MFANYAKAZI WA DIDA SHAIBU AIBUA MAPYA MSIBANI 😭😭BOSS ALISEMA NAKUAGA NAKUFAA DUUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 окт 2024

Комментарии • 784

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 5 дней назад +57

    sasa huyu kijana kaongea kv kibaya hapo mkimshambulia..achen mambo ya ajabu

    • @amaizingtv741
      @amaizingtv741  5 дней назад +5

      Thanks

    • @nurumohammed1310
      @nurumohammed1310 4 дня назад

      Hoses mfanya kazi huyo ​@@PatrickDavid-l3p

    • @nurumohammed1310
      @nurumohammed1310 4 дня назад +1

      Mmmmh hapa kuna walakini hapo

    • @mwasimpiana2625
      @mwasimpiana2625 3 дня назад +1

      Yaan hawa waandishi wa habari wacha tuu

    • @shangwefisima54
      @shangwefisima54 3 дня назад

      @@femidayahaya9293 hajaongea kibaya chochote kwa kweli ila mzingatie vizuri ana lazimisha ucheke wakati upo kwenye majonzi

  • @VERONICAJOHNNY-g8p
    @VERONICAJOHNNY-g8p 5 дней назад +18

    Poren Wana familia wote mungu alitoa mungu ametwaa jina lake lihimidiwe amina

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 5 дней назад +15

    Huyu ni mjinga sana sasa kunahaja gan ya kusema ni UGONJWA MKUBWA TU NIKIUTAJA NAWEZA KATWA MSHAHARA😢😢Jamaniii

    • @RehemaCharles-bc6fn
      @RehemaCharles-bc6fn 4 дня назад +2

      Umenichekesha 😂😂

    • @khadijayusuph9316
      @khadijayusuph9316 4 дня назад +1

      @@RehemaCharles-bc6fn poleeee😁

    • @jonijomk3107
      @jonijomk3107 3 дня назад +1

      😅😅😅😅😅😅
      af kamtaja na mgonjwa ambaye amewai kufa na huwo ugonjwa tena
      ni maarufu

    • @fatmatraashidu8522
      @fatmatraashidu8522 3 дня назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Daaaaaaaaah ila Jamaa jamanii kajua kunichekesha!!!

    • @HusnaIbrahimu
      @HusnaIbrahimu 2 дня назад +1

      😂😂😂😂

  • @mamafetty8778
    @mamafetty8778 5 дней назад +41

    Duuh pole kaka na mtoto wa marehemu Dida Mungu awape nguvu kwa kipindi hiki kigumu😭😭

  • @JosephinaMoses
    @JosephinaMoses 5 дней назад +30

    Nilichogundua kiswahili nikigumu kujieleza ila sio mpnzi wake

  • @RachelSongelaeli
    @RachelSongelaeli 5 дней назад +26

    😂😂😂😂 duuuh badala nihuzunike nimecheka sana heeeeh kama mwehuuu hajielewi huyuuu

    • @SaudaMshana-se9vz
      @SaudaMshana-se9vz 5 дней назад +7

      Ila jamn msiba unaeza kukta unaongea kitu ambacho huktarajia eti nicje nikakatwa mshahara

    • @Majouma-ou7xw
      @Majouma-ou7xw 5 дней назад

      😂😂😂😂😂​@@SaudaMshana-se9vz

    • @KurthumKhamis
      @KurthumKhamis 5 дней назад

      😂😂😂😂kwenye msiba atujamuona walioojiwa wote tumewaona yeye kwann aojiwe ndan​@@SaudaMshana-se9vz

    • @MusokeDios
      @MusokeDios 4 дня назад +3

      Kama hazimtoshi vile

    • @ShaniaKing-o5d
      @ShaniaKing-o5d 4 дня назад +5

      Kachanganyikiwa maskini

  • @sayunichullahkadinda8775
    @sayunichullahkadinda8775 5 дней назад +7

    Hakika Ruben aje amchukue ndugu yake hapa😂😂

  • @PhyinaElias-mu4wf
    @PhyinaElias-mu4wf 5 дней назад +10

    😂😂😂😂waandishi wa habari na nyie mtakufa🤣🤣🤣🤣🤣🤣mwandishi kaamua akate kona🏃🏃🏃🏃 ila huyu jamaa anabalaaa zito angeenda hata cheka tu😂

  • @AminaMkude-p4x
    @AminaMkude-p4x 3 дня назад +6

    Safi sana kaka hongera unamjua mungu entelea kumtegemea mungu

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 4 дня назад +9

    Mmmh 😢 sasa kila mpuuzi anatafuta kujulikana kupitia kifo cha mtu ww ni mshenzi😭😭😭😭

  • @EstaDaffi-wg5cr
    @EstaDaffi-wg5cr 5 дней назад +19

    Yaani rafiki ambaye ndani yake ni mpenzi embu huuuyu kaka ajiskilize akili ikitulia😅😅😅😅

    • @chrispinmkanda6097
      @chrispinmkanda6097 4 дня назад +1

      🤣🤣🤣

    • @jonijomk3107
      @jonijomk3107 3 дня назад +1

      ashamla huyo😂😂😂😂😂

    • @EstaDaffi-wg5cr
      @EstaDaffi-wg5cr 3 дня назад

      @@jonijomk3107 ishu so kimla anaongea hayo katika mazingira gani ndo shido inapoanzia

  • @elizabethmwaseba8164
    @elizabethmwaseba8164 5 дней назад +26

    Anaongea km Hakika Ruben😂😂

  • @nikrahayubu-sz3pw
    @nikrahayubu-sz3pw 5 дней назад +16

    Hyu kijana kaongea ila katoa ujumbe mkubwa sana katoa mawaidhaa tosha kwa mwenye akili maashaAlah chamsingii ndg mtangzaj na we mwandishi tujiandae nakifo Kila mtu atakufaa

  • @DianaNeru
    @DianaNeru 4 дня назад +3

    Eti hataki kutaja ilo gonjwa ju yy ni mfanyikazi atakatwa mshahara🤣🤣🤣,uyu kijana jamenii

  • @BenedictaMagantg
    @BenedictaMagantg 4 дня назад +8

    RIP Dida. Bora ikabidi awaamboe waandushi na nyie mjiandae ndio wakamuachia.

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 4 дня назад +15

    Kwakweli hata kwetu bundi akilia kutatokea msiba bundi sio mzuri

  • @StephanoPaulo-x2e
    @StephanoPaulo-x2e 4 дня назад +4

    Jamaa mtoto kampagawisha adi kuondoka ataki😂😂😂😂 mapnz bhn❤❤

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 4 дня назад +4

    Huyu jamaaaa serious kweli au content

  • @elizabethally6935
    @elizabethally6935 4 дня назад +4

    Huyu kaka kajitahidi kujieleza sana.....mtu ukiwa kwenye majonzi unaweza kuongea utumbo tu lakin kajitahidi kujieleza jaman....kwa kifupi kamaanisha dida alikua mtu mzuri na familia yake wamekaa na huyu kaka vizur tena kwa uaminifu

    • @fatmatraashidu8522
      @fatmatraashidu8522 3 дня назад

      Ila Jamani Nyieee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Daaaaaaaaah M Mungu ailaze Roho ya Marehem Pema peponi jamanii Amiina

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 2 дня назад

    Innalillah wainna illah raji'uun 😢😢😢 poleni sana kwa msiba ,mwenyezi mungu awatie nguvu ktk kipindi hichi kigumu ..😢😢

  • @angle3600
    @angle3600 5 дней назад +12

    Ungonjwa mkubwa ni upi jamani,hauna jina ,anyway kila mtu na siku yake.

  • @HassanJuma-o8n
    @HassanJuma-o8n 4 дня назад +4

    Mtangazaji akuna hapa et yule mwanae aliekuwa ana mlinda

  • @mamakayla6697
    @mamakayla6697 5 дней назад +24

    😅😅😅😅😅😅jamaniiiii,huyu house boy wa Dida ni comedian, uwiiiiiii.Nimecheka siku ya hudhuni jamani.Mtoto wa boss alikuwa na ukaribu naye zaidi ya mpenzi?????😮😮😮😮😮 mara siwezi kusema gonjwa kwa kuwa nitakatwa mshahara.Mara,nimejengewa nyumba Sinza. Mmmmmh! Huyu si house boy wa Dida bhana.Siyoooooooo!

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 5 дней назад

      Sijui kachanganyikiwa?

    • @HappyJohn-h8q
      @HappyJohn-h8q 5 дней назад

      Yaaniiiii

    • @nassorali1034
      @nassorali1034 5 дней назад

      😂😂😂😂😂

    • @nasrachimamy
      @nasrachimamy 5 дней назад +3

      Hamn Wala ajachangsnyikiwa km ukiwa na mifugo na ukiwa sik hiyo uiyelew Hawa wadudu wanaona sna msimuon km ana akili Wal anakosea wanyam Hawa wanaona kulik sisi wanadam wamajaliwa kuon sbabu awawez kuzungumza ndo man kwahy at yy njiwa wake alivowaon hiv lazim ushangae

    • @SharifaRashid-tg9kx
      @SharifaRashid-tg9kx 5 дней назад

      🤣🤣🤣 nacheka kama mazuri jamn

  • @agnessslaa1897
    @agnessslaa1897 5 дней назад +12

    😂😂😂eti nisije nikakatwa mshahara uwiiiiii Mungu nisamehe mimi

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 5 дней назад +3

    Ameongea vizuri ,mfanyakazi mzuri sana amewwza hata kuficha siri za boss wake amekufa kwa ugonjwa gani

  • @estertiffa-ew5id
    @estertiffa-ew5id 5 дней назад +3

    Mmh hii media hpn kuna vitu vya kufnya mzaah jmniii.sio msiba hvyooo kbxaaa

  • @hawababy120
    @hawababy120 3 дня назад +2

    Eti samira alikua rafiki ndaniake mpenzi heee😢😢😢hili jamaa ni amnazo ao akili zake zimechanganyikiwa😮

  • @AminaAmine-v4m
    @AminaAmine-v4m 5 дней назад +26

    Huyu mwacheni kwanza mbona simwelewi😮😮watu tuna majo'zi 😢😢

  • @Bintgerald
    @Bintgerald 5 дней назад +6

    😭😭😭 jmn tupo na majonzi tena,, mwatuletea habari za mapenzi hapa daaah 🙌

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 4 дня назад +5

    😂 alianza vizuri lakini kaja kuharibu hapo kati kati 😮😂

  • @Aisha-qx7kz
    @Aisha-qx7kz 5 дней назад +6

    Allah ailaze roho yake pema peponi

  • @sandalakabalo5442
    @sandalakabalo5442 5 дней назад +7

    Tutagalagala, muachen kwanza akae vyema,halafu ww mwandishi hauna utofuauti naunaemuhoj

  • @biberpriyer330
    @biberpriyer330 4 дня назад +4

    Wacha nicheke Mimi kumbe Tanga ndo hamjui kiswahili 😇🤣😂😂🙌🙌🙌🙌ila kijana ananichekesha

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 4 дня назад

      Nilichogundua huyu sio mfanyakazi wa Dida wala nini hii media wanatafuta viewers tu wapate jina wamempanga tu kijana wa mtaani

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 5 дней назад +16

    Kule kwetu tunafuga mbwa huwa wanalia amlio fulani ukisikia hivo haziishu siku mbili ni lazima upate taarifa mbaya mimi namuamini huyu kijana

    • @nasrachimamy
      @nasrachimamy 5 дней назад +1

      Bora wewe unaelewa wengine wanamuon km kachanganyikiwa

    • @salhamadabida6786
      @salhamadabida6786 5 дней назад

      Njiwa wakikimbia ujue pia ni ishara mbaya

    • @nasrachimamy
      @nasrachimamy 5 дней назад

      @@salhamadabida6786 San mamy Hawa wadudu Hawa waona sana

    • @witneskindole9451
      @witneskindole9451 4 дня назад

      Haata sisis iringa mbwa wakilia sanaaa huwa kuna kitu kibaya kinatokea

    • @BenedictaMagantg
      @BenedictaMagantg 4 дня назад

      Ni kweli.

  • @dorambembela9437
    @dorambembela9437 5 дней назад +15

    Mtangazaji alikua na maswali mengi, alipoambiwa na wewe mwandishi jiandae utakufa, maswali yakaishia hapohapo😢😢😢😢RIP Dida

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 5 дней назад +3

      😂😂😂😂😂😂😂😂, mwandishi anaogopa kufa

    • @MwanauliAli
      @MwanauliAli 5 дней назад +1

      😅😅😅😅

    • @AllenTown-ic2ky
      @AllenTown-ic2ky 5 дней назад

      🤣🤣

    • @nurumohammed1310
      @nurumohammed1310 4 дня назад

      ​@evertheobald1811 hahahaaaa ww umenichekesha mie ety nini mtangazaji anaogopa kufa daaaah hii kali

    • @FiollaIsaya
      @FiollaIsaya 4 дня назад

      😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉😂😂

  • @mamakayla6697
    @mamakayla6697 5 дней назад +17

    Hahahahaa YAANI huyu ni comedian.Mmmmh!😂😂😂😂😂nacheka mimi jamani

  • @liliangodson8715
    @liliangodson8715 День назад

    Eti mfariji na wala hutaki kuondoka..hahaa jipange utaondoka tu mambo hayaeleweki

  • @floridakagemulo3183
    @floridakagemulo3183 5 дней назад +6

    Gonjwa kubwa sasa mbona kataja bila kujua. Kwamba ni ule uliomuua Mwimbaji wa miziki ya injili😊

    • @AgathaPhilips-w4j
      @AgathaPhilips-w4j 5 дней назад +1

      Ugonjwa gani kwani?

    • @LucyRafeali
      @LucyRafeali 3 дня назад

      Ni ungonjwa wa moyo yaani moyo ukishidwa kusuma damu basi kwa Sasa tujaandea kwakweli tujiweke sawa na Mungu maisha ni mafupi

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 5 дней назад +12

    Duh waandishi na wao waache kuwahoji watu wasio sahihi jmn ona sasa wengine wanasema vidonda ndio vimemuua yeye anasema ugonjwa mkubwa duuuh

    • @SheikaYussuf
      @SheikaYussuf 5 дней назад +5

      Hapooo kwenye ugonjwa mkubwa hapo

    • @ImmaBahati
      @ImmaBahati 5 дней назад

      Ila www😊😊​@@SheikaYussuf

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 5 дней назад +3

      Unaweza kuwa ndo hivyo hivyo vidonda kwake ni gonjwa kubwa

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 5 дней назад +3

      Jamani ugonjwa mkubwa! Mwenyewe nimebaki mdomo wa,I! Ila waandishi mnapenda kuyatafuta

    • @maligeltabatholomeo8128
      @maligeltabatholomeo8128 4 дня назад

      Ata vidonda ni ugonjwa mkubwa unauwa sana

  • @Queen-gv8ot
    @Queen-gv8ot 5 дней назад +10

    Yani uyu anachekesha me mwenyewe nimecheka hatari

  • @ShadrackSumila
    @ShadrackSumila 4 дня назад +2

    Acha nicheke jamaa anasema anapenda maisha ya hapo maana anainjoy sana

  • @ramadhaniharuna5441
    @ramadhaniharuna5441 3 дня назад

    Huyu anaigiza,
    Ukimuangalia tu,
    Ni kiki,
    Maana eti amenijengea,
    Nyumba Sinza daaah!!😂😂,
    Wabongo wanajua sana kwenda na upepo.

  • @SophiaRashidi-l6n
    @SophiaRashidi-l6n 5 дней назад +8

    Ila lwenye swala la njiwa kulia hili nina uhakika nalo kwa asilimia mia iliwai kutokea

  • @HappyMunish
    @HappyMunish 4 дня назад

    Duuh,,huyu muacheni jamani atakuja kumwaga mboga,,kashamla mtoto wa boss😢

  • @yaniahite
    @yaniahite 5 дней назад +9

    Watagalagala 😂😂😂😂jmn huyu kaka mzima 😂😂😂😂

  • @EneliaMfambo
    @EneliaMfambo 10 часов назад

    😂😂😂😂😂😂 kweli kipaji cha mtu huonekani tangu mdogo 😂😂

  • @HulukaAbdalah
    @HulukaAbdalah 4 дня назад +1

    Umezingua kk unajiereza kama una meno ndonn watu wamefiwa unasema unaulafik pia ndani yake unamapenz ujiopi poleni wanafamilia ila uyojamaa kazngua pia aseme ugonjwa Gani marehe aliokua anaumwa R I.P Dida

    • @asiamohamed8431
      @asiamohamed8431 3 дня назад +1

      Shida sio kijana. Shida ni vyombo vya habari ambavyo haviangaliii nani wa kumhoji. Sio kila mmoja anatakiwa kuhojiwa.

  • @tielyelibariki8958
    @tielyelibariki8958 5 дней назад +20

    Eti kajengewa nyumba sinza boss ni zaidi ya mpenzi nakesha naye Hadi ucku wa manane 😮😮😮duuhh hiii pasua kichwa
    Ugonjwa ni Mkubwa sana siwezi kusema wewe ujifunze kunyamaza mambo mengine😅😅

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 5 дней назад +1

      Mwenzangu huyu atafukuzwa kazi, kama vile hayupo vizuri kichwani

    • @Khadiga-qz6qv
      @Khadiga-qz6qv 5 дней назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti ajifunze kunyamaza mambo mengine 😂😂😂

    • @jassy1171
      @jassy1171 5 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @sarahonesmo2516
      @sarahonesmo2516 5 дней назад

      Kachanganyikiwa,ikipita wiki stori itabadilika atakuwa sawa😂😂😂

    • @sarahonesmo2516
      @sarahonesmo2516 5 дней назад +1

      ​@@judyngowi391😂😂😂atakatwa mshahara😂😂😂

  • @MiriamKibasa
    @MiriamKibasa 3 дня назад +1

    Jamni huyu kaka muongo jamni 😂😂😂😂

  • @yaniahite
    @yaniahite 5 дней назад +6

    Nimecheka sana huyu kaka so mzima😂😂😂natamani comment zingekua za voice note 😂😂

    • @nikrahayubu-sz3pw
      @nikrahayubu-sz3pw 5 дней назад +2

      😂😂😂😂mie mecheka et ctk kutaja ntakatwa mshahra 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @PhyinaElias-mu4wf
      @PhyinaElias-mu4wf 5 дней назад

      ​@@nikrahayubu-sz3pw😂😂😂😂😂

    • @valeriamtenga3384
      @valeriamtenga3384 4 дня назад +1

      Naona hayuko sawa kinamna

  • @EneliaMfambo
    @EneliaMfambo 10 часов назад

    Dida alikua anahouseboy tu house girl haaaaa😂😂😂😂😂

  • @LilianNkya
    @LilianNkya 5 дней назад +7

    Na wewe utasemaje house boy jmnn khaaa😢

  • @Samrah-qv7ex
    @Samrah-qv7ex 4 дня назад +1

    Ila waandishi bwana😂 yani mnaona kabisa mtu hayupo sawa bado mnamuuliza maswali,haya sasa mmeambiwa na nyie mtakufa😂😂😂😂😂 aki nimecheka sana mungu nisamehe jmn

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 4 дня назад +14

    😂mnagalagala kwenye masofa usiku wa manane😂

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 5 дней назад +3

    Ugonjwa mkubwa, hili jamaa P Diddy

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 День назад

    Awa mtoto huyo ndio ushaachiwa unasubiria Nini 😂

  • @JoshuaLetson
    @JoshuaLetson 4 дня назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 huyu jamaaaaaa noma sana nimemuelewa kiundan zaid😂😂😊

  • @mwasimpiana2625
    @mwasimpiana2625 3 дня назад +3

    Mmmh na nyie mnapenda kuandika kichwa cha habar cha kutisha wakati stor ni kawaida

    • @AngelShirima-qh6hd
      @AngelShirima-qh6hd 2 дня назад

      We hujasoma kunogesha story an unaeza kuta kichwa cha habari kinatisha afu ndani yake maajabu hamn😂😂😂

    • @GiftIddy-k2f
      @GiftIddy-k2f 2 дня назад

      Mapimbi sana hawaaa

  • @zulfamwakitosi5002
    @zulfamwakitosi5002 9 часов назад

    Anampenda Sana mtoto wake jaman Hawa ni wapenzi

  • @TinaJohn-p8d
    @TinaJohn-p8d 4 дня назад

    Poleni jamani!! Mungu awatie nguvu😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @ZaituniIssa-j5i
    @ZaituniIssa-j5i 5 дней назад +22

    Kweli duniani tunapita jamani tufanye mema.poleni sana familia ya dida na Tanzania kwaujumla

  • @lytrapha8677
    @lytrapha8677 5 дней назад +16

    Huyu lazima atakua ana undugu na hakika ruben... Sorini lakini😅

    • @GiftAbraham-oo4py
      @GiftAbraham-oo4py 5 дней назад +2

      Kaongo haka kahouse boy😂

    • @NoorEesa
      @NoorEesa 5 дней назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @bintalmasi2393
      @bintalmasi2393 5 дней назад +1

      ​@@GiftAbraham-oo4pyhii media inapanga watu, wanatafuta views.

  • @AnnaMgala-n6g
    @AnnaMgala-n6g 3 дня назад +1

    Uyo kaka mbona kama dishi lake alijakaza vzl 😁😁

  • @FrolaWangwe-xi1js
    @FrolaWangwe-xi1js 2 дня назад +1

    Kwani huyu anazungumzia nn😮😮😮😊

  • @cloudinhoabdi868
    @cloudinhoabdi868 4 дня назад +1

    We recently lost our actress and a designer also known as Dida here in Kenya. May their souls rest in eternal peace

  • @JessicaFred-q5b
    @JessicaFred-q5b 4 дня назад

    Jaman waandishi nanyie mumezidi mwezenu yupo kilio munazidi kumuuliza maswali haaa nyieeeee sitaki kusheka mim nipo kwenye kilio sha dada dida 😂😂😂

  • @RESTUTASAMWEL-od4le
    @RESTUTASAMWEL-od4le 5 дней назад +13

    Jamani huyu kaka hata haeleweki muacheni kwanza duuuhhh 🙆🙆😳😳😫

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 5 дней назад +12

    Kweli huyu ni muongo hajui anachokifanya lakini pia anaweza akawa mwendawazimu. Mtangazaji acha kuhoji wehu hawa.

    • @shamsaabdalah7038
      @shamsaabdalah7038 5 дней назад +2

      😂😂😂😂😂

    • @VeronicaPaul-l8m
      @VeronicaPaul-l8m 5 дней назад

      Yaani huyu kijana hafai kabisa ananichekesha wakati huu ni msiba mzito

    • @VeronicaPaul-l8m
      @VeronicaPaul-l8m 5 дней назад +1

      Mwandishi amejipata naye atakufa ajiandae

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 5 дней назад

      ​@@VeronicaPaul-l8m😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @fatmatraashidu8522
      @fatmatraashidu8522 3 дня назад

      ​@@VeronicaPaul-l8m🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌 daaaaah nimechekaaa

  • @estermtai5491
    @estermtai5491 3 дня назад

    Akitaja ugonjwa atakatwa mshahara😂muachen kwanza huyo jaman akili haijatulia bado

  • @MArikiRoymen-y2p
    @MArikiRoymen-y2p 5 дней назад

    Jmn pole broh na familia yako najuwa haupo sawa mpka sasa..nd maana maelezo yako yanaenda mrama

  • @rukiambaga
    @rukiambaga 5 дней назад +14

    Huyu ananikumbusha hakika ruben😂😂😂

  • @aishajumanne2698
    @aishajumanne2698 5 дней назад +10

    Hee heeee!!!!!eeè Mungu nisaidie . ..yaan tuwe na siri na haya mahouse boy namahousegirl uwiiììiii...huyu kaka.mzima kweli

  • @MAISHAMAG
    @MAISHAMAG 5 дней назад +1

    🎉🎉🎉pole but ww mfanyakazi uje tu home tuwe tunakuonaaa

  • @VictorineAchieng
    @VictorineAchieng День назад

    Ni km huyu kaka anamkula mschana Wa Dida au mm ndo cjaelewa😮😮

  • @faustamsigwa9236
    @faustamsigwa9236 4 дня назад +3

    Alanaizooo sauti tu nimekujua 😂😂😂😂

  • @nassoronyoka312
    @nassoronyoka312 5 дней назад +4

    Maskini huyu ayupo sawa wanamlazimisha tu kuongea akiendelea kumuhoji ataleta shida

  • @jacklinekalinga8583
    @jacklinekalinga8583 5 дней назад +4

    Poleni sana, mwenyenzi mungu amrehemu

  • @shamsaalsalamy5159
    @shamsaalsalamy5159 5 дней назад +4

    Huyu kijana anafahamu nini anaongea? Anaongea vitu vya ajabu kabisa, sasa yeye ni house boy au nani?

  • @MtumishiEstonFidelMtumishiEsto
    @MtumishiEstonFidelMtumishiEsto 5 дней назад +3

    Daaah huyu kaka mnzr rkn maongez yake jmn

  • @joyfaustine
    @joyfaustine 5 дней назад +14

    Huyu sio mzima ukiendeleaa kumuhoji usisgangae kuona anasema kwamba na kifo kakisababisha yete.chenga sana

  • @anethuledlusasimwimbe
    @anethuledlusasimwimbe 5 дней назад +5

    mtoto wa dida anasoma nje sasa anaye kaa nae huyo kaka ni yupi

  • @rachelgeofrey1500
    @rachelgeofrey1500 4 дня назад

    😅😅 alianza vzr akaja kuharibu mwishoni et rafk zaidi ya mpz Sema anatuchanganya mara kaka na dada mara mpz

  • @bettiejoy-mtotowamama
    @bettiejoy-mtotowamama 4 дня назад

    Ata nyinyi waandishi jiandaeni kufa*** na hapo hapo mahojiano ikafika mwishowe 😂😂😂, sasa bona mwatuchekesha wakati wa huzuni😢😢😢pole sana kwa familia.

  • @annabyekwaso-wt7oi
    @annabyekwaso-wt7oi 5 дней назад +9

    Eti tunagaragara uwiiii!

  • @ChristerRoma
    @ChristerRoma 4 дня назад +2

    😂😂😂 jmn mechekaa eet rafk rafik zaidi ya mpnz

  • @AnasaMaliki
    @AnasaMaliki 4 дня назад

    😂😂😂😂😂😂😂Mtangazi kichwa box
    Na anae ulizwa maswali ubongo tope 😅😅😅😅
    Wapuuzi kweli Sasa mtu alikuwa ICU Sasa hiyo cm aliongea saaa ngapi kama Leo narudi na mutafurahi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @AmanaHussein
    @AmanaHussein 5 дней назад +11

    Mungu nifundishe kunyamaza 🙆

    • @LindaMbilinyi-n3n
      @LindaMbilinyi-n3n 5 дней назад

      😂😂😂😂😂kwann unyamaze sema

    • @farhanahannana
      @farhanahannana 2 дня назад

      ​@@LindaMbilinyi-n3nmwenye kunyamaza has passed exams
      Said prophet of allwah s a w

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 3 дня назад

    Huyu sasa ndiyo kaongea vizuri kuhusiana na kifo cha bosi wake 💔

  • @MiriamKibasa
    @MiriamKibasa 3 дня назад

    Mbona kama mhehe huyu maana cyo kuongea yake😂

  • @AngelMbaga
    @AngelMbaga 5 дней назад +7

    Watu wengi sana wanaopenda kutukana watu bila sababu, kufanikiwa kwao ni kwa shida sana. Hakuna uchawi mbaya kama mdomo. Tena mdomo wako mwenyewe unaweza kukuroga

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 5 дней назад +1

    Huyu muongo wanamhudumia huduma za mwisho wamlete nyumbani wakati amelala mochwari khaaaa😂😂😂😂

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 4 дня назад +1

    House boy pole mtunze vzr mwanae

  • @liliangodson8715
    @liliangodson8715 День назад

    Kwa haya uliyoongea sidhan kama utabaki hapo..kibarua kitaota nyasi

  • @AsuminyAdinany-wi2cu
    @AsuminyAdinany-wi2cu 12 часов назад

    Huyu muongo sana huna hata utu angekuwa mama Yako ungezesha hivyo

  • @rajabdullaz1026
    @rajabdullaz1026 4 дня назад +1

    mshamba sana huyo jamaa sijui msambaa wa wapi

  • @layne3234
    @layne3234 3 дня назад +1

    😂😂😂😂kaanza vzr kaharbu mwishon

  • @RehemaDiwani
    @RehemaDiwani 3 дня назад

    Nimecheka sana. Wanaume wa Tanga nyie ni baraa kwa kuongea😅😅😅

  • @rosepaul7901
    @rosepaul7901 4 дня назад

    Sijui kwa nn namna huyu kaka anavyo jielezea ni kama kafyatukwa akili, lol

  • @Awlo-g6d
    @Awlo-g6d 4 дня назад +1

    Ivi watanzania mshapata kazi muombeen mwenzenu jamn

  • @justinelukumay5308
    @justinelukumay5308 5 дней назад +2

    Msaidieni njia ya kwenda Mirembe Mwehu Full, Dogo Acha Upuuzi au Umekunywa Gogo, Aloo msiba na mapenzi wapi na wapi We chizi