Founder TZ - Niepushie (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Artist :Founder Tz
    Song : NIEPUSHIE
    Producer :Spadebeatz
    Director : Tolo Pro
    Realesed under NDP BRAND

Комментарии • 5 тыс.

  • @AROMAA_KING001
    @AROMAA_KING001 8 месяцев назад +42

    Sisi Kenya Huwa tunasapoti watanzania na Huwa hamtupii likes, nipeni likes 20 tukisonga 🔥💯☑️☑️☑️☑️☑️☑️

    • @willymoaziz254
      @willymoaziz254 8 месяцев назад +1

      Wakenya hatufeki upendo Yani tupo real

    • @AROMAA_KING001
      @AROMAA_KING001 8 месяцев назад +3

      @@willymoaziz254 sure💯

  • @Kotelvo8273
    @Kotelvo8273 8 месяцев назад +1314

    Wakwanza 🇺🇸 💯💯💯nipeni likes zangu 💯🙏🏿

    • @Chachkid
      @Chachkid 8 месяцев назад +21

      Chukua 😅

    • @Mrbabutale-t2t
      @Mrbabutale-t2t 8 месяцев назад +14

      Chukua🎉🎉🎉

    • @DorcasNamafu-dk2rn
      @DorcasNamafu-dk2rn 8 месяцев назад +12

      Mashallah dogo❤❤, keep going son

    • @kambiyusufu2776
      @kambiyusufu2776 8 месяцев назад +12

      Mdogoangu mungu akubaliki sana

    • @Chachkid
      @Chachkid 8 месяцев назад +15

      @@DorcasNamafu-dk2rn pitia na kwangu tafazali

  • @TharakaAgozzeMediaPhotographer
    @TharakaAgozzeMediaPhotographer 8 месяцев назад +64

    Kama unamkubali kijana wenu likes hapa tufike 1k views tunataka kujua Kenya, Tanzania,Somali, Uganda, Sudan and Ethiopia ni wangapi wengi fans kwa Ndogo wetu

  • @rodgersosoro
    @rodgersosoro 7 месяцев назад +7

    Watching from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪The Best song ever 🔥🔥
    Wapi likes za Kenya🔥🔥🔥

  • @GlorySanga-g1v
    @GlorySanga-g1v 8 месяцев назад +32

    D voice ana la kujifunza kama unaungan n mim gonga like

  • @ckhomes3341
    @ckhomes3341 8 месяцев назад +70

    If I had a record label I will record you ASAP❤ .... BIG TALENT Kenyans let's gather here🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @neddyboy-0677
    @neddyboy-0677 8 месяцев назад +10

    JAMANI PLZ PLZ PLZ 🙏🙏🙏NAOMBENI SAPORT ZENU JAMANI ATA MIMI NAIMBA KAKA ZANGU DADA ZANGU MAMA ZANGU BABA ZANGU NAOMBENI SAPORT ZENU JAMANI TUFIKIE MALENGO YETU 0:24

  • @MikeKing-qk5kf
    @MikeKing-qk5kf 7 месяцев назад +10

    Anaye mkubali dogo founder tz agonge like🎉🎉🎉🎉mpeni.maua yake

  • @DarlingtoneOwaka
    @DarlingtoneOwaka 8 месяцев назад +11

    Sisi kama wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tutazidi kusimama na watanzania wapi like s zangu watanzania

  • @Beatricewambui-qf1gs
    @Beatricewambui-qf1gs 8 месяцев назад +24

    🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 Kenyan well represented here

  • @Mrmasila9549
    @Mrmasila9549 8 месяцев назад +12

    Jamani aliye ludia hii video mala 32 naombeni like zangu 🙏🙏🙏❤🎉😊 naomba like kwa fujo Ngoma tam video Tam

  • @oltetiangaroya8489
    @oltetiangaroya8489 7 месяцев назад +5

    Bwana mdogo upo vzr
    Utafika mbali
    Fanya kama Wewe
    Usiwape wajanja wakutumie hiki kipaji ni chako mwenyewe

  • @KashindiIlundu
    @KashindiIlundu 8 месяцев назад +9

    Tunahohangalia mara kumi 10 tujuwane ❤️❤️❤️❤️kutoka hapa labda mda wa match ya Congo uheneye🇨🇩👌🥰❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @ZAGAKENYA
    @ZAGAKENYA 8 месяцев назад +5

    Hata wasafi wakikataa hii nyota kijana twampenda kenya,wapi likes za founder 😢 😢😢❤❤❤
    #ZagaKenya

  • @fiston-asifiwe
    @fiston-asifiwe 8 месяцев назад +12

    Uyu dogo ana kipaji kikubwa kweli 🔥🔥

  • @emanuelmsoffe7255
    @emanuelmsoffe7255 4 месяца назад +8

    Wanaoendelea kumkubali dogo wekeni like hapaaaaaa

  • @nature_world1
    @nature_world1 8 месяцев назад +8

    Tumeamka watu wa usa 🇺🇸 ngoja tuisukume adi 270k😅

  • @ramboiddrambo3056
    @ramboiddrambo3056 8 месяцев назад +11

    kama unamkubali founder tz gonga like bx nipate ata kumi tumsapoti dogo🙏🙏

  • @IssahMohamed-z4p
    @IssahMohamed-z4p 8 месяцев назад +10

    Hii nyimbo imenigusa aise tena nimelelewa na Single Mother kuna muda unataka ulaumu ila unashindwa mana hujui nani mwenye kosa
    Embu naombeni hata like 10 tu 😢😢

  • @mbihaclassic794
    @mbihaclassic794 7 месяцев назад +5

    Diamond platnum anaona mbal lakin hii zahabu imempitaaa 😢😢 aisee d voice ata robo afikii

  • @edwinstephano5345
    @edwinstephano5345 8 месяцев назад +15

    Walioplay hii nyimbo zaidi ya mala Moja naomba like zenu🔥🔥🔥

  • @tendaimachalo3713
    @tendaimachalo3713 8 месяцев назад +8

    D voice unasikia mwamba huyo???nyimbo 10 za D voice anazifuta kunyimbo moja tuuu,,,❤❤❤❤

  • @KINGSHALA
    @KINGSHALA 8 месяцев назад +14

    One love from kenya 🇰🇪🔥🔥🔥hii wimbo ni true story kwangu na kwako mafuns aki l love him 🇰🇪💥

    • @isha_king12pro
      @isha_king12pro 8 месяцев назад +1

      Hapo sasa unyama sana ❤❤❤
      By_Director_isha_king B
      mtoto wa mama kandu

  • @AmonFelix-w7c
    @AmonFelix-w7c 7 месяцев назад +5

    Foundertz foundertz foundertz nmekuita Mara tatu km kusoma tumesoma lkn tupo wap wewe simamia unachokiamini...❤❤❤

  • @ChimamyMamy
    @ChimamyMamy 8 месяцев назад +8

    Najipata nasikiliA uku chozi lanitoka Sina uwezo Wala Mimi sio marufu SI msanii sio muigizaji Wala sio mchekeshaji pia Sina uwezo wa kumsapoti uyu mtoto ila ningekua na uwezo mungu ningekua karibu nae adi nione amefanikiwa ndo niachane nae ila kaka nakuombea mungu ❤❤❤❤ utafanikiwa inshallah amini mungu yupo

  • @ISSACKRICHARD
    @ISSACKRICHARD 8 месяцев назад +6

    Nani kagunduwa dogo anavunja record kwa views in short time compare na big artist😂😂😂😂

  • @Blessing-v2u
    @Blessing-v2u 8 месяцев назад +5

    Imajin game ya Nigeria vs Cameroon inachezwa ya Afcon time umeachilia ngoma hii yako sa nakaa tu nikiicheza sifuatilii mpira tena😂💪 much love from messi kadenge 254.❤

  • @masterkey536
    @masterkey536 7 месяцев назад +4

    Uhakika 💯💯

  • @David_Guetta93
    @David_Guetta93 8 месяцев назад +6

    Is back Again musani wangu pendwa sana Asant kwa ujumbe wako muzuri hii wimbo hayiniishi hamu kila mda nabaki nawusikiliza😓😓😓🙌🙌🙌🙌🙌

  • @viralmovie149
    @viralmovie149 8 месяцев назад +11

    I was suggested here while listening to the song “Dupe - BULLETPROOF” 😮😮

  • @fredrickbodi6029
    @fredrickbodi6029 8 месяцев назад +8

    Huu wimbo aivyoiachia jana kwakweli ndo wimbo ambao leo nausikiliza huu ndo wimbo wangu namba moja kwa huu mwezi yaan toka mwaka umeanza ndo wimbo wangu namba moja

    • @elialigoha9468
      @elialigoha9468 8 месяцев назад

      Kweli kabisa tangu mwaka umeanza hakuna Ngoma Kali kama.hii

  • @JEANS-y4k
    @JEANS-y4k 6 месяцев назад +6

    Kama una mkubali Founder TZ tujuane kwa like ❤❤❤❤❤

  • @JanuaryYolamu
    @JanuaryYolamu 8 месяцев назад +5

    kama unaamini kuwa niepushie ningoma nzur kuliko ata mapozi au why gonga like tusepe na founder tz mpaka 2025😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @RizikiAdventine
      @RizikiAdventine 8 месяцев назад +1

      Iyo nikwel 😂😂😂🎉🎉

    • @JanuaryYolamu
      @JanuaryYolamu 8 месяцев назад

      @@RizikiAdventine bonge langoma dogo yuko bomba sana

  • @KarinyoBlandTZ
    @KarinyoBlandTZ 8 месяцев назад +9

    SIKU3 TRENDING NO1 anaebisha nani mondi na jay watashushwa kwa huu wimbo anaebisha nani??

  • @brightonvictorkimsehyeon7892
    @brightonvictorkimsehyeon7892 8 месяцев назад +7

    Aliotazama zaidi ya mara mbil kama mim gonga like 👍 🔥🔥🔥😍😍😍

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 2 месяца назад +4

    Mtoto huyu kipaji sana , mashairi yake yanachoma sana,anaimba vitu vya maana,anaburudisha,anaelimisha na anamuabudu Mungu ampishie na mabaya ya Dunia.
    Daah htr tupu

  • @dogoshemi3353
    @dogoshemi3353 8 месяцев назад +7

    Dg tutazidi kuku push adi ufike malengo 💪💪

  • @demotobutelo2674
    @demotobutelo2674 8 месяцев назад +9

    Hongera sana dogo kwa kazi mzuri ❤

  • @Kizzamusic
    @Kizzamusic 8 месяцев назад +7

    Umenibadilisha imani nilijua ulibahatisha ila sasa naamini unaweza
    Name ndio shabikiyako namba 1
    Kikubwa muombe mungu tu
    Tunao mkubali dogo tu LIKE hii community
    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @tomstevesofficial
    @tomstevesofficial 27 дней назад +3

    Usisahau kutoa ingine kama hili Mola Niepushie

  • @mikedon254
    @mikedon254 8 месяцев назад +7

    Kama unaaminia kipaji cha huyu ndogo gonga like❤🇰🇪🙏🇹🇿

  • @Kidabitangassa
    @Kidabitangassa 8 месяцев назад +8

    Team founder naomba like

  • @vaddijmattycitty799
    @vaddijmattycitty799 8 месяцев назад +7

    Big up brother kenya 🇰🇪 tunakupenda

  • @ZachariaMwita-bu7rw
    @ZachariaMwita-bu7rw 7 месяцев назад +4

    Big up sana dogo unaweza 💯🔥🔥🔥

  • @SOS_VILLA
    @SOS_VILLA 8 месяцев назад +6

    Kama unaaamini hii ngoma utaenda trending nipe like zangu🔥🔥

  • @DavidMbwana
    @DavidMbwana 8 месяцев назад +7

    Mficheni hii nyimbo rayvanny 😂😂😂itapigwa remix yalazima😅😅😅😅#kenya 🇰🇪

  • @dirakidaramadhani369
    @dirakidaramadhani369 8 месяцев назад +8

    Tunaomkubali founder tz nipeni like wanangu

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 7 месяцев назад +4

    Umeomba sana dogo kaza 🔥🙌🇶🇦

  • @YudasEmmanuel
    @YudasEmmanuel 8 месяцев назад +8

    Dogo una vitu vingi sana kichwani mwako, ngoma zako ni fundisho sana kwa jamii, mungu akubariki sana

  • @EmmanuelMukumbwa-xh7vk
    @EmmanuelMukumbwa-xh7vk 8 месяцев назад +5

    Jamani mpeni Maua founder huku ni lusaka Zambia

  • @MwanahamisMilagiro
    @MwanahamisMilagiro 7 месяцев назад +5

    Badae mdgo anakuwa rich mtasema freemason

  • @maswaladigitalplatform.7613
    @maswaladigitalplatform.7613 8 месяцев назад +4

    Safi sana dogo,, umewapita hadi hao wanao tuenyesha maisha yao ya chumbani,, nyimbo yako haijaisha kama movie za kibongo

  • @Vercushonore
    @Vercushonore 8 месяцев назад +4

    Wakwanza leo guys kama unamkubali❤❤

  • @sottithomas9443
    @sottithomas9443 8 месяцев назад +7

    Tunaomkubari bwana mdogo twenzeetu pamoja

  • @davidmutindaofficial952
    @davidmutindaofficial952 7 месяцев назад +4

    Dah dogo mshairi gwiji wewe 🔥🔥zidi kuzidi twakuombea mema na makuu na mola atuepushie sote🙏

  • @juliusmwanza1815
    @juliusmwanza1815 8 месяцев назад +5

    Yani dogo fikra zake za kiutu uzima..Mungu akuzidishie kipaji ufike mbali🇰🇪🇰🇪

  • @gloriahlvlyn3423
    @gloriahlvlyn3423 8 месяцев назад +5

    🇰🇪🇰🇪uyu mtoto anaweza jameni much love 💞💞💞

  • @AmidoKasome
    @AmidoKasome 8 месяцев назад +4

    Wa congo 🇨🇩 angaliyeni mtoto wenyu ❤❤🎉

  • @KhadijaMussa-m2i
    @KhadijaMussa-m2i 7 месяцев назад +3

    Dogo sina la kusema unajua adi unakela kaza mungu atabless

  • @AlexAden-gp5zc
    @AlexAden-gp5zc 8 месяцев назад +7

    Dogo anakipaji kikubwa sana

  • @sitybby0069
    @sitybby0069 8 месяцев назад +6

    Uko poa san kutoka jana nimesikiliza kama mara 30 😂😂 usicheleweshe tena bwana 😊😊❤❤❤❤

  • @michaeljm-dz7nh
    @michaeljm-dz7nh 8 месяцев назад +6

    Founder ni🔥🔥🔥

  • @KassimOmary-ul7vz
    @KassimOmary-ul7vz 4 месяца назад +7

    Dogo unajua kuandika nakuimba ii ngoma imegusa moyo wangu Allah akufanyie wepesi utafika mbali

  • @adamjonasi8078
    @adamjonasi8078 8 месяцев назад +5

    Itoshe kusema dogo anajua sanaaa 🙌🙌

  • @DoctorEvarist
    @DoctorEvarist 8 месяцев назад +4

    Acha tujipoze na hii mdogo wangu ❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏

  • @UpendoTonny
    @UpendoTonny 8 месяцев назад +6

    HUYU DOGO NI NGUMU KUSAIDIWA NI NGUMU SANA ANAKIPAJI KIKUBWA SANA WATU WANAOGOPA

  • @Kaguru254original
    @Kaguru254original 7 месяцев назад +4

    ❤❤mrcliff kaguru254 comedian hapa kenya nimekubali kazi safi

  • @gideonpaulo2238
    @gideonpaulo2238 8 месяцев назад +11

    Jaman walio ludia ngoma zaidi ya malambili kama mm gongo likes hata kumi tu tujuwane❤❤❤❤

  • @sitetvtz
    @sitetvtz 8 месяцев назад +4

    Mashairi Makali, Melody Kali Video Kali na Story Creator(Director) ndio Kaua Kabisaa. Hongera Saana.
    Inaonekana Una watu Sahihi sana wanaojua Kazi zao licha ya Kwamba nao hawajatoka kama wewe Lakini Serious Director wako kama ndio yule wa Nitatokaje basi Apewe Maua yake Anajua anajua anajua mnooooooo na Kama sio yeye basi Pongezi zije kwako Unajua saana kuchagua Directors wa kazi zako

    • @ImmanuelSeuta-zi2gh
      @ImmanuelSeuta-zi2gh 8 месяцев назад

      Ndio yeye sema jamaa kaenda usa so sijui ataludi anaitwa tolo

  • @NurulainzaharaIssa
    @NurulainzaharaIssa 8 месяцев назад +5

    Nakupenda bure mdogo wangu pia mungu akufanyiye wepesi utimize ndoto zako amen🙏🙏

  • @MariamSanga-d7n
    @MariamSanga-d7n 7 месяцев назад +4

    ❤❤umetisha dogoo💪💪

  • @Martinez37
    @Martinez37 8 месяцев назад +6

    Mbele pazuri😊😊😊✌😚🙏🙏

  • @Yushimelody
    @Yushimelody 7 месяцев назад +8

    Dogo anakimbiza trending ata bila kiki wapi maua yake founder tz❤❤

  • @jayBabakaila9883
    @jayBabakaila9883 8 месяцев назад +6

    Pambana sana mtoto wa nyarugusu camp jmn tumu support kwanguvu ,tumuunge mkono

  • @Thalia.priyanka
    @Thalia.priyanka 7 месяцев назад +4

    Wakwanza from USA 🇺🇸 ♥️ ❤️ 💕 wapi likes zangu

  • @SifunaAustineSifuna
    @SifunaAustineSifuna 8 месяцев назад +4

    Waa kijana wakushitua tz ni huyu ❤❤bambana dogo Kenya twakupenda

  • @MINISTER_J_MODEST
    @MINISTER_J_MODEST 8 месяцев назад +7

    Nipeni mauwa yangu pita na like hapa

  • @Mukomariboy
    @Mukomariboy 8 месяцев назад +4

    Kama unaamini hii ndio next superstar talent Ya bongo fleva nipe likes

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 7 месяцев назад +4

    Utafika mbali sana mdogo wangu Inshallah ❤

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk 8 месяцев назад +6

    Ambao tume rudia zaidi ya mala 3 kusikiliza huu wimbo plz tujuane 🙏😪

  • @whizzyboy3337
    @whizzyboy3337 8 месяцев назад +6

    Wanao sema uyu noma kulko dvoice

  • @jacintahsulubu5602
    @jacintahsulubu5602 8 месяцев назад +6

    Wow ilove u saana from kenya boo utafika mbali❤❤❤❤

  • @allymaibisa1255
    @allymaibisa1255 7 месяцев назад +4

    Huyu dogo Anakitu

  • @saumuhamadi-wo7st
    @saumuhamadi-wo7st 8 месяцев назад +5

    Waeza sana bro naipata nkiwa ndani ya saudi iko swa ❤❤❤❤

  • @Vagaboy028
    @Vagaboy028 8 месяцев назад +4

    umtisha mgo wangu mauwa yako upewee🎉🎉🎉🎉

  • @samuelnyiro5744
    @samuelnyiro5744 7 месяцев назад +3

    Huyu dogo utunzi wake uko kiwango chengine

  • @RajabuPius-f5j
    @RajabuPius-f5j 8 месяцев назад +5

    Huyu si yupo chini ya WCB?? naomba Kwa anayejua Hilo Ili niseme kitu . Any way naona nyimbo imetoka af wakubwa zake hawajaipost ktk media. Mondi kashindwa hata kumsapot dogo Kwa Wimbo huu?! Sema dogo atafunika wengi ndo maana imetoka bila kusapotiwa na wakubwa.

  • @davidmuangi5869
    @davidmuangi5869 8 месяцев назад +6

    Huku Kenya twakukumbali,talenti safi

    • @KAY254
      @KAY254 8 месяцев назад

      254 twamkubali kwa sana

  • @AbdulkadirAthmani-gi7dr
    @AbdulkadirAthmani-gi7dr 8 месяцев назад +6

    Wapi D voice aone hii kazi ajifinze aache mbwembwe mitandaoni

  • @JuliusAloyce-e3j
    @JuliusAloyce-e3j 7 месяцев назад +3

    ❤❤❤❤❤❤ noma sana mungu akusimamie tunakuombea uzidi fanikiwa

  • @eliaasapuro-fq4lx
    @eliaasapuro-fq4lx 8 месяцев назад +4

    Jamani sijaachwaa nipeni like zangu

  • @TotoLaboss
    @TotoLaboss 8 месяцев назад +5

    Kama unamkubal Kama Anajua piga like moja

  • @zakayomuhindi3726
    @zakayomuhindi3726 8 месяцев назад +5

    Management ya founder Tz msije kua wanafiki mkamnyanyasa dogo .dogo anajituma sana

  • @Saidimwalami-g8q
    @Saidimwalami-g8q 6 месяцев назад +4

    Dog wacha nkupe mauwa yako kiufup upo vizur kaza buti utafika to

  • @AndreKilala-b5x
    @AndreKilala-b5x 8 месяцев назад +4

    Acha ni Seme kitu kimoja kati Ya Fahunda
    Na wasani wengine APA Cemp Dogo Ana mwandonko Abaho upo na utofauti mkubwa San
    Acha tu tu mpe mahuwa Yake kweli

  • @Asg-i9y
    @Asg-i9y 8 месяцев назад +4

    Wanao rudia Mala mbili tujuwane kwa kunipa like

  • @EricNkunzimana-w5k
    @EricNkunzimana-w5k 8 месяцев назад +5

    Ongela san. Bwana mdongo kwakazii umefany 'nip zangu Burundi 🇧🇮🇧🇮 mpeni Maua yak fundaz tz

  • @valeryatieno63
    @valeryatieno63 2 месяца назад +4

    Mungu muepushe na wasafi watazima nyota yake😢😢❤

  • @azihzah57
    @azihzah57 8 месяцев назад +5

    Nmefika huku from Kenya 🇰🇪 wapy likes zetu kwa dogo🔥🔥🔥

  • @zenamtembezi4921
    @zenamtembezi4921 8 месяцев назад +5

    Umetisha dogo❤