WAZIRI AWESO AJIFANYA MTEJA, APIGA SIMU HUDUMA KWA WATEJA DAWASA, SIKIA ALIVYOJIBIWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июл 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 15

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 5 дней назад +10

    ....Binti amejibu vizuri sana, lakini ukichambua alichofanya sidhani atamsaidia huyo Abdallah maana hakuchukua namba yake, hakuuliza stakabadhi ya Malipo, ambayo ingeonyesha ni lini alilipia na tatizo ni nini. Yote hayo yangekjitokeza kwenye kompyuta baada ya kweka jina au namba ya malipo. Haya mambo yalishafanywa na yanafanyika nchi zingine tukopi tu. Tatizo kubwa DDhiki ya wananchi ya maji, imekuwa miradi ya wenye nafsi kuumiza wanyonge. Tanazania hatutakiwi kuwa na tatizo la maji. Mungu ametubariki mno.

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 3 дня назад +2

    Safiiiii ukijibiwa vzr raha sn.hongera waziri

  • @MOHAMEDSALEH-fl7kb
    @MOHAMEDSALEH-fl7kb 6 дней назад +2

    Hongera waziri

  • @emmanuelndahan9815
    @emmanuelndahan9815 2 дня назад +1

    Huyoo ni customer care, kikubwa watu wapate maji

  • @jumbeplumber4327
    @jumbeplumber4327 3 дня назад +2

    Safi sasa

  • @user-eg3mh1gk5l
    @user-eg3mh1gk5l 4 дня назад +2

    Safiii

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 5 дней назад +2

    Safi sana

  • @daltonpaul5838
    @daltonpaul5838 4 дня назад +4

    Watu wa huduma kwa wateja ni wakarimu mno kikubwa watu waungiwe maji kwa wakati

    • @JumaaHussein-ut6fc
      @JumaaHussein-ut6fc 4 дня назад +1

      Wakarim kwasababu simu zinarekodiwa hivo tuu yaani.

    • @user-ji1bc5ti8r
      @user-ji1bc5ti8r День назад

      ​@@JumaaHussein-ut6fctofauti na hapa tungekuwa tunajibiwa hovyo adi tukome muwapigia

    • @daltonpaul5838
      @daltonpaul5838 День назад

      @@JumaaHussein-ut6fc kwa kweli

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan9706 День назад

    Ila goba hakuna maji ki ukweli

  • @HarithAlly-v5o
    @HarithAlly-v5o 4 дня назад +1

    ❤❤

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 2 дня назад

    Sasa kofia ya chama inafanya nn apo