Huyu kaka kajitahidi kujieleza sana.....mtu ukiwa kwenye majonzi unaweza kuongea utumbo tu lakin kajitahidi kujieleza jaman....kwa kifupi kamaanisha dida alikua mtu mzuri na familia yake wamekaa na huyu kaka vizur tena kwa uaminifu
Hyu kijana kaongea ila katoa ujumbe mkubwa sana katoa mawaidhaa tosha kwa mwenye akili maashaAlah chamsingii ndg mtangzaj na we mwandishi tujiandae nakifo Kila mtu atakufaa
😅😅😅😅😅😅jamaniiiii,huyu house boy wa Dida ni comedian, uwiiiiiii.Nimecheka siku ya hudhuni jamani.Mtoto wa boss alikuwa na ukaribu naye zaidi ya mpenzi?????😮😮😮😮😮 mara siwezi kusema gonjwa kwa kuwa nitakatwa mshahara.Mara,nimejengewa nyumba Sinza. Mmmmmh! Huyu si house boy wa Dida bhana.Siyoooooooo!
Hamn Wala ajachangsnyikiwa km ukiwa na mifugo na ukiwa sik hiyo uiyelew Hawa wadudu wanaona sna msimuon km ana akili Wal anakosea wanyam Hawa wanaona kulik sisi wanadam wamajaliwa kuon sbabu awawez kuzungumza ndo man kwahy at yy njiwa wake alivowaon hiv lazim ushangae
Umezingua kk unajiereza kama una meno ndonn watu wamefiwa unasema unaulafik pia ndani yake unamapenz ujiopi poleni wanafamilia ila uyojamaa kazngua pia aseme ugonjwa Gani marehe aliokua anaumwa R I.P Dida
Eti kajengewa nyumba sinza boss ni zaidi ya mpenzi nakesha naye Hadi ucku wa manane 😮😮😮duuhh hiii pasua kichwa Ugonjwa ni Mkubwa sana siwezi kusema wewe ujifunze kunyamaza mambo mengine😅😅
Ila waandishi bwana😂 yani mnaona kabisa mtu hayupo sawa bado mnamuuliza maswali,haya sasa mmeambiwa na nyie mtakufa😂😂😂😂😂 aki nimecheka sana mungu nisamehe jmn
😂😂😂😂😂😂😂Mtangazi kichwa box Na anae ulizwa maswali ubongo tope 😅😅😅😅 Wapuuzi kweli Sasa mtu alikuwa ICU Sasa hiyo cm aliongea saaa ngapi kama Leo narudi na mutafurahi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
sasa huyu kijana kaongea kv kibaya hapo mkimshambulia..achen mambo ya ajabu
Thanks
Hoses mfanya kazi huyo @@PatrickDavid-l3p
Mmmmh hapa kuna walakini hapo
Yaan hawa waandishi wa habari wacha tuu
@@femidayahaya9293 hajaongea kibaya chochote kwa kweli ila mzingatie vizuri ana lazimisha ucheke wakati upo kwenye majonzi
Poren Wana familia wote mungu alitoa mungu ametwaa jina lake lihimidiwe amina
Huyu ni mjinga sana sasa kunahaja gan ya kusema ni UGONJWA MKUBWA TU NIKIUTAJA NAWEZA KATWA MSHAHARA😢😢Jamaniii
Umenichekesha 😂😂
@@RehemaCharles-bc6fn poleeee😁
😅😅😅😅😅😅
af kamtaja na mgonjwa ambaye amewai kufa na huwo ugonjwa tena
ni maarufu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Daaaaaaaaah ila Jamaa jamanii kajua kunichekesha!!!
😂😂😂😂
Duuh pole kaka na mtoto wa marehemu Dida Mungu awape nguvu kwa kipindi hiki kigumu😭😭
Nilichogundua kiswahili nikigumu kujieleza ila sio mpnzi wake
Ni kweli
Mmmh 😢 sasa kila mpuuzi anatafuta kujulikana kupitia kifo cha mtu ww ni mshenzi😭😭😭😭
Ndio watu wa media pumbqv
Mungu akusaidie
😂😂😂😂 duuuh badala nihuzunike nimecheka sana heeeeh kama mwehuuu hajielewi huyuuu
Ila jamn msiba unaeza kukta unaongea kitu ambacho huktarajia eti nicje nikakatwa mshahara
😂😂😂😂😂@@SaudaMshana-se9vz
😂😂😂😂kwenye msiba atujamuona walioojiwa wote tumewaona yeye kwann aojiwe ndan@@SaudaMshana-se9vz
Kama hazimtoshi vile
Kachanganyikiwa maskini
Yaani rafiki ambaye ndani yake ni mpenzi embu huuuyu kaka ajiskilize akili ikitulia😅😅😅😅
🤣🤣🤣
ashamla huyo😂😂😂😂😂
@@jonijomk3107 ishu so kimla anaongea hayo katika mazingira gani ndo shido inapoanzia
Hakika Ruben aje amchukue ndugu yake hapa😂😂
Safi sana kaka hongera unamjua mungu entelea kumtegemea mungu
Anaongea km Hakika Ruben😂😂
😂😂😂
Ni kweli kbs
😂😂😂😂waandishi wa habari na nyie mtakufa🤣🤣🤣🤣🤣🤣mwandishi kaamua akate kona🏃🏃🏃🏃 ila huyu jamaa anabalaaa zito angeenda hata cheka tu😂
😂
RIP Dida. Bora ikabidi awaamboe waandushi na nyie mjiandae ndio wakamuachia.
Eti hataki kutaja ilo gonjwa ju yy ni mfanyikazi atakatwa mshahara🤣🤣🤣,uyu kijana jamenii
Huyu kaka kajitahidi kujieleza sana.....mtu ukiwa kwenye majonzi unaweza kuongea utumbo tu lakin kajitahidi kujieleza jaman....kwa kifupi kamaanisha dida alikua mtu mzuri na familia yake wamekaa na huyu kaka vizur tena kwa uaminifu
Ila Jamani Nyieee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Daaaaaaaaah M Mungu ailaze Roho ya Marehem Pema peponi jamanii Amiina
Jamaa mtoto kampagawisha adi kuondoka ataki😂😂😂😂 mapnz bhn❤❤
Kwakweli hata kwetu bundi akilia kutatokea msiba bundi sio mzuri
Innalillah wainna illah raji'uun 😢😢😢 poleni sana kwa msiba ,mwenyezi mungu awatie nguvu ktk kipindi hichi kigumu ..😢😢
Hyu kijana kaongea ila katoa ujumbe mkubwa sana katoa mawaidhaa tosha kwa mwenye akili maashaAlah chamsingii ndg mtangzaj na we mwandishi tujiandae nakifo Kila mtu atakufaa
Ungonjwa mkubwa ni upi jamani,hauna jina ,anyway kila mtu na siku yake.
Wa moyo
Huyu jamaaaa serious kweli au content
Hata haeleweki kama kapagwaa
😅😅😅😅😅😅jamaniiiii,huyu house boy wa Dida ni comedian, uwiiiiiii.Nimecheka siku ya hudhuni jamani.Mtoto wa boss alikuwa na ukaribu naye zaidi ya mpenzi?????😮😮😮😮😮 mara siwezi kusema gonjwa kwa kuwa nitakatwa mshahara.Mara,nimejengewa nyumba Sinza. Mmmmmh! Huyu si house boy wa Dida bhana.Siyoooooooo!
Sijui kachanganyikiwa?
Yaaniiiii
😂😂😂😂😂
Hamn Wala ajachangsnyikiwa km ukiwa na mifugo na ukiwa sik hiyo uiyelew Hawa wadudu wanaona sna msimuon km ana akili Wal anakosea wanyam Hawa wanaona kulik sisi wanadam wamajaliwa kuon sbabu awawez kuzungumza ndo man kwahy at yy njiwa wake alivowaon hiv lazim ushangae
🤣🤣🤣 nacheka kama mazuri jamn
Mtangazaji akuna hapa et yule mwanae aliekuwa ana mlinda
Huyu mwacheni kwanza mbona simwelewi😮😮watu tuna majo'zi 😢😢
Amina huyo Mwandishi ansuliza maswali ya ajabu namchukia
😂😂😂😂
@@margarethpolepole7438 sasa mimi mpaka sielewi
😂😂 duuu kweli tulie kwanza
Nisijekukatwa mshahara
Eti samira alikua rafiki ndaniake mpenzi heee😢😢😢hili jamaa ni amnazo ao akili zake zimechanganyikiwa😮
Uyu wala Ausiki na chochote
Ameongea vizuri ,mfanyakazi mzuri sana amewwza hata kuficha siri za boss wake amekufa kwa ugonjwa gani
Mmh hii media hpn kuna vitu vya kufnya mzaah jmniii.sio msiba hvyooo kbxaaa
😭😭😭 jmn tupo na majonzi tena,, mwatuletea habari za mapenzi hapa daaah 🙌
Huyu atakuwa anamla mtoto
Allah ailaze roho yake pema peponi
Tutagalagala, muachen kwanza akae vyema,halafu ww mwandishi hauna utofuauti naunaemuhoj
😂😂😂eti nisije nikakatwa mshahara uwiiiiii Mungu nisamehe mimi
Yaaani 😢
Hahaha
Wacha nicheke Mimi kumbe Tanga ndo hamjui kiswahili 😇🤣😂😂🙌🙌🙌🙌ila kijana ananichekesha
Nilichogundua huyu sio mfanyakazi wa Dida wala nini hii media wanatafuta viewers tu wapate jina wamempanga tu kijana wa mtaani
Mtangazaji alikua na maswali mengi, alipoambiwa na wewe mwandishi jiandae utakufa, maswali yakaishia hapohapo😢😢😢😢RIP Dida
😂😂😂😂😂😂😂😂, mwandishi anaogopa kufa
😅😅😅😅
🤣🤣
@evertheobald1811 hahahaaaa ww umenichekesha mie ety nini mtangazaji anaogopa kufa daaaah hii kali
😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉😂😂
Gonjwa kubwa sasa mbona kataja bila kujua. Kwamba ni ule uliomuua Mwimbaji wa miziki ya injili😊
Ugonjwa gani kwani?
Ni ungonjwa wa moyo yaani moyo ukishidwa kusuma damu basi kwa Sasa tujaandea kwakweli tujiweke sawa na Mungu maisha ni mafupi
Duh waandishi na wao waache kuwahoji watu wasio sahihi jmn ona sasa wengine wanasema vidonda ndio vimemuua yeye anasema ugonjwa mkubwa duuuh
Hapooo kwenye ugonjwa mkubwa hapo
Ila www😊😊@@SheikaYussuf
Unaweza kuwa ndo hivyo hivyo vidonda kwake ni gonjwa kubwa
Jamani ugonjwa mkubwa! Mwenyewe nimebaki mdomo wa,I! Ila waandishi mnapenda kuyatafuta
Ata vidonda ni ugonjwa mkubwa unauwa sana
😂 alianza vizuri lakini kaja kuharibu hapo kati kati 😮😂
Kule kwetu tunafuga mbwa huwa wanalia amlio fulani ukisikia hivo haziishu siku mbili ni lazima upate taarifa mbaya mimi namuamini huyu kijana
Bora wewe unaelewa wengine wanamuon km kachanganyikiwa
Njiwa wakikimbia ujue pia ni ishara mbaya
@@salhamadabida6786 San mamy Hawa wadudu Hawa waona sana
Haata sisis iringa mbwa wakilia sanaaa huwa kuna kitu kibaya kinatokea
Ni kweli.
Eti mfariji na wala hutaki kuondoka..hahaa jipange utaondoka tu mambo hayaeleweki
Huyu anaigiza,
Ukimuangalia tu,
Ni kiki,
Maana eti amenijengea,
Nyumba Sinza daaah!!😂😂,
Wabongo wanajua sana kwenda na upepo.
Hahahahaa YAANI huyu ni comedian.Mmmmh!😂😂😂😂😂nacheka mimi jamani
Vp kifo cha baba yko
😂😂😂😂😂😂😂
Yani uyu anachekesha me mwenyewe nimecheka hatari
mie nimeanguka kutoka kwenye kiti. huyu kwa kweli daah
@@jedidahbintidaudi8241yaani ni hatari mbaya
Acha nicheke jamaa anasema anapenda maisha ya hapo maana anainjoy sana
Duuh,,huyu muacheni jamani atakuja kumwaga mboga,,kashamla mtoto wa boss😢
Watagalagala 😂😂😂😂jmn huyu kaka mzima 😂😂😂😂
😂😂😂😂
YUPO vizuri mbonaaa😂, nashaur wafunge ndoa tu wasitupukbaze
Umezingua kk unajiereza kama una meno ndonn watu wamefiwa unasema unaulafik pia ndani yake unamapenz ujiopi poleni wanafamilia ila uyojamaa kazngua pia aseme ugonjwa Gani marehe aliokua anaumwa R I.P Dida
Shida sio kijana. Shida ni vyombo vya habari ambavyo haviangaliii nani wa kumhoji. Sio kila mmoja anatakiwa kuhojiwa.
Eti kajengewa nyumba sinza boss ni zaidi ya mpenzi nakesha naye Hadi ucku wa manane 😮😮😮duuhh hiii pasua kichwa
Ugonjwa ni Mkubwa sana siwezi kusema wewe ujifunze kunyamaza mambo mengine😅😅
Mwenzangu huyu atafukuzwa kazi, kama vile hayupo vizuri kichwani
😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti ajifunze kunyamaza mambo mengine 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Kachanganyikiwa,ikipita wiki stori itabadilika atakuwa sawa😂😂😂
@@judyngowi391😂😂😂atakatwa mshahara😂😂😂
Awa mtoto huyo ndio ushaachiwa unasubiria Nini 😂
😂😂😂😂😂😂 kweli kipaji cha mtu huonekani tangu mdogo 😂😂
Ila lwenye swala la njiwa kulia hili nina uhakika nalo kwa asilimia mia iliwai kutokea
Nimecheka sana huyu kaka so mzima😂😂😂natamani comment zingekua za voice note 😂😂
😂😂😂😂mie mecheka et ctk kutaja ntakatwa mshahra 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@nikrahayubu-sz3pw😂😂😂😂😂
Naona hayuko sawa kinamna
Na wewe utasemaje house boy jmnn khaaa😢
Jamni huyu kaka muongo jamni 😂😂😂😂
Dida alikua anahouseboy tu house girl haaaaa😂😂😂😂😂
Ugonjwa mkubwa, hili jamaa P Diddy
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 huyu jamaaaaaa noma sana nimemuelewa kiundan zaid😂😂😊
Ila waandishi bwana😂 yani mnaona kabisa mtu hayupo sawa bado mnamuuliza maswali,haya sasa mmeambiwa na nyie mtakufa😂😂😂😂😂 aki nimecheka sana mungu nisamehe jmn
Mmmh na nyie mnapenda kuandika kichwa cha habar cha kutisha wakati stor ni kawaida
We hujasoma kunogesha story an unaeza kuta kichwa cha habari kinatisha afu ndani yake maajabu hamn😂😂😂
Mapimbi sana hawaaa
Anampenda Sana mtoto wake jaman Hawa ni wapenzi
Uyo kaka mbona kama dishi lake alijakaza vzl 😁😁
😂mnagalagala kwenye masofa usiku wa manane😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
Wanagalagala
Kweli huyu ni muongo hajui anachokifanya lakini pia anaweza akawa mwendawazimu. Mtangazaji acha kuhoji wehu hawa.
😂😂😂😂😂
Yaani huyu kijana hafai kabisa ananichekesha wakati huu ni msiba mzito
Mwandishi amejipata naye atakufa ajiandae
@@VeronicaPaul-l8m😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@VeronicaPaul-l8m🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌 daaaaah nimechekaaa
We recently lost our actress and a designer also known as Dida here in Kenya. May their souls rest in eternal peace
Ameen ❤️🙏
Ata nyinyi waandishi jiandaeni kufa*** na hapo hapo mahojiano ikafika mwishowe 😂😂😂, sasa bona mwatuchekesha wakati wa huzuni😢😢😢pole sana kwa familia.
Huyu kijana anafahamu nini anaongea? Anaongea vitu vya ajabu kabisa, sasa yeye ni house boy au nani?
Huyu muongo wanamhudumia huduma za mwisho wamlete nyumbani wakati amelala mochwari khaaaa😂😂😂😂
Alidanganyww
Huyu lazima atakua ana undugu na hakika ruben... Sorini lakini😅
Kaongo haka kahouse boy😂
😂😂😂😂😂😂😂
@@GiftAbraham-oo4pyhii media inapanga watu, wanatafuta views.
😂😂😂😂😂😂😂Mtangazi kichwa box
Na anae ulizwa maswali ubongo tope 😅😅😅😅
Wapuuzi kweli Sasa mtu alikuwa ICU Sasa hiyo cm aliongea saaa ngapi kama Leo narudi na mutafurahi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Poleni jamani!! Mungu awatie nguvu😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Jaman waandishi nanyie mumezidi mwezenu yupo kilio munazidi kumuuliza maswali haaa nyieeeee sitaki kusheka mim nipo kwenye kilio sha dada dida 😂😂😂
Jamani huyu kaka hata haeleweki muacheni kwanza duuuhhh 🙆🙆😳😳😫
Mtu hanakuwa bado ahaminini ujue sasa na awa watangazaji wa tz cjui wapoje
@@verobecamfipa8655 mtangazaji nae sijui kavutugwa maana🙄😓😓
Muongo
Kwani huyu anazungumzia nn😮😮😮😊
🎉🎉🎉pole but ww mfanyakazi uje tu home tuwe tunakuonaaa
🎉😮😊
mtoto wa dida anasoma nje sasa anaye kaa nae huyo kaka ni yupi
Muongo huyu
Mtoto yupo St Mary's mbezi
Akitaja ugonjwa atakatwa mshahara😂muachen kwanza huyo jaman akili haijatulia bado
Jmn pole broh na familia yako najuwa haupo sawa mpka sasa..nd maana maelezo yako yanaenda mrama
Maskini huyu ayupo sawa wanamlazimisha tu kuongea akiendelea kumuhoji ataleta shida
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Huyu sio mzima ukiendeleaa kumuhoji usisgangae kuona anasema kwamba na kifo kakisababisha yete.chenga sana
😅😅😅😅
Hahahaaa😂
Eti tunagaragara uwiiii!
Ni km huyu kaka anamkula mschana Wa Dida au mm ndo cjaelewa😮😮
Mara sitaji mwishoni kataja gonjwa lenyewe. Ila hiyo mtakufa imetishaa😂. Analeta utani na msiba huyu
Poleni sana, mwenyenzi mungu amrehemu
Yaani mbwa huyu anajifanya house boy,uliskia wapi mama wasichana akiandika house boy.kanugu sana 😂
Daaah huyu kaka mnzr rkn maongez yake jmn
Kweli duniani tunapita jamani tufanye mema.poleni sana familia ya dida na Tanzania kwaujumla
Mmmh ..! nijana tu uachiwe mtoto mfariji wewe ikweli?? Si Lazima atakua na shangazi na familia wakumfariji😢😢
Hee heeee!!!!!eeè Mungu nisaidie . ..yaan tuwe na siri na haya mahouse boy namahousegirl uwiiììiii...huyu kaka.mzima kweli
Sio mfanykazi wake mshenzi huyo
Sio mzm hakapimwe heti wana galagala hiv vioja
😂@@angercaristo4051
Anagalagala na mtoto hadi usiku wa manane
@@judyngowi391😂😂😂😂😂😂
Alanaizooo sauti tu nimekujua 😂😂😂😂
😅😅 alianza vzr akaja kuharibu mwishoni et rafk zaidi ya mpz Sema anatuchanganya mara kaka na dada mara mpz
Sijui kwa nn namna huyu kaka anavyo jielezea ni kama kafyatukwa akili, lol
Nimecheka sana. Wanaume wa Tanga nyie ni baraa kwa kuongea😅😅😅
Mbona kama mhehe huyu maana cyo kuongea yake😂
Huyu ananikumbusha hakika ruben😂😂😂
Kabisa
Saut zinafanana😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂ndio
Umewaza kama mm
Huyu sasa ndiyo kaongea vizuri kuhusiana na kifo cha bosi wake 💔
Apumzike Kwa aman dada yetu kipenzi cheti dida
Msaidieni njia ya kwenda Mirembe Mwehu Full, Dogo Acha Upuuzi au Umekunywa Gogo, Aloo msiba na mapenzi wapi na wapi We chizi
😂
Mungu nifundishe kunyamaza 🙆
😂😂😂😂😂kwann unyamaze sema
@@LindaMbilinyi-n3nmwenye kunyamaza has passed exams
Said prophet of allwah s a w
Yeye amesema kajengewa nyumba sinza hayasinza kunaviwanja kamaumejengewa nyumbasndio ukakaekwakosasa uyuitakua nimfanyakazi wamchongo🤣🤣🤔
Kwa haya uliyoongea sidhan kama utabaki hapo..kibarua kitaota nyasi
Jaman et Zaid ya mpenzi tena mfanyakazi acheni kumhoji huyu atatoa Siri maremu Hadi kwao
Duuh mungu anisamehe maana nimecheka kila mtu atakufa wanagalagala mpaka usku wamanane nilafk zaid ya mpenz😂