BIASHARA HII INAWALIZA WENGI, USIIFANYE BILA KUTAZAMA VIDEO HII KUHUSU FOREX TRADING
HTML-код
- Опубликовано: 27 янв 2023
- Wewe ni msomaji wa vitabu na majarida, www.bizbongo.com, wanakuletea kurasa za kimtandao ZENYE burudani na ushindi,Ni kitabu cha simulizi ya kweli,iitwayo SiRI YA PADRE NA MKE WANGU,lakini ndani ya tovuti kuna UKURASA wenye mada Kama,boresha mahusiano yako pamoja na imarisha Biashara yako,ni Kwa Tsh 4000 tu kila mwezi,pia ukinunua,unaweza kushinda Tsh 10000 Hadi 50000 kila wiki.
Weka Tsh 4000 mtandao wowote isipokua T pesa,ingia Google tembelea Tovuti zetu,yaani www.bizbongo.com au www.bizbongostories.com kisha Lipia halafu pakua pdf ubaki nayo au soma ndani ya Tovuti.
Kama sio mpenzi wa simulizi,unaweza kumnunulia Rafiki yako anayependa kisha ukamtumia file la pdf lenye simulizi hii,kwani utaongeza nafasi yako ya ushindi.
USIKOSE..
Leo wakwanza nipewe likes ndugu
20% methodology 80% psychology. Ukijiweza mwenyewe umeiweza forex
High intelligent man, Justin Shed 👨🏻🎓👨🏻🎓👨🏻🎓👨🏻🎓👨🏻🎓👨🏻🎓
Asante kwa kunijibu hii video niliomba siku nyigi . Asante
Tafuten maarifa vijana FOREX sio ngumu
👏👏Tuelezee kenny west mi namsikiagatu kwa uchache sijapata habri kamili kuhusu huy mtu
Asante sana kaka Kwa video
simple and clean data
100% forex like university course u can take 2 or 3 year with out to profitable but when u come profitable u can recover all your money on 3 years ambazo umepoteza ktk miezi miwli au 3 t
Hii forex hata mtu anishawishi vipi siachi kufanya japokua miaka mitatu mbele nilipoteza pesa nyingi sababu ya kutaka faida ya haraka ila sasa hivi hii ni kazi yangu ya ziada
Umeupiga mwingi sana kaka justin, people always call this ting a game 😂, bora umewajuza , itaskia " na we unacheza forex"😂😂, ila hii itawaelewesha.
Video nzuri, mimi ni mgeni katika ulimwengu wa uwekezaji, nimesikia mengi kuhusu fedha za siri, soko la hisa na aina nyingine za uwekezaji na ninashukuru ikiwa mtu anaweza kuniongoza kuanza kuwekeza ili kuongeza kipato changu.
Respect bro...
Sasa twende kazi
Hii ni introduction nzur sana kwa forex bigginers... Inaelekea hata Justin ni trader pia....
🔥🔥
Unapoamua kufanya forex usimwambie mtu yoyote yule wa karibu yako komaa mwenyewe ila usisahau kutafuta mentor
Jaman naomba msaada kwa anaeweza Mimi nataman sana kujuaa
Aseee sijawahi kukoment humu lakini wacha nikupe big up Mr just shedi umelezea kama vile ni master.yn coz forex is my life ninajua ninacho kisema hongera xn kk umetisha
Tupo pamoja