UTACHEKA KINGEREZA CHA SHILOLE KWA MTOTO WA IRENE UWOYA,IREN UWOYA AVUNJA MBAVU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025

Комментарии • 24

  • @GatekaFatma
    @GatekaFatma Месяц назад +1

    Mashallaaah tabaraka llaah mmekaa kazi kutowa kasoro za mtt wa wa watu m Nashindwa kucoment juu ya walemavu Hawa ya Allah wafNyie wepesi kwaujumla

  • @MariaSalome-q9e
    @MariaSalome-q9e Месяц назад +12

    Yani binadamu sijui mkoje!uyu mtoto alivokuwa mdogo mlikuwa mnasema yuko ka shoga saivi kawa mkaka mnasema haielewek muacheni mtoto wa watu

    • @FestoChz
      @FestoChz 12 дней назад

      Mm naumia sana Kuskia wanasem hivyo,wazae wa kwao wawatabirie hivyo,wamuache Krish jaman,wanaon wivu wakwao hawafanani nae,watoto hawawez kufanan jaman,shukurun na mjikubal na watoto wenu🙏🙏

  • @AminaMwavita
    @AminaMwavita 28 дней назад

    Mashallah ❤

  • @HalimaSaid-d2s
    @HalimaSaid-d2s 11 дней назад

    Niipenda nyekundu ningumu sana na mimi natembelea hiyo

  • @MedzuwaMwarangi
    @MedzuwaMwarangi 13 дней назад

    Ukweli ni ayo manyele apana

  • @janethedwin8068
    @janethedwin8068 Месяц назад +2

    Mbona sijacheka nimeangalia to nikajua nitacheka😅😅😅😅

  • @Evelina-nj4tc
    @Evelina-nj4tc Месяц назад

    Mtoto Kawa lafu😢kama chokolaha.kama mzazi Nimeumia sana .

  • @HalimaSaid-d2s
    @HalimaSaid-d2s 11 дней назад

    Tunaomba na vijijini mtuletee tupo walemavu

  • @FlomenaLufyagila
    @FlomenaLufyagila Месяц назад

    Mmmmh unataka awaje zaa Wa kwako😊

  • @KisiaKisanga
    @KisiaKisanga Месяц назад +2

    Tuwekee wa kwako tuone kama anaeleweka,ombea kizazi chako kama una family

  • @Aisha-t2q
    @Aisha-t2q Месяц назад +2

    Uyo shelole kanenepa kama tembo.. Zaman alikua na kamwili kazur

  • @ShidaShida-n6e
    @ShidaShida-n6e Месяц назад +1

    😂😂😂😂

  • @MariamMaliki-h1s
    @MariamMaliki-h1s Месяц назад +3

    Halewekinn Sasa unataka aweje

    • @petrolconrad4250
      @petrolconrad4250 Месяц назад

      @@MariamMaliki-h1s achana nae, mshamba tu huyo

  • @SadaSaid-n3k
    @SadaSaid-n3k Месяц назад +5

    Ukisasa unaharibu watoto manywele sasa mmh km msukuleee

    • @Asha-s9u8p
      @Asha-s9u8p Месяц назад +1

      Tuwekee wako tumuone

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha Месяц назад +1

      Ukweli usemwe kwani angemnyoa ni vzr zaidi na heshima kwa mama ake 😢tatizo hizo nywele azijawai kumuonyesha muhusika kwenye tafsili nzuri mbn watt wa viongozi wa juu wengi wao watt zao wapo smati awanaga hzi mambo

  • @Saimonchristopher
    @Saimonchristopher Месяц назад +1

    Mmmmmmh huyo mtoto wa Irene uwoya mbona aeleweki kabisa

    • @petrolconrad4250
      @petrolconrad4250 Месяц назад +1

      Haeleweki kivipi? Watoto wa kishua hao...usije kudhani upande wa pili mwisho wa siku akatamani chako, kuwa mwangalifu na kauli

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 Месяц назад +10

      Msiwe mnasema hivo hayo maneno Kwa wazazi yanauma sana tuombee vizazi vyetu

    • @petrolconrad4250
      @petrolconrad4250 Месяц назад +1

      @@petermanala6138 true...kijana hajitambui. Kuweka bando la jero isiwe ishu ya kujifanya mwerevu

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 Месяц назад +7

      @@petrolconrad4250 hawajui wazaz tunaumiaje juu ya watoto ni msaada Mungu ndio unahitajika

    • @olivernyange2349
      @olivernyange2349 Месяц назад

      Muombee kama umeona tatizo