"NILIPATA MILIONI 100 WA KWANZA KUMWAMBIA ALIKUWA DIDA" - JIKE LA CHUI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 5

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 7 часов назад +7

    Inaonyesha dida alikuwa mtoaji sio mchoyo alikuwa na huruma...basi mungu amsamehe kwa madhambi yake na mungu amfanyie wepes kwenye kaburi lake amuondolee adhabu ya kaburi.Mwenyezi Mungu alitanue kabuli lake aliangaze na kabuli lake liwe miongoni mwa viwanja vya pepo inshallah amin

  • @subyshaban
    @subyshaban 3 часа назад +1

    Watu wa aina yake wengi mioyo yao ni safi na wenye huruma sana

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 4 часа назад +2

    Ni wazi dida alikua mtoaji bila kujali chochote!!
    Note: wema hauozi na zambi haisahauliki
    Mungu akurehem Dada

  • @khadijabbykhadijabby1389
    @khadijabbykhadijabby1389 7 часов назад +1

    Pole snaa 😢😢😢

  • @mariamibrahim5337
    @mariamibrahim5337 2 часа назад

    Kwakweli naamini kweli mlikua karibu maana nakumbuka nilikua na shughuli y mdogo wng nikamuimba dida awe MC lakini alikwambia ww ndo uje alikupa tenda maskini ukaja kuifanya shughuli yetu