Asa dada mimi nakupenda saana na natamani nilime kama wew lakin mbonaa unasoma kama lisala au ulikuwa unaogopa utasahau namna ulivyoingia kulima samahan lakini
Kilimo cha kixaxa xio mpaka uwende xhamba jmn ixhu kilimo cha xaxa ni uwekezaji kama ilivo biaxhara tuu.tuelimike jmn tuache umbea DUUUH.mlio chukia nixamehe jmn lakini nimexema ukweli.....
Kwa kweli hajawqhi post kuhusu kilumo hata kama ni siri yake asingeacha kupot mvuno. Mbay zaidi nasoma lisala. 2008 kweli? Saloon ya Alistotee limuachia nani????
Huo ni Uwongooooooooooooooo
Watu huwa hawajui kilimo kinamasrai sana hata Mimi mwakani Mungu anipe uzima nitaenda kulima Mungu anisaidie sana
Asa dada mimi nakupenda saana na natamani nilime kama wew lakin mbonaa unasoma kama lisala au ulikuwa unaogopa utasahau namna ulivyoingia kulima samahan lakini
Nimependa swali lako … hamna mkulima hapa … huyu kapachikwa ili kufanya kampeni ya ‘kilimo hewa’
Yaani😂🙌
Mimi ndommiliki. wa Azam. badaye njooni mchukue hela
Sasa ni hotuba au ni nini, una mambo wewe 😂huna ata bustani bwana
Uongo wa kitotooo
Kilimo cha kixaxa xio mpaka uwende xhamba jmn ixhu kilimo cha xaxa ni uwekezaji kama ilivo biaxhara tuu.tuelimike jmn tuache umbea DUUUH.mlio chukia nixamehe jmn lakini nimexema ukweli.....
Kabisa but watu hawaelewi
Ameandikiwa😂😂😂😂
Cha kusema ili nanyi mvutiwe
Hakika
Irene mbona hatujawahi kumuona location shamba hata siku moja?
Ukulima sio lazima ashike jembe jamani pesa ndio Kila kitu siku hizi
Kilimo Irene??
Umendikiwa maneno ya kutangaza kilimo. Matumbuzi yoote ya Dubai ni kilimo??? Mhhh!!
😂😂😂😂 uongo uendane basi na ukweli.hela anapewa na bashe. Aende mbarari bila kupiga picha
Unazarau kilimo kinalipa Lima maparachichi
Campen hii anataka kugombea
Kwa kweli hajawqhi post kuhusu kilumo hata kama ni siri yake asingeacha kupot mvuno. Mbay zaidi nasoma lisala. 2008 kweli? Saloon ya Alistotee limuachia nani????
@@JohariBujiba-i3p Kilumo jamaani🏃
Ongera Dada mkulima syo mpaka ushike jembe mwenyewe
Mmmmm h au acha tu
Unasoma mmmmh hotuba
Si kwel
Mbalari lazima utoboe Kilimo Cha mpunga ni Cha kisasa
😢
TAPELI UYU DEMU
Sasa mbona unasoma mamy😅
Joycembaila
Muongo
Mkweli ni wewe
Sema unaanza campen Huna kilimo chochote
Kilimo sio lazima wewe ulime watia vibarua na kazi inaendelea
😂
😂😂
Sikweli sasa yanini yote hayo.