"EWE MOYO NYAMAZA KULIA" HURAIRAH & ASNINA - BAITUL HALAL IDDI PILI 2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 35

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 5 месяцев назад +2

    Hawatakua radhi mayahud na manaswara mpaka mfate Mila zao. Swadact yaa rasulallah. Yaarab nakuomba niepushe na fitina hii pamoja na kizazi Changu. 🤲🤲🤲🤲

  • @Tseaama
    @Tseaama 5 дней назад

    Asanteni sana

  • @ZeinabSwabir
    @ZeinabSwabir Год назад +1

    Mashalla mdada wa mtandio wa green ameimba vizuri kuliko mwenyewe mashallah

  • @yajamyjr6635
    @yajamyjr6635 10 месяцев назад +2

    Wallah nmeiskiliza hii mpk nikasisimka🥺🤌❤️ ,,, sasa naipataje Audio full jamaaaniii anaejua anisaidie maaana nkienda kuitafta audio full siipati napata vipande vipande tuuuu😢

  • @godfreysangu8954
    @godfreysangu8954 Год назад +1

    Siku moja takua muislam kwa mara ya kwanza Nilifika kwenye uzinduzi wa msikiti wa MASJID TAQWA - MTAKANINI WILAYA YA NAMTUMBO Nilipenda Sana Uimbaji wao

  • @iddihamisiharuna8261
    @iddihamisiharuna8261 Год назад +9

    Subhaanallah! Dunia imeisha MUZIKI kwenye dini???? Mchanganyiko wa kuimba na kucheza wanaume na wanawake ndani ya dini??? Dunia kwisha!!!!! Allah tuepushe na hili janga

    • @MagangaMaganga-kj5iq
      @MagangaMaganga-kj5iq Год назад +2

      Usilo na elimu nalo nyamazaa baki kutizama tuuu

    • @iddihamisiharuna8261
      @iddihamisiharuna8261 Год назад +3

      @@MagangaMaganga-kj5iq stop perpetuating ignorance. Uislamu umeharamisha muziki, ala za miziki, kuimba miziki, na mchanganyiko wa wanaume na wanawake kama ilivyo hapo. Sasa wataka uachwe ukatumbukie motoni, ukajute siku ambayo hutaweza kurudi duniani tena???

    • @eng.saalim8646
      @eng.saalim8646 Год назад +1

      @@MagangaMaganga-kj5iq elimu gani wacha upumbavu ww. Elimu gani hapo uhuni tuu kutaka kuchafua dini

    • @mohammedally696
      @mohammedally696 Год назад

      Vp maulidi matwari ndani ya msikiti

    • @mohammedally696
      @mohammedally696 Год назад

      Dini limeruhusu hivyo

  • @noblemangoodluck-ni3zk
    @noblemangoodluck-ni3zk Год назад +4

    hawa sio waimbaji wa qaswida bali wasainiwe basata wamevaa taswira ya uislamu wanadharirisha uislamu

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 9 месяцев назад

      Nikweli kabisa vijana kosoma dini hatutaki shetani ametushika

  • @kilindizanzibar5021
    @kilindizanzibar5021 Год назад

    Taarabu nzuri Sana

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Год назад +1

    Dunia imeisha dalili za kiama Mtume Muhammad s a w kabla ya kuja Kwa Masih Dajali Watakuja majeshi wake sasa tunaona yarabi tunusuru na katima njema na kizazi jema tufishe hali ya kuwa waislamu, watu weme wavaa mavazi ya makafir totally

  • @adamsilumbe8356
    @adamsilumbe8356 Год назад +2

    Maashalah sauti nzuri sana

  • @yussufumohd8803
    @yussufumohd8803 Год назад

    Maashala sauti nzur San 😂😂😂😂

  • @rahimasaid6721
    @rahimasaid6721 Год назад

    Dini poa waislamu musiba Allah atuhidi

  • @YasiniSwai-nq1en
    @YasiniSwai-nq1en Год назад

    Hii haipo kwenye uwislam

  • @user-ky9ml8tu3l
    @user-ky9ml8tu3l 5 месяцев назад

    Yaan mwa 4 umefunika hd waimbaj umejua kusisimua yaan nataman ningekuepo nikpokee mie iyo MIC ingekua hatar

  • @Rocky-mn6wm
    @Rocky-mn6wm Год назад +4

    Hii kaswida naitamani sana ila ninashort clip tuuu jamani. Huraira tupe yote

  • @athumanimwinyimadi8762
    @athumanimwinyimadi8762 Год назад

    Taarabu hizi

  • @JahiyahIdrissa
    @JahiyahIdrissa 4 месяца назад

    Daaa? Mjomba njaaa itakuwa mjomba mpaka haya inayarusha

  • @malikihemfaume3906
    @malikihemfaume3906 Год назад +2

    😢😢😢😢

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 Год назад +5

    Muziki ni haram

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 Год назад

    Soon wataingia kwenye tuzo za wasanii. Wachafunz wadini masufi

  • @stoperclassick6996
    @stoperclassick6996 Год назад

    no casida ni tarabu hizi tena haramu waislamu acheni kusaport Moto unatuhusu Kwa Hali hiii

  • @user-jz8kc4mq2p
    @user-jz8kc4mq2p 9 месяцев назад

    Ahhh nyinyi vikanzu ndo mnakuja na mambo mapya mana kila ktu nyie kwenu haramu ah acheni bwanaa