Yani nchi hii kwa kweli .maji atupati hasa huku mbezi makabe . Ili tununue maji ya magari unit 15000 .huku ni mateso tunajiuliza haya magari sijui ni ya kwao watanzania tunamateso sana
hamna wezi kama watu wanaofanya kazi kwenye wizara ya majii...ni aibu kabisa..wahudumu wenyewe wanatamka maneno makali kama vile tunaomba maji bure kwao...
Mashirika na Taasisi za Umma zilizotaifishwa na kubinafshishwa sasa zinatakiwa zirudi tena Serikalini na zinatakiwa ziorodheshwe kwenye Soko la Hisa kwa manufaa ya wote!
Mtihani miaka 63 ya uhuru maji bado changamoto. Sijui tumerogwa. Wafanyakazi wa serikali dawa ni kutumbua ukifuata utaratibu hatuendi. Awamu hii wanakula bata wanajua mama rahimu.
Huyu Jamaa kanikumbusha mbali sana. Nilibambikwa kesi kwamba NIMEWAZUIA WATU WA IDARA YA MAJI KUFANYA KAZI YAO. Nikawekwa ndani , case ikadumu Kwa miaka Mitano.
@@MauaDumba Nilikua nina Siku 3 tu tangu nimefika nyumbani. Kaka yangu alikua kama huyo Jamaa ( alikua akiwalalamikia Sana watu wa Maji ). Siku hiyo wakati wanakuja hakuwepo hivyo wakaamua kunikamata Mimi badala yake. Nilipigwa Sana pale kituo cha polisi mpaka kuzimia / nilivutwa korodani zangu. Walipomaliza wakanibambika kesi . Na nikawekwa mahabusu. NIMESAMEHE!
Yani nchi hii kwa kweli .maji atupati hasa huku mbezi makabe .
Ili tununue maji ya magari unit 15000 .huku ni mateso tunajiuliza haya magari sijui ni ya kwao watanzania tunamateso sana
Ndo maana wanawambia tuwe na katiba mpya! Bado mnawaambia hao mawaziri si atakupiga blabla anaondoka!??
hamna wezi kama watu wanaofanya kazi kwenye wizara ya majii...ni aibu kabisa..wahudumu wenyewe wanatamka maneno makali kama vile tunaomba maji bure kwao...
Mashirika na Taasisi za Umma zilizotaifishwa na kubinafshishwa sasa zinatakiwa zirudi tena Serikalini na zinatakiwa ziorodheshwe kwenye Soko la Hisa kwa manufaa ya wote!
Zanzibar maji bure hadi raha
Mtihani miaka 63 ya uhuru maji bado changamoto. Sijui tumerogwa. Wafanyakazi wa serikali dawa ni kutumbua ukifuata utaratibu hatuendi. Awamu hii wanakula bata wanajua mama rahimu.
Safi kabisa
Maji ni uhai😮 #tellaaxistz
CEO DAWASA alikuwa LUHEMEJA TU
✍️
Mheshimiwa Aweso naomba na Kawe upaangalie wanatubambikia bili za maji
Milard Ayo na wewe umeshakuwa mhuni sasa taarifa gani hii haina muelekeo na mwisho
Wapi iyo
Mnafiki ww
Aweso ni mtu huyu jamaa
Huyu Jamaa kanikumbusha mbali sana. Nilibambikwa kesi kwamba NIMEWAZUIA WATU WA IDARA YA MAJI KUFANYA KAZI YAO. Nikawekwa ndani , case ikadumu Kwa miaka Mitano.
Shubh pole sanaa hii mambo ipoo
@@MauaDumba Nilikua nina Siku 3 tu tangu nimefika nyumbani. Kaka yangu alikua kama huyo Jamaa ( alikua akiwalalamikia Sana watu wa Maji ). Siku hiyo wakati wanakuja hakuwepo hivyo wakaamua kunikamata Mimi badala yake. Nilipigwa Sana pale kituo cha polisi mpaka kuzimia / nilivutwa korodani zangu. Walipomaliza wakanibambika kesi . Na nikawekwa mahabusu. NIMESAMEHE!
Usiwaache hiv hiv seek msaada wa kisheria@@jovinkiboko3558
😂😂😂
Xxa nd nin ikii millard😢