BIASHARA HII INAWALIZA WENGI, USIIFANYE BILA KUTAZAMA VIDEO HII KUHUSU FOREX TRADING

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 янв 2023
  • Wewe ni msomaji wa vitabu na majarida, www.bizbongo.com, wanakuletea kurasa za kimtandao ZENYE burudani na ushindi,Ni kitabu cha simulizi ya kweli,iitwayo SiRI YA PADRE NA MKE WANGU,lakini ndani ya tovuti kuna UKURASA wenye mada Kama,boresha mahusiano yako pamoja na imarisha Biashara yako,ni Kwa Tsh 4000 tu kila mwezi,pia ukinunua,unaweza kushinda Tsh 10000 Hadi 50000 kila wiki.
    Weka Tsh 4000 mtandao wowote isipokua T pesa,ingia Google tembelea Tovuti zetu,yaani www.bizbongo.com au www.bizbongostories.com kisha Lipia halafu pakua pdf ubaki nayo au soma ndani ya Tovuti.
    Kama sio mpenzi wa simulizi,unaweza kumnunulia Rafiki yako anayependa kisha ukamtumia file la pdf lenye simulizi hii,kwani utaongeza nafasi yako ya ushindi.
    USIKOSE..

Комментарии • 167

  • @EnjoyLocation
    @EnjoyLocation Год назад +12

    Leo wakwanza nipewe likes ndugu

  • @saidabdallah3193
    @saidabdallah3193 Год назад +5

    20% methodology 80% psychology. Ukijiweza mwenyewe umeiweza forex

  • @hamisimashaka4899
    @hamisimashaka4899 Год назад +1

    High intelligent man, Justin Shed 👨🏻‍🎓👨🏻‍🎓👨🏻‍🎓👨🏻‍🎓👨🏻‍🎓👨🏻‍🎓

  • @esterwakidunda6248
    @esterwakidunda6248 Год назад +2

    Asante kwa kunijibu hii video niliomba siku nyigi . Asante

  • @salummihengo896
    @salummihengo896 Год назад +10

    Tafuten maarifa vijana FOREX sio ngumu

  • @ZuwenaOmar-xk6gq
    @ZuwenaOmar-xk6gq Год назад

    👏👏Tuelezee kenny west mi namsikiagatu kwa uchache sijapata habri kamili kuhusu huy mtu

  • @S.A_thebeatmaker877
    @S.A_thebeatmaker877 Год назад

    Asante sana kaka Kwa video

  • @consistencytradingforex
    @consistencytradingforex Год назад

    simple and clean data

  • @abdulwahidsuleiman
    @abdulwahidsuleiman Год назад +7

    100% forex like university course u can take 2 or 3 year with out to profitable but when u come profitable u can recover all your money on 3 years ambazo umepoteza ktk miezi miwli au 3 t

  • @paulojoseph2876
    @paulojoseph2876 Год назад +8

    Hii forex hata mtu anishawishi vipi siachi kufanya japokua miaka mitatu mbele nilipoteza pesa nyingi sababu ya kutaka faida ya haraka ila sasa hivi hii ni kazi yangu ya ziada

  • @ibrahimmatiko7116
    @ibrahimmatiko7116 Год назад +2

    Umeupiga mwingi sana kaka justin, people always call this ting a game 😂, bora umewajuza , itaskia " na we unacheza forex"😂😂, ila hii itawaelewesha.

  • @FrancoWise-lb5pi
    @FrancoWise-lb5pi Год назад +4

    Video nzuri, mimi ni mgeni katika ulimwengu wa uwekezaji, nimesikia mengi kuhusu fedha za siri, soko la hisa na aina nyingine za uwekezaji na ninashukuru ikiwa mtu anaweza kuniongoza kuanza kuwekeza ili kuongeza kipato changu.

  • @RensMusic01

    Respect bro...

  • @aronindibalema4964
    @aronindibalema4964 Год назад +1

    Sasa twende kazi

  • @estershayo8432
    @estershayo8432 Год назад +1

    Hii ni introduction nzur sana kwa forex bigginers... Inaelekea hata Justin ni trader pia....

  • @mozhuumulee2737
    @mozhuumulee2737 Год назад

    🔥🔥

  • @HAKHASH312

    Unapoamua kufanya forex usimwambie mtu yoyote yule wa karibu yako komaa mwenyewe ila usisahau kutafuta mentor

  • @ANTIATHEMISTOCLES
    @ANTIATHEMISTOCLES Год назад

    Jaman naomba msaada kwa anaeweza Mimi nataman sana kujuaa

  • @kelvintenga1217
    @kelvintenga1217 Год назад +1

    Aseee sijawahi kukoment humu lakini wacha nikupe big up Mr just shedi umelezea kama vile ni master.yn coz forex is my life ninajua ninacho kisema hongera xn kk umetisha

  • @Zanzibar.11
    @Zanzibar.11 Год назад

    Tupo pamoja