EXCLUSIVE: SHAFII AFUNGUKA (A - Z) SABABU ZA KUPIGANA NA STEVE MWEUSI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 205

  • @Officiallyexaud
    @Officiallyexaud 2 месяца назад +150

    Kama unamkubali Steve gonga like za kutosha

  • @amaizingvideo8858
    @amaizingvideo8858 2 месяца назад +13

    Shafii msenge tuu mwongo hana confidence ya kujitetea

  • @ayub6465
    @ayub6465 2 месяца назад +4

    Ukwwli nikwamba Steve yupo level nyingine tofaut sana na shafiii

  • @ngulathfundikira4205
    @ngulathfundikira4205 2 месяца назад +26

    Ushamba tu,msemo msemo kwamba wewe ndio wa kwanza kutunga misemo ? Mijitu mingine chefuuu

  • @MishekiLukali
    @MishekiLukali 2 месяца назад +15

    Weee shizi to shafii

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 2 месяца назад +5

    Kifupi Shafii tatizo maana swali la Tambwe ulilo muuliza Shafii swali zuri sana umekaa na msemo mda wote huo miezi 6 mtu anachukua kitu kdg anakifanyia kazi kinampatia kipato kifupi Shafii shida

  • @ferezaisaack9836
    @ferezaisaack9836 2 месяца назад +6

    Mm huyu Binti Nampendaga sanaaaa aisee

  • @piusdriver7842
    @piusdriver7842 2 месяца назад +2

    Huo msemo ni wangu .shafii kautoa kwangu sema nimekosa platform

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 2 месяца назад +7

    kiki za kiduanzi😊...afu skilizeni wamama wa kiswahili ndo kunatoka maneno hayo..na so kwamba wanatunga inatokea tu kwenye kuzungumza..mkitumia kwenye content zenu ikienda gafla mnageuka waanzilishi tena😊

  • @honestangalapa4178
    @honestangalapa4178 2 месяца назад +16

    Utoto mwingi tu, hamna la maana

  • @ALBATWA5-zh4zk
    @ALBATWA5-zh4zk 2 месяца назад +12

    Shafi mavi tu huyu
    Achana na simba kilaka kenge wewe,!

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 2 месяца назад +9

    Jomba anaonekana kabisa nimuongo wa hatar ww hujui hujui tuu😂

  • @ernestnzoyikorera4629
    @ernestnzoyikorera4629 2 месяца назад +15

    Shafi acha kujichafua mwanangu huo msemo sio wako pia wewe hata ungefanya usingefika popote sema hata ukitaka na nyimbo zake tukuachie Aaaaaah Aaaaaah 😂😂😂

  • @josphatmutua7930
    @josphatmutua7930 Месяц назад +1

    Namkubali steve

  • @KassimMakame-dq6nq
    @KassimMakame-dq6nq 2 месяца назад +6

    😂😂shafii unachuki naunakik t ndouzotk wew acheni kumuonea wivu Steve

  • @hirizonetz9558
    @hirizonetz9558 2 месяца назад +9

    Mbona me huu msemo nimeusikia Kwa mwakatobe anautumia umalaya tu kuaoga aah hizi kenge Nazo bwana 😂😂 halafu hiki kijamaa nacho bwana kinatafuta umaarufu tu kupitia Steve

    • @romzy_tz7305
      @romzy_tz7305 2 месяца назад

      Kabisa tena kwenye movie ya snake boy😂

  • @bishopalfreddywilliamu2382
    @bishopalfreddywilliamu2382 2 месяца назад +8

    Hahahaha eti msemo? Wahenga wame toa misemo mingapi mbona hawapigi watu

  • @user-lucas047onyango
    @user-lucas047onyango 2 месяца назад

    Shafii hajielewii huyoo kichaaa tuuu😢😢😢

  • @Hope_Plus
    @Hope_Plus 2 месяца назад +6

    Sasa wewe shafii unaubunifu gani zaid ya Ku copy 😂 na huna content yako ambayo umefanya umeenda sna zaid ya Ku copy sema mwana umezingua Steve Ili u trend huna jipya Steve ni content creator mzur sna na amekuzid mbali sana acha kumzingua Steve bhana, kwana maelezo yako inaonekana kabisa msemo sio wako kuiba misemo tu kubuni aaah😂

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 2 месяца назад +12

    Huyo dogo mkorofi sana msemo ndio urushe ngumi mpumbavu Huyo dogo

    • @volkenge
      @volkenge 2 месяца назад

      Sasa matusi ya nini ndugu me mwenyew shabiki wa steve lakin kwenye ukweli ubaki ukweli steve pale ndio alioanza alitafuta kupigwa mwenyew

    • @volkenge
      @volkenge 2 месяца назад

      Au naongopa

  • @MosesDarius-p7f
    @MosesDarius-p7f 2 месяца назад +2

    Shaffi unadangaya bro ❤❤❤❤ sema ukweli

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 2 месяца назад +5

    Shafii basi tukukipe utuachie huo msemo maana umeendana na sisi aki 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @dumabagame3901
    @dumabagame3901 2 месяца назад +16

    Sasa hajawahi kuwa mshkaji wako unamtaniaje

    • @happynkya9770
      @happynkya9770 2 месяца назад

      Ajabu anajikanyaga kanyaga tu

  • @KalumeCharo-v4o
    @KalumeCharo-v4o 2 месяца назад

    Steve ni mtu clean heart.hawa madogo wamekuja juzi tumewapa attention wameanza kujisahau.Msemo ni kitu cha kurushiana ngumi?
    #learnfromEliudSamuelnaTxDullah,they're cool guys

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 2 месяца назад +4

    Huna lolote unajiaribia wee huogopi,haya namie nikapambane na suzi bale mbn maneno tunaiga mengi,umekuja juz tu shafii unajiona bichwa kubwa tive ameanza kitambo lkn hakuwa na makuu mpk leo

  • @PaulinaOctavian
    @PaulinaOctavian 2 месяца назад

    Steve sio level yako shafii acha ushamba

  • @AfidhiRajabu-q2f
    @AfidhiRajabu-q2f 2 месяца назад +1

    Why haukuwa wa kwanza kutumia acha kujichetua una vitu vingi wap????

  • @Gabriel-f7x
    @Gabriel-f7x 2 месяца назад

    Shafii acha ushambaa, broo unazingua hujui lolote tambii kichaniii kuoga aaaa

  • @OmarMwer
    @OmarMwer 2 месяца назад

    Sisi twajuwa Steve aaaah

  • @KAKUMIPAUL
    @KAKUMIPAUL 2 месяца назад

    The last lady is smart.
    Anaitwa?

  • @paulhema5713
    @paulhema5713 2 месяца назад +3

    Mna hoji upande mmoja ...achen izo bhn muhojin na Steve ...ila Steve ndo kila kit....dog anaonekana mkorof sana

  • @Officiallyexaud
    @Officiallyexaud 2 месяца назад +3

    Huo ni utoto mnao fanya fanyeni kazi mtufuraishe bhan

  • @KurubhoneJonas-hq4dv
    @KurubhoneJonas-hq4dv 2 месяца назад

    Mtangaji uyo dogo umemuuliza swali zuri sana

  • @madahaisack1268
    @madahaisack1268 2 месяца назад

    Aliya ameulizaa swali nzuri sanaa

  • @LuciaMsabila
    @LuciaMsabila 2 месяца назад

    Shafii muongo jmn mwizi sana huyo

  • @CHIEF_WA_BUJONDE
    @CHIEF_WA_BUJONDE 9 дней назад

    naipenda kiki

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7kt 2 месяца назад +1

    Nyie ni kioo cha jamii yaani mnajiaibisha. Alafu kama ungeweza kumuachia kwa nini hukumuachia ili msijiaibishe

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 2 месяца назад

    Huyo shafii mjinga sana,kwani we ndiyo wa kwanza kuanzisha misimo,pumbafu sana ww

  • @mwanaidimatanoabdarahman9135
    @mwanaidimatanoabdarahman9135 2 месяца назад

    Uyo safii ikekua museum ni wake zi age-related mwapie ahaje ujinga sana kama umekauka nenda ukalale 2

  • @AshaRajabu-h7h
    @AshaRajabu-h7h 2 месяца назад

    U a not seriously bro u can change another thing apart from aaaaah , okay wat thing for the fast song Steve nyeuc aaahaaaaaa aaaaah it was some thing special keep up u mind bro u can change some idea

  • @jewimetechnology2581
    @jewimetechnology2581 2 месяца назад

    Kama unamkubal Steve weka Like apa

  • @MasokaSakina
    @MasokaSakina 2 месяца назад +1

    Uwo msemo niwa Steven mweusi

  • @stamiliayubu2294
    @stamiliayubu2294 2 месяца назад

    Shafii unazingua sana bana

  • @gloriamwalongo3661
    @gloriamwalongo3661 2 месяца назад

    Shafi Hana akil

  • @MamlakaAdalbert
    @MamlakaAdalbert 2 месяца назад +3

    Huyo jamaa mkorofi maanaa anachoongea akina matiki

  • @consolatazacharia
    @consolatazacharia 2 месяца назад +1

    We shafiiii unaonekana kabisa umeibaaaa MSEMO 😂😂😂😂

  • @ElifridaEdward
    @ElifridaEdward 2 месяца назад +1

    Ila watu bana Yaani mwenye msemo ni Mimi nyie mnautafutia ugali 😂😂ngoja nimcheck mwanasheria wangu 😏

  • @AthumaniSelemani-o1l
    @AthumaniSelemani-o1l 2 месяца назад

    Kwani uyo shafii pia msanii na km msanii wanini wakuogelea au wakula sana mimi sijawai kumueelewa uyo jamaa😂😂

  • @malimathegreattv9251
    @malimathegreattv9251 2 месяца назад

    Shafii acha kujibebisha
    Tutakukataa wote kwa uongo wako
    Msemo ni wastev

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 2 месяца назад +2

    Acheni utoto harafu ata hamjatrendi acheni ushamba nyau nyie 😅😅😅😅

  • @SabrinaSwalehy
    @SabrinaSwalehy 2 месяца назад

    Acha wiv kwaiyo umeshindwa kumtafuta sehem nyingine mpaka hadhara ya watu halafu unamsitukiza mwenzio inamaana we umejiandaa kwenda kipigana acha ushamba we unamsemo misemo yote ni ya zamani

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 2 месяца назад

    Kusema kweli tangu stive amzungumzie ndio nimelijua jina la shafii

  • @chomwabonzo8811
    @chomwabonzo8811 2 месяца назад

    Hawa ndio maana watu wanasema wanapumuliwa usogoni kwa vitu kama ivi vya kupuuzi aisee ndio nn sasa eti

  • @ommimg2467
    @ommimg2467 2 месяца назад

    Kwanza nilikuwa simjui lakin nimemuona Hana akili halafu hichi kitoto cha elfumbili bado hakijakuwa kifundishwe maisha haka

  • @DjJackAfricanboy
    @DjJackAfricanboy 2 месяца назад +1

    Kanasema uongo tyu unwell aaaahh

  • @JoyceMartin-ex6zw
    @JoyceMartin-ex6zw 2 месяца назад

    Wew NI mwiz shafii hatakama ujiteteeje Mim binafsi swez kukuelew

  • @ronaldkimengich8958
    @ronaldkimengich8958 2 месяца назад

    This people needs to be greated by gen Z

  • @HamadMwagoani
    @HamadMwagoani 2 месяца назад +1

    Msemo wa wadada wakuvaa visocks na vibagi vya micky mouse ndo mnapigana wacheni ujinga

  • @dianerditto
    @dianerditto 2 месяца назад +2

    Em tutokee huko bwana useme wewe kitu nani akishobokee umebeba mashavu na ulimbukeni tu kwendwaa

  • @blankoboy898
    @blankoboy898 2 месяца назад

    Shafii unajiharibiya

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 2 месяца назад +1

    Msemo lazina urasimishwe... Acheni ushamba fanyeni kazi mazeee watu wapate burudani

  • @user-samweli
    @user-samweli 2 месяца назад

    Shafii ni msenge tu alafu hapo hawakupigana

  • @fadhilimasud-mb9nk
    @fadhilimasud-mb9nk 2 месяца назад

    jamani shafii anaakili

  • @oscargolden7932
    @oscargolden7932 2 месяца назад

    We dogo unafeli tafuta kazi nyingne ya kufanya...we una jelous sn huwez toboa kwa staili hizo..steve kakuzidi mbali san

  • @Cutterose
    @Cutterose 2 месяца назад

    Wewe hauna haukuufikisha huo msemo kama Steve kulalamika tu kujituma aaaah

  • @mohdkhalifa8828
    @mohdkhalifa8828 2 месяца назад

    Mm nyimbo ya Ray Van ya nitatokaje nilijua wa stan bakora mana alitowa adi vdeo😂

  • @BoniphaceSariro
    @BoniphaceSariro 2 месяца назад

    Msemo wa Steve jaman shafiii mbna ivo kaka

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 2 месяца назад

    Shafii anaonekana mshari afu anashikilia vitu vidogo rohon kama wa kike bhna mbona kitu kidg sana,,afu sasa leonrdo kafanyiwa interview akasema msemo kwa mara ya kwanza alisikia kwa stive, ndaro huyo huyo unayesema ulimwambie leo amekwambia acha wizi, kwahyo huoni kama mnaleteana mabifu yasiyokuwa ya maana jamn

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 2 месяца назад +2

    We dogo huna akili unatafuta kiki

  • @Forester__
    @Forester__ 2 месяца назад

    Bas na ule wimbo wa Steve uliotrend ni wako?

  • @Amina-i4r
    @Amina-i4r 2 месяца назад +1

    Wewe shafi huna chochote kojoa ulale😂😂😂😂ujinga 2 muone bithwaaaaaaa kuliosha aaaaaaaah😂😂😂

  • @natherboy
    @natherboy 3 дня назад

    Kwanza shafii ndo nan mshamba2 sema anataka kumuhalibia jina2

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 2 месяца назад

    Dada acha choyo misemo ilianzishwa mingi tu na waswahili wala hawapigani acha utoto

  • @Cutterose
    @Cutterose 2 месяца назад

    Shafi Anazengua kwasababu huo msemo alimtania Steve ila yeye hakumuambia official kuwa ni msemo wake wa kazi
    Unazengua shafi kaonge ukoooo fala wewe

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 2 месяца назад

    😂Niko na stive namkubali sanaaa

  • @AthumaniSelemani-o1l
    @AthumaniSelemani-o1l 2 месяца назад

    Stive atqbaki kua stive tafuta msemo mwengine sisi twajua uwo ni wastive kwende media2 umbea aaa shafii acha longo longo umbea2 kuimba aaaa😂😂

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 2 месяца назад

    Wapi haooo wabongo wanazingua

  • @hollyboyMW
    @hollyboyMW 2 месяца назад

    Shafii ni mpumbavuu 😄😄wizi tuu kuoga aaah

  • @isackmbade3181
    @isackmbade3181 2 месяца назад

    Bora Aliya umerud mjengoni

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 2 месяца назад

    Haya chukuwa ww huo msemo lkn haufanani nao mishavu kama mtoto wa pka KENYA SISI TWAMJUA TU STV NDARO ,VEVO NA RINGO NA WENGINE

  • @CarlosRule-p6v
    @CarlosRule-p6v 2 месяца назад

    Hana HAKILI huyo msenge

  • @GeorgeEdward-e1e
    @GeorgeEdward-e1e 25 дней назад

    Pesa umaarufu kitu kiby sana hivi kwel kwa umr huo ni wakugombania msemo afu amesem awana ushikaji iweje ampgie ten

  • @biggiee1
    @biggiee1 2 месяца назад

    Sasa huyu nae sio mzima sasa atakama yeye ndo alimwambia mwenzake akaona unaweza tumika kama msemo na yeye hakutaka kuutumia sasa analalamika nini.

  • @aayanmaroba6056
    @aayanmaroba6056 2 месяца назад +2

    Afu uyo dogo ata huwa simuelewi et

  • @RibinByamungu
    @RibinByamungu 2 месяца назад

    Musemo Niwa Steve mweusi.

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 2 месяца назад +2

    We ule msemo sio wako Sema umekaa kikikee

  • @NepporSabith
    @NepporSabith 2 месяца назад

    Huyu jamaa aliona wivu ndani yake but sioni sababu yamsingi anaizungumzia au kutetea hoja yake.

  • @DeborahBrown-ts2hb
    @DeborahBrown-ts2hb 2 месяца назад

    Uwong tu kusema ukweli aaah

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 2 месяца назад

    Hata hapo huna la kusema

  • @AbelNguluchaMasuke-oj7zy
    @AbelNguluchaMasuke-oj7zy 2 месяца назад

    Shafii wewe ni brand kubwa acha ujinga maneno mmezaliwa mkayakuta

  • @EsterUrio-tu6up
    @EsterUrio-tu6up 2 месяца назад

    Steev yuko viwango vikubwa...Shafii acha kutuleta wewe

  • @BeniMasolwa
    @BeniMasolwa 2 месяца назад +1

    Huyu yeye akachanechane madftari tu

  • @AmergoBenit
    @AmergoBenit 2 месяца назад +1

    Matako yako wa mushamba Mimi Niko Zambia niko ndugu na Steve

  • @blankoboy898
    @blankoboy898 2 месяца назад

    We chizi shafii huna msemo ww na huwo msemo hauachi Steve sjuwi utafanyaje tafuta hela shafii misemo ipo dogo acha ushamba

  • @EdwardAnthony-c7u
    @EdwardAnthony-c7u 2 месяца назад

    Mi naona mnajiaibisha tu, mtu sio mwanao then unasema ulimtania

  • @abedikashindi-t4g
    @abedikashindi-t4g 2 месяца назад

    Mahojiano yanaonyesha wazi jamaa kavamia mwenzie kuhusu msimo. Mara nilipo mwambia tu ghafla nikakuta kesho karuka nao, tena sikuwai kuona kama karuka Noa maana mimi si mtu wa RUclips. Mara mimi naye si wana lakini Nika mtania tu. nilitaka nione nguvu yamsemo. Binafsi anavyo jibu maswali sipati majibu.
    Ndugu huyo ajitathmini kwanza

  • @AmergoBenit
    @AmergoBenit 2 месяца назад +1

    Muongo ata auja fika makama ulisha shindwa

  • @CharlesAllan-k3v
    @CharlesAllan-k3v 2 месяца назад

    Shaff acha usenge izo kiki

  • @JaneWangoi-wl7ec
    @JaneWangoi-wl7ec 18 дней назад

    Me natambua Steve uyu munaita ivi ndio namuona sahi

  • @MabulaMboje-yp1xb
    @MabulaMboje-yp1xb 2 месяца назад

    Shafii kama sitiv somshikaji wako kwanini ulimtania kaka acha unafiki