UNAKUMBUSHWA KUWA DIRISHA LA PILI LA UDAHILI WA SHAHADA YA KWANZA LITAFUNGWA SEPTEMBA 21, 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Ni Ijumaa ya pili ya mwezi Septemba, maisha yanaendelea............
    Yombo Manumbu anakukumbusha kuwa dirisha la pili la maombi ya udahili wa Shahada ya Kwanza katika vyuo vya elimu ya juu nchini kwa mwaka wa masomo 2024/2025, limefunguliwa kuanzia Septemba 3, 2024 na litafungwa Septemba 21, 2024.
    Msikilize!
    #UdahiliWaShahadaYaKwanza2024_2025

Комментарии •