HAWA GILKA AKIIMBA KASWIDA YA "USISIKITIKE MOLA ALILOQADIRI" - BAITUL HALAL 2023
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Hafla ya Baitul Halal inayoandaliwa na kundi la Kaswida Hurairah Classic inayosimamiwa na Said Mussa (Hurairah) hufanyika kila mwaka mara mbili au tatu. Hii imefanyika katika usiku wa Eid pili tarehe 23-04-2023 katika Hotel ya Serena Dar Es salaam.
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com...
RUclips: / @babdeomiladu
Mashaallah ❤️🥰❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Naam naaam
Mashallah Barkallahfik Love Frm Kenya❤❤❤
Mashallah kwa sisi tunaopenda maghanniii ndio tunajua ladha ya ivi vitu.
Mashallah kaswida inagusa nyoyoo kabisaaa mpaka machozi yananitokaa.
Asanteee kwa faraja yako.
Kabisa ndugu yangu. Mashallah Mmungu kaumba vipaji na vitumike vizuri. Naam moyo unfarijika. Amani kubwa imo ndani ya kusoma kuimba na kughani kunazipamba zaidi. Hata quraan tumehimizwa tuisome kwa sauti njema. Mna faida ndani yake ki afya pia.
Kabisa hakika hivi vitu vina raha yake
Mashallah! Mashallah!
Maneno mazuri.
Mashaallah
Mashallah
MashAllah MashAllah
allah allah allah umetisha sana dadaangu
WOW
Daaah huyu bint kanikumbusha mbali sanaaaa😢😢😢UMMU KULUTHUMU DAH SIKU ZINA ENDA
Hii sauti si yakawaida mmmmmhh❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
naam namimi nimemkubali sauti yake niyaumbaji wa kaswida kabisa siyo yakitrabu hawo wengine naendelee na tarabu sauti zao zinakataa kabisa zaitaji kupikwa kwamda mrefu kama dada sabaha na mzee yusufu bada wana mahadhi yakitarabu
Saut yakumtoa Nyoka pangoni
KWANI ALLAH AMERUHUSU KWENY QURAN TUIMBE KASID KISHA TUTIE BEAT 🤔🤔
Kwan wapi kwenye quran amekataza hayo unayoyasema ww?
استغفر الله حرام مطلق
Maneno KUNTU hasa.
Hebu tuacheni ushabiki. Hapa kuna uislamu kweli????
Ndio tena umejaaaa
Mashaallah
Mashaallah