaaah funzo kubwa sana hongera sana kwa kuzidi kutuelimisha kaka ADAM

  • @user-yz6sw9rs4h
    @user-yz6sw9rs4h 7 месяцев назад +1

    Mimi ni mtanzania nawaangalia nikiwa Germany 🇩🇪 kazi nzuri