Inaonyesha dida alikuwa mtoaji sio mchoyo alikuwa na huruma...basi mungu amsamehe kwa madhambi yake na mungu amfanyie wepes kwenye kaburi lake amuondolee adhabu ya kaburi.Mwenyezi Mungu alitanue kabuli lake aliangaze na kabuli lake liwe miongoni mwa viwanja vya pepo inshallah amin
Kwakweli naamini kweli mlikua karibu maana nakumbuka nilikua na shughuli y mdogo wng nikamuimba dida awe MC lakini alikwambia ww ndo uje alikupa tenda maskini ukaja kuifanya shughuli yetu
Inaonyesha dida alikuwa mtoaji sio mchoyo alikuwa na huruma...basi mungu amsamehe kwa madhambi yake na mungu amfanyie wepes kwenye kaburi lake amuondolee adhabu ya kaburi.Mwenyezi Mungu alitanue kabuli lake aliangaze na kabuli lake liwe miongoni mwa viwanja vya pepo inshallah amin
Watu wa aina yake wengi mioyo yao ni safi na wenye huruma sana
Ni wazi dida alikua mtoaji bila kujali chochote!!
Note: wema hauozi na zambi haisahauliki
Mungu akurehem Dada
Pole snaa 😢😢😢
Kwakweli naamini kweli mlikua karibu maana nakumbuka nilikua na shughuli y mdogo wng nikamuimba dida awe MC lakini alikwambia ww ndo uje alikupa tenda maskini ukaja kuifanya shughuli yetu