MASIKINI MFANYAKAZI WA DIDA KAFUKUZWA NYUMBANI KWA DIDA TOKA MBWA WEWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 61

  • @JeniferNgata
    @JeniferNgata День назад +5

    Liongo Hilo halafu sio

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 2 часа назад +2

    Huyu ni tapeli wa kawaida huyu sidhani kama ni mfanyikazi wa Dida hata kidogo!! Huyu jinga tuu

  • @fridamarting7168
    @fridamarting7168 10 часов назад +3

    Jaman anajieleza Kama Hana akili vizuri

  • @ZulfaZulfazulfa-j7c
    @ZulfaZulfazulfa-j7c 5 часов назад +1

    Huyu ni chizi hana akili vizuri mwangu sana

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Час назад

    Hata huyu mtangazaji pia chizi kama yeye mhojiwa!!!! Eeeeh huyu kazi jamani

  • @AnnaKilunga-o3l
    @AnnaKilunga-o3l 5 часов назад +1

    we mwenyewe ungechaganyikiwa toka msiba utokee wanamhoji tu ungekua weww huweza

  • @ZubeirAbdallah
    @ZubeirAbdallah 23 часа назад +2

    Et sio america Kwa p Diddy 😂😂😂😂

  • @shanizuberi7984
    @shanizuberi7984 10 часов назад +1

    Mama mkubwa wa dida atakuuwa wewe yule mama ni hatari sana

  • @MobammddAlhabsi
    @MobammddAlhabsi 42 минуты назад

    😂😂😂😂😂😂😂ety Tanzania 🇹🇿 nzima wakaka wazur na wadada wazuri wana toka tanga😂😂😂hiviii una wajua warangi wewe karibu kondoa ujionea usidanganye watu

  • @aby21111
    @aby21111 53 минуты назад

    Hi mutu iko wazimu? Ye nataka mtoto ya boss? Crazy.😎🇺🇲

  • @frankpatrik-fd9gh
    @frankpatrik-fd9gh 5 часов назад +1

    Duuh! Kazi ipo

  • @salmamsangi9976
    @salmamsangi9976 2 часа назад

    Kazurika na msiba uyooooo

  • @margaretnyamwilahila292
    @margaretnyamwilahila292 Час назад

    Hawa wawili ni vichaa,
    Wafungiwe.

  • @GetrudarCelestineAmede
    @GetrudarCelestineAmede 5 часов назад

    Hv huyu mkaka ni chiz eee, hahah et dadaang, mlizaliwa tumbo moja rudi ukajitafute kijana

  • @SabinaChacha-dy2yg
    @SabinaChacha-dy2yg 8 часов назад

    Tangalizim kijana wa kitanga mtangazaji kuwa makini😅😅😅😅😅😅

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 День назад

    Huyu jamaa ni hamnazo tu😂😂

  • @KasalamaAlly
    @KasalamaAlly 7 часов назад +1

    Wewe mwandishi kuzaa majaaliwa chizi wewe inaonekana mwandishi kanjanja

  • @SleepyHornbill-lb6xp
    @SleepyHornbill-lb6xp Час назад

    Toka. Hapo mbwa. Wewe. Kibaka. Mkubwa ww tapeli jinga dude. Jike wewe Huna akili

  • @sofiajonh
    @sofiajonh 8 часов назад

    Huyu nae khaaaa 😅😅😅

  • @rukiambaga
    @rukiambaga 9 часов назад

    Kama alikuwa anahudumia a ng'ombe na alisemaga Dida kamjengeaba aendelee na kazi kama inawezekana jamani: huenda alikuwa kijana mzuri tu

  • @ZubeirAbdallah
    @ZubeirAbdallah 23 часа назад +1

    Hamnazo kweli😂

  • @HasaniShabani-j2c
    @HasaniShabani-j2c 7 часов назад

    Kweli katupata muda wetu bando letu, anavyoviongea havielew

  • @SwilaSos
    @SwilaSos 10 часов назад

    Kwani unganie vya watu apo sikwenu tafuta cha kwako pambana upate chako duh yaan wew jamaa unautakaaa umaarufu kwa nguvu duh

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 8 часов назад

    Kwangu Mimi Kuna saa naulewa Kuna saa 🏃🏃🏃🏃

  • @christinahrute7826
    @christinahrute7826 9 часов назад +1

    Huyu na yule mbaba hawapishani

  • @AnnaKilunga-o3l
    @AnnaKilunga-o3l 5 часов назад

    ebu achen kumsema mtoto wa mwezenu ka kuen na aibu na

  • @Serah-b7v
    @Serah-b7v 5 часов назад

    Ety niache kula nyama na pilau niende wapi anaweza kufanya ucheke kwa matanga

  • @zr7808
    @zr7808 8 часов назад

    Waandishi wa tz acheni umbeya munataka kujuwa mupaka siri za marehemu na wewe siku zenu zitafika na umbea wetu utakwisha. Looo munataka kujua UCHI WA CHAWA

  • @saudarashidi8734
    @saudarashidi8734 День назад +1

    Muacheni akae lakini Jana adabu anachukulia powaa

  • @Nabustore
    @Nabustore 15 часов назад

    Huyu akili nyingi ..sema anacheza na akili za wanahabar kuwajibu km hamnazo kumbe afya yake ya akili ipo vizur, hivi tunavyo muoana akijibu utumbo dida asingeweza kukaa nae sema kuamua kujizima data km ndo yup hivo wamuulize Mr Nana huyu kichwa yke ipo smart sema anazima data....

    • @rahmarajab3688
      @rahmarajab3688 14 часов назад

      Kweli, kamuona mwandishi apenda umbea, ndo mana nae amchezea😂, Kijana yuko poa kiakili

  • @ElizabethFumbuka
    @ElizabethFumbuka 5 часов назад

    Anauchotara gani huyu!

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 21 час назад

    Mmh, dogo kapambane, jiongeze! Maneno unayosema yatakurudi.

  • @claratemba44
    @claratemba44 23 часа назад +1

    Wewe mwandishi kuwa makini

  • @SharifaRashid-x5d
    @SharifaRashid-x5d 10 часов назад +1

    Muachen jamn

  • @WahidaAlharthi
    @WahidaAlharthi 22 часа назад

    Uyu kama. Ana wazee. Wake. Aende kila kitu. Kina mwisho
    Hana maana. Ya kukaa. Apo

  • @JamilaMsangu
    @JamilaMsangu 9 часов назад

    kama sio dida alikua anaishi na chiz bas huyu amechanganyikiwa kwa kifo cha dida

  • @TeddyRichard-ij9mi
    @TeddyRichard-ij9mi 23 часа назад

    Nyie mnaemfukuza kumbukeni Kuna mtu anaweza kua mfanyakazi na akawa muhimu kuzidi hata ndugu wa damu mwachen huyu kaka Kuna kitu ndani take mtalaaniwa.

    • @MishiPapalan
      @MishiPapalan 7 часов назад

      Huyu naye anamajifuno kujisifu uzuli mwanaume haipendezi sasa huyo mtoto ndio hawalayako

  • @Sublra
    @Sublra 3 часа назад

    😂😂😂😂😂

  • @WitnessSutta
    @WitnessSutta 15 часов назад

    huyu sio mzima

  • @mkondomkondo4721
    @mkondomkondo4721 23 часа назад

    Huyu ni shoga

  • @جججج-ذ9و
    @جججج-ذ9و 6 часов назад

    Umechanganyikiwa wewe mkaka

  • @KasalamaAlly
    @KasalamaAlly 7 часов назад

    Mwandishi choko

  • @AnnaMarthias
    @AnnaMarthias 23 часа назад

    munafikiaza sasa zake

  • @raymondmjebe2412
    @raymondmjebe2412 23 часа назад

    huyu dogo ajielewiii

  • @Anandezi
    @Anandezi 15 часов назад

    Katafute kazi wewe. Acha kutegea watu. Jifunze kujitegemea. Kauze saa uanze biashara

  • @ShadyaMohammad-f2e
    @ShadyaMohammad-f2e 19 часов назад

    Chizi uyo

  • @SharifaRashid-x5d
    @SharifaRashid-x5d 10 часов назад

    Muachen akae

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 7 часов назад

    Ondoka nawe

  • @WahidaAlharthi
    @WahidaAlharthi 22 часа назад

    Sasa mbona muna kufuru? Kuzaa WATOTO wengi. Ao mmoja. Ni Amri ya Allah. Uuu. Kijana. Mpuuzi aende. Kutafuta. Maisha. Weye. Huna. Adabu.
    Muongo. Iyo. Saa ni dirham. 50 tuu

  • @zulfahaji91
    @zulfahaji91 День назад

    Mpeni chumba. Akae mtakapomtimua. Mujue mnampa shida marehemu

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 23 часа назад

    Uyu ni muongo wala sio mfanyakazi wa dida

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry 14 часов назад

    Upumbavu

  • @Nduwabikeappolinaire
    @Nduwabikeappolinaire День назад +1

    Mbuzi wewe

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re День назад

    Muacheni akae