Unatudanganya sana ubingwa kwa akina Fredy,saidoo ila kumbuka unapoteza umaarufu wako kwa mashabiki wenyekujitambua licha ya kupewa hizo zawadi,washauri sana viongozi kufanya usajili kweli,pia punguza sifa zinazopindukia kwani unawabebesha mzigo mkubwa wachezaji halafu wanapoteza kuhiamini
Simba Nguvu Moja. ❤Semaji la CAF 🎉
Chama wakwamza aondoke ndio anahalibu simba na wachezaji wengine kama inonga hawa wote waondoke tena mapema sana
Fred abaki bado anatupambania sana simba ❤❤❤❤
Hawa wachezaji wa dirisha dogo labda Babakar Sar tu wengine watoke
Unatudanganya sana ubingwa kwa akina Fredy,saidoo ila kumbuka unapoteza umaarufu wako kwa mashabiki wenyekujitambua licha ya kupewa hizo zawadi,washauri sana viongozi kufanya usajili kweli,pia punguza sifa zinazopindukia kwani unawabebesha mzigo mkubwa wachezaji halafu wanapoteza kuhiamini
Fuledi maiko Bado siyo mchezaji wa kuchezea simba naye aka tafute changa moto sehemu nyingine
Maiko aende tu tunataka9 yenye uhakika