Hilo jumbo la Oregon huwaga mablack wanakaa nalo mbali cjui kwanini, yaan huwa blacks hawapendi kuishi Oregon ni wazungu tu. Sasa Leo umenipa kitu cha kushangaza kuona mablack huko hao wakenya
Bro kutokana na kua umelenga wana Africa Mashariki kukusapoti ningekushauri uongee kiswahili fluent ili wafuatiliaji wako wafaidike,lkn pia ni uzalendo kuitangaza nchi yako kilugha,halaf unaweza ukaweka English Subtitles.
Ongea tu kiswahili kizungu bado kinakupiga chenga pia tweng mingi for no reason...ukizungumza kiswahili bado utaeleweka tu si neno...watanzania mkifahamu kiingereza kidogo tu ....mbwembwe😅..hapa 🇰🇪 tunakupa hongera kwa unachojifunza...
Umeangalia video zangu zote? Hivi ndivyo navoongea mixing swahili na English ni kwasababu I’m forced to speak Eng 24/7 nimeowa mzungu naishi USA, kutoongea English nzuri it’s okay pengine kwako Ila kwangu mm I just love all languages I can speak, and I’m proud to speak them✌🏼
@@mshanatheblacksmith sawa hata wenzako yule mkongwe you tuber wa Missouri , yule wa New York, wa Chicago na wa Texas huwa wanachaji kiasi fulani, mtu akifika anasaidiwa kupata ile namba ya kazi , ku pata driving license huku akiwa tayari ana kibarua na kisha kumwacha ajitegemee kujipangia nyumba yake baada ya miezi 2 au 4.
Mshana unachanganya mafaili kaka tulikuona umefika mpakani mwa USA na canada unajua tunafatilia matukio kwa kuwa upo safari aprodi vidio kwa sizoni tuelewe umetoka hotel pale Oregon kwenye uwanja wa mpira ebu tueleweshe
Ila video ilitakiwa ni upload mwisho maana nilipotoka Oregon nilienda Washington state cku upload video nilipotoka Washington ndo nikaenda Canada 🇨🇦 which niliwaonyesha video yake kabla ya hii
Sasa ikiwa nataka kuja marekani kimaisha akini pia nikawa nahitaji niwe sehemu ambapo swala tano Msikitini napenda, inawezekana au ni kishidashida? niambie Bro wangu
Misikiti ipo usiwe na hofu, Nb: Ukiona mtu yupo USA na hafanyi ibada huyo kaamua tuu,ila misikiti ipo sana (Wasomalia na wa Marekani wenye asili ya uarabuni pamoja na waislam wenye asili ya India na Pakstani wanajitahidi sana kujenga au kukodi majengo kwa ajili ya ibada)
@@abdulnaseermrisho4342Samahni Mfahamu jamaa alivyouliza. Anauliza Je akaishi jimbo gani ndani ya America ambambo atakaa karibu na Msikiti ili aweze kufanya Ibada? Na naongezea lenye nyumba Ambazo ni rahisi kidogo
@@KamaalAli-w2c Illinois,New York,New Jersey,Maryland,Michigan,Virginia,Massachusetts,Arizona,California,North Carolina, hizo ndizo state ambazo zina waislam wengi ila hata Minnesotta kuna wasomali wengi hivyo ni easy kupata misikiti
@@KamaalAli-w2c Illinois ,New York ,New Jersey,Maryland ,Michigan,Virginia,Massachusetts,North Carolina hata Seattlen napo kuna misikiti maana kuna wasomalia wengi (na sehemu karibia zote,siku hizi chuki dhidi ya waislam inaenda inapungua,hata New york kama swala ya tarawekh siku hizi wanasalia pale Time square)
Kaka, nenda walmart, section ya unga ....utapata stoneground white cornmeal ... Iko na picha ya native american... Huo unga ndio kabisa jwa unga wa ugali
Google map Kenya ni mambo ya zamani. Kila jengo lina jina, na ukieka kwenye google map, basi inakufikisha mlangoni.
Safi sana maendeleo ni jambo la kuwa proud nalo 🤝
From joe nduti🏃🏃,i had to subscribe kudos bro👍
Mshana hivi uko naweza kuja hata kama sijui kingereza?.
Hilo jumbo la Oregon huwaga mablack wanakaa nalo mbali cjui kwanini, yaan huwa blacks hawapendi kuishi Oregon ni wazungu tu. Sasa Leo umenipa kitu cha kushangaza kuona mablack huko hao wakenya
Bro kutokana na kua umelenga wana Africa Mashariki kukusapoti ningekushauri uongee kiswahili fluent ili wafuatiliaji wako wafaidike,lkn pia ni uzalendo kuitangaza nchi yako kilugha,halaf unaweza ukaweka English Subtitles.
Nashangaa saana ujue tunafahamu kuwa unafahamu kiingereza sasa ni vizuri kuzungumza kiswahili bro
Karibu Bay Area!!! There are many places to meet other Africans.
boss umezungumza 3ominutes nonstop kama chiriku
Mkuu Google map ipo Tanzania mbona, pamekuwa na kampuni ya uber now Bolt na farasi sasa zingefanya vp kazi kule?
Vipi kaka, Kenya hamna zip code hata, lakini twatumia google maps pia. Hiyo restaurant ya mkenya yaitwaje?
Kazi safi kaka
Ongea tu kiswahili kizungu bado kinakupiga chenga pia tweng mingi for no reason...ukizungumza kiswahili bado utaeleweka tu si neno...watanzania mkifahamu kiingereza kidogo tu ....mbwembwe😅..hapa 🇰🇪 tunakupa hongera kwa unachojifunza...
Umeangalia video zangu zote? Hivi ndivyo navoongea mixing swahili na English ni kwasababu I’m forced to speak Eng 24/7 nimeowa mzungu naishi USA, kutoongea English nzuri it’s okay pengine kwako Ila kwangu mm I just love all languages I can speak, and I’m proud to speak them✌🏼
@@mshanatheblacksmithni sawa kabisa mbona unaeleweka tu
English sio mdomo chake na tweng 😅
What if he want his content to reach kiswahili and non kiswahili speakers like SA.so long as u understand what he is saying well n good.
Tanzania lipo daraja la juu mtonganiii😂😂
😂😂 mdogo mdogo tutafika😂😂 tupeane moyo tu😂
@@mshanatheblacksmith hahaha inshallah
Safi sana mkk, sasa niambie nikishinda dv lottery mna utaratibu pia wa kuhost huku uliko?
au tuongee dm
Itabidi nikianza ku host watu I will charge people 💵kwasababu huku ni USA, 🙏🏻
@@mshanatheblacksmith sawa hata wenzako yule mkongwe you tuber wa Missouri , yule wa New York, wa Chicago na wa Texas huwa wanachaji kiasi fulani, mtu akifika anasaidiwa kupata ile namba ya kazi , ku pata driving license huku akiwa tayari ana kibarua na kisha kumwacha ajitegemee kujipangia nyumba yake baada ya miezi 2 au 4.
oregon uzur hakuna tax nyingi wamepunguza Tax sana
Sawa sawa bro. Twaja 🤣🤣🤣🤣
Kabisa na hilo lilinivutia sana
Oregon ina ushuru kubwa ikifika kwa malipo/salary.
@@westmax8491 Asante for sharing information 🙏🏻
U did not provide his number wewe ni wale Vipi unaficha uso ya wife?
Kaka nimepnda elim yako ❤
Karibu
Kaka afrika tutafika kweli lini mahali barabara za America zipo sasa na ufisadi ni umejaa kila mahali 🤑🤑🤑🤑
Ni aibu sana aisee
Hivi nawezaje kupata connection ya kufika huko?
Bona sa uza africa zipo tu
Mshana unachanganya mafaili kaka tulikuona umefika mpakani mwa USA na canada unajua tunafatilia matukio kwa kuwa upo safari aprodi vidio kwa sizoni tuelewe umetoka hotel pale Oregon kwenye uwanja wa mpira ebu tueleweshe
Ila video ilitakiwa ni upload mwisho maana nilipotoka Oregon nilienda Washington state cku upload video nilipotoka Washington ndo nikaenda Canada 🇨🇦 which niliwaonyesha video yake kabla ya hii
Hivi Washngton DC nayo ni state kweli????
Ndio, kuna state mbili za Washington. Washington state and Washington DC
hata mi nlihis ni taarifa y hbr😅😅
Bro siku moja zungumzia maswala ya gharama ya visa na tket bt pia app ya kuappy job
Dooh
Nitafanya hvyo
Kaka sikumoja Unda video ya kusaidia homles people maze
I will, Asante
MSHANA kumbe kobe hufungiiii 😢
Nikirudi safarini nitaendelea nanyi Dada🙏🏻
No huge billboards advertising beer along the roads like Nairobi.
No pedestrians walking on the roads jostling for spaces with motorist
Sasa ikiwa nataka kuja marekani kimaisha akini pia nikawa nahitaji niwe sehemu ambapo swala tano Msikitini napenda, inawezekana au ni kishidashida? niambie Bro wangu
Misikiti ipo usiwe na hofu,
Nb: Ukiona mtu yupo USA na hafanyi ibada huyo kaamua tuu,ila misikiti ipo sana (Wasomalia na wa Marekani wenye asili ya uarabuni pamoja na waislam wenye asili ya India na Pakstani wanajitahidi sana kujenga au kukodi majengo kwa ajili ya ibada)
@@abdulnaseermrisho4342Samahni Mfahamu jamaa alivyouliza. Anauliza Je akaishi jimbo gani ndani ya America ambambo atakaa karibu na Msikiti ili aweze kufanya Ibada? Na naongezea lenye nyumba Ambazo ni rahisi kidogo
@@KamaalAli-w2c Illinois,New York,New Jersey,Maryland,Michigan,Virginia,Massachusetts,Arizona,California,North Carolina, hizo ndizo state ambazo zina waislam wengi ila hata Minnesotta kuna wasomali wengi hivyo ni easy kupata misikiti
Hapa CA nimeona misikiti mingi sana pengine ndio state nayoijua sanaa kwa sasa Ila CA ni gharama kuishi Ila kwa misikiti tu mashallah ipo yakutosha
@@KamaalAli-w2c Illinois ,New York ,New Jersey,Maryland ,Michigan,Virginia,Massachusetts,North Carolina hata Seattlen napo kuna misikiti maana kuna wasomalia wengi (na sehemu karibia zote,siku hizi chuki dhidi ya waislam inaenda inapungua,hata New york kama swala ya tarawekh siku hizi wanasalia pale Time square)
Vlog
Sasa unaongea kingereza cha nini wakati unaongea na wa swahili acha ushamba
Anaongea na wafrika, sio tu watanzania. Boom
ati siaro..😂😂😂😂
😂😂
ongea kiswahili bro
Yuko na mtu hajui kiswahili, na mnaotaka kwenda unadhani utaongea nn huko?
😂😂😂kizungu sio mdomo chake
@bushbabytz em kiongee wewe tu
Ila mwafahamu kila mkenya Kiswahili IPO mwenye masomo za Kenya so kila hajui kiswahili
Mzee hujafunga ramadhan
Nipo safarini cjafunga
Kaka, nenda walmart, section ya unga ....utapata stoneground white cornmeal ... Iko na picha ya native american... Huo unga ndio kabisa jwa unga wa ugali
Kingereza chenyewe cha kawaida sana kifupi hujui kingereza unalazimisha wakati kingereza chenyewe hakikutaki
Sawa ila Acha wivu😅😅
Sasa wewe shida yako nini 😒😒
Duu
wabongo bn ndy mana wengi we2 hatusogei miaka nenda rudi 2mekalia unafki na kujudge maisha ya wa2 kla cku 😂
sas makacrko ya nn mkuu🖐🏻😂
Umeeongea kwa uchungu sana 😂 jinyonge