MKURUGENZI AJICHANGANYA KWA AWESO, APIGIWA SIMU "MIMI NIPO KWENYE ZIARA WEWE HAUPO UKO WAPI?"

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 17

  • @lucymtui8680
    @lucymtui8680 7 часов назад

    Shida kweli kweliiwel

  • @mvullamanase
    @mvullamanase 2 дня назад +2

    Mbona IDARA YA MAJI NI WANAWAKE WATUPU.
    NDIO MAANA MAMBO MAGUMU

  • @sultanmsolon8428
    @sultanmsolon8428 4 часа назад

    Mh njoo na chalinze, mdaula na ubena

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 дня назад +1

    WANAWAKE WANAWEZA 🙆🙆🙆

  • @osmanhajj3059
    @osmanhajj3059 2 дня назад +1

    Mh waziri ujee ututembelee wilaya mbarali

  • @ibrackibrahim6909
    @ibrackibrahim6909 3 дня назад +1

    Mademu wao hao😂😂😂

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 2 дня назад

    Tz na watu wake😅😅😅😅😅vichekesho kweli, eee Mola waja wako hawa, 😥😥😥

  • @user-ow7pl6tz2c
    @user-ow7pl6tz2c 2 дня назад

    Kweli kabisa ni ujuma kwanza wananchi hatahatuji kama wazir anakuja mbezi watu wangejaa sana Maji ni tatizo sana mm nimelipia Maji tangu mwenzi 11 mwaka Jana mpaka Leo sijaletewa naukiuliza majibu Yao nibaya sana sana kimala

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 дня назад

    Huyo dada hafai asiee bora aondolewe

  • @happymarchiusnjungani1138
    @happymarchiusnjungani1138 2 дня назад

    Yaan hawa wadada wakishapata Vihela na vyeo mmmmmmm utajua hujui

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 2 дня назад

    Afu mbona viongoz wengi ni mademu halafu mambo hayaendi!

  • @inocentlukumay767
    @inocentlukumay767 2 дня назад

    Huyo dada hana shida yoyote tatizo ni urasimu na mlolongo wa maelekezo ya sheria. Urasimu

  • @inocentlukumay767
    @inocentlukumay767 2 дня назад

    Arusha pia kuna tatizo hilo. Mradi wa bilioni 500 sisi tuliotoa maeneo yetu kuchimbwa maji hatunufaiki kwa lolote. Tupo tayari kulipia maji.

  • @NoName-pp4lo
    @NoName-pp4lo 2 дня назад

    Aweso fata nyayo za makonda

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 2 дня назад +2

    Zuga tu, midemu zao hizo,wakitoka hapo wanaenda kula kulana mshikaki paleeeee😏😏😏

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op 2 дня назад

    Yupo na mshikaji wake kazini wanaingi wanavyotaka wenyewe

  • @inocentlukumay767
    @inocentlukumay767 2 дня назад

    Arusha pia kuna tatizo hilo. Mradi wa bilioni 500 sisi tuliotoa maeneo yetu kuchimbwa maji hatunufaiki kwa lolote. Tupo tayari kulipia maji.