HII NDIO HOTELI YA NYOTA TANO WANAYOLALA WANAFUNZI WA UHASIBU ARUSHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 105

  • @uhaitanzania1620
    @uhaitanzania1620 3 года назад +6

    Hongera sana na hiyo ndo nzuri sana. kuna majengo mengi sana ya taasisi nyingi wanapata hasara kumbe wange weka makazi ya biashara. Sioni ubaya.
    majengo ya NSSF kibao huko nyuma yalikaa bila wapangaji.
    Nyota tano wao hii ni jukumu kulea watoto yaani jumuia chipukizi. Hii ndo going back to the community. Safi sana I real like it.
    Hoteli, nyingi saba zingechangamkia tenda hii hata kupangisha watu wengine.na kushusha bei zaidi.
    pili inawapa uzoefu wa kuhudumia watu wa aina mbalimbali. huu ni uzoefu mkubwa sana.

  • @mannabu9333
    @mannabu9333 3 года назад +4

    Sio mbaya ata ulaya uchumi umeshuka corona cmchzo noma kila sehem ni shida sasa ivi

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 3 года назад +5

    Angalieni wanafunzi wasije wakawa ndo viburudisho vya wageni hasa kwa wanachuo wa kike.

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 3 года назад

      hiyo lazima,naenda weekend pale

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 года назад

      Tena hicho chuo wanafunzi wengi wameasilika sana dadaangu anakaa hapo hapo nyuma ya hio hostel umalaya mtupu hapo

  • @bboyofficial6
    @bboyofficial6 6 месяцев назад

    Ya mrema hiyo

  • @abelnegonegoboy4222
    @abelnegonegoboy4222 2 года назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @robertmolila7545
    @robertmolila7545 3 года назад +4

    Sasa nmeelewa! Sio hotel nzima imekuwa hostel bali Ni sehem tu

  • @aishaasumany561
    @aishaasumany561 3 года назад

    Hapo hamufundishi kitu zaidi yakueneza ugonjwa. Wa ukimwi upuzi hamuachi umalaya wamisumbua. Kwendeni zenu

  • @africanchocolate4216
    @africanchocolate4216 3 года назад +1

    😳 Heeh! Mbona Wame vaa nguo nyeusi uta uta fikiri wapo kwenye nanihii vile? What’s going on 🤷🏽‍♂️

  • @upgo6112
    @upgo6112 3 года назад

    Wao sio wameishiwa wanaisaidia tu serikali.

  • @Kevjoseful
    @Kevjoseful 3 года назад +2

    Wezi hawa.... wapiga deal

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 3 года назад +2

    Nimeelewa maelezo

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 3 года назад +1

    Sema iliyokuwa ya hotel

  • @ramadhanimbulu6716
    @ramadhanimbulu6716 3 года назад +3

    Vipi kuhusu Serena Hotel?

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +1

    Jamani utalii duniani ni shida! Kumbukeni toka covid ianze hata hija kuu 2 wakristu na waisilamu zimefungwa. Hebu jiulize Roma na Mecca na hata Dubai lockdown imewaathiri vipi? Tuombe Mungu covid 19 iishe mapema.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 3 года назад

    5 tena

  • @benjamininyambaso5041
    @benjamininyambaso5041 3 года назад +3

    Kamaa umemwona menejaa kuwa lipshedo imewaka tujuajee😅😅😂

    • @CyimSky
      @CyimSky 3 года назад

      Hatimaye shule ya matajili ya julikani inapatikana uswisi | Instut Le Rosey
      ruclips.net/video/uybN-FTKrdw/видео.html

  • @jamesjulius3013
    @jamesjulius3013 3 года назад

    Aisee nlitarajia nione ndani

  • @vincentmokenye4465
    @vincentmokenye4465 3 года назад +1

    Nimeelewa kweli

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 3 года назад

    Shikamoo lipstick 😁😁😁

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 года назад

    R.I.P Mr Mrema, dunia tunapita na mafundisho makubwa mno

  • @natureworld295
    @natureworld295 3 года назад +3

    That hotel is far from a 5 star

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 3 года назад +4

    Chadema wanasema Hotel imefirisika

  • @dastantheobard9949
    @dastantheobard9949 3 года назад +1

    Mmmhhh

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 3 года назад

    Cha ajabu nini si wanalala hotel sema tu wao si watalii

  • @brownbryson9293
    @brownbryson9293 3 года назад +2

    Kevvy na sisi twende 😂 😂 tusepe njiro

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 года назад

      Nendeni mkapate ukimwi hio school umalaya mtupu hakuna jipya hapo napajua nimeishi mda mrefu sana

  • @jimmyisdory9933
    @jimmyisdory9933 3 года назад +1

    Unajua kuna watu walipanga room nje ya chuo na hawajui wanasaidiwaj sasa hv wanaambiwa ety wa assume kama iyo ela ya kodi imepotea tyu waend huk ngurudoto alf walipe ela ya hostel tena laki nne ety c ubinadamu

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 3 года назад

    Thank you so much

  • @allynyangassa6880
    @allynyangassa6880 3 года назад

    Nani anawaza Kama Mimi kuwa wanafunzi wa kike watakuwa viburudisho vya wageni. Na Hawana Bumu hao

  • @saidhamad4519
    @saidhamad4519 3 года назад +5

    Hawawez kusoma hao

  • @dtechcollege4662
    @dtechcollege4662 3 года назад

    My Lectures Mr Sedoweka (Artificial intelligence )

    • @nrwawanndeny7394
      @nrwawanndeny7394 3 года назад +1

      Hivi kama hata kuandika lecturer umeshindwa? Ulienda kufuata nini chuoni?

    • @CyimSky
      @CyimSky 3 года назад

      Hatimaye shule ya matajili ya julikani inapatikana uswisi | Instut Le Rosey
      ruclips.net/video/uybN-FTKrdw/видео.html

    • @rewaatesh4877
      @rewaatesh4877 3 года назад

      @@nrwawanndeny7394 Ni kweli lkn mengine yapotezee tu maana utapata shida sana.

  • @vivianoforo4760
    @vivianoforo4760 3 года назад

    Mmh

  • @johnpeter7832
    @johnpeter7832 3 года назад +1

    Nyota tano my foot

  • @ngaiwafamily6564
    @ngaiwafamily6564 3 года назад +1

    Sema ukweli wako

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 3 года назад +4

    Hapo mkuu wa chuo nimekuelewa.

    • @CyimSky
      @CyimSky 3 года назад

      Hatimaye shule ya matajili ya julikani inapatikana uswisi | Instut Le Rosey
      ruclips.net/video/uybN-FTKrdw/видео.html

  • @chrisjacob4057
    @chrisjacob4057 3 года назад +1

    Tutaisoma namba sana

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 3 года назад

      Utaisoma number kivipi?

  • @mariajoseph6240
    @mariajoseph6240 3 года назад +1

    🙀🙀🙀🙀👋👋👋👏👏👏👏

  • @abdallahahmedmmary225
    @abdallahahmedmmary225 3 года назад

    SIO VIBAYA IKIWA INAFANYA HIYO HALI TENA NINJEMA SANA KULIKO KUWEPO NI HOTELI INAPENDEZA NANI IBADA TOFAUT NA BAA NA DANGURO NIKATKA KUMUASI MOLA

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 3 года назад

    5 star hotel na mindoo ya wanafunzi daaah aibu sana hii sijaipend kbaisa

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      Itageuka Kama Kambi Ya Wakimbizi

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      Tungoje Makamba Ya Kuanikia Nguo Kila Sehemu.

    • @kiatu
      @kiatu 3 года назад

      Jengeni za kwenu, acheni madeal

    • @CyimSky
      @CyimSky 3 года назад

      Hatimaye shule ya matajili ya julikani inapatikana uswisi | Instut Le Rosey
      ruclips.net/video/uybN-FTKrdw/видео.html

  • @raymondkanyama6387
    @raymondkanyama6387 3 года назад

    Bas poa

  • @abelianraphili5150
    @abelianraphili5150 3 года назад

    Uchumi wa Kati

    • @reginaemanuel8994
      @reginaemanuel8994 3 года назад

      Umeona ee

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 3 года назад +1

      UK top shops zinafungwa![COVID-19] wabongo mna shida! jua hiyo hotel inategemea UTALII,ni sector ambayo imeathiriwa worldwide![COVID-19] Kwanza management wametumia akili to keep them running.

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 3 года назад

      Umehusika nini,,,waTz zero 🧠 kabisa,,,hivi nyinyi mnajua nchi kubwa zilivyo collapse kwa corona?

  • @clemenceleonard1089
    @clemenceleonard1089 3 года назад +4

    Nauza Kuku & Mayai Kienyeji Kwa Bei Ya Jumla ,
    Mayai Ya Kwa Bei Ya Jumla Trey 11, 500Tsh/=
    Kuku Maelewano Kutokana Na Mzigo Utavyoutathimini 0622 255439

    • @swissvany55
      @swissvany55 3 года назад

      Yan Trey n sh ngapi??

    • @clemenceleonard1089
      @clemenceleonard1089 3 года назад

      @@swissvany55 11500

    • @johnlorry9241
      @johnlorry9241 3 года назад

      Unapatikana wapi nkuungishe boss

    • @CyimSky
      @CyimSky 3 года назад

      Hatimaye shule ya matajili ya julikani inapatikana uswisi | Instut Le Rosey
      ruclips.net/video/uybN-FTKrdw/видео.html

    • @esterlwehela8992
      @esterlwehela8992 3 года назад

      unapatikn wap

  • @CyimSky
    @CyimSky 3 года назад

    Hatimaye shule ya matajili ya julikani inapatikana uswisi | Instut Le Rosey
    ruclips.net/video/uybN-FTKrdw/видео.html

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 3 года назад

    Kama zitto kavwa wanachochea ET serika serikali inahusikaje

  • @kbclassicbeat
    @kbclassicbeat 3 года назад +1

    😅

  • @festochimulimuli8229
    @festochimulimuli8229 3 года назад

    Kwanini GSM wataka Kuachana Na Yanga Tazama Apa
    ruclips.net/video/SydX47AxyRE/видео.html

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson4174 3 года назад +1

    Huyu mama hana Akili Zilizobakia ni Hotel wakati mnapagisha wanafunzi wanaongelea Hayo mabwawa alafu unataka mzungu aje kufanya nini hapo Huo uchafu wenu yaani cccm

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 3 года назад

      Kwani wameambiwa wana swim? Zero brain

    • @hezrongaston4963
      @hezrongaston4963 3 года назад

      Taahira kweli wewe

    • @ramadhanishabani9264
      @ramadhanishabani9264 3 года назад

      wenye chuki wajinyonge, wapenda kula nyama kwisha, sasa tunagombea wote mafungu ya mchicha na matembele,

  • @gospelextramusic6734
    @gospelextramusic6734 3 года назад

    Semen tu ukweli. Huyu mmiliki wa hii hotel alikua mdhamin wa MZEE WA SPANA sasa hii ni moja ya taratibu za kubinafsisha mali za mkubwa na hii tutaisikia sana maana matajiri wote walio tia mkono kwenye kampeni za mzee wa spana watafirisiwa kwa kauli kama hizi hizi

    • @mkanamc8341
      @mkanamc8341 3 года назад +3

      kuna binadamu hawatokuja kuelewa kamwe hadi waolewe maana wamekalia Uchadema tu sio kusikiliza ufafanuzi

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 3 года назад +1

      @@mkanamc8341 wengi tu,wana gono UBONGONI AISEE

    • @wozanawewoz979
      @wozanawewoz979 3 года назад

      Mzee wa spana😃😃😃

    • @saraenock7600
      @saraenock7600 3 года назад +1

      @@errydeo8865 hahahahahahaaaa uwiii yaani wanaboa hao kweli wagonjwa

    • @johnlorry9241
      @johnlorry9241 3 года назад

      Yeah