SPIKA DKT. TULIA ATOA TAMKO ZITO SAKATA LA USHOGA, AIPA MAAGIZO SERIKALI"LIMESHAELEWEKA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 193

  • @ramadhanisaidi6955
    @ramadhanisaidi6955 Год назад +33

    Serikali yetu mko vizuri sana ila kwahili la ushoga wanainchi hatulikubali kabsa japo nyinyi mnalichukulia mzaha sana , japo sijasoma ila mnashangaza sana eti mpaka mjue tatizo nikubwa kiasi gani ndoo mtunge sheria ,kwakati munatunga sheria mtu akiiba afungwe miaka kazaa mlipitia wizi uko kiasi gani au mnatudanganya sisi ili muendelee kufanyanya yenu ,tunga sheria ipite anaefikiria kufanya aache aogope nasio kusema mpaka mkatasimini tatizo kubwa kiasi gani ,kumbukeni watanzania ipo siku watachukia afu mtajua sio wapole hivo mnavyo fikiria ,

    • @sospatrongallaba3252
      @sospatrongallaba3252 Год назад

      ICAP, SHEDEFA, ( mza). Japaigo Shinyanga na Mza

    • @johnycavishe5207
      @johnycavishe5207 Год назад +2

      Serkal inazinguwa alaf kwanza tz inapenda misaada Sana ndo Mana rais wetu yupo kmyaa ad sasa Kwan ukuskia wakubwa fanyen waachen watoto hapo unawaza nn tayar rais kashakbal mbn ushoga tz

    • @jamesjkatimbo5549
      @jamesjkatimbo5549 Год назад +1

      Awa wamekula eka za wazungu waende wenyewe wakazilipe au wapeleke watoto wao wakaliwe nyuma

  • @ransonlema3916
    @ransonlema3916 Год назад +1

    Ngoja Mungu atakaposhusha ghadhabu ya ukame, matetemeko, mafuriko na vimbunga, njaa ndo mtajua Mungu ni wa kuogopwa kuliko wazungu, tumtegemee Mungu peke yake, tuvune rasilimali zetu kwa ustadi, tufannye kazi kwa bidii, tukataei mikataba yenyee laana hizi, tumhofu Mungu

  • @abdallahmbeten
    @abdallahmbeten Год назад +2

    Tulia
    Uko vizuri sana nashukuru kwa jibu lako nimelidhika ❤❤❤❤❤ sina swali naomba Mungu akujarie kwa kila jambo,,,, inshallah

  • @EliamaniSarbabi
    @EliamaniSarbabi Год назад

    Safi mwamba Mbunge Mh Noa

  • @mustafakimalio9129
    @mustafakimalio9129 Год назад +6

    Utafiti ? Wa nn ,,,sema lini Sheria ije,,huu utafiti hadi lini au ndio kuwanyamazisha wasiendelee kuongea kwa kusubiri utafiti duh

  • @gasperedward
    @gasperedward Год назад +23

    R.I.P JPM Mungu akufanyie wepesi huko uliko Mkuu wetu ungekuwepo upumbavu huu usingekuwepo katika hii Nchi

    • @onelovetz7935
      @onelovetz7935 Год назад

      Wewe ni mzalendo msema kweli JPM asingekubali ujinga

    • @mohamedturanardan8871
      @mohamedturanardan8871 Год назад

      we chizi kwani wakati wa Magu hawakuwepo mashoga? Mashoga wauwawe

    • @nahashuaka4979
      @nahashuaka4979 Год назад

      Kabisa

    • @shamaidal6407
      @shamaidal6407 Год назад

      Kabisa

    • @gasperedward
      @gasperedward Год назад

      @@mohamedturanardan8871 tumia akili we zwazwa msimamo wa kiongozi mkuu upo wapi hakuwa akiruhusu mambo ya kishenzi kama haya uelewe tabolalasa.

  • @neemakwanama3370
    @neemakwanama3370 Год назад

    EE YESU WETU NJOO UTUTETE TUMEISHA BABA

  • @haidaringugi2734
    @haidaringugi2734 4 месяца назад

    Allah atulinde dhidi ya janga hili la ushoga na adhabu yake

  • @neemapeter4572
    @neemapeter4572 Год назад

    😂😂😂😂sheria zitaletwa.....

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Год назад +8

    Sipika maelezo mengi toa tamko

    • @sarahkimu1351
      @sarahkimu1351 Год назад

      Eee mungu kwann uliruhusu magufuli afeee

  • @paskaligwangway2597
    @paskaligwangway2597 Год назад

    Inapendeza sana nchi yetu kukutaa uchafu wa ushoga na kusagana , mungu atulinde sote.

  • @maase2023
    @maase2023 Год назад +4

    Kwanza huyo joti afungiwe kabisa maana yy anatoa mfano wa vitendo vya wazi kuharibu jamii

  • @ransonlema3916
    @ransonlema3916 Год назад

    Tunapenda kuheshimiwa na kuheshimiana sana, je Tunamheshimu Mungu ktk janga hili la ndoa za jinsia moja? Mbona dawa ni NO, basi!!!

  • @muhammadfadhil9442
    @muhammadfadhil9442 Год назад +2

    Jamani hichi kitu si cha kujadili ni kuchukuwa hatuwa madhubuti tu

  • @salimkaka1050
    @salimkaka1050 Год назад +2

    Kwel tanznia hatuna viongoz imara 😢 yaani mnasubie tatizo likue kwa asilimia 80 ndio mjue kuw limekua au kubwa au 😢😢 kwa ilivyo kwa vile hili suala ni tishio kwa jamii zetu linahitaj kauli moja tu hata kma liwe linaanza sasa , nyiny mmejadil sku zote hizo alaf mmeshindwa kuja na jibu la kuelewek kwel dah inasikitisha san hii 😢😢😢

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed1991 Год назад

    Mungu atuepushe na mambo hayo

  • @chrisbertludovick8908
    @chrisbertludovick8908 Год назад +4

    Hapa amna kitu kikubwa ni sheria kali nyinyi wa bunge akuna kitu mlicho jadili lolote inahitajika sheria iwe kali mpaka dunia ishtuke mkisema speka kasema amna lolote hapo usanii tuu sheria tunazijua bhana

  • @sophyodago5062
    @sophyodago5062 Год назад

    Hatuna spika

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Год назад +1

    Naomba pitisheni sheria hii. Kwenye mtaa kijiji kitongoji akijulikana ni shoga au msagaji. Wananchi waue wachome moto. Polisi waje wachukue mzoga ndio itakua komesha. Hata bibilia inasema mtu atakae muingilia mwanamume mwenzake mwanamke mwenzake. Kinyume cha maumbile anatakiwa auwawe sio aperekwe mahakamani

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Год назад +10

    Ukimsikilza huyu mdada unaona kabisa hamna kitu🙄😏😏

  • @alvinsanga2428
    @alvinsanga2428 Год назад

    JAMBO GANI MBONA UNAZINGUKA ZUNGUKA HATUTAKI USHOGA

  • @hilalymaamar6644
    @hilalymaamar6644 Год назад +1

    Sisi sahv viongozi hakuna ni hiyo laana tuu hakuna kiongozi mwanamke kiongozi mwanamke mwanamme kakaa nyumbani anakuna ndevu subhanallah ni msiba mkubwa inna lillah wainna ilayhi raajiuun

  • @paulinamoshi8141
    @paulinamoshi8141 Год назад

    Why linaendelea?

  • @saumjengi8184
    @saumjengi8184 Год назад

    Namkumbuka Magufuli sna alikuwa hakwepeshi maamuzi

  • @alvinsanga2428
    @alvinsanga2428 Год назад

    HAKUNA CHA SHARIA JIBU NI MOJA HATUTAKI USHOGA

  • @sarahmgalama3503
    @sarahmgalama3503 Год назад

    Kwann mnalinyamazia hili?

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 Год назад +13

    Mna mungunya maneno sema kauri mojatu kama uganda apa nihapanatu basi

  • @abubakarymwagange
    @abubakarymwagange Год назад

    Tutapamban Hadi ushoga usitawale jaman

  • @frankmayaya367
    @frankmayaya367 Год назад +1

    Natamani kuckia mchango kutoka Kwa Tundu lissu kuhusu mada ya USHOGA!

  • @MuddyGuy-gy9eb
    @MuddyGuy-gy9eb Год назад

    Akumbukwe Magufuli kamanda

  • @stephensengo6877
    @stephensengo6877 Год назад

    Ninyi ni watunga Sheria so mwogopeni Mungu okoeni Taifa kwa kutunga Sheria zinazoeleweka

  • @AdamKaponda
    @AdamKaponda 4 месяца назад

    Hatahili unalilionea aibu Kuta
    Mka?ogopeni laana Toka Kwa mungu,kemeeni dhambi achana na siasa

  • @BalkisMakame-kg4nr
    @BalkisMakame-kg4nr Год назад

    kumbukeni mumebeba dhamna na uta kwenda kulixwa jipnge n mjbu ya kwenda kujibu

  • @allyikuta7572
    @allyikuta7572 Год назад

    Hakuna budi bunge Kutoa msimamo wake kuhusu mashogo, wasagaji mabasha

  • @seifomar1477
    @seifomar1477 Год назад

    UNGE TOWA TAMKO KAMA WW KUWA UNALITAKA AU HULITAKI MAANA HIVYO UNAJIBU KISOMI KUWA WW HUNA KAULI NALO

  • @yohanasafari2526
    @yohanasafari2526 Год назад

    Sheria Kali iwekwe na bunge ipitishe haraka sana

  • @barikiringo6311
    @barikiringo6311 Год назад +6

    Unafanyaje utafiti angali mnafanya kazi kwa maneno bila vitendo,

    • @starfourbed8341
      @starfourbed8341 Год назад +1

      Ujinga hauwez ondoaujingamwingine. tunajisahausana ktk kuchaguaviongoz.madharayake ndiohaya

  • @FabiaHassaan-wh3lp
    @FabiaHassaan-wh3lp Год назад

    Uko sahihi mana Muna mambo mengi ya kuwasimamia kuliko kupoteza mda mwingi kujadili jambo Moja

  • @daudimbofu6670
    @daudimbofu6670 Год назад

    sema Moja kwa Moja usimumunye maneno

    • @alfredmwasandele6922
      @alfredmwasandele6922 Год назад

      Wewe hujuwi spika unataka lijulikaneje sasa ssitume watuma tungeni sheliya kali kutokomeza mambo hayo yaushoga watoto wetu wata halibika tusisubili wakati ni sasa

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Год назад +5

    Unataka ijulikane ukubwa wake ili iweje,semenitu kuwa hili Jambo halina maana,kwenu,lakini niwaambie ukweli wabunge nyinyi mnaotumia Kodi zetu msipo kazana kulisema Jambo Hilo Mungu wa mbingu nanchi atalisema Yeye halafu tuta ona mtakimbilia wapi.

    • @evelyneabdul2785
      @evelyneabdul2785 Год назад +1

      tutafanywa kama bazil

    • @geofreykashililika9704
      @geofreykashililika9704 Год назад

      Ht spka anamung'unya tu maneno hamna lolote hamna lolote

    • @geofreykashililika9704
      @geofreykashililika9704 Год назад

      Ko spika unataka upate mda gan had liwe kubwa et hujui Kama hili Ni janga..kmbk linaweza ht kukugusa mwenyewe ww una ndg na jamaa ujue

  • @gisdenga7740
    @gisdenga7740 Год назад

    😂😂😂 Raisi amesema wafanye wakubwa tu

  • @aleckmwakibete8952
    @aleckmwakibete8952 Год назад +7

    kweli Tanzania tumeingiliwa viongozi hatuna 😢😢😢

  • @blesshani8380
    @blesshani8380 Год назад

    What!!!? Nonsense answer ever

  • @HawaHemed-xb4io
    @HawaHemed-xb4io Год назад

    Wabunge kumbukeni na MABASHA NAO HATARI NDIO WAHARIBIFU WASAKWE MBONA HAMULITAJI KUNDI HILO LA WAFANYAJI WA WENZAOOO

  • @TamimuLuhende-mk1pm
    @TamimuLuhende-mk1pm Год назад

    ko mnataka ili tatizo liwekubwa ndo mtunge shelia acha usiasa linda tamaduni zetu

  • @PeterSimwinga-y4v
    @PeterSimwinga-y4v Год назад

    Mbona kama mnakwepa kwepa

  • @emmanuelchiza7733
    @emmanuelchiza7733 Год назад +1

    Napata wasiwasi Hawa viongozi pia watakuwa wanakanyagana sio bure, helmets za ushoga ni kubwa sana miongoni mwao 😎😎

  • @ratifufuad
    @ratifufuad 8 месяцев назад

    hatutaki ushoga

  • @OmaryBarua-te7jg
    @OmaryBarua-te7jg Год назад

    TUSHIRIKIANE KUWAONDOA VIONGOZI WANAOBARIKI USHOGA AFRIKA

  • @ratifufuad
    @ratifufuad 8 месяцев назад

    jamn kuna mtu anishi ungereza ananitaka kimapez je selekali munaniangaliaje

  • @FaridaJames
    @FaridaJames Год назад

    Hatuna rais hapo muacheni aupige mwingi

  • @dingadinga6674
    @dingadinga6674 Год назад

    Mh.spka nakuunga mkono

  • @VeneReji-mu1yy
    @VeneReji-mu1yy Год назад

    Dawnload

  • @siporajemes773
    @siporajemes773 Год назад

    Inamaana km litakua ndogo utariacja liendelee?? Mbona mama sijakuelewa nahisi hijawai kuumwa uchingu na hauna vijana wadg

  • @salmaalkarousi8764
    @salmaalkarousi8764 Год назад

    Huyu spika hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi,, yaan dah mtihani

  • @franktangeki9342
    @franktangeki9342 Год назад +10

    kwahiyo kama watu wanafirana kwa asilimia ndogo waachwe ? du nchi hii tunapigwa pesa kilakukicha na watu wafirwe ?

    • @Hasnspop
      @Hasnspop Год назад

      😂😂😂😂😂 tumepigwa aiseee kufirana wanaona poa tu

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 Год назад

      Wanafiriana wapi. Kama ni kwa maficho wako wengi na ni haki yao kama wameelewana na ni watu wazima.
      Kama wanafiriana hadharani,wanapelekwa jela

    • @LinahLinahmgweno
      @LinahLinahmgweno 5 месяцев назад

      😂 nakweli waachwe mtu kama kataka mwenyewe

  • @florakaria3793
    @florakaria3793 Год назад

    Anzeni na wabunge tafadhali

  • @HermanSasuri-tu6we
    @HermanSasuri-tu6we Год назад +5

    Hapo mheshimiwa spika sijakuelewa, yaani watoto unaowasemea hapo ndo haohao wanaofundishwa mashuleni, kwa hiyo wakati mwingine tungeni sheria za kuweza kulisaidia taifa letu kwa masrahi ya Leo na baadae ,maana tunataka kuishi kwenye nchi ambayo kila kitu kinafanyika hovyo kwa sababu sheria bado hazina nguvu.

    • @nellychamba1507
      @nellychamba1507 Год назад +1

      Sipika sikia, kuhusu hathali ni kubwa, ukubwa unatokana na kurejea kwa aibu na watu kupuuza Sheria, Jambo la msingi Sheria itungwe kwa haraka au kuboresha Sheria kwa haraka, tunasubiri msimamo wa sherikali Kisha Mambo yatakaa sawa, hatupendi ushoga Tanzania.

    • @edchrisbeatz8976
      @edchrisbeatz8976 Год назад

      nelly chamba..hapo sheria itatungwa baada ya miezi 3..yani kwanza wachumguze pili itoke bajeti afu ndo itungwe ..asee tanzagiza..huu ushetani utaendele kuwepo na utakuwa zaidi kwa sababu hii nchi inaviongoz.. wendawazmu

    • @lightnessmushi8137
      @lightnessmushi8137 Год назад +1

      Ina maana mpaka serikali ichungunguze tatizo ni kubwa kiasi ani km sio kubwa!

    • @lightnessmushi8137
      @lightnessmushi8137 Год назад

      Km sio kubwa waendelee mpaka litakapokuwa kubwa?!!!sasa watoto zimewatia shule kwa sababu ya kufundishwa hayo mambo ,bado sio kubwa!!! Ushahidi wa mwakyembena wengine bado sio kubwa,nimungupeke yake aingiliejambohili.hasira ya Mungu haijawahi kuiwakia Tanzania lakini kwa hili itawaka,na hiihasira itahusu hata sisi wote tusiokuwemo,Mungu ni mtakatifu,hawezi kulivumilia hili jambo,angetuacha km hatujui lakini tunafanya tukijua ni kosa,hasira yake itakomesha viungo vyote vitakuwa majivu,zitakosa vyote ni boratukajirekebisha tujaribu atatusamehe,maana yuko tayari kusamehe km tutatubu kwa moyo wa dhati,huo ni ushauri wangu kwa watanzania.

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Год назад

    Hamfai kuongoza nchi hii hata dakika moja

  • @hafidhdrogba3392
    @hafidhdrogba3392 Год назад

    Tatizo lipo ndani ndomana wanasuasua wanaogopa kutiana aibu

  • @amibeamibe7261
    @amibeamibe7261 Год назад +2

    SIJAPENDA KAULI YA NENO " KIASI GANI" NDO MAANA HATA KTK MAOFISI UFISADI UNAONGEZEKA KISA AMEONEKANA MMOJA NDANI YA WATUMISHI 500. BILA KUJUA KWAMBA NI HATARI KWA TAIFA.

    • @asteriashios1852
      @asteriashios1852 Год назад

      Duh hamna kitu hapo Kwa kauli Yako spika hapana inaonekana mlisaini waziwazi kabisa yaani hamna nguvu ya kulikataa kwanini iwe kiasi?

  • @zainabusadi6469
    @zainabusadi6469 Год назад

    Yaani tanzania hatuna viongozi kabisa!😢mungu tusamie

  • @eizerbitz6715
    @eizerbitz6715 Год назад +1

    Tumesahaulishwa mabiloni ya CAG. Hii nchi ni hatari watu wameseti agenda tumesahau kufatilia PESA

  • @yustahyera4288
    @yustahyera4288 Год назад

    Serikali fanyeni kazi swala la ushoga linaathiri sana watoto na vijana wetyu

  • @alvinsanga2428
    @alvinsanga2428 Год назад

    Jambo gani tumeelewana dada sema mashoga hatutaki

  • @ShabaniChande-kn9yl
    @ShabaniChande-kn9yl Год назад

    Acheni kuuma meno nyie ni wazazi pia tumieni fursa mlizopea na Mungu vizuri

  • @habibarashdi2250
    @habibarashdi2250 Год назад

    Tunataka tuone Sheria ichukue mkondo wake,ili mtutoe hofu sababu tunajua kunaviongozi huko juu ndo wanasimamia ushoga nando walawiti wakubwa

  • @hamidusibye5241
    @hamidusibye5241 Год назад

    IMEBAKIA TU MUKTADHA MUKTADHA......BILA YA KUWEKA SHERIA KALI PASI NA KUZINGATIA UKUBWA AU UDOGO WA JAMBO HUSIKA KIUENEVU,,,,,,,,,KEMEA JAMBO HARAKA KWA UAMUZI WA KUWEKA SHERIA PAPO HAPO..

  • @jimmy-qk4sj
    @jimmy-qk4sj Год назад

    Dr Tulia tume ya ninii sheria ni moja ukithibitika ni kifo tu

  • @dadatumaini7423
    @dadatumaini7423 Год назад

    Shetani Anajua sikuzake zimeisha ,yesu ludi tu

  • @onelovetz7935
    @onelovetz7935 Год назад

    Tatizo kukopakopa mikopo yenye mashaliti ya ushogashoga halafu munasema mtajifikilia wangeanzia kwake aliyekopa yeye asilete laana hapa Tz

  • @paulhando6286
    @paulhando6286 Год назад +5

    Labda likifikia 50% ndo sheria itungwe? Makonda Makonda yuko wapi? Tuliona anavunja haki za binadamu..Sasa yaliyowajuta Dodoma na gomora yamekaribia hats jwetu.

  • @farajimazengo7332
    @farajimazengo7332 Год назад

    Hakika tatizo laushoga nikubwa halina kukaa chini mutunge sheria sisi tutawaona mnafanya kazi tulizo watuma kama mnatusikiliza vizuri wananchi tuio watuma

  • @shukurumgimba4884
    @shukurumgimba4884 Год назад +1

    Ndugu sio kila kitu kinataka kufuata protocol, vitu vingine in dharura na inabidi kutatuliwa kidharura hivyohivyo,

  • @jamesjkatimbo5549
    @jamesjkatimbo5549 Год назад

    Atutaki ushogaaa

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 Год назад

    America imetoka million 66 tz na Ghana ili kulinda ushoga juzi ndio maana hawawezi kupitisha sheria ya kuzuia ushoga sasa. Rejesheni pesa iyoo acheni tamaa

  • @adildewji
    @adildewji Год назад

    I hope this is done ASAP.

  • @abbas.h.saydy.3991
    @abbas.h.saydy.3991 Год назад +1

    Hakika hapo Mheshimiwa Spika umesema jambo muhimu katika utekelezaji, hakika umechukua hatua kali labda upande wa serikali yetu wawe kinyume na maagizo ulio wapa!!

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 Год назад +1

    Uyu nae anavimelea vya kuunga mkono ushoga yn ww kama kiongozi ungetakiwa kuwa mkali xx ww unakuwa km huelewi kinacho endelea tz

  • @ramadhanmakwinya2280
    @ramadhanmakwinya2280 Год назад

    Kauli ni ya mzee wetu Magufuli hakuna ushoga apa wepeleke kwao ukouko Nchi yetu hatutaki mambo ayo yakifiraun

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 Год назад

    Tunajuwa bunge la rangi moja mshakula manoti ndio maana mnapata kigugumiz kuweka sheria kali za kuuangamiza ushoga imeshindkana

  • @AbubakarYusuph-wk7tp
    @AbubakarYusuph-wk7tp Год назад

    Asnth tulia

  • @josephmfune9897
    @josephmfune9897 Год назад

    Na mchere kwetu jaribu sh 5000

  • @hafidhdrogba3392
    @hafidhdrogba3392 Год назад

    Kifupi kutakuwa nakubaazi yaviongozi washalibika ndomana kunaugum wamamuzi

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Год назад +4

    Tatizo ni kubwa, mtaani mashoga wanapeta waziwazi

  • @suleimanbakar7249
    @suleimanbakar7249 Год назад

    Naiomba iyo tume ya katiba na sheria itapokaa na kujadili marekebisho kuhusu USHOGA basi naiomba tume hiyo iweke mkazo juu ya MABASHA. Endapo kutawekwa sheria yoyote ile basi kwa MABASHA iwe ×2 dhidi ya MASHOGA

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 Год назад +1

    Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki viongozi wetu.i think hata na malaika wanapiga makofi juu ya swala hili kule mbinguni ,wakiona wanadamu wakijaribu kupinga hila za shetani kutaka kuwalag'ai wanadamu juu ya swala hili.

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 Год назад

    Spika uja wahi kumungunya maneno lakin leo vp unacho kiongea aki elewek au ndio au bas au lakin bas

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Год назад

    Wnaopiga makofi ninawasiwasi nao,
    Maana hapo naona kama spika anaupooza moto waliouwasha wabunge

  • @abediboki8214
    @abediboki8214 Год назад

    Tlulia naomba utoe maamuuzi yalio sahihi mtaleta gharakakama Enzi LUTU

  • @farihanyngalalangalala8433
    @farihanyngalalangalala8433 Год назад

    Apo viongozi hakuna yani kutoa tamko moja inashindika

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 Год назад

    Achen porojo kama ni wakweli tungen sheria kama niwakwel I hamuungi mkono ushoga

  • @benarddickson1326
    @benarddickson1326 3 месяца назад

    MUNGU ANAKUONA, UTAFITI WA NINI NI JAMBO LINALOKEMEWA HATA NA MUNGU !! WABUNGE MTAJIBU KWA MUNGU

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 Год назад

    sijaelewa yani mpaka jambo liwe kubwa ndipo litungiwe sheria uo ni utani kabisa.

  • @hambobeats-ce3zd
    @hambobeats-ce3zd Год назад

    ❤❤❤❤

  • @ShabanHamza-qg3wj
    @ShabanHamza-qg3wj Год назад

    Sipika wa binge usipo piga Vita ushoga na usagaji sijui utatwambia nini

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Год назад

    😢

  • @wakayakaya6
    @wakayakaya6 Год назад

    Mjue ukubwa wake ili iweje acheni kutafuna bigijii semeni tu jambo Hilo hatutaki watu wakijihusisha ni kunyongwa tu

  • @tinkybellah6634
    @tinkybellah6634 Год назад

    Weee spika acha siasa
    Hata mshipa waaibu huna
    Huiongopi dhambi basi muogope Mungu wako

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Год назад

    Uko sahihi mheshimiwa Spika,mimi naona hakuna ushoga Tanzania ila kuna wahuni wengi wanapotosha wananchi.
    Wako wapi hawa mashoga na wasagaji au ni upuuzi tu

    • @emmanuelchiza7733
      @emmanuelchiza7733 Год назад

      Wewe sio bure utakuwa miongoni meso😎😎

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 Год назад

      @@emmanuelchiza7733 Watanzania badala ya kujadili mambo muhimu ya maendeleo wanajadili uhuni. Hawazungumzii maji,barabara na umeme. Hata namna ya kupata chakula chao cha kila siku.
      Wakizungumzia ushoga utadhani bomu ya nyuklia au uko kwenye nyuso za watu. Hebu endeleeni kubweka ushoga,usagaji na huku watu wanakufa kwa ajili ya njaa na maradhi lukuki.