P3~ Nimekutana na mkenya Oregon anauza Ugali 🇰🇪✊🏼he make $35k per month😳Safari ya Washing 🚙

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 78

  • @360vr-tours
    @360vr-tours 7 месяцев назад +3

    Google map Kenya ni mambo ya zamani. Kila jengo lina jina, na ukieka kwenye google map, basi inakufikisha mlangoni.

  • @gladysgitau7458
    @gladysgitau7458 6 месяцев назад +2

    From joe nduti🏃🏃,i had to subscribe kudos bro👍

  • @fermysabun
    @fermysabun 5 месяцев назад +1

    Mshana hivi uko naweza kuja hata kama sijui kingereza?.

  • @shortverses1604
    @shortverses1604 7 месяцев назад +2

    Hilo jumbo la Oregon huwaga mablack wanakaa nalo mbali cjui kwanini, yaan huwa blacks hawapendi kuishi Oregon ni wazungu tu. Sasa Leo umenipa kitu cha kushangaza kuona mablack huko hao wakenya

  • @mahamoud2861
    @mahamoud2861 7 месяцев назад +4

    Bro kutokana na kua umelenga wana Africa Mashariki kukusapoti ningekushauri uongee kiswahili fluent ili wafuatiliaji wako wafaidike,lkn pia ni uzalendo kuitangaza nchi yako kilugha,halaf unaweza ukaweka English Subtitles.

    • @leecode6135
      @leecode6135 7 месяцев назад

      Nashangaa saana ujue tunafahamu kuwa unafahamu kiingereza sasa ni vizuri kuzungumza kiswahili bro

  • @carol-Cece
    @carol-Cece 7 месяцев назад +2

    Karibu Bay Area!!! There are many places to meet other Africans.

  • @MBAResourcePackage254
    @MBAResourcePackage254 7 месяцев назад +2

    boss umezungumza 3ominutes nonstop kama chiriku

  • @Winstonfying
    @Winstonfying Месяц назад

    Mkuu Google map ipo Tanzania mbona, pamekuwa na kampuni ya uber now Bolt na farasi sasa zingefanya vp kazi kule?

  • @johnkelli4940
    @johnkelli4940 6 месяцев назад

    Vipi kaka, Kenya hamna zip code hata, lakini twatumia google maps pia. Hiyo restaurant ya mkenya yaitwaje?

  • @NewsUpdates-tu3fb
    @NewsUpdates-tu3fb 7 месяцев назад +1

    Kazi safi kaka

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia6306 7 месяцев назад +2

    Ongea tu kiswahili kizungu bado kinakupiga chenga pia tweng mingi for no reason...ukizungumza kiswahili bado utaeleweka tu si neno...watanzania mkifahamu kiingereza kidogo tu ....mbwembwe😅..hapa 🇰🇪 tunakupa hongera kwa unachojifunza...

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  7 месяцев назад +6

      Umeangalia video zangu zote? Hivi ndivyo navoongea mixing swahili na English ni kwasababu I’m forced to speak Eng 24/7 nimeowa mzungu naishi USA, kutoongea English nzuri it’s okay pengine kwako Ila kwangu mm I just love all languages I can speak, and I’m proud to speak them✌🏼

    • @Zuu673
      @Zuu673 7 месяцев назад

      ​@@mshanatheblacksmithni sawa kabisa mbona unaeleweka tu

    • @blessingsmary
      @blessingsmary 7 месяцев назад

      English sio mdomo chake na tweng 😅

    • @gladysgitau7458
      @gladysgitau7458 6 месяцев назад

      What if he want his content to reach kiswahili and non kiswahili speakers like SA.so long as u understand what he is saying well n good.

  • @Zuu673
    @Zuu673 7 месяцев назад +3

    Tanzania lipo daraja la juu mtonganiii😂😂

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  7 месяцев назад +1

      😂😂 mdogo mdogo tutafika😂😂 tupeane moyo tu😂

    • @Zuu673
      @Zuu673 7 месяцев назад

      @@mshanatheblacksmith hahaha inshallah

  • @drsamsonkibona371
    @drsamsonkibona371 7 месяцев назад +1

    Safi sana mkk, sasa niambie nikishinda dv lottery mna utaratibu pia wa kuhost huku uliko?
    au tuongee dm

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  7 месяцев назад

      Itabidi nikianza ku host watu I will charge people 💵kwasababu huku ni USA, 🙏🏻

    • @drsamsonkibona371
      @drsamsonkibona371 7 месяцев назад

      @@mshanatheblacksmith sawa hata wenzako yule mkongwe you tuber wa Missouri , yule wa New York, wa Chicago na wa Texas huwa wanachaji kiasi fulani, mtu akifika anasaidiwa kupata ile namba ya kazi , ku pata driving license huku akiwa tayari ana kibarua na kisha kumwacha ajitegemee kujipangia nyumba yake baada ya miezi 2 au 4.

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 7 месяцев назад +2

    oregon uzur hakuna tax nyingi wamepunguza Tax sana

    • @adnanaljabry800
      @adnanaljabry800 7 месяцев назад

      Sawa sawa bro. Twaja 🤣🤣🤣🤣

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  7 месяцев назад

      Kabisa na hilo lilinivutia sana

    • @westmax8491
      @westmax8491 7 месяцев назад +1

      Oregon ina ushuru kubwa ikifika kwa malipo/salary.

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  7 месяцев назад

      @@westmax8491 Asante for sharing information 🙏🏻

  • @Sure254
    @Sure254 7 месяцев назад

    U did not provide his number wewe ni wale Vipi unaficha uso ya wife?

  • @DaudiPeter-db9hw
    @DaudiPeter-db9hw 7 месяцев назад +2

    Kaka nimepnda elim yako ❤

  • @NewsUpdates-tu3fb
    @NewsUpdates-tu3fb 7 месяцев назад +1

    Kaka afrika tutafika kweli lini mahali barabara za America zipo sasa na ufisadi ni umejaa kila mahali 🤑🤑🤑🤑

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 7 месяцев назад

    Hivi nawezaje kupata connection ya kufika huko?

  • @iddyndakumana
    @iddyndakumana 28 дней назад

    Bona sa uza africa zipo tu

  • @Americabeautifulland
    @Americabeautifulland 7 месяцев назад +1

    Mshana unachanganya mafaili kaka tulikuona umefika mpakani mwa USA na canada unajua tunafatilia matukio kwa kuwa upo safari aprodi vidio kwa sizoni tuelewe umetoka hotel pale Oregon kwenye uwanja wa mpira ebu tueleweshe

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  7 месяцев назад

      Ila video ilitakiwa ni upload mwisho maana nilipotoka Oregon nilienda Washington state cku upload video nilipotoka Washington ndo nikaenda Canada 🇨🇦 which niliwaonyesha video yake kabla ya hii

  • @godrickbategeki
    @godrickbategeki 7 месяцев назад +1

    Hivi Washngton DC nayo ni state kweli????

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  7 месяцев назад +1

      Ndio, kuna state mbili za Washington. Washington state and Washington DC

    • @misanamohamedi8438
      @misanamohamedi8438 7 месяцев назад

      hata mi nlihis ni taarifa y hbr😅😅

  • @alisaidi6755
    @alisaidi6755 7 месяцев назад +2

    Bro siku moja zungumzia maswala ya gharama ya visa na tket bt pia app ya kuappy job

  • @MkuziSaha-ll6ex
    @MkuziSaha-ll6ex 7 месяцев назад +1

    Kaka sikumoja Unda video ya kusaidia homles people maze

  • @aysheraden7718
    @aysheraden7718 7 месяцев назад

    MSHANA kumbe kobe hufungiiii 😢

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  7 месяцев назад

      Nikirudi safarini nitaendelea nanyi Dada🙏🏻

    • @aliabdi8347
      @aliabdi8347 7 месяцев назад +1

      No huge billboards advertising beer along the roads like Nairobi.
      No pedestrians walking on the roads jostling for spaces with motorist

  • @mahatamohamed5144
    @mahatamohamed5144 7 месяцев назад

    Sasa ikiwa nataka kuja marekani kimaisha akini pia nikawa nahitaji niwe sehemu ambapo swala tano Msikitini napenda, inawezekana au ni kishidashida? niambie Bro wangu

    • @abdulnaseermrisho4342
      @abdulnaseermrisho4342 7 месяцев назад +2

      Misikiti ipo usiwe na hofu,
      Nb: Ukiona mtu yupo USA na hafanyi ibada huyo kaamua tuu,ila misikiti ipo sana (Wasomalia na wa Marekani wenye asili ya uarabuni pamoja na waislam wenye asili ya India na Pakstani wanajitahidi sana kujenga au kukodi majengo kwa ajili ya ibada)

    • @KamaalAli-w2c
      @KamaalAli-w2c 7 месяцев назад +3

      ​@@abdulnaseermrisho4342Samahni Mfahamu jamaa alivyouliza. Anauliza Je akaishi jimbo gani ndani ya America ambambo atakaa karibu na Msikiti ili aweze kufanya Ibada? Na naongezea lenye nyumba Ambazo ni rahisi kidogo

    • @abdulnaseermrisho4342
      @abdulnaseermrisho4342 7 месяцев назад

      @@KamaalAli-w2c Illinois,New York,New Jersey,Maryland,Michigan,Virginia,Massachusetts,Arizona,California,North Carolina, hizo ndizo state ambazo zina waislam wengi ila hata Minnesotta kuna wasomali wengi hivyo ni easy kupata misikiti

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  7 месяцев назад +1

      Hapa CA nimeona misikiti mingi sana pengine ndio state nayoijua sanaa kwa sasa Ila CA ni gharama kuishi Ila kwa misikiti tu mashallah ipo yakutosha

    • @abdulnaseermrisho4342
      @abdulnaseermrisho4342 7 месяцев назад

      @@KamaalAli-w2c Illinois ,New York ,New Jersey,Maryland ,Michigan,Virginia,Massachusetts,North Carolina hata Seattlen napo kuna misikiti maana kuna wasomalia wengi (na sehemu karibia zote,siku hizi chuki dhidi ya waislam inaenda inapungua,hata New york kama swala ya tarawekh siku hizi wanasalia pale Time square)

  • @Odessaelectricaltechnology
    @Odessaelectricaltechnology 7 месяцев назад +1

    Vlog

  • @JuniorMatagi-fp7uk
    @JuniorMatagi-fp7uk 7 месяцев назад +1

    Sasa unaongea kingereza cha nini wakati unaongea na wa swahili acha ushamba

    • @georgenjoroge3070
      @georgenjoroge3070 7 месяцев назад

      Anaongea na wafrika, sio tu watanzania. Boom

  • @supremewebsurfer
    @supremewebsurfer 7 месяцев назад +1

    ati siaro..😂😂😂😂

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 7 месяцев назад +1

    ongea kiswahili bro

    • @thc7542
      @thc7542 7 месяцев назад

      Yuko na mtu hajui kiswahili, na mnaotaka kwenda unadhani utaongea nn huko?

    • @blessingsmary
      @blessingsmary 7 месяцев назад

      😂😂😂kizungu sio mdomo chake

    • @rama_kajenza.
      @rama_kajenza. 7 месяцев назад

      @bushbabytz em kiongee wewe tu

    • @KENYANREACTOR
      @KENYANREACTOR 6 месяцев назад

      Ila mwafahamu kila mkenya Kiswahili IPO mwenye masomo za Kenya so kila hajui kiswahili

  • @ibrahimsaguti7470
    @ibrahimsaguti7470 7 месяцев назад +1

    Mzee hujafunga ramadhan

  • @vroor32
    @vroor32 7 месяцев назад

    Kaka, nenda walmart, section ya unga ....utapata stoneground white cornmeal ... Iko na picha ya native american... Huo unga ndio kabisa jwa unga wa ugali

  • @JuniorMatagi-fp7uk
    @JuniorMatagi-fp7uk 7 месяцев назад

    Kingereza chenyewe cha kawaida sana kifupi hujui kingereza unalazimisha wakati kingereza chenyewe hakikutaki

    • @goodluckmawenya8813
      @goodluckmawenya8813 7 месяцев назад

      Sawa ila Acha wivu😅😅

    • @rama_kajenza.
      @rama_kajenza. 7 месяцев назад

      Sasa wewe shida yako nini 😒😒

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 7 месяцев назад

      Duu

    • @_motivementor
      @_motivementor 7 месяцев назад +3

      wabongo bn ndy mana wengi we2 hatusogei miaka nenda rudi 2mekalia unafki na kujudge maisha ya wa2 kla cku 😂
      sas makacrko ya nn mkuu🖐🏻😂

    • @ChooseBetter27
      @ChooseBetter27 6 месяцев назад

      Umeeongea kwa uchungu sana 😂 jinyonge