Mm naumia sana Kuskia wanasem hivyo,wazae wa kwao wawatabirie hivyo,wamuache Krish jaman,wanaon wivu wakwao hawafanani nae,watoto hawawez kufanan jaman,shukurun na mjikubal na watoto wenu🙏🙏
Ukweli usemwe kwani angemnyoa ni vzr zaidi na heshima kwa mama ake 😢tatizo hizo nywele azijawai kumuonyesha muhusika kwenye tafsili nzuri mbn watt wa viongozi wa juu wengi wao watt zao wapo smati awanaga hzi mambo
Mashallaaah tabaraka llaah mmekaa kazi kutowa kasoro za mtt wa wa watu m Nashindwa kucoment juu ya walemavu Hawa ya Allah wafNyie wepesi kwaujumla
Yani binadamu sijui mkoje!uyu mtoto alivokuwa mdogo mlikuwa mnasema yuko ka shoga saivi kawa mkaka mnasema haielewek muacheni mtoto wa watu
Mm naumia sana Kuskia wanasem hivyo,wazae wa kwao wawatabirie hivyo,wamuache Krish jaman,wanaon wivu wakwao hawafanani nae,watoto hawawez kufanan jaman,shukurun na mjikubal na watoto wenu🙏🙏
Mashallah ❤
Niipenda nyekundu ningumu sana na mimi natembelea hiyo
Ukweli ni ayo manyele apana
Mbona sijacheka nimeangalia to nikajua nitacheka😅😅😅😅
Mtoto Kawa lafu😢kama chokolaha.kama mzazi Nimeumia sana .
Tunaomba na vijijini mtuletee tupo walemavu
Mmmmh unataka awaje zaa Wa kwako😊
Tuwekee wa kwako tuone kama anaeleweka,ombea kizazi chako kama una family
Uyo shelole kanenepa kama tembo.. Zaman alikua na kamwili kazur
😂😂😂😂
Halewekinn Sasa unataka aweje
@@MariamMaliki-h1s achana nae, mshamba tu huyo
Ukisasa unaharibu watoto manywele sasa mmh km msukuleee
Tuwekee wako tumuone
Ukweli usemwe kwani angemnyoa ni vzr zaidi na heshima kwa mama ake 😢tatizo hizo nywele azijawai kumuonyesha muhusika kwenye tafsili nzuri mbn watt wa viongozi wa juu wengi wao watt zao wapo smati awanaga hzi mambo
Mmmmmmh huyo mtoto wa Irene uwoya mbona aeleweki kabisa
Haeleweki kivipi? Watoto wa kishua hao...usije kudhani upande wa pili mwisho wa siku akatamani chako, kuwa mwangalifu na kauli
Msiwe mnasema hivo hayo maneno Kwa wazazi yanauma sana tuombee vizazi vyetu
@@petermanala6138 true...kijana hajitambui. Kuweka bando la jero isiwe ishu ya kujifanya mwerevu
@@petrolconrad4250 hawajui wazaz tunaumiaje juu ya watoto ni msaada Mungu ndio unahitajika
Muombee kama umeona tatizo