Hawatakua radhi mayahud na manaswara mpaka mfate Mila zao. Swadact yaa rasulallah. Yaarab nakuomba niepushe na fitina hii pamoja na kizazi Changu. 🤲🤲🤲🤲
Siku moja takua muislam kwa mara ya kwanza Nilifika kwenye uzinduzi wa msikiti wa MASJID TAQWA - MTAKANINI WILAYA YA NAMTUMBO Nilipenda Sana Uimbaji wao
Subhaanallah! Dunia imeisha MUZIKI kwenye dini???? Mchanganyiko wa kuimba na kucheza wanaume na wanawake ndani ya dini??? Dunia kwisha!!!!! Allah tuepushe na hili janga
@@MagangaMaganga-kj5iq stop perpetuating ignorance. Uislamu umeharamisha muziki, ala za miziki, kuimba miziki, na mchanganyiko wa wanaume na wanawake kama ilivyo hapo. Sasa wataka uachwe ukatumbukie motoni, ukajute siku ambayo hutaweza kurudi duniani tena???
Dunia imeisha dalili za kiama Mtume Muhammad s a w kabla ya kuja Kwa Masih Dajali Watakuja majeshi wake sasa tunaona yarabi tunusuru na katima njema na kizazi jema tufishe hali ya kuwa waislamu, watu weme wavaa mavazi ya makafir totally
Hawatakua radhi mayahud na manaswara mpaka mfate Mila zao. Swadact yaa rasulallah. Yaarab nakuomba niepushe na fitina hii pamoja na kizazi Changu. 🤲🤲🤲🤲
Asanteni sana
Mashalla mdada wa mtandio wa green ameimba vizuri kuliko mwenyewe mashallah
Wallah nmeiskiliza hii mpk nikasisimka🥺🤌❤️ ,,, sasa naipataje Audio full jamaaaniii anaejua anisaidie maaana nkienda kuitafta audio full siipati napata vipande vipande tuuuu😢
Siku moja takua muislam kwa mara ya kwanza Nilifika kwenye uzinduzi wa msikiti wa MASJID TAQWA - MTAKANINI WILAYA YA NAMTUMBO Nilipenda Sana Uimbaji wao
Subhaanallah! Dunia imeisha MUZIKI kwenye dini???? Mchanganyiko wa kuimba na kucheza wanaume na wanawake ndani ya dini??? Dunia kwisha!!!!! Allah tuepushe na hili janga
Usilo na elimu nalo nyamazaa baki kutizama tuuu
@@MagangaMaganga-kj5iq stop perpetuating ignorance. Uislamu umeharamisha muziki, ala za miziki, kuimba miziki, na mchanganyiko wa wanaume na wanawake kama ilivyo hapo. Sasa wataka uachwe ukatumbukie motoni, ukajute siku ambayo hutaweza kurudi duniani tena???
@@MagangaMaganga-kj5iq elimu gani wacha upumbavu ww. Elimu gani hapo uhuni tuu kutaka kuchafua dini
Vp maulidi matwari ndani ya msikiti
Dini limeruhusu hivyo
hawa sio waimbaji wa qaswida bali wasainiwe basata wamevaa taswira ya uislamu wanadharirisha uislamu
Nikweli kabisa vijana kosoma dini hatutaki shetani ametushika
Taarabu nzuri Sana
Dunia imeisha dalili za kiama Mtume Muhammad s a w kabla ya kuja Kwa Masih Dajali Watakuja majeshi wake sasa tunaona yarabi tunusuru na katima njema na kizazi jema tufishe hali ya kuwa waislamu, watu weme wavaa mavazi ya makafir totally
Maashalah sauti nzuri sana
Maashala sauti nzur San 😂😂😂😂
Dini poa waislamu musiba Allah atuhidi
Hii haipo kwenye uwislam
Yaan mwa 4 umefunika hd waimbaj umejua kusisimua yaan nataman ningekuepo nikpokee mie iyo MIC ingekua hatar
Hii kaswida naitamani sana ila ninashort clip tuuu jamani. Huraira tupe yote
Taarabu hizi
Daaa? Mjomba njaaa itakuwa mjomba mpaka haya inayarusha
😢😢😢😢
Muziki ni haram
Alikwambia kuimba Haram ni nani
mziki unaujua babu wewe
... Endeni msome. Dini wachen ushabiki
@@uledysultany6388nenden msome dini wachen ushabiki
Soon wataingia kwenye tuzo za wasanii. Wachafunz wadini masufi
no casida ni tarabu hizi tena haramu waislamu acheni kusaport Moto unatuhusu Kwa Hali hiii
Ahhh nyinyi vikanzu ndo mnakuja na mambo mapya mana kila ktu nyie kwenu haramu ah acheni bwanaa
Endeni msome dini wachen ushabiki