ALICHOFANYA MANARA MSIBANI KWA DIDA // DIAMOND KUTOKAFIKA MSIBANI KWA DIDA,TAZAMA HAPA..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 окт 2024

Комментарии • 36

  • @MustaphaHasani-u1v
    @MustaphaHasani-u1v 5 дней назад +7

    Mwenyezi mungu akulaze mahali pema peponi amina

  • @PedadMiyombo-pc8gc
    @PedadMiyombo-pc8gc 4 дня назад +3

    Ilo mbwa pemeni ya manara limeenda na Eleni, cheni msibani senge kwel 😢😢😢😢😢

  • @mrok284
    @mrok284 5 дней назад +14

    Sio tuishi kwa furaha tu Bali tuingie msikitini, na tuache kushughulikie mambo ya kumuasi Allah.

    • @RahimaMct-ik8mr
      @RahimaMct-ik8mr 5 дней назад +4

      Hakika haswa ibada ndio kitu ndio chanzo Cha memayote

    • @KasimuLipili-jy8qy
      @KasimuLipili-jy8qy 4 дня назад

      Tena haswaa kaka maana dah Kila navyangalia Crip za dada huyu nahs kama alijisahau sana na mambo ya dunia

  • @ShekhaAmourH
    @ShekhaAmourH 4 дня назад +1

    Inna lillah waina ileyhi Rajioun. Nimeenda kisutu mumtilia fat-ha Dida. Allah amsamehe makosa yake. Na cc tuko nyuma yake. Allah atupe khatmanjema. Poleni wafiwa wote.

  • @Bintabubakar-id2so
    @Bintabubakar-id2so 3 дня назад +1

    Ilo nifundisho tuishi katka hii dunia kama leo tupo nakesho hatutakuwepo 😢😢😢

  • @kasimumakashataumemalizakakaii
    @kasimumakashataumemalizakakaii 4 дня назад +4

    Yeye ametangulia sisi tunafwata

  • @AIZACK---KAGINE-v4k
    @AIZACK---KAGINE-v4k 4 дня назад +2

    Daa dida pumzika KWA aman umeyaxhinda ya. Dunia

  • @AngelaPeter-i6l
    @AngelaPeter-i6l 3 дня назад +1

    Mungu amlaze mahari pema peponi

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 4 дня назад +1

    Allah amuondoshee Adhabu ya Kabri 🙏🙏

  • @MaryamAbbas-o1c
    @MaryamAbbas-o1c 5 дней назад +2

    Innalillah wainnailayhi rajiun Allah amsamehe makosa yake ampe kauli thabit na sisi tulioko nyuma yake Allah atpe mwisho mwema na tuache kukaa uchi tukijianika mitandaoni mawaidha tosha hayo tuwe na hofy ya kumogopa Allah

  • @MasoudiJumanne
    @MasoudiJumanne 3 дня назад +1

    Inna lilah wainalilah lajuun

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 4 дня назад

    Ni kweli kabisa tuishi vizuri .

  • @LeoniyJovid
    @LeoniyJovid 5 дней назад +3

    Mwenyezi mung alaze mahali pema peponi ampunguzia adhab ya kaburi 🙏

  • @Dulajuma
    @Dulajuma 5 дней назад +3

    Ibada tuzifanye Kwa wingi tuachane na upuzi

  • @DaudyDavid
    @DaudyDavid 5 дней назад +2

    Alazwe pema Peponi amina

  • @Gwandumi-r2v
    @Gwandumi-r2v 5 дней назад +2

    Tumepoteza mpenzi wetu mwanza habari wetu mcheshi, namuomba MUNGU amkumbuke ktk ufalme wake

  • @bakarikimbonjamwangome7333
    @bakarikimbonjamwangome7333 5 дней назад +2

    Innalilahi wainna ilaihi rajiun.

  • @tadeikinyero
    @tadeikinyero 5 дней назад +2

    Ooh apumzke mahali pema peponi

  • @omar-c2f8y
    @omar-c2f8y 4 дня назад +1

    pumzika kwaaman dadaangu dida

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt 4 дня назад +1

    Kuongea ni mambo mengine na kutenda mambo mengine
    Tangulia wewe kuonyesha mfano kwa ulio wakosea na kuwasema vibaya? Swali kabla hujaswaliwa

  • @celebkane7175
    @celebkane7175 5 дней назад +1

    Innalilah wainailah rajion hakika sote niwa mungu na kwake tutarejea

  • @mwidinikiombile4494
    @mwidinikiombile4494 4 дня назад

    Huyu diamond hana menejiment yake ya wasafi media hadi amtume manara??!!

  • @Vematv248
    @Vematv248 4 дня назад +1

    😢

  • @Zainabu-y3l
    @Zainabu-y3l 4 дня назад +1

    mwezimungu akulaze malipema pepon dada

  • @skadyyustaph-s5d
    @skadyyustaph-s5d 5 дней назад +1

    Manara mbona umepungua sana

    • @BonnyMwajombe-iu7hb
      @BonnyMwajombe-iu7hb 4 дня назад

      Mazoezi sasa ulitaka abebe mifuta mwilini ya nini kaimwaga yote

    • @BonnyMwajombe-iu7hb
      @BonnyMwajombe-iu7hb 4 дня назад

      Au nawewe ni walewale wanao amini kuwa mtu akibeba mifuta mwilini unampongeza kuwa umenenepa badala ya kuwamwambia ameongezeka uzito

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 5 дней назад +2

    Shusha chini maiki

  • @VeronicaBonafasi
    @VeronicaBonafasi 4 дня назад

    🤲🤲🤲🤲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 5 дней назад +1

    Miandishi ya tz ni umbeya tu hiv kwa nn msijazane huku mashambani na vijijini mkaandika vitu vya maana kama mnavyokimbilia misibani? Yaan mmejazana mlikuwa wap wakati anaumwa? Utakuta hakuna hata mmoja wenu aliyemchangia dida wakati anaumwa. Jitafakarini

    • @ADAMNASORO-vp5gt
      @ADAMNASORO-vp5gt 4 дня назад

      rip

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 4 дня назад

      Sasa wewe ungepata wapi fursa ya kuonesha ujinga wako kama hawa wasingefanya haya unayoyalalamikia?