HOSPITALI YA KILUTHERI YA SELIAN, YAFANYA KONGAMANO LA MAGONJWA YASIYO AMBUKIZWA NA TIBA SHUFAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Katika kuazimisha miaka 70 ya HUDUMA, hospitali ya Kiluteri ya Selian, iliyoko Ngaramtoni nje kidogo ya jiji la Arusha, imefanya kongamano kubwa la kisayansi, kuhusu magonjwa yasiyo ambukizwa pamoja na tiba shufaa.
    Kongamano hili ni lakwanza kabisa kufanya na hospitali hii, na imeshirikisha watu mbalimbali kutoka kada tofauti tofauti za kidaktari, ili kujifunza zaidi magonjwa yasiyo ya kuambukizwa

Комментарии •