Manager wa Rose Muhando Amefunguka Mazito Muziki wa Rose Muhando

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024

Комментарии • 916

  • @jessiebenard5601
    @jessiebenard5601 5 лет назад +10

    Rose twamjua zaidi kukuliko.. she is so talented ... Na usisahau kelele za chura azimnyimi ngombe kunywa maji ..... Atazidi kulisifu jina la mungu

  • @bronew5696
    @bronew5696 5 лет назад +31

    Mungu akuonee huruma sana kama ni wewe umesababisha Mtumishi wa Mungu alie machozi ya uchungu namna ile mbele ya madhabahu..,Inahunisha Mungu tuokoe mikononi ya watu wabaya.
    From Kenya-
    oooh Oliver Wema,Mkiwa wawili Mungu Awaone.

    • @princesskay1573
      @princesskay1573 5 лет назад

      bro new unaona alivyosema rose kuwa talanta itachukuliwa ipewe mtu mwingine oliver ashaingilia 😭

    • @gabrielaaron2423
      @gabrielaaron2423 5 лет назад +1

      lazima awekwe ndani huyu Jamaa maana kashakua tapeli haiwekekani umlazimishe MTU mzima awe mpenzi wako Alafu unamdhurumu sio kwa Serikali hii kutafutwa kupo pale pale

    • @christinawillson6185
      @christinawillson6185 5 лет назад +1

      Pumbavu ww unamsema oliva t mbona rose ulie anza nae husemi mema yake

  • @Dm-yd1tl
    @Dm-yd1tl 5 лет назад +13

    Anatakakuchukua kipaji charose umpehuyo Dada. Majini yamesema.ilamzikiwako noma majini kumi duh hayo nimaangamizi yahatari . God bless rose mhando we love har

  • @bobocathouseoffab4477
    @bobocathouseoffab4477 5 лет назад +1

    Wakenya twa mtambua Rose mhando na maombi yetu Mungu atayajibu. she will stand again in Jesus Name.

  • @bobocathouseoffab4477
    @bobocathouseoffab4477 5 лет назад +4

    Mumemuharibu Rose. Mungu ako na Rose Muhando. Nathani wami ndiye director wa Oliva aliyekuwa director wa muhando mliyeshikania naye mmmalize Rose. hamuendi popote in Jesus Name.

  • @carolinemusimbi9232
    @carolinemusimbi9232 5 лет назад +62

    Rose muhando Mungu atarudi kumuinua mwanzo Kenya atapata support

  • @mathewlive77
    @mathewlive77 5 лет назад +4

    KAMA UMEAMUA KUMLOGA ROSE , MUNGU AKUCHOME KWA MOTO. Rose alisema umemwambia atakufa... Meneja mchawi unawafanyia fitina waimbaji... Hakika Kaz ya umeneja wako Naamuru kwa jina la Yesu isendelee mana unawatesa waimbaj hasa rose. Nampenda sana rose, naumia anavyo teseka, tumuombee wote.

  • @roseshiombo1450
    @roseshiombo1450 5 лет назад +30

    All you praise is Olivia... sja kuskia ukimusifia Rose Muhando...Kwa sababu Unajuwa ulichomufanya...!!!

    • @adelathomas4653
      @adelathomas4653 5 лет назад +2

      Hii.inatisha

    • @naomimuli88
      @naomimuli88 5 лет назад +3

      Tumuombee tu ni kwa sababu Yale atakutana nayo mungu atakapo Anza kumtetea mtumishi wake Rose, ni makali na ya kutisha

    • @joanandayi8606
      @joanandayi8606 5 лет назад +2

      Yes it's true coz ht mapepo yalisema msichana anapigania nafasi ya rose

    • @joycelinekobero7724
      @joycelinekobero7724 5 лет назад +1

      Mmmh..ngoja tusubiri hukumu ya Mungu

    • @susankaburu140
      @susankaburu140 5 лет назад

      pepo ikishaa julikana haikuangi na nguvu , next hayo mapepo yatamuludia mwenyewe.

  • @meshackmuoki8217
    @meshackmuoki8217 5 лет назад +28

    God will fight for Rose muhando dearly,,,,and we shall witness with our eyes.

  • @hechihechie5558
    @hechihechie5558 5 лет назад +36

    We mzee nikikuangalia nasikia kutetemeka,umemtesa Rozy sana,Kivyovyote vile Mungu atakulipa sawasawa na matendo yako,km Rozy kakusingizia,jitetee tukusikie

    • @mmasipeter4157
      @mmasipeter4157 5 лет назад

      Duuuh huyu ndo meneja wakee

    • @hasnasaif1075
      @hasnasaif1075 5 лет назад +2

      Cjamaliza hata kuangalia lakini sura yako2 inatisha dhahili tosha umuchawi but mungu atakulipa hapa hapa

    • @sarahlina9165
      @sarahlina9165 5 лет назад +2

      Christina Msoka walivyo mtendea huyu dada yetu rose cjafrahia kabisa mungu mwenyewe atawaadhibu

    • @undulealipipi4706
      @undulealipipi4706 5 лет назад

      Hamna kitu hapo ndo interview gani hiyo. Shetan tu.

    • @undulealipipi4706
      @undulealipipi4706 5 лет назад

      Ainuke dadaangu Rose had shetan ashangae.

  • @BETConlineTVTZ
    @BETConlineTVTZ 5 лет назад +5

    uko wimbo unaitwa babeli wa rose muhando ameimba kitu kikubwa sana kwenye ulimwengu wa kiroho. mungu aliyewatoa waislael mikononi mwa farao atamtoa rose mikononi mwa watesi wake.

  • @gracealex8712
    @gracealex8712 5 лет назад

    Acha utani na Mungu wewe,anakushushia kutoka mbinguni au, Makwazo hayana budi kuja ila ole wake yule asababishae makwazo hayo. Dada Rose Mungu akuinue kwa viwango vya juu zaidi. Amina

  • @shalomphotostudio9286
    @shalomphotostudio9286 5 лет назад +6

    HEEEEEEEEEEEEEEEE...HUYO OLIVA I DISK LIKE HER...HAIMBI NENO LA MUNGU ILA MIPASHO TU

  • @subiramomburi9148
    @subiramomburi9148 5 лет назад

    We baba huna hayaa Mungu atakuaibisha tuu siku mojaa.. Tabia yako ya kuwaangusha watumishi wa Mungu kwenye dhambi.. Kwa taarifa yako huwezi kumwangusha Rose Mhandoo.

  • @danielkyalo1512
    @danielkyalo1512 5 лет назад +4

    Kushika nafasi kivipi? If uar behind Rose Muhando God will never disappoint His followers just know niya muda tu yatapita.... Rose will rise kiupya, na nguvu mpya...... Tengeneza na utarajie kuanguka kwako kiupya.... Akiinuka ni wakati wako kuenda chini in Jesus Name

  • @banterbeebee8976
    @banterbeebee8976 5 лет назад +1

    Manager unashindana na Mungu alie mchangua mtumishi wake Rose muhando Mateso ulio mtesa Rose Muhando I tell machozi hayo siyabure Mungu alie mtetezi akamkumbuke Rose muhando akamponye mwili roho Amen

  • @lizmomishkalizmwikali2854
    @lizmomishkalizmwikali2854 5 лет назад +5

    Oooh kumbe niukweli. .unataka olive awe star. .mungu halali wacha kumharibia rose kipaji chake. .

  • @juniorsmart2483
    @juniorsmart2483 5 лет назад +1

    Olive,Olive xx 2nataka Rose we unaongelea ya Olive xjui kwendaaa!

  • @jacksonsungwana2344
    @jacksonsungwana2344 5 лет назад +4

    Siku zote the guilty eyes huwa haijifichi,Mungu muinue tena Rose Muhando na kwa msaada wako naamini atainuka tena.

    • @marynjeri815
      @marynjeri815 5 лет назад

      Oliver ameger rose

    • @marynjeri815
      @marynjeri815 5 лет назад +1

      Ameiger rose kabesa.

    • @marynjeri815
      @marynjeri815 5 лет назад

      Mungu umsaidie dada rose kwa ile talent ulimpear maana wee dio mwanzo tenamwizo

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 5 лет назад +84

    Na lisura lake limekaa kichawichawi hivyohivyo na Mungu azidi kukuahibisha Rose atainuka tena na utapata tabu sana

    • @pauloabdala6516
      @pauloabdala6516 5 лет назад +4

      meneja. umemfanyaje rozi muhando kumbuka mungu ajaribiwi na huyo ni mtumishi wa mungu na maisha yanapita jua hilo mrudishe katka alitakiwa na mapepo haya dangaji

    • @nirmaladavid8861
      @nirmaladavid8861 5 лет назад +3

      Hata kuvaa kwake🙆

    • @mirriamkivungo3773
      @mirriamkivungo3773 5 лет назад +3

      He is not confident with himself 🤔he looks shy ,reason behind it he knows it well.What God has annointed no one and I repeat no one can do away with it.Rose muhando ni mtumishi wa Mungu na Mungu ataendelea kumbariki.wachawi kaecheni chonjo na muyatanzame makuu ya Yesu kristo kupitia huimbaji was rose.

    • @meshackmuoki8217
      @meshackmuoki8217 5 лет назад +1

      +Mirriam Kivungo amen

    • @frederickseme7954
      @frederickseme7954 5 лет назад +1

      duu yaani ndio huyu

  • @rosenyirenda4932
    @rosenyirenda4932 5 лет назад +52

    Nathani subiri Mungu atakupa majibu yako...umemtapeli Rose kwa miaka yote hiyo?????

    • @dicksonandrew6297
      @dicksonandrew6297 5 лет назад

      Rose Nyirenda Mungu atuhurumie

    • @momfive8847
      @momfive8847 5 лет назад

      Rose Nyirenda .tell them to stop doing the work of the Lord

    • @phellowmmbunitv6077
      @phellowmmbunitv6077 5 лет назад

      Leo ukweli umewekwa wazi...wachungaji walimlaumu Rose kuwatapeli kumbe ni Nathan Wami 😳Maskini Rose

    • @rosenyirenda4932
      @rosenyirenda4932 5 лет назад

      Jane Mburu ..
      We are living end days. God help us.

    • @rosenyirenda4932
      @rosenyirenda4932 5 лет назад

      Ni maombi yangu mungu amponye na amdimamishe Rose upya.
      Nathani ataonana na mungu. mmana Nathani ametukwaza sana

  • @aliceamos8228
    @aliceamos8228 5 лет назад +8

    God is watching you... Am umelambiswa lolo na Oliver.

  • @alisaalis9218
    @alisaalis9218 5 лет назад +29

    Huyu Mbona akachoma.Rose sababu ilikuwa nini?Na Mbona umechukuwa magari yake,Naomba mungu yale umemfanyia rose naomba na wewe pia yakukute kwa jina la yesu

  • @neemalushinge2477
    @neemalushinge2477 5 лет назад +4

    usijaribu kungusa mtumishi wa MUNGU majini na mapepo yakuludie mwenyewe kwa jina la yesu mwache rose aitangaze injili ya MUNGU ushidwe kabisa kwa jina la yesu

  • @lillyf426
    @lillyf426 5 лет назад +37

    Wewe manager ulichpmfanyia rose Mungu anakuona...malipo ni hapa hapa duniani

    • @susans.s4609
      @susans.s4609 5 лет назад +1

      kabisaa

    • @ziadaalute6836
      @ziadaalute6836 5 лет назад +1

      lilly F ,Kamuharibu Rose sasa kahamia kwa mwingine,Injili unaihusisha Na umalaya Na uchawi,utafikamwisho.hufi hadiutazalilika

    • @kiptoonchepchieng2232
      @kiptoonchepchieng2232 5 лет назад

      wewe manger ni mbaga sana

  • @oneononetz1028
    @oneononetz1028 5 лет назад

    kwa kazi gani uwe na maisha mazuri kuliko rose &Rc chunguza huyo na kamata anajua siri ya madawa alokuwa anamlisha rose !mwenyezi mungu tenda jambo kwa rose asimame tenaaa

  • @williamnassoro23
    @williamnassoro23 5 лет назад +21

    Jamani hamna zaid ya Rose muhando lakin wamemloga ban? Dah!!!!!! Bora wali nyama kuliko walimwengu

  • @naomihezron8266
    @naomihezron8266 5 лет назад +1

    Mungu aingilie kati, rose tunaamini atapona tu na ukweli wa mambo utazidi kujulikana, , Mungu si mwanadamu tunajua atatenda tuu

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 5 лет назад +30

    Iko siku icho kitambi kitaeleza vizuri kwa mungu, unafikiri unaweza kushindana na mungu soma 1timothy 3:5. Hicho kitambi kitayeyushwa kama nyloni kwenye ule moto wa milele.

  • @nyinamlewanyinamlewa2683
    @nyinamlewanyinamlewa2683 5 лет назад +57

    Mzee koma wewe hujamtoa huyo sisi tinayemjua na tuliishi nae kwetu mpaka akawa mkristo tuseme nn ??? Muongo mkubwa wewe. Umelaaniwa na kizazi chako cha kwanza hadi cha nne. Hizo Mali hutozikwa nazo tambua hivyo. .. na wewe unayehoji umelipwa ili umsifie huyo lusfa wako😏😏 anawaambia mnafanya vitu vinavyoeleweka kisa unamsifia ovyo wote nyinyi

    • @franciscahmukotee2644
      @franciscahmukotee2644 5 лет назад +1

      Nyinamlewa Nyinamlewa mwambie huyu pepo

    • @jordanprince3196
      @jordanprince3196 5 лет назад +1

      Kweli baba ujafanya vyema hakikaaaaa Mungu anakuonaaa coz tushaona clip ya martha jinc anavyomwelezea rose muhando ukiisikiliza machozi yatakutokaaaaaa kwa hayo uliyomfanyia ila Mungu atakuonaaaa na atatenda jambo kwakoo malipo apa apa duniani dada wawatu adi makovu anayo kama sio mtumish wa Mungu daaaaaaaaaaahahahahahahah kweli binadam kaz ata uyo dada atakukimbia tyuuu Mkuki kwa ngurue mtam lakin kwa binadam mchungu hicho kitambi kitakutoka tyuuu ipo siku ya mwisho

    • @jordanprince3196
      @jordanprince3196 5 лет назад +1

      Mwambieeeeeeeeeeeee mzee una roho mbayaaaaa kama vile sio binaadam duuuu

  • @barakamwangama3453
    @barakamwangama3453 5 лет назад +6

    Wewe mzee na rose mnafanya mungu hana nguvu ila wewe unaweza mshusha hyu na kumpandisha huyu rose alikuwa anakutumainia Sasa nasema hivi from the bottom of my heart rose atabakia na huimbaji wake na utaongezeka na huyo Oliver hata mfikia rose mpaka mungu atakapo hamua yeye kwa jina la yesu #na nmesema na itakuwa hivyo na nimeandika ktk ulimwengu Wa roho na naweka muhuri Wa yesu amina.

    • @kennedygitonga1614
      @kennedygitonga1614 5 лет назад

      npatieni hii kasia ya MTU inatesa watu npeleke lcc

    • @lukrensiamlelwa3318
      @lukrensiamlelwa3318 5 лет назад +1

      Amen!

    • @barakamwangama3453
      @barakamwangama3453 5 лет назад

      @@lukrensiamlelwa3318 huyu rose hatulie jaribu linamlango Wa kutokea Kama Ni kweli wewe wami unachukua hela za watu huku watu wakidhan wamemrushia rose alafu wewe unakula peke yako Bila kumshirikisha rose watu wanamlaumu rose kumbe unadhamila ya kumchafua rose kweli mwansasu aliimba kinachokutesa kpo kinguoni mwako huyo oliva ulimwandaa kimwili ndo maana nyimbo zake hazina mafuta kavu kweli

    • @evelynrylyn953
      @evelynrylyn953 5 лет назад

      Umemalizana na Rose,umepata chombo kipya cha zamani huna haja na cho,but jua mungu wa mbinguni ana haja na Rose,copy cat wewe,Mna mucopy Rose kwa maazi danci na kila kitu,but mjue shes the original,and here in kenya we love her.Atapona tu kwa damu ya yesu and she will shine again.Nathan wajua tu vile ulimfanyia kusign. Contract na sony and you know very well thats a demic contract,you cannot finish her,msariti wewe mla jasho za wengine,ushidwe kwa jina la yesu.

  • @gladwelldaughterofzion9884
    @gladwelldaughterofzion9884 5 лет назад

    No weapon forced against Rose muhando will prosper in Jesus name ,uchawi yako haitamueza endea kiti ukae chini uone vile mungu atainua Rose tena na saa hii hautawesa kumweka chini

  • @akashakiyara3243
    @akashakiyara3243 5 лет назад +57

    So, you are fighting Rose to raise Olivier. Mmmmh Mr manager when God says yes no man can say no,Rose's life belong to Jesus and her ministry is from God,you can not handle that,Satan remove your hands, pack and live muhandos life.for good.

    • @franciscarmuveta7019
      @franciscarmuveta7019 5 лет назад +1

      Amen

    • @mirriamkivungo3773
      @mirriamkivungo3773 5 лет назад

      Amen

    • @priscilarkahindi9126
      @priscilarkahindi9126 5 лет назад +1

      Amina amwache

    • @vaneobiri5941
      @vaneobiri5941 5 лет назад +3

      Usilalie bahati ya mwenzio mlango wasi.rose yuacha tena

    • @nyabokeokioga1535
      @nyabokeokioga1535 5 лет назад +2

      Who God has blessed and lifted up nobody will bring them down nor curse. Evil Nathan stop ranting bcoz every weapon u hv raised against RoseMuhando has already backfired to u in Jesus Name. AMEN

  • @elibarikinkya7929
    @elibarikinkya7929 5 лет назад

    Eti namshukuru mungu kwa kuniwezesha.. unaulizwa swali la ROSE MUHANDO ALAFU UNATUAMBIA HABARI ZA OLIVER.. MCHAWI MKUBWA WW MZEE

  • @christinedisii626
    @christinedisii626 5 лет назад +43

    Oliver anamuiga Rose kuimba kama unataka kumpaisha MUNGU atawapa pigo ambalo hamtalisahau

    • @priscamushi2334
      @priscamushi2334 5 лет назад +3

      Na kweli Rose wala hakukosea alisema
      Kuna mschana ambaye ameandaliwa kwaajili ya kupewa karama ya Rose na si mwingine ndio huyo Oliver anayezungumziwa hapo na meneja pumbavu zao bahati nzuri katamka mwenyewe meneja kuwa kuna binti anakuja juu kama Rose!! Ila mungu atawachapa kiboko meneja na wengineo anajifanya kulitaja jina la mungu bure!! ATAUMBUKA NA AMESHAUMBUKA MCHANA KWEUPEE!!

    • @paulmnama9405
      @paulmnama9405 5 лет назад +1

      we meneja gn mkundu wewe

    • @paulmnama9405
      @paulmnama9405 5 лет назад +1

      dada yetu umemuua

    • @akashakiyara3243
      @akashakiyara3243 5 лет назад

      Weee,Are you wife to that man.tell that your Olivier that, she is very wrong,if she thinks that Rose will die,for her to be famous in music.God can raise people to worship him,not earthly men,who are evil.Back to center.

    • @jA-ox7vz
      @jA-ox7vz 5 лет назад +1

      By the way hata huyo oliver atakapochoka kutumiwa,,,ajiandae na litakalompata,,,kama ni kweli yasemwayo kuhusu huyo meneger wao

  • @sanaipeigladys4775
    @sanaipeigladys4775 5 лет назад +1

    unakaa tu mchawi umeshindwa kabisa rose hutamtesa mungu amemwokoa, na sio wewe unatoa mtu ati from nothing to something ni mungu alimuinua Rose muhando na atamuinua zaidi

  • @anthonykioko3101
    @anthonykioko3101 5 лет назад +12

    MMMH ROSE NI WA MUNGU HUMWEZI KAMWE SHINDWE

  • @salomemourice1867
    @salomemourice1867 4 года назад +1

    Huyo kidomo domo Hana lolote na akaimbe mipasho huko kinywa cha Rose kimeguswa na Mungu toa Uchawi wako hapa 😗😗

  • @linahdaisy4180
    @linahdaisy4180 5 лет назад +25

    He is obsessed with Oliva ..may God of Abraham,Isaac and Jacob deal with you if you have raised your hand against his savant ... Rose Mhando God will fight for her ........rose just stay in Kenya your more protected here

  • @neemasanga416
    @neemasanga416 5 лет назад

    Mungu akutiye nguvu mtumishi
    jonathani, kazi yako ni njema
    dhambi ni mlango wa mauti
    ya vipawa vilivyomo ndani
    yake na mtu mwenyewe
    Mungu awarehemu jambo
    ambalo halikukaa sawa ndani
    yenu aliondowe na awape moyo
    wa toba ya kweli.

  • @ericphilip7480
    @ericphilip7480 5 лет назад +5

    From psychology one can judge right this man is not straightforward. He seems to be nervous, keeping off eye contact and literally avoiding questions about Rose--a character of a guilty individual. He has a longer story to tell about what's haunting our sister!
    Then to the reporter, People don't subscribe because of the much you refrain "subscribe!" It's rather the good work you present that makes people get attracted to your channel. Chambilecho chema chajiuza, kibaya chajitembeza.

  • @irenenabitaka7057
    @irenenabitaka7057 5 лет назад +1

    I miss Rose all the time. She is my hero. God bless Muhando.

  • @matildawairimu6921
    @matildawairimu6921 5 лет назад +5

    We are praying for rose and God will restore her, as for you touch not my annoited do my prophet no harm. The thunder that will strike is doing press ups

  • @constancesau7499
    @constancesau7499 5 лет назад +4

    This is shocking ....kidomodomo na hangirema ...Pia Rose Muhando aliimba naye ....aah kweli kikulacho kinguoni mwako ..I thought these two ladies are best friends ...

  • @speciosendayi1652
    @speciosendayi1652 5 лет назад +2

    Mbona hujaongelea chanzo cha kuunguwa kwa Rose, Na kuharibiwa Uso wake.
    nasikia tu Oliva oliva,
    Ee Mungu,
    Mponye Mtumishi wako ROSE,

    • @dorcasmutio877
      @dorcasmutio877 5 лет назад

      Speciose Ndayi .....may God fight for Rose,may he restore her once more for he's a God of second chance

  • @francisbuya8357
    @francisbuya8357 5 лет назад +4

    Ila we mzee una shida muombe mungu msamaha kupitia rose mhando kwani ulichomfanyia ni kitu kibaya sana. Watu hawawezi kukaribia wanaogopo kuunguzwa

  • @fridahblessed724
    @fridahblessed724 5 лет назад

    Wewe meneja wa Rose,mungu akusamehe kwa Yale uliyomfanyia,,rose anainuka tena

  • @msafiriaugustino2957
    @msafiriaugustino2957 5 лет назад +4

    aahaa we ndo nathan uliemshikia bastola muhando, ndo we ambae unamfanyia ushirikina rose asifanikiwe, ndo we ambae hutoi msaada kwa rose aliekuingizia fedha miaka yote sasa hivi umemsusa baada ya kudhulumu, na mbaya zaidi unafanya kwenye mambo ya Mungu hopeless kabisa, mnadhalilisha ukristo, nyimbo ni ibada mmemuingiza na ibilisi na mawakala wake ndani.

  • @lucykuria9970
    @lucykuria9970 5 лет назад

    Ulaaniwe nahata hufeel aibu ukitajataja mungu apo..shidwe kabisa, God anapeleka our siz rose far

  • @paulinemuhonja6901
    @paulinemuhonja6901 5 лет назад +5

    Wewe mchawi mkubwa hadi mapepo yakutaja wakati Dada Rose anapoombewa.ukisema kipawa,unakipawa kutoka kwa shetani.unaudhi sana watu.adhabu utakayo pata kutoka kwa mungu Ni zaidi na vile ulivyomfanyia Rose.wakati huu Ni furaha kwako wakati Dada Rose anapoteseka.itaja siku ambayo utaseka sanaaaaa,Rose akifurahia katika bwana.Rose ninamwombea sana kwa kuwa nazidi kubarikiwa kwa nyimbo zake.upende usipende Rose atasimama zaidi Mara kumi.ushindwe mchawi mkubwa weeeeeee.

    • @georgeolekelele5072
      @georgeolekelele5072 5 лет назад

      I appeal to all men and women of God to pray for rose muhando.remember we are not in heaven but on earth.we are not angels but human beings.please if you are fighting for the downfall of rose then remember you not of God. Rose jipe moyo Dada na usimame imara.Linda imani yako Dada, achia mungu akupiganie coz binadamu hawana huruma

  • @ziadaalute6836
    @ziadaalute6836 5 лет назад +1

    Umtumie Rose kwa ngono nakukuingizia pesa,nyani wee,Mungu amekupa hawara mwingine,kani Rose umeshamchosha.

  • @virginianjue8137
    @virginianjue8137 5 лет назад +4

    nimesikiliza mazungumzo ya meneja was rose muhando kuna Jambo nimegundua.ukiachilia mbali mambo mengi,body language yake inaashilia kuna Jambo fiche analolifahamu.pili yy Kama meneja anaishi sababu ya rose asingemwachilia rose kufikia hatua rose aliyofikia,hata huyo aliyempata mpya atapitia shida nyingi kwake.lakini Jambo moja watanzania nataka mshike kuanzia Leo ni kuwa matatizo ya rose Kama si meneja wake muhusika mkubwa anaweza kuwa baba was kiroho au marafiki.kama ni meneja ajue huyu kafanyiwa ibada ya ukombozi kwa hiyo Anza kuaga familia.nina uzoefu was miaka mingi matukio Kama haya.hili ndilo kanisa langu hapa Nairobi ninafahamu yanayotendeka.asanteni watanzania tuzidi kumuombea rose make ameliinua taifa letu kimuziki.

  • @neemaalpher8798
    @neemaalpher8798 2 года назад

    We mzee mungu ana kuona ume mtesa rozi muhando sana Kisha ukamteka kumbuka uta towa hehabu ya mtendo ulio mfanyia Roz

  • @allexlunny7795
    @allexlunny7795 5 лет назад +46

    izi ishu za mameneja kila siku wasanii wana lala mika saizi imeingia adi makanisani na uyu meneja anakazana kumsifia msanii mpya anakwepa kunyoosha hali ya Rose muhanado ukicheki sura yake inaonyesha kuna kitu anacho jua moyoni mwake na ipo siku atavitapika kudadeki

    • @pstericmuhunjia5164
      @pstericmuhunjia5164 5 лет назад

      muhando ana enda mbari

    • @gilbertiha6144
      @gilbertiha6144 5 лет назад

      Hata Mimi nimeona hivyo

    • @nimaemily1684
      @nimaemily1684 5 лет назад

      kweli kabisa, kaka skuzote ukweli wamtu hupatikana machon pake na uwongo wamtu huonekan, machon pake pia, huyu baba ...Mungu ana muona naskuzote MUNGU huwa hamfichi mnafki 1 iposku ukweli utajulikna tuu

    • @voiceoflifeministry1416
      @voiceoflifeministry1416 5 лет назад

      Kweli, huyu bwana awe mwangalifu Sana juu mungu, halali na ukweli haujifichi

    • @ramawadi9942
      @ramawadi9942 5 лет назад

      Fisadi mkubwa wewe

  • @leticiaaugustin4993
    @leticiaaugustin4993 5 лет назад

    Nampenda sana Rose Muhando....Ww Mungu atakulipa tu.Hatumtaki uyo Oliva.Kwanza hana sauti kama Rose na hajui kuimba na kucheza.Anamuigiza Rose...hahaaaaaa.Pole sana

  • @gaudinamosnchobe4909
    @gaudinamosnchobe4909 5 лет назад +4

    Moto wa mungu utakuchoma

  • @emmanuelannania3799
    @emmanuelannania3799 5 лет назад

    We mzee unataka kumharibu na Oliver tena!! Loh!! Mungu amlinde Oliver amwepushe na huyu ibilisi shetani....

  • @groliabigo2525
    @groliabigo2525 5 лет назад +6

    Yaan mchawi anajulikana tu hilo sura lake tu na adhabu Mungu atampa mwenywe

    • @gladnesseliakimu450
      @gladnesseliakimu450 5 лет назад +1

      umeonaa eedh uyu mchawi

    • @siphamange277
      @siphamange277 5 лет назад +1

      Huna lolote humpaishi wala kumpandisha mtu aliyepandishwa na mungu ni rose tu

  • @maggykavata9439
    @maggykavata9439 5 лет назад

    my sister ROZE.toka kwa huyu manager kabisa...na mungu atakuinua juu zaidi

  • @mtumishiwake4006
    @mtumishiwake4006 5 лет назад +23

    Hatujui mkweli nani sote tuko chini ya jua twaikanyaga arithihii iliojaa maouvu mungu ndio ajuae mioyo yetu.kama kweli ww mchawi tubuu.

    • @fabynexus6653
      @fabynexus6653 5 лет назад

      Sylvia Muhonjah wewe ndo haujui sio wote hawajui

    • @mtumishiwake4006
      @mtumishiwake4006 5 лет назад

      Faby Nexus hakuna mkamilifu mungu ndio ajuae maana hata hao tuwaitao ma pastor nguvu za giza zawatawala.

    • @momfive8847
      @momfive8847 5 лет назад

      Sylvia Muhonjah Amen

  • @hannah_wambui
    @hannah_wambui 5 лет назад +2

    Holy gost fire deal with this manager and all those taking the glory out of rose muhando

  • @rehemakulaba923
    @rehemakulaba923 5 лет назад +6

    Duh kumbe ndohuyu meneja anaye taka kumuuwa Ros

  • @julianankulila497
    @julianankulila497 5 лет назад

    Rose katumika kama mtaji wa kupata utajiri halafu umemtupa kule mikataba mibovu inamtesa Rose wetu ivi unajisikiaje dada wa watu anavyo teseka Mungu anakuona.

  • @christinedisii626
    @christinedisii626 5 лет назад +82

    Sura tu yaonekana umchawi hutaweza kumuua Rose mhando umegusa mboni ya jicho la MUNGU utakufa umuache

    • @joycelinekobero7724
      @joycelinekobero7724 5 лет назад +1

      Christine Disii umeona eeh

    • @hannah_wambui
      @hannah_wambui 5 лет назад +2

      Kweli anakaa to mchawi .....

    • @jamilnyami7749
      @jamilnyami7749 5 лет назад +3

      Mbn A naogopa kamera huyo mwanga

    • @amhamediserengeti4808
      @amhamediserengeti4808 5 лет назад +1

      Anaonekana mkatili sana amejaziana tumbo kwa jasho la mwenzie

    • @ericphilip7480
      @ericphilip7480 5 лет назад +3

      Anahepa camera, anakaa kama anaogopa na pia kugeuza swali akiulizwa habari kumhusu Rose...Hulka za mtu asiye na mienendo mizuri!

  • @earnestmwangombola233
    @earnestmwangombola233 5 лет назад

    Ustaadhi Mazinge ni kweli amelaaniwa aangikwae mtini. Yesu aliangikwa msalabani badala yetu wenye dhambi.Alifanywa laana kwa dhambi zetu yeye asiyekuwa na dhambi. Pia alishinda mauti kwa kufufuka kutoka kwa wafu. Usiupige teke mchokoo, utaumia sana.

  • @yahabibiyahayatiyahayuni7339
    @yahabibiyahayatiyahayuni7339 5 лет назад +4

    Wewe unaangusha mteule wa Mungu?ata bibilia husema ni heri ukose kuleta wengine lakini usipotoshe huyo mwenye amejichagulia Mungu atakuhukumu na asira

  • @pascalbahati4563
    @pascalbahati4563 5 лет назад

    Nathan Mrejeshe Mama Rose uliyo nyakua kutoka kwake la sivyo utaibua laana tele na itakufuata wewe hadi vizazi vyote maishani.Macho ya Mungu yana kuona!!!

  • @solomonmpuluma5485
    @solomonmpuluma5485 5 лет назад +8

    The so called Wami eti meneja ndo aliyetajwa na mapepo kuhusika kumtesa mtumishi Rose Muhando!! Atashaaa, maana Mungu sio shangazi yake!!

  • @jemimahmurgor9898
    @jemimahmurgor9898 5 лет назад

    Let all prayer warriors stand in solidarity with this mighty servant of God Rose Muhando.God had a reason to call her and let this not be a story but watu Wajue shetani anatafuta wateule na wala si wengine. Let us not close our eyes.1petero 5:8.Mungu atusaidie sana wahuduma

  • @jacintahkhalangula7324
    @jacintahkhalangula7324 5 лет назад +5

    So this is the man that is behind Rose muhando suffering?you git to know one thing you old man.Rose is the annointed one and no weapons formed against her shall prosper in Jesus name

  • @newgeneration4543
    @newgeneration4543 5 лет назад

    Tunampenda Rose sana....na Atainuka kwa jina la yesu..

  • @lilianjaruha995
    @lilianjaruha995 5 лет назад +6

    Hivi mbona unamtaabisha rose hivo,uwe macho sana usije ukapata taabu wewe meneja

  • @estherekyela6809
    @estherekyela6809 5 лет назад

    Huyo baba,sura yake tu ya fanana uchawi,achane na Mtumishi wa Mungu,ana kicha uyo baba.Mungu Ali mpingania na sasa ame pona,acha Mungu apewe sifa kweli,

  • @anitakalua2309
    @anitakalua2309 5 лет назад +4

    JAMAN Hadi sula yinaonesha kwamba huyu shetani NI shetani wakutupa duuuh sula na loho yake havinaga utofauti , kwakwel umenikera Sana ,

  • @Jayney214
    @Jayney214 5 лет назад

    Huyo Oliver Wema hawezi kumfikia Rose hata nusu....We are standing strong behind Rose Muhando

  • @mwambinguphilip55
    @mwambinguphilip55 5 лет назад +4

    Shindwe aliye mtoa rose kutoka alipokua hadi alipo ni Mungu and not you

  • @erickkinisa592
    @erickkinisa592 5 лет назад

    Mungu munuwe Rose tena na wale tuliliyo msema rose vibaya mungu atusamehe

  • @bellemusiquerelaxante8959
    @bellemusiquerelaxante8959 5 лет назад +3

    wala OLIVA hawezi kuimba kama ROSE, ROSE ana sauti nzuri sana

    • @amtarecords9287
      @amtarecords9287 5 лет назад

      Sio wewe uliye weka kipawa cha uimbaji kwa Rose muhando, ulicho mfanyia Dada Rose utajuta, tumekupea siku kadhaa za kutubu, vinginevyo.......Repent Repent Repent!!

  • @neemamussa7866
    @neemamussa7866 5 лет назад +1

    naamini Mungu hajamuacha rose

  • @emanueljosephat1605
    @emanueljosephat1605 5 лет назад +5

    Et umemtoa From nothing
    Sikushangai maana Wanadam ndo wanasemaga wakipewa2 uwezo wa kumsaidia mwngne.
    Hata kwako ulipewa iweje ww ujipe 100% ya kuwa ww ndo kila k2 kwake. We Mungu amah
    Kila k2 kuisha hapa dunia pesa c k2
    U2 KWANZA

  • @norahndanzi4146
    @norahndanzi4146 5 лет назад +1

    Eti siku za mbele mtamjua vzr zaidi oliva huko kumjua vipi au ndio unampika namatunguli yako kama kweli umemchezea rose Mungu hatanyamaza kwaajili ya hili

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 5 лет назад +4

    Mchawi mkubwa wewe! Naogopa usije nichawia na mimi ukiona text zangu hapa! Kama nliyo sikia ni ya ukweli malipo ni hapa hapa duniani, lakini kama ni uongo basi Mungu anisamehe na azidi kukubariki. Ila Kama dada yetu Rose ndio wewe umemfanya msukule na kufikia hapa alivyo Mungu anakuona. Huyo Olivia hajui yaliyo mtokea mwenzie? Ni Kama mwanamke kuingilia nyumba ya mwenzio ukifikiri utapendwa zaidi kumbe na wewe unatumika tu.

  • @happynescharles1511
    @happynescharles1511 5 лет назад

    husitumie jina la mungu kwny upuuzi wako, siku ya kiama inakungoja Mzee baba

  • @emanueljacobo1048
    @emanueljacobo1048 5 лет назад +4

    Nimesoma koment karibia zote mnzee Nathan rud kanisan ukatubu laana ipo nyuma yako una nenepa kupitia nguvu ya Rozy hata hofu huna 😌😌👹👹ww

  • @abcdefgger
    @abcdefgger 5 лет назад

    Munguee mukumbuke mutumishi wako roza muhando babaaa👏👏👏👏👐👐

  • @stevenkipara9310
    @stevenkipara9310 5 лет назад +7

    Umeumbuka leo 🔥

  • @kennedyboge3445
    @kennedyboge3445 5 лет назад +1

    Nyinyi ndugu zetu watanzania chenye mmefanyia rose mhando mtalipwa tu hapa hapa

    • @aishawoooiii2777
      @aishawoooiii2777 5 лет назад

      Ukisema tulicho mfanyia tutajuaje sisi.ikiwa ndio kwanza kuona huyo meneja wake sie pia atujui kunavo enda Huyo.mlangi ndio anajua alichomfanyia Rosi usiseme ati nyie kinanani na
      wengine tumebaki kuona kwa tv rose tutajuaje sie huyo meneja wake ndio inavoinwsha anahusika kbisa

  • @mgendymtima2966
    @mgendymtima2966 5 лет назад +3

    Uyo wema kama anajpenda aachane na huyo meneja angekuwa mwanaume uyo wema nngemashaur aendelee .lakn kw sasa atakuwa teja soon. Pole sana Dada umeingia kwene jahanam y dunia jfunze kupitia kwa rose Dada nakuomba ucpende mtelemko huyo nathar hatokuacha salama japo ckujui

  • @isackigacka9802
    @isackigacka9802 5 лет назад

    shetani amekutendea mambo makubwa sana ukamfanyia rose Ila ishajulikana oliva shauri yako rose sijui kama unamuona

  • @mondaonyancha8823
    @mondaonyancha8823 5 лет назад +5

    Mkifuata Rose Kenya mtaangamia, kaa na huyo Oliva muende kuzimu naye. Bure kabisa

  • @erickkimario6606
    @erickkimario6606 5 лет назад

    We huna tofauti na jini na malipo ni hapahapa duniani lo! Huna haya unataja jina la mungu Nathan mungu atakupiga hutoamini

  • @markloiba8662
    @markloiba8662 5 лет назад +87

    What? Ati umefanya kazi kubwa kupromote nyimbo za injili? Are you God?? Injili litaendelea without your promotion! Nkt!!!

  • @raphaelkopwe4464
    @raphaelkopwe4464 5 лет назад

    Mungu akulaani wew baba upate bonge moja LA ajari yaani ufe hata ubongo usijulikane

  • @dalalimollelarusha7151
    @dalalimollelarusha7151 5 лет назад +17

    Kama Mungu aishivyo ukweli hautachukua mda nakuambiaa iweje oliver wema akaribishwe na rose muhando alafu mje mumpindue rose daaahhhhh wait maana maombi ya dunia inalaanii

  • @floridakindole939
    @floridakindole939 5 лет назад

    Mungu wetu ana masikio anasikio atajibu kwa wakati wake,yupo Mungu msemaji wa mwisho juu ya maswali yetu,Mungu mkimbuke rose hata kwa yale machache aliyofanya ktk dunia hii,nawewe mzee utavuna ulichopanda.

  • @mtumishiwake4006
    @mtumishiwake4006 5 лет назад +32

    Ulimwengu bado twampenda rose tuambieni kma deni tuchange kuliko kumtaabisha mama wawatu jamani tangu vidio uvume nasikitika sana mie.mbona ujifiche kwa injili moyo wakiama waja.

    • @yoshuasalum8623
      @yoshuasalum8623 5 лет назад +2

      Ni kweli ,bora waseme wanachomdai tutamchangia mtumishi wa BWANA .maana ni moja ya watu walioiamsha injiri ya YESU Tanzania kwa njia ya uimbaji

    • @mtumishiwake4006
      @mtumishiwake4006 5 лет назад +2

      yoshua salum kweli mimi natokea kenya ila nasikitika machozi yani toka kila nikiangalia rose wa sasa sio yule tunao mjua

    • @abuhamisi3041
      @abuhamisi3041 5 лет назад

      ni kweli twampiwe tuchange

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 5 лет назад

    Yesu tu unataka kumuhuwa mama yetu basi wewe mchawi Mungu akusemehe Sana, njoo unataka kumuhuwa Rose Muhando

  • @saidnassermahrooqi1787
    @saidnassermahrooqi1787 5 лет назад +13

    Nakwambia huwezi kupindua kipaji cha rose wewe si MUNGU

  • @carolinemwanzia7956
    @carolinemwanzia7956 3 года назад +1

    Rose is a living Testimony to many, mr manager.

  • @anneanne8476
    @anneanne8476 5 лет назад +3

    Wewe ndye niliskia ulimchoma Rose..mungu anakuona