Inna lillah waina ileyhi Rajioun. Nimeenda kisutu mumtilia fat-ha Dida. Allah amsamehe makosa yake. Na cc tuko nyuma yake. Allah atupe khatmanjema. Poleni wafiwa wote.
Innalillah wainnailayhi rajiun Allah amsamehe makosa yake ampe kauli thabit na sisi tulioko nyuma yake Allah atpe mwisho mwema na tuache kukaa uchi tukijianika mitandaoni mawaidha tosha hayo tuwe na hofy ya kumogopa Allah
Miandishi ya tz ni umbeya tu hiv kwa nn msijazane huku mashambani na vijijini mkaandika vitu vya maana kama mnavyokimbilia misibani? Yaan mmejazana mlikuwa wap wakati anaumwa? Utakuta hakuna hata mmoja wenu aliyemchangia dida wakati anaumwa. Jitafakarini
Mwenyezi mungu akulaze mahali pema peponi amina
Ilo mbwa pemeni ya manara limeenda na Eleni, cheni msibani senge kwel 😢😢😢😢😢
Sio tuishi kwa furaha tu Bali tuingie msikitini, na tuache kushughulikie mambo ya kumuasi Allah.
Hakika haswa ibada ndio kitu ndio chanzo Cha memayote
Tena haswaa kaka maana dah Kila navyangalia Crip za dada huyu nahs kama alijisahau sana na mambo ya dunia
Inna lillah waina ileyhi Rajioun. Nimeenda kisutu mumtilia fat-ha Dida. Allah amsamehe makosa yake. Na cc tuko nyuma yake. Allah atupe khatmanjema. Poleni wafiwa wote.
Ilo nifundisho tuishi katka hii dunia kama leo tupo nakesho hatutakuwepo 😢😢😢
Yeye ametangulia sisi tunafwata
Daa dida pumzika KWA aman umeyaxhinda ya. Dunia
Mungu amlaze mahari pema peponi
Allah amuondoshee Adhabu ya Kabri 🙏🙏
Innalillah wainnailayhi rajiun Allah amsamehe makosa yake ampe kauli thabit na sisi tulioko nyuma yake Allah atpe mwisho mwema na tuache kukaa uchi tukijianika mitandaoni mawaidha tosha hayo tuwe na hofy ya kumogopa Allah
Inna lilah wainalilah lajuun
Ni kweli kabisa tuishi vizuri .
Mwenyezi mung alaze mahali pema peponi ampunguzia adhab ya kaburi 🙏
Ibada tuzifanye Kwa wingi tuachane na upuzi
Alazwe pema Peponi amina
Tumepoteza mpenzi wetu mwanza habari wetu mcheshi, namuomba MUNGU amkumbuke ktk ufalme wake
Innalilahi wainna ilaihi rajiun.
Ooh apumzke mahali pema peponi
pumzika kwaaman dadaangu dida
Kuongea ni mambo mengine na kutenda mambo mengine
Tangulia wewe kuonyesha mfano kwa ulio wakosea na kuwasema vibaya? Swali kabla hujaswaliwa
Innalilah wainailah rajion hakika sote niwa mungu na kwake tutarejea
Huyu diamond hana menejiment yake ya wasafi media hadi amtume manara??!!
😢
mwezimungu akulaze malipema pepon dada
Manara mbona umepungua sana
Mazoezi sasa ulitaka abebe mifuta mwilini ya nini kaimwaga yote
Au nawewe ni walewale wanao amini kuwa mtu akibeba mifuta mwilini unampongeza kuwa umenenepa badala ya kuwamwambia ameongezeka uzito
Shusha chini maiki
🤲🤲🤲🤲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Miandishi ya tz ni umbeya tu hiv kwa nn msijazane huku mashambani na vijijini mkaandika vitu vya maana kama mnavyokimbilia misibani? Yaan mmejazana mlikuwa wap wakati anaumwa? Utakuta hakuna hata mmoja wenu aliyemchangia dida wakati anaumwa. Jitafakarini
rip
Sasa wewe ungepata wapi fursa ya kuonesha ujinga wako kama hawa wasingefanya haya unayoyalalamikia?