UTAPENDA IRENE UWOYA ALIVYOMJIBU WEMA BAADA YA KUACHANA NA WHOZU/AMUAHIDI KUMSAIDIA KUPATA MTOTO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 36

  • @rehemajuma4915
    @rehemajuma4915 5 дней назад +4

    Huo ni Uwongooooooooooooooo

  • @RoseAlfred-i8b
    @RoseAlfred-i8b 5 дней назад +2

    Watu huwa hawajui kilimo kinamasrai sana hata Mimi mwakani Mungu anipe uzima nitaenda kulima Mungu anisaidie sana

  • @pudensianaosward
    @pudensianaosward 8 дней назад +10

    Asa dada mimi nakupenda saana na natamani nilime kama wew lakin mbonaa unasoma kama lisala au ulikuwa unaogopa utasahau namna ulivyoingia kulima samahan lakini

    • @JesuinaBabili
      @JesuinaBabili 2 дня назад

      Nimependa swali lako … hamna mkulima hapa … huyu kapachikwa ili kufanya kampeni ya ‘kilimo hewa’

    • @nimsimasamwel1273
      @nimsimasamwel1273 День назад +1

      Yaani😂🙌

  • @amerinajohn
    @amerinajohn 3 дня назад +1

    Mimi ndommiliki. wa Azam. badaye njooni mchukue hela

  • @HellenMendard
    @HellenMendard 5 дней назад +3

    Sasa ni hotuba au ni nini, una mambo wewe 😂huna ata bustani bwana

  • @iddamlay9590
    @iddamlay9590 5 дней назад +2

    Uongo wa kitotooo

  • @angelrichard899
    @angelrichard899 8 дней назад +4

    Kilimo cha kixaxa xio mpaka uwende xhamba jmn ixhu kilimo cha xaxa ni uwekezaji kama ilivo biaxhara tuu.tuelimike jmn tuache umbea DUUUH.mlio chukia nixamehe jmn lakini nimexema ukweli.....

  • @stellatemu2458
    @stellatemu2458 6 дней назад +1

    Ameandikiwa😂😂😂😂
    Cha kusema ili nanyi mvutiwe

  • @hopefully7090
    @hopefully7090 9 дней назад +6

    Irene mbona hatujawahi kumuona location shamba hata siku moja?

    • @carolynebuya6652
      @carolynebuya6652 8 дней назад +1

      Ukulima sio lazima ashike jembe jamani pesa ndio Kila kitu siku hizi

  • @margaretnyamwilahila292
    @margaretnyamwilahila292 9 дней назад +7

    Kilimo Irene??
    Umendikiwa maneno ya kutangaza kilimo. Matumbuzi yoote ya Dubai ni kilimo??? Mhhh!!

    • @fatumahossein754
      @fatumahossein754 8 дней назад +4

      😂😂😂😂 uongo uendane basi na ukweli.hela anapewa na bashe. Aende mbarari bila kupiga picha

    • @safiasuleiman-t9d
      @safiasuleiman-t9d 8 дней назад +2

      Unazarau kilimo kinalipa Lima maparachichi

    • @RayOmar-vk2nn
      @RayOmar-vk2nn 8 дней назад +2

      Campen hii anataka kugombea

    • @JohariBujiba-i3p
      @JohariBujiba-i3p 7 дней назад +3

      Kwa kweli hajawqhi post kuhusu kilumo hata kama ni siri yake asingeacha kupot mvuno. Mbay zaidi nasoma lisala. 2008 kweli? Saloon ya Alistotee limuachia nani????

    • @AlexChungu-t2j
      @AlexChungu-t2j 3 дня назад +2

      @@JohariBujiba-i3p Kilumo jamaani🏃

  • @NeemaAndrew-x6s
    @NeemaAndrew-x6s 4 дня назад

    Ongera Dada mkulima syo mpaka ushike jembe mwenyewe

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 6 дней назад

    Mmmmm h au acha tu

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m 2 дня назад

    Unasoma mmmmh hotuba

  • @stellatemu2458
    @stellatemu2458 6 дней назад +1

    Si kwel

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 8 дней назад +1

    Mbalari lazima utoboe Kilimo Cha mpunga ni Cha kisasa

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 5 дней назад

    😢

  • @LucyCornery
    @LucyCornery 7 дней назад +1

    TAPELI UYU DEMU

  • @maryjosephat2885
    @maryjosephat2885 8 дней назад +3

    Sasa mbona unasoma mamy😅

  • @JoicyMbaila
    @JoicyMbaila 7 дней назад

    Joycembaila

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 9 дней назад +2

    Muongo

  • @RayOmar-vk2nn
    @RayOmar-vk2nn 8 дней назад +3

    Sema unaanza campen Huna kilimo chochote

    • @carolynebuya6652
      @carolynebuya6652 8 дней назад +1

      Kilimo sio lazima wewe ulime watia vibarua na kazi inaendelea

    • @dublea4118
      @dublea4118 6 дней назад

      😂

  • @magrethsilumbu6990
    @magrethsilumbu6990 8 дней назад +1

    😂😂

  • @MariamKassim-v3p
    @MariamKassim-v3p 5 дней назад

    Sikweli sasa yanini yote hayo.